Asante kwa makala nzuri na umetukumbusha mbali na kujenga uzalendo, ninachoomba wale walioshiriki vita hiyo ya Kagera yaani wapiganaji wenyewe wanawaenzi namna gani, hata kama alifia vitani au alipata ulemavu walienziwa namna gani, hapa umewataja viongozi, ambao baada ya vita walitunukiwa hayo uliyoyataja lakini waliofia vitani waliokatika mikono , miguu, wengine masikio yaliziba walisaidiwaje, maaana kuna mmoja nilimwona kwenye Tv alipata ulemavu vitani ana maisha magumu sana hata nyumba anayolala ni shida na kutokana na huo ulemavu hata alishindwa kutengeneza familiar. Sasa sijui hao wanajeshi wenzie walimwona na inawezekana wapo wengi
@saidbakar-qo6ri2 ай бұрын
Vita yoyote duniani hukumbukwa wote kwa ujumla kama mashujaa lakini kwa walioingoza vita hiyo wana kumbukumbu na sifa maalum kwani kama tanzania ingeshindwa vita hiyo wangelaumiwa makamanda wakuu viongozi wa kijeshi na amiri jeshi mkuu wapiganaji hufuata maelekezo ya wakuu wao mfano kamanda mkuu na mkuu wa majeshi ya Rwanda RPF alikuwa kagame waliposhinda vita sifa zote zikaenda kwa kagame japo wapiganaji wengi waliuwawa
@travesseniorchannel2 ай бұрын
Kazi nzuri sana hii. Hatuwezi kusherehekea Siku ya Mashujaa bila kuwafahamu mashujaa wenyewe. 😊👏🏾
@abdulhajiahmed87352 ай бұрын
Sababu za kumpiga tunayo, uwezo wa kumpiga tunayo, tunataka dunia ituelewe hivyo kazi iliyobaki ni mmoja kumpiga tuu !! Vita si lelemama. Kagera war Mwalimu Nyerere 🇹🇿🇹🇿⚒️🇺🇬🇺🇬
@hassanmfaume45222 ай бұрын
Matokeo yake uwezo hatukuwa nao tena kila kitu kikawa shida tupu😅😅😅 huyu aliyesema apigwe nduli Amini ningekuwa karibu yake ningemzaba makofi hii vita ilichakaza uchumi wetu 😅😅😅.
@abdulhajiahmed873520 күн бұрын
Kumbuka kuwa hayati mwalimu Nyerere alisema mapema kuwa ni lazima tufunge mkanda na vita si lelemama. Kumbuka hata Marekani ilibidi watoke mbio na kuacha zana zao za vita ikiwemo helicopters na vifaru Afghanistan
@jeffmap4038Ай бұрын
Brig Gen. M. M Rajabu muhandisi wa Daraja la Kagera mmemsahau.
@margarethpolepole74382 ай бұрын
Mungu awalaze mahali pema peponi akiwemo Mume wangu mpigani wa vita hiyo
@tuzonyava83062 ай бұрын
Pole na Mungu awalaze mahala pema pepon
@jeremiahmalasusa39972 ай бұрын
Mungu amlaze peponi.
@magigesabai86742 ай бұрын
wengine bado wapo akiwemo Kikwete
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
@@magigesabai8674 kuna watu wengi hawafahamu kama Kikwete ni mjeda na alipigana hiyo vita💥💥💥💥
@thechanzoАй бұрын
Pole sana, tungependa kupata simulizi ya vita ya Kagera na shujaa mume wako kama utapenda. Unaweza kuwasiliana nasi kwa 0753815105 (The Chanzo)
@SaidPazi20 күн бұрын
Asanteni viongozi wetu kwa kutupambania wajukuu zenu amiiin
@tatutumbi46402 ай бұрын
Mungu Amlaze mahali pema poponi. Mume wangu mpiganaji. Na wengine wote waliotangulia mbele ya haki. Kazi mliifanya. Mpewe Maua yenu.🙏🙏
@thechanzoАй бұрын
Amina na pole sana
@thechanzoАй бұрын
Habari, kama utapenda tunaomba tupate simulizi kutoka kwako kuhusu vita ya Kagera na hasa kuhusu shujaa mume wako 0753815105 (The Chanzo)
@josepharcadoАй бұрын
Hongereni makamandi wetu tutazidi kukuenzini
@Dr_Heart.2 ай бұрын
Mpewe maua yenu, nice story of our own history researched and presented in artistic and fantastic style, Muchas gracias the chanzo
@IsackIbrahimu-j3kАй бұрын
Ongera kwa kimbukumbu nzuri
@AbinelyBasiri2 ай бұрын
Namkubali sana general mike malwa, aliongoza kikosi nilichopigana Mimi,, aliwai kusema, anaendakumkamata amini Kwa mikono tu , Hana bunduki, we acha tu, huyo . Mwamba,
@thechanzoАй бұрын
Habari ndugu, tungependa kupata simulizi ya vita ya Kagera kutoka kwako kama utapenda, unaweza kuwasiliana nasi kwa namba 0753815105 (The Chanzo)
@EdimundKamsonko4 күн бұрын
Mungu alinde nchi yet isipate majanga Kama haya tena
@Youngchimodzi8232 ай бұрын
That is the time we had had battle hardened, patriotic and highly disciplined soldiers , God bless them for standing against Idd Amin and other foreign infiltrators and Emperialism
@isackbilali79272 ай бұрын
Rest Easy Uncle Maj Gen. Rowland L. Makunda umewahi kunihadithia mengi sana kuhusu hii vita na leo nimeshuhudia ukitajwa kwny hii simulizi tamu ya The Chanzo
@roudhamahmoud7632 ай бұрын
Asante sana kwa history
@King_Of_Everything2 ай бұрын
History to remember.✌️
@fahadalismaili65462 ай бұрын
Kisha waliporudi wakapewa asante kwa kazi nzuri dadadeki
@unganivictor8172 ай бұрын
Viva mashujaa wote wa vita vya kagera
@gadielshedaffa33332 ай бұрын
Safi sana
@danstanpanga8490Ай бұрын
Gen. Silas Mayunga "Jenerali Mti Mkavu".....….Gen Musuguru "Jenerali Mtukula" .... Gen John Walden..."Black Mamba"
@georgekimako68402 ай бұрын
🔥🔥
@shadrackmashishangapeter8212 ай бұрын
Tuliopigana vita hiyo hatujawahi kuitwa wala kualikwa na bado tuko hai wanakaribishana wenyewe na kugawana posho
@ibrahimomari24582 ай бұрын
Iabla vita hivyo havikuwa halal...na vilisababisha leo tuwe hapa kimaendeleo....kwa sababu hizo kwann mkumbukwe...
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
@@ibrahimomari2458 tena walienda kumpiga Idd Amin na kumsingizia vitu vingi vya hovyo
@thechanzoАй бұрын
Habari ndugu, tungependa kupata simulizi ya vita ya Kagera kutoka kwako kama ukipenda, unaweza kuwasiliana nasi kwa namba 0753815105 (The Chanzo)
@DemetriosByabato2 ай бұрын
Sijamsikia Meja General Msuya aliyeikamata Kampala.
@samsonmwijage18692 ай бұрын
Sawa kabisa kipindi cha vita alikuwa na cheo cha Kanali. Huyu Kanali Benjamin Msuya ndiye aliyeongoza kikosi kilichoteka mji mkuu Kampala. Alistaafu akiwa na cheo cha Meja Generali. Mwishoni mtangazaji amesema wazi wapo makamanda wengine wa vikosi asingeweza kuwataja wote ameona awataje hao 20 ambao wengi wao waliongoza Brigedi na baadhi yao waliongoza vikosi. Kila brigade ina vikosi 3 au 4 na kila kikosi kina kombania 4 na kila kombania na Platuni 3. Kwa hiyo Brigedi ni pana sana na ina askari wengi kama alivyowataja mtangazaji.
@Amosmsechu2 ай бұрын
Kabisaaa na aliitawala uganda siku 3
@saidbakar-qo6ri2 ай бұрын
amekwambia kulikuwa na wapiganaji wengine na makamanda kwenye taasisi za jeshi walioshirikiana na waliotajwa kuna waliorudi na waliotangulia walikuwa wakipishana pia ndio maana hajatajwa mkuu wa kikosi cha anga
@thechanzo2 ай бұрын
Msuya wakati wa vita alikuwa na cheo cha Luteni Kanali akiongoza moja ya kikosi, japo badae akiwa Uganda alipandishwa cheo na kuwa Kanali. Pamoja na kutambua historia kubwa ya Msuya, hapa kwenye list yetu tumewataja Makamanda wa ngazi ya Brigedi na Divisheni waliiongoza vita na sio makamanda wa vikosi vilivyokuwa chini ya Brigedi.
@anthonygikuriАй бұрын
Kazi nzuri sana. Historia hii inatakiwa kuandikwa vizuri iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo!!!!
@momylaviel2 ай бұрын
Viva mashujaaa
@peterdshekiondo94442 ай бұрын
where is Tony Alfred's voice?
@111dudi23 күн бұрын
Vita iliirudisha Tanzania nyuma miaka 50. Kulikuwa na haja ya vita?
@amanyajohnson634115 күн бұрын
Are you serious?
@AllyMohamed-w5x2 ай бұрын
Viva
@lawskuli98762 ай бұрын
Natamani ungetuambia kila mmoja kati ya hao makamanda kama yupo hai au ameshafariki.
@MohamedKidwaka-y4o2 ай бұрын
Ulitakiwa kutupa history nzuri ya john burder Walden black mamba
@festokemibala58322 ай бұрын
Hizi kumbukizi zingekuwa zikifanyika rasmi katika eneo la tukio baada ya wiki nzima ya kusafisha makaburi ya wahanga huko Kaboya pia kuwatembelea mashujaa waliopo na hata familia zao majumbani na kuwafariji/kuwapongeza kwa hali na mali. Hii mara inafanyika Dodoma mara Singida wakati wahusika wala hawajawahi kuyashuhudia makaburi ya mashujaa yalivyopangana huko Kaboya wanaazimisha historia tu, hapana. Watembelee pia mpaka wa Uganda na Tanzania na ikibidi waende Chotera, Masaka, Mbarara washuhudie mabaki ya vifaru na mizinga iliyotumika ktk vita hivyo. Ni ushauri
@lovenessvisent94082 ай бұрын
Msuguri ni huyu huyu ninaemuita mzee wangu hapa mbezi au ni yupi msaada jamn
@petermabada56282 ай бұрын
Hapo hapo mbezi palikuwa kwake
@lovenessvisent940820 күн бұрын
@@petermabada5628 alaaaah
@tulipotokazamani2 ай бұрын
Wapi Brigadier Martin Mwakalindile?
@kwelimohamedtrueman12822 ай бұрын
Siotu brigadier ni major general Martin Mwakalindile Mungu amlaze mahali pema, nadhani mwandishi arudie tena kupanga
@samsonmwijage18692 ай бұрын
@@kwelimohamedtrueman1282:- Sahihi kabisa pamoja na kwamba hawezi kuwataja wote lakini kuna ambao haiwezekani kusaulika katika simulizi hii akiwemo Kanali Benjamin Msuya aliongoza kikosi kilichoteka mji mkuu Kampala.
@thechanzoАй бұрын
Mwakalindile wakati wa vita kwanza hakuwa Brigedia, alikuwa Kanali, badae ndipo alipandishwa vyeo mpaka kufikia Luteni Jenerali. Kwenye orodha hii hatujamuweka sababu, hakuwa kiongozi wa Brigedi au vikosi vilivyokuwa mstari wa mbele. Mwakalindile alibaki makamu makuu ya Jeshi kufanya kazi za uratibu wa vita.
@thechanzoАй бұрын
@@kwelimohamedtrueman1282 Tatizo itakuwa hujasikiliza wala kusoma hii orodha imelenga watu gani, hebu tusaidie hapa Luteni Jenerali Mstaafu Mwakalindile aliongoza Brigedi au Vikosi vipi wakati wa vita?
@israelsimba49542 ай бұрын
Hingereni kwa kutimiza mJukumu yenu.
@musamwafongo3430Ай бұрын
Nilifanikiwa kuwa na Silas Mayunga/ na nilirudi SALAMA
@thechanzoАй бұрын
Habari Musa Mwafongo, tungependa kufanya mahojiano nawe kupata simulizi yako kuhusu vita ya Kagera kama utapenda. Unaweza kuwasiliana nasi kwa namba 0753815105 (The Chanzo).
@DeusMbuge2 ай бұрын
Sayole Alistaafu Lt General sio Meja General
@thechanzoАй бұрын
Asante
@hafidhnzota21422 ай бұрын
Mejor Gen Msuya YUPO wapi KTK Idadi YAKO?
@thechanzo2 ай бұрын
Msuya wakati wa vita alikuwa na cheo cha Luteni Kanali akiongoza moja ya kikosi, japo badae akiwa Uganda alipandishwa cheo na kuwa Kanali. Pamoja na kutambua historia kubwa ya Msuya, hapa kwenye list yetu tumewataja Makamanda wa ngazi ya Brigedi na Divisheni waliiongoza vita na sio makamanda wa vikosi vilivyokuwa chini ya Brigedi.
@HeboniBabu2 күн бұрын
Vita ilikuwa aituhusu obote alikuwa lafiki wa nyerere
@khalilyjuma8132 ай бұрын
Benjamin Msuya alikuwa nani?
@thechanzo2 ай бұрын
Alikuwa Kamanda wa Kikosi, hawa tumewataja ni wale wa kuanzia ngazi ya Brigedi. Historia kubwa ya Msuya ni kwamba Kikosi alichokiongoza ndio kilichoanza kuingia Jijini Kampala na yeye ndio alipewa maagizo ya kusimamia Uapisho wa Rais Mpya wa Uganda baada ya utawala wa Idd Amin kuanguka.
@tulipotokazamani2 ай бұрын
@@thechanzo Umemuacha mtu muhimu sana sana. Kanali Ambrose Bayeke, yeye ndio alikuwa Mkuu wa mbinu za vita kwenye Vita hiyo ya Kagera. Baadaye wakati vita ikiendelea alipanda na kuwa Brigadia. Kwenye moja picha za video hapo anaonekana Bayeke akitembea na Mwalimu Nyerere huku akimpa maelezo fulani. Luteni Kanali Benjamin Msuya aliongoza Battalion namba 21 iliyouteka mji wa Kampala. Baadaye wakati vita ikiendelea alipandishwa na kuwa Kanali. Kwanini Maafisa walipandishwa vyeo wakati vita ikiendelea? Ni kuwa Brigedi kadhaa ziliunganishwa na kuwa Divisheni kwahiyo Brigadia Mwita Marwa alipandishwa na kuwa Meja Jenerali akaongoza Divisheni mojawapo, pia Brigadia Silas Mayunga nae akapandishwa na kuwa Meja Jenerali akapewa Divisheni nyingine. Ikabidi pia Makanali kadhaa wapandishwe kuwa Mabrigadia wakiwemo Kanali Takadir Kitete na Kanali Ambrose Bayeke. Pia Maluteni Kanali kadhaa wakapandishwa na kuwa Makanali akiwemo Benjamin Msuya.
@abelmbijima4324Ай бұрын
Kimario kamanda mbogo
@BakarAliy2 ай бұрын
Wazanzibari ukitutajia nyerere .tunaumia
@LucyNgowi-m5z2 ай бұрын
Kwanini?
@bahiyalumelezy30162 ай бұрын
Meza panadol tu
@BataNamichongoАй бұрын
Wazanzibar ndo akina nani kwenye nchi moja Tanzania
@bahiyalumelezy3016Ай бұрын
@@BataNamichongo hawa wengi wao hawajizambui asil zao kwakweli,kuna wamakonde,wanyamewezi,wamatumbi na wengi kutoka bara,sasa kutokujitambua na kulazimisha uarabu ndy wanajikuta arabuni hawapo Africa wapo lkn wanajizima data,ni wakuwaacha km walivyo maisha yaendelee kwa amani tu,ardhi ipo Africa unforced iwe arabuni?kuwapotezea tu huku watu wanaendelea na kazi zao.muungano daima🇹🇿🇹🇿👍💯
@WallaceMakunda2 ай бұрын
Ooh mbona picha ya brig mnauye sio hiyo , ni picha ya brig makunda
@thechanzo2 ай бұрын
Hiyo picha tuliyotumia, ilitumika kwenye tukio la kumbukizi ya kifo chake Nnauye. Sasa labda kama familia ya Nnauye ilichanganya picha. Ila nadhani umemfananisha na Makunda kwa sababu wote walikuwa wanavaa miwani.
@kwelimohamedtrueman12822 ай бұрын
Umetulisha matango pori, embu rudia tena upange list yako upya
@christiankambuga93382 ай бұрын
Safii
@herilello42 ай бұрын
Msuya alitoka BN 19 alivuka mtoo na Mashua mpaka kuuteka mji wa jinja
@PauloKanoni-nu2bl2 ай бұрын
Wherebos Ben Msuya
@thechanzo2 ай бұрын
Alikuwa Kamanda wa Kikosi, hawa tumewataja ni wale wa kuanzia ngazi ya Brigedi. Historia kubwa ya Msuya ni kwamba Kikosi alichokiongoza ndio kilichoanza kuingia Jijini Kampala na yeye ndio alipewa maagizo ya kusimamia Uapisho wa Rais Mpya wa Uganda baada ya utawala wa Idd Amin kuanguka.
@samsonmwijage18692 ай бұрын
@@thechanzo:- Lakini pia umewataja ma - Kanali ambao waliongoza vikosi na siyo Brigedi na ndiyo sababu ya baadhi ya wafuatiliaji wa makala yako kuuliza Kanali Benjamin Msuya mbona hakutajwa.
@thechanzo2 ай бұрын
@@samsonmwijage1869 Makamanda wenye vyeo vya Kanali tuliowataja ni wale waliokuwa na madaraka kwenye ngazi ya Brigedi na Divisheni, na sio ngazi ya vikosi. Mfano, tuliowataja walikuwa Watendaji wa Kivita wa Brigedi, Divisheni na Kanali Tumbu alikuwa Mkuu wa Mizinga wa Divisheni.
@hamisikitwana79572 ай бұрын
Umekosea kuhusu Mayunga akuwakuwa barozi Kongo bali Ethiopia
@thechanzoАй бұрын
Ingia kwenye website ya Wizara ya Mambo ya Nje utaona orodha ya vituo vya kazi alivyofanya. Tumetumia taarifa ya Wizara.
@mpegesaaswile65812 ай бұрын
Sijamwona PIUS MPEGESA
@thechanzo2 ай бұрын
Hapa tumeweka orodha ya makamanda wa ngazi za juu za Brigedi na Divideni.
@andrewdavid94612 ай бұрын
Acha uwongo
@tosh76712 ай бұрын
Kati ya vita ambavyo havikuwa na sababu yoyote ya maana. Mpaka leo miezi 18 ya kufunga Mikanda na umaskini inaendelea
@petermogha70252 ай бұрын
Kwa msuguri umekosea kusitafukwake
@thechanzo2 ай бұрын
Ingia kwenye website ya JWTZ uone wameandika alistaafu lini kisha urudi tena tujadili.
@abdallahiddy63332 ай бұрын
ndio maana nape amelithi propaganda za baba ake
@AbirahIssaАй бұрын
Mwongo wewe
@ahmadSeif8602 ай бұрын
Lakini IDI AMIN alikimbilia SAUDI ARABIA na akfarik huko na akazikwa uko, sasa kama ww muislam jiulze kulikoni!! Wakat nyerere tunajua alikua kafiri.
@edsonnelson44642 ай бұрын
Wewe nae unaleta mambo gani! Dah!
@irineemanuel97492 ай бұрын
Pole sana kwa kudumisha udini.ila uko nchi ambayo aliipigania ambaye una muita kafiri.katafute nchi ya watakatifu ukaishi huko
@samsonmwijage18692 ай бұрын
Wewe ni mpumbavu mkubwa na ni kafiri sawa na kafiri mwenzio dikteta muuaji Id Amin ambaye hata hakupewa heshima kwenye KIFO chake hata nchi yake Uganda walishangilia KIFO chake. Lakini Mwl Nyerere alizikwa kwa heshima zote za KITAIFA na DOLA na dunia ilisimama. Anaheshimika Africa nzima muasisi wa Taifa letu. Miji mikuu yote Afrika utakuta barabara au mtaa unaitwa Nyerere huyo Amin hata Uganda kwao hatambuliki. Usituletee udini hapa. Mtoa makala anazumgumzia mambo ya msingi kuhusu mashujaa ambayo huadhimishwa kila Julai 25 halafu wewe unatuchanganyia habari za dini. Mbona waislamu wengi Wana akili timamu na busara ila mpuuzi kama wewe unawatia doa kama ni kafiri ni wewe. Idiot.
@samsonmwijage18692 ай бұрын
@@irineemanuel9749:- msamehe Bure huyo ni mwehu na kafiri mwenyewe. Alivyo mjinga anadhani dini yoyote ile ni kigezo cha kwenda mbinguni !!!!
@samsonmwijage18692 ай бұрын
Wewe mwenyewe kama mwenzio muuaji dikteta Id Amin ni kafiri na mpumbavu mkubwa. Mtangazaji katoa makala ya mashujaa ambayo huadhimishwa kila Julai 25 halafu wewe unatuchanganyia habari ya udini. Mbona waislamu wengi wana akili timamu na busara wewe mpuuzi unawatia doa. Baba wa Taifa Mwl Nyerere anaheshimika barani Afrika miji mikuu ya nchi karibu zote Afrika utakuta barabara au mtaa unaitwa Nyerere huyo Amin hata Uganda kwao hatambuliki hata hakumbukwi kwa unyama aliowafanyia raia wake. Mwl Nyerere alizikwa kwa heshima zote za KITAIFA na DOLA na dunia ilisimama na kila mwaka kuna kumbukizi yake. Huyo Id Amin hata kwao Uganda watu waliingia barabarani kushangilia kifo chake 2003. Amin baada ya kushindwa vita 1979 alikimbilia Libya kwa rafiki yake Gadafi lakini baada ya mwaka na kidogo Gadafi akagundua huyu mtu SIYO AKAMFUKUZA. Amin akakimbilia Saud Arabia alikofia. Changia hoja za msingi usijivunie dini. Matendo ya kumpendeza Mungu na kumcha MUNGU ndiyo kigezo cha kuona ufalme wa Mungu. Dini pekee haimpeleki mtu Mbinguni.