Mnyika Atoa Hotuba Nzito Baada ya Kuchaguliwa Tena Kuwa Katibu CHADEMA

  Рет қаралды 62,635

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Пікірлер: 62
@MichaelBaraiga
@MichaelBaraiga 4 күн бұрын
Tunamuomba mungu atulindie hiki chama
@AustineMosha
@AustineMosha 10 күн бұрын
Hongera sana kijana John John Mnyika hotuba nzuri viongozi woote wa chama cha chadema mnauwezo mkubwa sana wa kujieleza mnastahili kuitwa miamba ya kutetea wanyonge. Mungu awasaidie sana ktk majukumu yenu
@starlily07
@starlily07 10 күн бұрын
I love you Mnyika ❤️❤️ Mungu akulinde na akuongoze kuifanya kazi yako kikamilifu.
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 10 күн бұрын
Love you mnyika❤❤❤
@dongadau3329
@dongadau3329 10 күн бұрын
The Chanzo, is the best online media for coverage big up keep it up you deserve credits and congratulations
@jr_mkumbojr
@jr_mkumbojr 9 күн бұрын
Na wale jamaa wa JAMBO TV🎉🎉🎉
@mkongoejsm1942
@mkongoejsm1942 10 күн бұрын
Nakuamini sana John tangu ulipo kua mbunge wangu wa Jimbo la ubungo na ukawa mbunge wa kibamba hongera sana mnyika kwa ukovu wa siasa kamanda john
@KanaufooKweka
@KanaufooKweka 10 күн бұрын
Hongera sana mnyika umeonyesha uaminifu kwa kutoegemea upande wowote kati ya timu lissu na timu mbowe,
@abuubaya7614
@abuubaya7614 10 күн бұрын
Huyu jamaa alikuwa smart sana
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv 10 күн бұрын
Ahsante Mh TL kwa kumrudisha John kuendelea kuwa Katibu Mkuu.
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 10 күн бұрын
hiki sasa ni kikosi kazi yaani moyo ❤️ wangu imetulia tuli kwani kazi ipo mbele
@johnsovela9061
@johnsovela9061 10 күн бұрын
The Chanzo na Jambo Tv mmetisha sana kwenye hii coverage
@henrygwalema1860
@henrygwalema1860 10 күн бұрын
Nadiliki kutamka kwamba Chadema ya Mbowe ni chadema ya kihistoria ambayo ilikuwa kwa sababu ya utumishi wa Freeman uliotukuka, na sasa naipokea Chadema ya Lissu ambayo naiita Chadema mpya ya tumaini jipya, nikimaanisha Chedema chini ya mbowe na Chadema chini ya Lissu ni Chadema moja yenye tofauti ya mihula lakini malengo sawa kwa mstakabali wa taifa letu
@MsabahAli-d6u
@MsabahAli-d6u 10 күн бұрын
Uchaguzi wa chadema ni tranding kuliko hbari yyte hapa Tanznia kiki zoote hazijasaidia kuifunika hii habari
@WilliamMlangi
@WilliamMlangi 8 күн бұрын
Mungu awe upande wenu, amen
@revocatusvedastus8893
@revocatusvedastus8893 10 күн бұрын
pole mh mnyika kwa kazi kubwa,
@enockmlyuka6475
@enockmlyuka6475 9 күн бұрын
Mnyika is genius, smart and a good leader. He deserves the position!
@EDSONHERUMAN
@EDSONHERUMAN 10 күн бұрын
Pamoja❤🎉
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 9 күн бұрын
Mnyika nmpambanaji sana kaka mtufikishe nchi yaahadi chadema ndo tunawategemea mnatufunua sana akir watu walikuwa wanaamini ccm ndo baba ,saizi tunajua ccm nichama ,kama vyama vingine mungu awape nguvu sana kwenye mapambano hayo makamanda tuko pamoja
@BensonMpete
@BensonMpete 10 күн бұрын
John mnyika🎉🎉🎉🎉🎉
@kadilamore802
@kadilamore802 10 күн бұрын
Karibu tena😅❤
@barryrioba3934
@barryrioba3934 10 күн бұрын
LISSU Amefikiri Kwa Umakini Na Busara Sana Kumrudisha Au Kumuacha MNYIKA Kuendelea Na UKATIBU MKUU.
@sophiamalinga18
@sophiamalinga18 10 күн бұрын
Hongera sana Mnyika
@AustineMosha
@AustineMosha 10 күн бұрын
Mungu awatangulie vyema katika kutekeleza majukumu yenu. Mko vizuri sana
@NikomediLukas
@NikomediLukas 9 күн бұрын
Mungu akulinde
@emmanuelsunday8325
@emmanuelsunday8325 10 күн бұрын
Mnyika nakukubali sana bigp
@salamwajeka-yo6su
@salamwajeka-yo6su 10 күн бұрын
Hongera sana
@PaschalBoi-z8h
@PaschalBoi-z8h 10 күн бұрын
Very good mnyika
@amosgerald7763
@amosgerald7763 10 күн бұрын
Mnyika hongera sana nakupenda sana
@MonicaMushi-z8s
@MonicaMushi-z8s 10 күн бұрын
Big up🎉🎉🎉🎉🎉
@AmbakisyeSimion
@AmbakisyeSimion 10 күн бұрын
Hakuna katibu mkuiu amepitia wakati ngumu kama mnyika
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 10 күн бұрын
Wewe Mnyika ni padri uliye kamilika ukweli tumeuona leo kwenye uchaguzi wenu mlio fanya jana umeonyesha uwezo wako. Umeelezewa vyema
@davidnyamo6110
@davidnyamo6110 9 күн бұрын
I love CHADEMA it is the only party that will liberate Tanzanias and it's resources
@israelbenjamin1799
@israelbenjamin1799 10 күн бұрын
Nimemuona mwenyekiti wangu wa wilaya seth chessam vegula
@josephmawala8694
@josephmawala8694 10 күн бұрын
2025 tunachukua nchi.. Hongera sna Mnyika
@danielkanso
@danielkanso 9 күн бұрын
Huyu mheshimiwa anajua sana na ni msomi mkubwa Hongera mnyika
@PaulMwashikuba-rm5xs
@PaulMwashikuba-rm5xs 10 күн бұрын
Msimsahau odero kwa afya ya chama
@LoitushulYamat
@LoitushulYamat 9 күн бұрын
Kweli nimekuwa nikimpongeza kwa kusimamia mchakato wa uchaguzi Hadi kusimamia uchaguzi na kumalizika salama na kwa amani nawapongeza wote waliomwona Tena na kumwamini Tena asanteni sana.
@PetroMwacha-e5g
@PetroMwacha-e5g 10 күн бұрын
Mwenyekiti ajaye
@MsabahAli-d6u
@MsabahAli-d6u 10 күн бұрын
Mnyika yuko vizuri sana ni katibu mkuu hasa ni mtu mtulivu weledi ni kiongozi na nusu namkubali sana na nilijua lissu hawezi kumuacha ata siku moja
@JofreyMwamlapi
@JofreyMwamlapi 10 күн бұрын
Hogeleni makamanda
@HasaniSasi
@HasaniSasi 10 күн бұрын
Poleni viongozii huo ndio ukomavu wa uongoz
@dicksondomisian9516
@dicksondomisian9516 10 күн бұрын
Sahau ya nyuma kiongozi tunakuitaji katika nguvu mpya na hali mpya
@BahatiAloys-w8l
@BahatiAloys-w8l 10 күн бұрын
🙌🙌
@MchungajiNzelani
@MchungajiNzelani 10 күн бұрын
Huyu alisomea upadre
@vengageorge6574
@vengageorge6574 10 күн бұрын
Kadi Za chama zinapatikana wap
@abuumasemele6246
@abuumasemele6246 9 күн бұрын
Word
@GoodluckHaule-p7h
@GoodluckHaule-p7h 9 күн бұрын
i want to join in this political party, what i can do??
@WilbertManjonda
@WilbertManjonda 9 күн бұрын
Ndo timu ya watetezi wa wanyonge nchini Tanzania
@Joseph-t7n7q
@Joseph-t7n7q 9 күн бұрын
Mupo vizul sana kwakutupa abal nzul
@thomastemu3332
@thomastemu3332 10 күн бұрын
100% myika
@revocatusvedastus8893
@revocatusvedastus8893 10 күн бұрын
ccm Ni hatari kuliko ukimwi duuuh
@MabeyoLutobola
@MabeyoLutobola 10 күн бұрын
Watanzania wanaitaji babadiliko simamieni haki
@BichongolaInvestment
@BichongolaInvestment 9 күн бұрын
MAPAMBANO YAENDELEE TUNATAKA WABUNGE WA KUTOSHA OCTOBER
@hamisiMlangi
@hamisiMlangi 10 күн бұрын
Watenda wema ni wengi ila mashujaa wachache mnyika wewe ni shujaaa
@MwazoaMwazoa
@MwazoaMwazoa 10 күн бұрын
Walemavu wanawakilishwa na nani?
@SamweliChacha-l4y
@SamweliChacha-l4y 10 күн бұрын
Philosophical oblongata
@lucasmkwizu1786
@lucasmkwizu1786 10 күн бұрын
kaka yangu mnyika nadhani omba kupumzika kidogo , kwani unayo nafasi ya kuayeyote na bado Ni kijana, uongozi huu utakupa wakati mgumu kimfumo. fikiri vyema.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 10 күн бұрын
Mkuu huu ndo uchawi sasa unaleta, wenzako hata kazi hawajaanza tayari umeshatoa utabiri wako wa kishirikina. Binafsi sina chama lakini hebu ona huu uongozi utafanya nn kwa wanachama wao.
@wiliamkatala
@wiliamkatala 10 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂​@@GeorgeAkasha-zx2rj
@BichongolaInvestment
@BichongolaInvestment 9 күн бұрын
PUMBAVU ZAKO kichwa maji wewe
@wilbertjosephat1615
@wilbertjosephat1615 10 күн бұрын
Jj mwamba na robo
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
"Sina chuki hata moja na Lissu, hata nikikutana naye nitamkumbatia"
20:30
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН