Kalii sana ....Niwabunifu sanaa Wa vipnd vyenu ...Huwa havichoshi #wasafi for de life#
@maestro19024 жыл бұрын
No 10 kucoment story nomaaa✊✊✊
@peterokalo96324 жыл бұрын
Very interesting let the young generation youths to know the truth
@nafuwswedi24654 жыл бұрын
My brother Jamal Historia ya utumwa ni ya kusikitisha sana sana sana Mume wangu ni Mmarekani mweusi ambae hajui ni nchi gani ametokea Africa, yeye ni kizazi cha nne,lakini bado anauchungu sana kwa hawa washenzi wazungu,ukiishi na hawa waamerika ndio utajua jinsi gani bado wanauchungu mno na sio rahisi kusahau,ni historia ya kusikitisha sana kama ukisikia wenyewe wakikuaadithia.
@machetebogota4218 Жыл бұрын
Kuna na huku omani dada kila mtu mweusi anakwambia ana jua Kiswahili japo vizaz vyao sasa hawajui kuzngumza inaumiza Sana Allah awalaani ote walotesa ndug zetu
@kandeboyjrmanji71494 жыл бұрын
Huyu ndo mbadala sahihi was mtiga abdalahh...jamaa anajua sana...naombeni likes zenu na mimi
@shabanramadhan35874 жыл бұрын
Mtiga zaid uyuu proffes
@hassaniothumani55014 жыл бұрын
@@shabanramadhan3587 huyo mtiga tumemjua kupitia huyu maana huyu ni muandishi na msimulizi Mwamba
@bigjizee41303 жыл бұрын
Huyu ndie aliye mpika mtiga, Mtiga Ni mwanafunzi wa huyu bwana
@nawesulle35663 жыл бұрын
Huyu ndo anajua sanaaa
@MuganwaPatrick-jy3fx6 ай бұрын
Yoo nependa sana comment Yako nipe nambari zako za sim
@makalakatembo47734 жыл бұрын
Wazungu unaweza ukawachukia milele😰 wasenge sanaa
@donme93084 жыл бұрын
acha tu sema simu unayotumia ata ni ya wazungu 😆😆😆
@goldshukri864 жыл бұрын
Wasenge kweli kweli MACHETANI
@morineakinyi11164 жыл бұрын
Hata mimi sana
@rehema20184 жыл бұрын
Don Me sio ya wazungu
@neemanicholaus54683 жыл бұрын
umetukana eeh?
@edmundmbele43074 жыл бұрын
Namshangaa sana mou anaelilia kwenda ulaya, kufanya kazi za ndani wakati rasilimali zote Zipo huku,hususani Ardhi.laiti kama mababu zetu wangeona kizazi chetu tunavyolilia kupendwa na wazungu,na kuwakaribisha kwetu na kuwanyenyekea,nadhani wangelia sana.Tunawabatiza watoto zetu majina yao ya kishetani,zaidi sana tunabaguana kwa dini dini ambazo zimetoka kwao hao hao washenzi,unawezaje kumuita ndugu na jamaa yako kafiri kisa tu,haamini imani ya kitumwa kutoka huko kwa mashetani weupe.Unakuta mzazi yupo tayari mwanae aitwe BROWN,lakini sio aitwe KAHAWIA,hivi tupo sawa kiakili jamani.......PUMBAVU KABISA
@louiriri4 жыл бұрын
Wanaosema Jamar Anafanana na Alikiba Gonga like hapa
OTA Benga😝alikuwa na meno yamechongoka km sururuu km umegundua hilo twende pmj na otabenga na chibudenga ndugu wa damu kwa like za kufa nyanii👍👍👍
@allpotentials84204 жыл бұрын
Daah we jamaaa,,,tuko pa1,,,team otabenga😂🤣🤣🤣
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
😆
@maysarahesha95323 жыл бұрын
Z Ssd Skd
@maysarahesha95323 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 Vip
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
@@maysarahesha9532 pow kwem
@ibrahimnyutu14614 жыл бұрын
Wasafi-storybook for life professor Kutoka Kenya tuko pamoja Twajua utumwa mpka wa Leo haujaisha sisi Kama waafrika tushikane pamoja tuweze kuukabidhi racism duniani💯
@baby_najma38011 ай бұрын
🇹🇿🇰🇪
@ismailkasim79604 жыл бұрын
OTABENGA ...R.I.P
@saidantugwa76714 жыл бұрын
Jamal uko deep sana proffesor!!! Umetisha unachimba madini c kitoto~good bless yuh"
@abdulmarijani33014 жыл бұрын
Nice mwamba your the hero
@allexlunny77954 жыл бұрын
Hongera sana bro tunajivunia kuwa na watanzania wabunifu kama ivi tukiwa kama watanzania endelea kutufundisha wavivu wa kusoma vitabu
@carolkangethe95444 жыл бұрын
Jamal is alikiba's look alike Viva africa may God bless Africa both today and forever..
@tariqomary61782 жыл бұрын
Eeeh
@elias123lazaro34 жыл бұрын
Muko vizuri Sana wasafi tv_ the story book
@barakavictor59594 жыл бұрын
Jamal unaandaika vizur Sana lakn mtiga ni msimulizi mzuri Sana inshort mmepoteza perfect combination aiseee maana wewe unaandika Story nzuri lakn hazisisimui kwenye masimulizi mtiga siku hizi anahidithi Story za kawaida Sana nafikiri amepoteza muandishi sahihi (Jamal) mlitengeneza pacha bora Sana lakn duuuh no one knows.... Ni mtazamo tu masela msijenge chuki
@fahamnitwahir92494 жыл бұрын
Kwel kbsa
@hassan02564 жыл бұрын
Figisu tu zilifanyika, namimi nilipoona kila story inatrend KZbin hadi namba #3 na Views mamilioni, nilihisi patatokea Fitina tu maana The Story Book ilishaanza kuteka watu wengi,..But Kwasasa tuachane na hio Combination maana Jamal mwenyew anachinja vizuri tu
@barakavictor59594 жыл бұрын
@@hassan0256 it's true coz life goes on no matter what!!
@biramsakh92124 жыл бұрын
Allah Akbar. Allah awalaani mizungu iliofanya ivo. Inauma sana
@bahatymashaka94404 жыл бұрын
Nakuelewa sana jamal
@anuaryfernandez72304 жыл бұрын
Otabenga Atakuwa Na Undugu Na Chibudenga
@MenTPL4 жыл бұрын
😂
@menlandmutashobya83774 жыл бұрын
He he
@oscarmick80274 жыл бұрын
😂😂
@masebtommy18634 жыл бұрын
😁.. chibudee chibudenga
@anuaryfernandez72304 жыл бұрын
@@MenTPL 😂
@jolamababyofficial64814 жыл бұрын
Ur xo creativity bro, kp it up 🔥🔥🔥🔥
@costantinejohn66614 жыл бұрын
Hii story imenikumbusha shule jmn bigup sana bro
@kingsalva46633 жыл бұрын
Uui
@Buonjiboy4 жыл бұрын
Can we all as an African people come together and unite . We still suffer from the effects of slavery. Look at what our people had to go through 😭😭 very heartbreaking 💔!! Let us please unite ...I hope this message does not fall on deaf ears.we can do it!!!
@dishasuwa76164 жыл бұрын
Problem is our leaders,
@mosucc12694 жыл бұрын
Not in Africa countries
@denicodilo94844 жыл бұрын
prblm iz neo colonialsm
@edmundmbele43074 жыл бұрын
you still even use their language....inafurahisha sana utumwa unaotutesa sisi Waafrika ni wa fikra
@richardibrahim56092 жыл бұрын
@@edmundmbele4307 hakika. xax ame2mia english ya nn xx.
@shabaniadolph73674 жыл бұрын
Jamal atar Sana ww ni professor haswaaa
@norbertmafioso32134 жыл бұрын
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🔥huyu jamaa anajua
@maddog53582 ай бұрын
asalamu alaikum mwalimu wetu mim nakuobea allah akuzidishie ilimu nauhai katika maisha yako pia katika mgogo wako Allah atoa moja kama wewe jamali Allah akupe janah firidaush amina🙏
@mjuba4 жыл бұрын
Jamal Mustapha!! You're the Great💪💪
@stellaobieno8696 Жыл бұрын
So sad ....and years down the line we have not yet attained independence, not just physically but psychologically. A deep history...TRULY PROFESSOR!!!Nice work
@faudhiaamerii6692 Жыл бұрын
Na wewe mtumwa unatumia ruga sio taifa
@muhammadkombi59544 жыл бұрын
Kama nawewe umeona kua Jamaa kafanana na Ali kiba like hapa twende sawa
@mariamabdallah52244 жыл бұрын
Hahaa ht mm nimesema jaman
@tomkroos20944 жыл бұрын
Hivi ndo vipindi vzuri vinavyo sisimua UBONGO. asante Professor Alikiba
@goldshukri864 жыл бұрын
WHY THEY don't SHOW this ON TV to ur children IN AFRICA or teachin at school. let the children know their enemies. Itakuwa vizuri for th new GENERATION
@kingkittah67484 жыл бұрын
YAMOTO KABISA PROFESSOR KIJANA WAKO HAPA NDOTO ZANGU KUKUSOMEA ULICHO ANDIKA MKUU!!
@zenapetro8494 жыл бұрын
Wanatakiwa kutulipa fidia wanasheria wako wapi kwa upuuzi waliotufanyia wajinga hawa
@aftermath52264 жыл бұрын
I really is love with this soundtrack, Inaendana na visa hivyo ni ubunifu wa hali ya juu when i think about The story book by Jamal, the soundtrack it's also my favorite issue to that stories 👌❤😎💪😊
@horizoncompany21924 жыл бұрын
The best
@taliskare30074 жыл бұрын
From 254 🇰🇪🇰🇪 thanks a lot jamal
@rameckshalom90564 жыл бұрын
Africa tulipata tabu sana ndy naama m/mungu kaamua kupunguza covd19 or corona kwa kiasi kikubwa xana niayake tupumzike tumetesek xan
@sebastiandidier79284 жыл бұрын
Jiwe walilolikataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu keep it up brother 💪
@nzekindunga9883 жыл бұрын
ouchhhhh!!!! IT'S NOTHING BUT A PAINFUL CREDIBLE TRUTH Pro. JAMAL I just feel like this was more than brutality. It's time that we as Africans should feel this as being ruthless and we ought to stand and STAND as resolute people. people with brains enough to rise up .
@user-pm6tb4yz9i7 ай бұрын
Kila ijuma saa moja nakumbuka shuleni the story book
@etolozakaria39164 жыл бұрын
Mini Akili yangu baada yakusikia hiyi simlizi inaniabia kila mzungu no mshezi kwangu.
@noonhustler1754 жыл бұрын
Kazi nzuri Jamal April
@sophiaali13614 жыл бұрын
Tuwaue wazungu
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Ana sauti nzuri sana kwa simlizi yaani unasikika vizuri maneno unatamka vizuri sana, alafu msimulizi alitaka kufanana na Ally Kiba
@mfaumeseif58724 жыл бұрын
Jamal unajua sana kusimulia na sauti yako ni ya simulizi...hongera kwa kazi nzuri
@denyquedee3149 Жыл бұрын
Endelea kutuletea story tamu tamu
@joobrizy14364 жыл бұрын
Wale wa story book tujuane🖐🖐🖐
@frankafrica39734 жыл бұрын
Huyu Jamaa Ndio Alikuwa ana Mfanya Mtiga Ashine Jamaa Anafanya Tafiti Zakisomi
@hooswengosha29853 жыл бұрын
Wacha uchawi kila mt anauwezo n kipaj mungu fundi
@jaymontale47184 жыл бұрын
Professor unajua sana.
@cliffordogolla72943 жыл бұрын
Thanks for this wonderful story I love this... Kindly I would like to see more of this and other ones that happens and that happens century bless
@hassaniothumani55014 жыл бұрын
Nimeikosa kwa tv leo nilikuwa naisubir huku .🔥🌍🔥
@rumayojr46384 жыл бұрын
Huwa na mda gan kwa tv?
@mwananyamalaz44272 жыл бұрын
Very sad 😭 story makes me cry 😭 and angry Africa wake up time for change from me to U God 🙏🙌
@jaydomjukuuhoteli84853 жыл бұрын
Daaah inaumiza Aiseee
@fatmamwatamba58814 жыл бұрын
Daah aaisee hii ni hatari mpka najiisi vibaya mno😢😢😢😢 Walifanyiwa vibaya mno
@allymatilda75194 жыл бұрын
Msenge nilikua sikukubali ila saivi nakuelewa sanaa kweli huwezi kufanikiwa bila kupigwa mawee hongera umetuprove rwong sisi kama wajumbe
@reubenngomi43773 жыл бұрын
Jamal kazi nzuri barikiwa
@aceotz25794 жыл бұрын
Upo vzuri sana Prof.👌😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Ila unaniliza kipenzi am a bit sensitive when it comes to anything to do with children hasa ikiwa si kitu kizuri wanacho pitia.😭😭😭😭 as always kazi nzuri Jamal 💪
@Micharazotz4 жыл бұрын
m.kzbin.info/www/bejne/bJLFqnyNosqphZo
@christonchristian7448 Жыл бұрын
😢😢baeb
@winnyfridahimel19313 жыл бұрын
Me.. Nakubali.. Kaz.. Yako.. Unajua.. Kinoma
@amosmunezero99582 жыл бұрын
Baada ya Mungu ni mzungu, mmm mimi nasema baada ya Mungu, nimimi Amos, the little God on the earth, because i am a chidl of God.
@veronicaboaz98124 жыл бұрын
Nzuli sana
@blueeyes59523 жыл бұрын
Utaona wa bongo wanapenda wazungu nakujamiana na makafara
@mussanassoro7904 жыл бұрын
Goood bro
@gracegabriel6774 жыл бұрын
Nakubal🙌
@aminakawawa19354 жыл бұрын
Siwapendi wamarekani weupe wana roho mbaya sana 😭😭😭🤲🙏
@onemoremotivation80454 жыл бұрын
Mko vizuri sana MashaAllah lakini natamani sana kuwapata na kwenye PODCAST wasafi mtupe storybook pia kwenye Podcast wengine tunapendelea zaidi Podcast kusikiliza ila kila kitu ni kizuri nafurahia sana Storybook MashaAllah ila mkileta na podcast zenu itapendeza zaidi na zaidi Asante sana WASAFI
@elifarijilaizer48464 жыл бұрын
Bro unapata kupitia podcast yangu karibu na u share please link on twitter.com/erickitalazyo
@abdulnaseermrisho43424 жыл бұрын
muda mwingine haya mambo walio tufanyia ngozi nyeupe ninaona hata hushpup yupo sawa kuwapiga mabilioni ya pesa
@owenmero64554 жыл бұрын
Amin mzee 😂😂
@nivanivan18204 жыл бұрын
Leo siku ya mwisho kusikia the story book back to school
@ramadhanboi64854 жыл бұрын
Acha tuu yani
@mwanahawa63624 жыл бұрын
Hahah
@nivanivan18204 жыл бұрын
@@mwanahawa6362 bc 2
@nivanivan18204 жыл бұрын
@@ramadhanboi6485 hhh
@kingmichael38604 жыл бұрын
All the best my young
@SimionThomas-mg7qr Жыл бұрын
Dah mzungu msenge kabsa inakuwaje anaitw mtakatifu huy mtu dah
@hooswengosha29853 жыл бұрын
Watu tunatoka mbali sana nashangaa ati wale wanch gn cjui hp africa wanatka fidia y pesa kwa damu za wat walouwawa na ujeruman dah ujinga kwa mawazo yngu kwann wasidai vichwa vya wazungu tkavila
@pendorobert35522 жыл бұрын
😭😭😭😭daaah babu zetu na bibi zetu waliteseka sana
@briantelulu27934 жыл бұрын
Ulishindwa kutaja ilitokea inchi gani but anatajwa kuwa nilitoka CONGO
@yachuafricansmart17634 жыл бұрын
Eemwenyezi mungu tuondoshee tawala za wazungu katika uso wa dunia
@Sophie-sl7zc Жыл бұрын
Asili haachi asili utumwa bado upo nashangaa sasaivi mzungu anamapenzi na mwafrica siamini lakini iyo ndiyo rohoo yao haita badika mbaka mungu ajioneshe
@japhetmasini86324 жыл бұрын
Daaah mpka roho imeniuma yani
@morrismwangi80154 жыл бұрын
lots of love from kenya...kazi nzuri
@Yuzzowgrapher4 жыл бұрын
dah jamaa anajua sana.....kama unapenda kuwa na IQ kama ya huyu jamaa weka like yako hapa
@OmegaThreads4 жыл бұрын
Hahahaaaaa 1st. nimejikuta nazingatia video production 2nd. Audio (Kizazi Sana)
@looruaolendere25972 жыл бұрын
Hongera sana nduguyangu jamal kwa simulizi nzuri ALLAH AZZAH WAJALAH AWE PAMOJA NA WEWE, ni mimi Hassan gamal tobiko from Kenya
@husseinmambo67394 жыл бұрын
DUH HUYO OTABENGA USIOMBE AKUNG'ATE HAYO MENO DUH😂😂
@astedbinyama99153 жыл бұрын
🤣🤣🤣stop that
@barakachawe62414 жыл бұрын
Umenikumbusha maana kati ya mstari naouchukia kwny nyimbo ni ule wa Nikki wa pili eti, 'BAADA YA MUNGU NI MZUNGU' jamaa alinikera sana nikaona elimu muda mwingine sio uwezo wa kufikili..
@tomkroos20944 жыл бұрын
Haaaaaaahaaaaaa
@priscajose10323 жыл бұрын
Asante sana Kaka nimefahamu kitu
@MohamedAllyMohamed-me4bb Жыл бұрын
Africa is the second largest continent and the richest if only we unite as one we would've unstoppable and the strongest .
@salvatoryadroph96344 жыл бұрын
Nakukubali sana kaka
@ruu65923 жыл бұрын
Mungu alali wanalipiwa na alshabab
@SwidiqAbubakar-rp3cb7 ай бұрын
Eee Asante mungu tuko huru sasa jamani
@ramadhanboi64854 жыл бұрын
Jaaamaaa kwa mbali kama alikiba mm nlijua kiba kwenye thumbnail
@mariamabdallah52244 жыл бұрын
Na mm pia nimejua alikiba
@ramadhanboi64854 жыл бұрын
@@mariamabdallah5224 😁😁nilistuka leo wasaf wameamua nn kutoa story ya kiba
@mariamabdallah52244 жыл бұрын
Ramadhan Boi 😂
@ramadhanboi64854 жыл бұрын
@@mariamabdallah5224 😂
@gaiksaimon10954 жыл бұрын
thanks wasafi media...for this attractive story.!
@shahamemalenga48384 жыл бұрын
Niko naicheki
@SennyFleva_14 жыл бұрын
Allha Akbar. Sir god
@sophiaali13614 жыл бұрын
Ilike the story book
@abnizplatnumz55204 жыл бұрын
The storybook is 🔥🔥🔥🔥
@goodluckykavishe85293 жыл бұрын
Nakukububali Sana bro
@maryammohd59944 жыл бұрын
Nashangaa sanna tena sanna.. Waafrika wa sasa kujishobokesha.. Kujifananisha kwa wazungu... Wazyngu si watu wazur hata chembe...
@edwardgistave94884 жыл бұрын
Huu ogonjwa Wa kitaifa wakuomba like kila siku umevuma sijui kwanini au namm ndo njaaa yangu
@kelvinpatrick53054 жыл бұрын
Bro unachunguza asee, like kwa kaka mkubwa jamn
@MenTPL4 жыл бұрын
Tena haohao wakatuletea dini zao,na kutuambia tupendane,tusamehane,wakati wao wenyewe hawatupendi, afu hao wapumbavu,makuzi kwel
@Fgldesigns4 жыл бұрын
Na hao hao wanajifanya wanazijua haki za binadamu wakati wao wanaua wenzao kama Ghadafi na hawajafanywa kitu yule Kiongozi wa Iran... Ma black wanauliwa na Polisi lakini macho yao yapo kwetu kutufatilia kila kitu.
@abdalahabdalah78533 жыл бұрын
dini, siasa na demokrasia ni utumwa fikra walituachia, na tunateseka kweli
@MenTPL3 жыл бұрын
@@abdalahabdalah7853 kabisa
@ahmadmpinzire56493 жыл бұрын
Anger may brind ur version-Marcon x
@micamathew25953 жыл бұрын
Dahhhh aisee haya mateso si za kawaida, dahhh inaumiza sana jmn!!! Afu cha kushangaza hata wanawake hawakuachwa, wote waliteswa vibaya sana na minyororo shingoni mwao!!! Jmn wazungu si watu!!! Hawa watu weupe jmn ni mashetani wakubwa!!! Oky tuwaache tu, Mungu atatufuta machozi siku mmoja. Amen.
@joackimmbonde41254 жыл бұрын
Daaah kumamake.. Wazungu walicho kifanya kwa ma babu zetu sio poa
@veeJesus3 жыл бұрын
😭😭
@kelyanjeremiya25334 жыл бұрын
Ndy professor... Heshima kwako Jamal..👍 japo natamani mtiga ajirudi muendelee kufanya kazi kwa pamoja kwan mna combination nzuri sana
@dibah6133 жыл бұрын
Wazungu ni mashetani...waafrica wengi wao uweka imani kwa mungu..mungu amewapa akili na awajui kutumia..washindwe
@cyrabrown86094 жыл бұрын
😢😢😢mimi heshima yangu kwa wazungu apana Napenda Africa
@calvinnundwe23163 жыл бұрын
Hey
@franckomar10084 жыл бұрын
Asante kaka kwa Chanel yako swala langu niku uliza mungu hakukua naona aya nakubali Sasa kama dini nizakututapelitu