Msanii wa muziki wa bongo fleva maarufu kama Tid aka Mnyama ametoa ushuhuda mbele ya Mkuu wa mkoa Paul Makonda na Igp Kamanda Sirro akisema hata rudia tena kutumia Madawa ya kulevya.
Пікірлер: 18
@hamidurashida78347 жыл бұрын
Hizo mbwembwe tu...wengi hutangaza kuacha ila hurejea tena..yangu macho
@ashakatima50647 жыл бұрын
mungu akuongoze na akusimamie InShaAllah
@BarakaSanane7 жыл бұрын
be blessed kwa umeonyesha ujasiri wa hali ya juu hakika utakuwa kioo cha jamii
@bintirashidantybaby81467 жыл бұрын
msema kwel mpeni wa mungu msamehe umekubalika hongera kwa kujitambua
@rosenamilia41407 жыл бұрын
Kufanya kosa si kosa.Kosa ni kurudia" KOSA TID "Maneno yako yatosha kuwa hukumu yako. Big up.👍.
@joycemashikolo90967 жыл бұрын
MUNGU akubariki TID wetu tunakupenda sana.yaani mpaka nimetoa machozi
@miraabdullah577 жыл бұрын
Nahimana Joyce kiukweli Mimi mwenyewe imeniliza hii na yote hayo tusingeyajua mpaka mungu kumuweka makonda kwa makusudio yake ,kumbe wengi wamejificha Hatujui,iwe mungu wape nguvu viongozi wetu
@fahadfahmy7 жыл бұрын
Khalib my bro nimependa sana kwanza kwasalamu,kwahakika kimuonekano nimekuhisi umeanza kubadilika
@joycemashikolo90967 жыл бұрын
kweli mira Abdullah.inauma sana.
@rukiahussein97377 жыл бұрын
Pole Na Mungu Akusaidie ila take care bro
@rugugumangobo10697 жыл бұрын
ila tid kama kweli umeacha madawa ya kulevya inatakiwa umludie mola wako.