Mwananchi Aliyewashitaki Vigogo Serikalini Atoa Neno Sakata la Bandari

  Рет қаралды 17,696

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Kupitia kampeni yao ya #OkoaBandariZetu CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati mbalimbali na viongozi wengine wa kijamii wanafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Bulyaga Temeke.
Wanaharakati na CHADEMA wameendelea kusisitiza mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hauna maslahi mapana kwa nchi. Mkutano huu wa CHADEMA unafanyika ikiwa ni wiki mbili toka CCM kuanza mikutano yao ya hadhara ya kufafanua kuhusu suala la bandari.
Endelea kufuatilia The Chanzo tupo hapa katika viwanja vya Bulyaga kurusha Live
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 41
@kilimohub580
@kilimohub580 Жыл бұрын
I like this guy - mtanganyika halisi . Big up sana bro . God bless you
@EmanuelPallangyo-n4q
@EmanuelPallangyo-n4q Жыл бұрын
Naomba mungu aliye hai apambane na wapiga dili wa nchi hii AMEN.
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg Жыл бұрын
Amezongwa na majambazi oh my gosh!!!
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 Жыл бұрын
SAFI SANA KAMANDA, WEWE NI MZALENDO NA SHUJAA, WA KUJIPAMBANIA
@stephenwakunyala4004
@stephenwakunyala4004 Жыл бұрын
Mungu akulinde
@jacoblongo6814
@jacoblongo6814 Жыл бұрын
Thanks Thanks kiongozi kwa maneno mazuri
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg Жыл бұрын
Watu kama wewe si wengi Mungu akubariki sana
@cottamanywele1396
@cottamanywele1396 Жыл бұрын
Akiwemo tulia aksoni spika feki wa bunge la jamh ya muungano wa Tanzania, hii nchi tumechoka kuburuzwa na ccm hawa ccm ni wezi wakubwa wa Mali za watanzia ccm wooote ni wezi tupu,
@mvunge7108
@mvunge7108 Жыл бұрын
Laana ya jpm inamtafuna mama ...
@patrickKitambo
@patrickKitambo Жыл бұрын
Umeona eh?
@godsgiftgreat4752
@godsgiftgreat4752 Жыл бұрын
Hii ni nzuri sana. Natamani nieepo nitoe neno moja tu
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 Жыл бұрын
Good Person
@terevaelislla1713
@terevaelislla1713 Жыл бұрын
Ccm ni mzigo mkubwa mungu tunakuomba tutue mzigo huu
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Amen
@HekimaLutego-jx8li
@HekimaLutego-jx8li Жыл бұрын
Safi
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 Жыл бұрын
Kwahiyo chama Tawala hakipo Kwa ajiri ya wananchi?
@gerraldchristian2001
@gerraldchristian2001 Жыл бұрын
Watanzania tuungane kwa mda uhu CCM wote ni wezi
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Жыл бұрын
Safi sana kamanda
@LodvolaLameck-jl5vs
@LodvolaLameck-jl5vs Жыл бұрын
😂😂 huyu jamaa kawapa na namba wezi
@hamidamedia514
@hamidamedia514 Жыл бұрын
Hahahaha
@makeresiapawa7947
@makeresiapawa7947 Жыл бұрын
Thomas Nkollla jembe la ccwt
@sabatoelia312
@sabatoelia312 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu❤jamaa ni don't care about vitisho 😂😂😂 nampenda
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 Жыл бұрын
Duuuuuh kweri alishuka na majambawazi wakubwa tena unahaki ya kusema
@SuzanaKasanya
@SuzanaKasanya Жыл бұрын
Uwekezaji si bandari pekee. Mbona maeneo mengine hamsemi? Mna ajenda zenu ninyi
@emmanuelmtega5852
@emmanuelmtega5852 Жыл бұрын
Viongozi wajiuzuru ni wapigaji tu.
@danielkanso
@danielkanso Жыл бұрын
daaa hivi ni kweli wananchi ndiyo wehu mmmhh
@deusmbassa9749
@deusmbassa9749 Жыл бұрын
Kabisa Sisi wananchi tunazingua Sana
@robertmujuni4102
@robertmujuni4102 Жыл бұрын
0:41
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 Жыл бұрын
Ukisia Wasukuma ni washamba ndio huyu Sasa. Yaani anawasifia Wapemba kuwa ni watu wenye akili sana na Wapole, ila aseme Mbarawa hana “akili na ni Criminal” , ina maana Hili Hamaa la Maswa halijui kwamba Mbarawa ni Mpemba Pure, yaani Mbarawa ni Mpemba wa kutoka Pemba tofauti na anachoamini Rais ni Mpemba wakati hajatoka Pemba kabisa. Huu ni umaskini wa Akili.
@levidavid1156
@levidavid1156 Жыл бұрын
hujaelewa vyema anahoja nzito
@PPLPPL-ld3vu
@PPLPPL-ld3vu Жыл бұрын
Bakwta bakwat bakwata
@mohamedmoledina6403
@mohamedmoledina6403 Жыл бұрын
Hayo mapesa kayapata kwenye ualimu? Duh!
@isaacmollel345
@isaacmollel345 Жыл бұрын
EeMungu uwalinde hawawatu
@patrickKitambo
@patrickKitambo Жыл бұрын
Kidenepedi😂😂
@harunmruma2291
@harunmruma2291 Жыл бұрын
Acha chuki waarabu ni nini?
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Жыл бұрын
Bahati mbaya kabisa walioteswa na utumwa wa waarabu hawapo wameshatangulia mbele ya haki wangekujibu😢😢
@harunmruma2291
@harunmruma2291 Жыл бұрын
@@mamboshepea8888 ndio mlivyo danganywa na wazungu, mkaambiwa binadamu wakwanza alikuwa nyani fungua akili acha uboya
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Жыл бұрын
@@harunmruma2291 Hata ungebinuka kichwa chini miguu juu huwezi kufuta historia we mtumwa tu😀😀
@salbokosaid8992
@salbokosaid8992 Жыл бұрын
Afadhali mwigulu hao wengine majambazi kweli
@johanneskallya364
@johanneskallya364 Жыл бұрын
Una uhakika kweli na hilo?
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 Жыл бұрын
Safi sana nkola
Dk.Slaa Atoa Ujumbe Kwa Rais Samia Kuhusu Mkataba wa Bandari
8:58
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,3 МЛН
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 11 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН
ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU ABAINIKA
37:08
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 12 М.