Рет қаралды 53,277
Kupitia kampeni yao ya #OkoaBandariZetu CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati mbalimbali na viongozi wengine wa kijamii wanafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Bulyaga Temeke.
Wanaharakati na CHADEMA wameendelea kusisitiza mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hauna maslahi mapana kwa nchi. Mkutano huu wa CHADEMA unafanyika ikiwa ni wiki mbili toka CCM kuanza mikutano yao ya hadhara ya kufafanua kuhusu suala la bandari.
Endelea kufuatilia The Chanzo tupo hapa katika viwanja vya Bulyaga kurusha Live
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.