SEMINA YA MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE ARUSHA JANUARY 2020, BAADA YA MAOMBI MUNGU AKAJIBU NA WATU WAKASHUHUDIA JINSI MUNGU ALIVYOFANYA.
Пікірлер: 373
@deboraruhinda18184 жыл бұрын
Heshima sifa na utukufu ni kwa Bwana YESU, Aleluya
@elizabethtr5rrtakonaay4134 жыл бұрын
JEHOVA SHALOM asante kwa uponyaji nilikuwa naumwa kifua namshukuru Mungu baada ya maombi niliona kifua kimefunguka
@agathathobias86904 жыл бұрын
Sifa na utukufu ni kwa MUNGU
@samwelmwaijumba60184 жыл бұрын
Amen glory to God
@naomiramadhani26483 жыл бұрын
Wewe ndiye Mungu wangu Aldonai bila wewe mimi siwezi . Yehova Yire
@hanamogiro10013 жыл бұрын
Amen
@samwelkowero11882 жыл бұрын
Amen Amen
@tumainchigeso50223 жыл бұрын
Mungu anatenda miujiza mingi sana tatizo watu wengi hawampendi Mungu wanapenda miujiza tu hakika ipo siku utakuja kujuwa jinsi ulivyo poteza muda wako ktk Dunia hii ya dhambi ,okoka Leo ni muda sahihi
@magdalenakessy9425 Жыл бұрын
Wokovu ni kila kitu patia yesu maisha yako
@jescakabogo7304 жыл бұрын
Haleluya haleluya. Mungu wa uweza unaweza. Barikiwa sana watumishi wa Mungu aliye hai
@faharimbwillo84034 жыл бұрын
Amina nabarikiwa sana na Mungu aendelee kuwabariki sana 👏👏👏👏👏
@samwelkowero11882 жыл бұрын
Mungu Ninakushukuru Kwakuwa Umeniponya nilikua dhaifu, Sasa Umeniweka Huru Mungu nakushukuru Sana Asante Yesu Kristo Amen,Mtumishi wa Bwana Mwalimu Mwakasege Mungu akubariki Sana .Amen
@ekaristmanoni82734 жыл бұрын
Mungu azidi kutungusa kwa kila mwenye hitaji lake na mimi atanifikia siku yangu ,"Tumtumainie yeye wakati wote"
@fatumaasumani79303 жыл бұрын
Namshukuru mungu wangu kwakunirudisha kazini
@fatumaasumani79303 жыл бұрын
Namshuru mungu kwakunipa ujauzito namuomba mungu wangu aniondolee maumivu
@gooddeeds1623 жыл бұрын
@@fatumaasumani7930 umebarikiwa Mungu ni mkuu sana , Hongera sana . Mungu anaenda kukutendea makuu zaidi ya hayo, Hujaona kitu bado. Glory to God , You’re blessed in the name of Jesus
@lovenesswaziri7933 жыл бұрын
Nampenda sana mwalim mwakasege
@elbarikimrimi77774 жыл бұрын
Sifa, Heshima na utukufu ni kwa Mungu. Wewe ni Bwana utuponyaye..ahsante Yesu
@fedhajoseph76873 жыл бұрын
Amen Amen nasisi nafamilia yangu tunapokea haja ya moyo yetu kwa jina la Yesu wanadharethi Amen.
@samwelmwaijumba60184 жыл бұрын
Wewe ni Bwana uniponyayeeee Wewe ni Bwana mponyaji....hulituma neno lako nipone....Wewe ni Yesu mponyaji....
@magrethsamson18354 жыл бұрын
Namshukuru mungu miguu yangu ilikuwa na maumivu kwenye viganja vya miguu baada ya ushiliki maombi haya nikasikia sauti kitu kimetoka sisikii Tena be maumivu
@concesafl4 жыл бұрын
Barikiwa sana
@obedyjonas44854 жыл бұрын
Mtoa ushuhuda unapoandika Mungu uanze kwa herufi kubwa maana mungu ya herufi ndogo kama hiyo hapo niliyoandika nyuma kidogo haimaanishi Mungu aliye hai.
@gooddeeds1623 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@veronicapanga12863 жыл бұрын
Samahn huyu.mchungaji yupo mkoa gani
@mercykombe3 жыл бұрын
Glory to GOD
@luciekituza42674 жыл бұрын
Amen! Jina la bwana Yesu kristo libarikiwe milele na milele🙌
@michaelelias50422 жыл бұрын
Amina
@peninaancon12564 жыл бұрын
Ni Maombi yangu Mungu wa mbinguni awatunze (Mwl. Mwakasege na Mama) kwaajili ya utumishi wake kwa watu wake. Amina!.
@udzungwawater20224 жыл бұрын
Naitwa Magreth, Napenda Kumshukuru Mungu kwa uponyaji wake kwa kupitia maombi haya. Nimepona kifua kabisa nilikua nasumbuliwa Sana Hadi kuinama inanipa shida Sana. Ni Neema iliyoje na Mimi namuaibisha Shetani kwa kushuhudia leo. Hakika nimeziona nguvu za Mungu , Mungu akutunze mtumishi Glory be to God.
@mariammihambo9393 Жыл бұрын
Hallelujah
@givenmwaluanda35908 ай бұрын
Namshukuru mungu Kwa navyo nitendea na sema Asante🙏🎊
@justinakafwenda6834 жыл бұрын
Sikia haja za moyo wangu Bwana Yesu uniponye na kunifanyia wepesi
@chimbokiswaga86623 жыл бұрын
Natangaza gonjwa la ukimwi kuniachia leo na kuwa huru kwa jina yesu kristo mnadhalet Alie hai amen utukufu kwa bwanaaa🙏🙏🙏🙏
@gooddeeds1623 жыл бұрын
Ameeeeen, Mungu wetu ni mwenye nguvu, upendo na huruma, Hakuna linalomshinda na kamwe halitokuwepo. Ubarikiwe sana ndugu yangu na Mungu anakupenda na lilo unalohitaji akutendee maishani mwako na mwilini basi limejibiwa katika jina la Yesu kristo. Be blessed 😊
@maoleminja65143 жыл бұрын
Amen
@ibrahjoel72833 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe wapendwa samahan Ntaipataje hyo nyimbo ya kuabudu🙏 amen
@ruthstephen27913 жыл бұрын
Nadhani ipo youtube
@juliethernest45503 жыл бұрын
Mnafeli wapi mnaoenda kwa waganga ? Mganga ameumbwa na Mungu he anaweza kumzidi nguvu aliyemuumba haiwezekani
@Iddapaul4 жыл бұрын
Amen na asante Yesu kwa uponyaji. Asante kwasababu ya Watumishi wa Mungu; nina mengi ya kumshukuru Mungu pia kwa ajili yao. Nimekuwa nikishika tumbo langu la uzazi kwa ajili yangu na wote wenye uhitaji wa watoto. Kwa zaidi ya miaka 10 na mimi nikapata mtoto wa kiume mwaka jana 2019 baada ya kukosa mtoto kwa miaka 19 tangu nilipopata binti yangu wa kwanza mwaka 2000. Sikupata matibabu yoyote ya kitaalamu hivyo namuinua Kristu kwa ushindi huu na namkabidhi mtoto wangu wa miujiza kwa Bwana siku zote za maisha yake.
@happynesselisha20483 жыл бұрын
Na amini kupitia ushuhuda wako kakaangu na wifi yangu wenye miaka sita kwenye ndoa nawo watapata mtoto. Amina
@wasajo3 жыл бұрын
Jamani mi pia namuomba sana Mungu kupitia ushuhuda wako naamini atanijibu yale nayomuomba kwa wakati wake
@priscajonas19782 жыл бұрын
Kupitia ushuuda wako mpendwa.mungu fanye kitu kwangu
@doreenchanziii9398 Жыл бұрын
O9
@OmaryAkida10 ай бұрын
Ame rakin sija kufaam
@gracetarimo60733 жыл бұрын
Kupitia maombi haya mwanangu akapone ugonjwa ambao unajirudiarudia kwake kwa jina la yesu naomba nakuamin Amina🙏🙏🙏🙏🙏
@gooddeeds1623 жыл бұрын
Mungu akamguse mtoto wako, Akamponye, Akamlinde na mtoto akue katika njia zinazompendeza katika Jina la Yesu kristo, Mbarikiwe sana 😊
@christophermsigala8001 Жыл бұрын
Namshukur Mungu nimesiliza maombi haya na niliungana nanyie katika madhabahu hiyo na nimepona sikio langu na sehem ya mbavu nlikuwa nikikaa naumia ila baada ya haya maombi nasmhukur Mungu..asante Mungu
@stellangowa94913 жыл бұрын
najiunganisha na ibada hii mungu naomba usikie itaji langu
@dottosebastiano25324 жыл бұрын
Jina la MUNGU NI KUBWA MUNGU akubariki mwalimu
@user-gt3mh5up3r Жыл бұрын
Mungu baba asante kwaajili ya mtumishi wako Christoph a mwakasege ,naomba unikutanishe nae itaji langu walijua bwana
@venavale4173 Жыл бұрын
Amina nimepokea na kupona kwa jina la YESU KRISTO WA NAZARETI ALIYE HAI.
@janejacob14028 ай бұрын
Ee MUNGU wangu nionye kweli katika maisha yangu unisamehe makosa yangu unikinge na mambo mabaya ya ulimwengu mimi na uzao wangu utufungulie marango ya mafanikio kwa jina la yesu kwa damu ya yesu AMENI
@leahnkwija10034 жыл бұрын
Nani kama wewe Mungu wangu,karibu nami Leo kwangu nakukaribisha uingie na ukae kwangu
@kelvinlwiva53804 жыл бұрын
KWANINI UNARUDI NYUMA ILI UFE? Bwana Yesu apewe sifa mtu upendwaye na Mungu! Mungu ametupa neema ya uzima, nami ndani yangu nawiwa kukuletea neno la Mungu la lenye kuponya. Hasa wewe ambaye umekwisha kuijua neema na kipawa cha Mungu, lakini bado unavutwa na kuvutika kurudi nyuma ukidhani huko kuna usalama kuliko kwa Mungu, eti kwasababu kwa shetani utapata hirizi ya kuvaa, eti kwasababu utachanjwa chale na kuwekewa dawa, eti kwasababu utanyweshwa dawa za kujikinga, eti mganga atazindika nyumba yako, naomba nikwambie kitu mpendwa, shetani amekuwa akikuwinda sana wakati Mungu amekufunika na ulinzi wake, mara tu utakapotoka mikononi mwa Mungu,shetani atakugawanya vipande vipande, na Mungu anachukia kurudi nyuma, hebu msikie mwenyewe! “Ikiwa mtabaki katika nchi hii, ndipo nitawajenga, wala sitawabomoa, nami nitawapanda, wala sitawang'oa; kwa maana nayajutia mabaya niliyowatenda” Yeremia 42:10. Endelea kumsikiliza, “Haya ndiyo yatakayowapata watu wote waelekezao nyuso zao kwenda Misri, na kukaa huko; watakufa kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni; hakuna mtu awaye yote miongoni mwao atakayesalia, au kuokoka katika mabaya nitakayoyaleta juu yao” Yeremia 42:17. Mpendwa kaa kwa Yesu kuna usalama wa kutosha, huko misri/duniani/kwa shetani UTAKUFA!!! Katika Mithali 1:32 imendikwa “Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.” Kurudi nyuma au kumwacha Yesu ni ndani ya maamuzi yako, lakini kutakuua, be sure! Yesu akagongelea msumari huu hapa katika Mathayo 12:45, msikie “Mara(pepo) huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu(aliyerudi nyuma/mwacha Yesu) yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.” Uko tayari kupata shida yote hiyo? Sema hapana, maana Mungu baba yetu anatupenda na wala hataki tupotee, kaa ndani ya Yesu uwe salama na ufanikiwe! YESU NI MWOKOZI WA ULIMWENGU NJOO KWAKE LEO! Uwe na siku njema katika jina la Yesu Kristo. Kwa msaada zaidi piga: 0756-292-211 au 0711271110 Mwalimu kelvin Nathaniel Lwiva
@maggieandrew9953 жыл бұрын
Mhhhhhh
@user-Ndashuka00110 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN. Ahsante YESU Kwa kuniponya
@christinachriss92313 жыл бұрын
Ktk watumishi wanaotumiwa na Mungu huyu ni no 1 hana mbwembe Mungu anafanyaga mwenyewe live namkubali,Mungu bariki hii huduma idumu
@dr.peterik25863 жыл бұрын
Ninakupenda sana Mtumishi wa Mungu Mwakasege always hata watu waseme walitafutwa kukutanishwa na wewe wapone Wewe unasema wamekutanishwa na YESU aponyae.
@noelangowi69603 жыл бұрын
Aminaa yaan hapo tuu
@emmanuelmarcofficial19772 жыл бұрын
Mungu mponyaji yuko nami leo
@vivylove48544 жыл бұрын
Ur prayers is powerful I was feeling bad from my body, feeling exhausted but now am okay may God bless you
@veronicaboniventura50583 жыл бұрын
Amen 🙏🙏Hakika Mungu ni mwenza wa yote kwake hakuna linaloshidikana
@ruthShuma-ut3mo Жыл бұрын
Wewe ni Yesu uniponyae
@ruthShuma-ut3mo Жыл бұрын
Asante Yesu Kwa kuniponya
@samwelkowero11882 жыл бұрын
Asante Yesu Kristo Kwa kuniponyaa
@oliviaambrose29072 жыл бұрын
Amina napokea uponyaji kwa jina la yesu
@oliviaambrose29072 жыл бұрын
Asante Yesu usiku nilikuwa najisia vibay sn..nikafuatilia haya maombi hakika MUNGU mkuu. niko vizuri sn
@nuruduma49544 жыл бұрын
Nimeponywa na tumbo Mara moja alipokuwa akiomba!!jina la Yesu liinuliwe.
@samsonmartin1073 жыл бұрын
Mungu wetu ni mponyaji mkuu.
@iraqgirl21433 жыл бұрын
Ameen
@beatrecepaul14672 жыл бұрын
Naomba niweze pata namba ya mtumish tafadhal
@scholahmwelange25082 жыл бұрын
Najivunia kuwa na mwalimu kama ww Mwakasege Mungu azidi kuku bariki
@FATUMAMSALANGI-lc5dj4 ай бұрын
Asante yesu wangu kwa kuniponya miguu yangu imepona sasa
@claraeline74582 жыл бұрын
Nakushukuru Mtumishi kwa ajili ya maombi haya nilikuwa na naumwa. Nikasikiliza maombi haya kwa imani nikapokea uponyaji. Na atukuzwe Mungu Mungu wa mbinguni aendelee kukutunza na kukulinda🙏
@jumabernard3955 Жыл бұрын
Naitwa Rehema nimepokea uponyaji nilikuwa nasikia maumiv chini ya tumbo, nina ujauzito wa miezi 9 naamin nitajifungua salama , namtoa mtoto huyu sadaka ya dhabihu na nadhiri yangu kwa Bwana ikiwa atanifanikisha kulipwa mafao, kupata mahitaji yangu na ya mtoto Amen.
@vannyndayake80442 жыл бұрын
Mungu akubariki baba upo msaada MKUBWA kwa taïfa la Mungu,laiti ungeli fika inchini mwetu DRC naomba tupate kibali machoni mwa Bwana ukanyage inchini mwetu
@lindadaudi97352 жыл бұрын
Ameniponya Yesu asante Adonai
@hurumamassawe68993 жыл бұрын
Mungu uponyae Asante kwa uponyaji wako juu ya maisha yangu Asante Jeova nisii Ubarikiwe Mwalim Mwakasege and Diana Mwakasege
@tusajigwekanemela47844 жыл бұрын
Asante Mungu kwa utukufu wako
@jimmymbisse9993 жыл бұрын
Amina sifa enzi na utukufu ni kwa Mungu wa mbinguni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo
@mariahmweni71103 жыл бұрын
Ameni kubwa hata mimi ataniponya
@hildachipalo2084 жыл бұрын
Amen amen Mungu ni mwaminifu sanaaa,,, tunashukuru kwa maombi
@tulinagwemwakalukwa64683 жыл бұрын
Ameeeen
@nurulusekelo57083 жыл бұрын
Mungu wangu uliye hai, ahsante kwa uponyaji wa mtoto wangu huko aliko shuleni, wewe ni Mungu mwenye upendo. oooh ahsante Yesu
@gooddeeds1623 жыл бұрын
Mungu wetu ni mkuu sana na mwaminifu mwenye kusikia na kutenda kama unavyohitaji, Mtoto abarikiwe,Malaika wa bwana wamlinde na kusimama nae popote akanyagapo. Amebarikiwa katika jina la Yesu Kristo 🙌🏿
@ndenitoriakimaro96313 жыл бұрын
Neno lako ni Kweli na amina MUNGU mwenye NGUVU
@elicajimmy20593 жыл бұрын
Baba Christopher namama yangu Diana nawapenda sanaaa, Mungu waIbrahimu awatimizie ahadi zake kwenu, awatunze naRoho Mtakatifu asiwaondolee Bali awajaze daima ili muendelee kutumika, Mbarikiwe mpaka mshangae pamoja nafamiliya yenuu
@mwalimunanabiinelsonmwakik55424 жыл бұрын
Ubarikiwe baba Leo naweza kuwa naheshima kwa ajili yako baba Umetulea vizuri
@omarynasibu95703 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kuniponya ni mzima tena Asante yesu kwa kunikomboa amen
@vannyndayake80442 жыл бұрын
TZ mupo na NEEMA ya pekee kua na wqtumishi kama MWAKASEGE na DiaNa naomba Mungu awanyanyue zaidi ili waendelee kuwa msaada kwa watu wengi
@barakatarimo44478 ай бұрын
Mungu akafungue mbingu ktk shighuli zetu atulinde dhidi ya maadui
@bahatimyegeta56653 жыл бұрын
Ashukuriwe sana Mungu kwa kurupa mtumishi mwekasege nabarikiwa sana
@josselinijosiah83702 жыл бұрын
Asante Mungu kupitia mtumishi wako
@AsheryElias-cv2pe2 ай бұрын
Kweli Mungu ni Mungu heshima na tukufu ni kwenye yeye atendaye hata yote❤
@goldengodson97644 жыл бұрын
Utukufu kwa Mungu aliye hai kwa uponyaji
@heavenlight50843 жыл бұрын
Shalom mtumishi wa MUNGU, kweli mom wangu umependeza, KRISTO AZIDI kuwainua
@jullyregy30572 жыл бұрын
Shalom Nimesikiliza hii semina leo tar 24/10/2021 akati anaomba nimeshika tumbo Mana lilikua linasumbua anasema upande wa kushoto af kweli maumivu yakaongezeka upande huo huo kama vile anaonyeshwa yani na ni semina ya mwaka jana hii 🙏 ila namshukuru Mungu niko sawa ni hewa chafu tuu inatoka tumboni kwa sasa Maombi huambatana na imani nimejifunza hili leo Mungu akubariki mtumishi🙏🙏
@beatricemarwa6731 Жыл бұрын
Asante Yesu umanaweza kutumia watu wako waliotayari kusaidia wanadamu wakujue. Maisaidie mtumishi wako kuijua kweli yote. Neno lako kupitia yy limeniponya. Asante Mungu
@maikojohn53610 ай бұрын
Asante yesu kwa kuniponya
@jacquelinengamilaga44752 жыл бұрын
Asante Yesu kwakua umenionekania, hakika nimepokea in Jesus name.
@lindadaudi97352 жыл бұрын
Nimepona kwa jina la Yesu
@ngukumsurietarimo2003 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe nilikuwa naumwa mguu ulipokuwa unaomba uvimbe umepona.
@rosemarymorange31463 жыл бұрын
Asante MUNGU kwA ajili bus uponyaji wangu. Uhimidiwe Bwana
@rehemaburuna46413 жыл бұрын
Yesu alivyo mzuri hivi jamani, kwann wengine wanajidanganya kwenda kwa waganga, sifa zote hizi ni zako Baba yetu uliyejuu
@barlethoyema65773 жыл бұрын
Namshukulu Mungu kwa uponyaji nilioupokea hasante Bwana Yesu wew ni Mungu uniponyae
@janethurio24533 жыл бұрын
Acha tu I wish tumtegemee Mungu wote. Ulimwengu ungekuwa shwari.
@florencekivevo22523 жыл бұрын
Amen am blessed our God never changes more grace
@mlugujames1583 жыл бұрын
Amina
@josephndimi61353 жыл бұрын
Wewe Ni Mungu uponyae naomba uniponye Mungu wangu matatizo yote yanayo nisumbua AMINA
@doreenmfuse98053 жыл бұрын
Mungu wangu naomb hitaji langu haja ya moyo wangu baba ,naomb nkuone leo kuptia maomb haya naamin namm bwana Mungu nakuomba Mungu
@sonjacxon9083 жыл бұрын
Amen Mungu and anisaidie mm Niw na ujasil iman nkiyonayo
@hawaomary164111 ай бұрын
Nilikuwa napata maumivu ya vidonda vya tumbo na choo kama Cha mbuzi baada ya haya maombi namshukuru MUNGU wa mbinguni amenitetea na kuniweka huru nimeiona Nuru ya Bwana Kwa wazi ni muda wa mwaka sasa ninaumwa sana sifa utukufu na heshima na za kwake Bwana Yesu na MUNGU wangu Alie juu Yesu ni mzuri ninalia Kwa furaha asante Kwa Baraka watumishi wa MUNGU
@sinyoritasamwel63924 жыл бұрын
Asante sana nimebarikiwa sana munguvazid kuwainua zaid na zaid
@juliusibundara66713 жыл бұрын
Bwana ndiye mponyaji,yesu ni maji yatuliza kiu yangu.
@rehemajayden Жыл бұрын
Bwana yesu naomba mpinye mwanangu kila homa iliyopo ndani yake itoweke kwa jina la yesu
@edinahmaganga27223 жыл бұрын
Nawapenda Sana hawa watumishi wa Bwana Christopher Mwakasege na mkewe Diana kwa kweli maombi yenu huwa na barikiwa Sana
@verrynicemushi25633 жыл бұрын
Asante sana barikiwa sana mwl
@japhetnkwabi-mz4giАй бұрын
Amina kubwa mtumishi
@ombeninassary44283 жыл бұрын
Amina ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@kisserbeauty68282 жыл бұрын
Mungu atukuzwe milele na milele
@leornadchali9683 Жыл бұрын
Tenda muujiza mungu wangu nenda mbele yangu yesu nipiganie nipe kushinda katika jina la yesu nivushe ng'ambo mungu wangu nishike mkono yesu
@neemanzengele51324 жыл бұрын
Amen baba kwa utumishi wako Mungu akubariki
@Shalom20184 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@mamygidion5343 жыл бұрын
Mungu ni mwemaa
@doreenemmanuel98002 жыл бұрын
Amen maombi mazuri sana Mungu azidi kukuinua Mtumishi Mwalimu kirstofa
@angelkitelanya18003 жыл бұрын
Amina barikiwa nimepona kwa imani
@kimasajesca27273 жыл бұрын
Mungu aliyejibu kwahawa wapendwa wetu naamini atajibu na kwangu
@juliuslukumay3333 жыл бұрын
Hakika mungu yupo na anajibu Kila mmoja kwa wakati wake.
@teddybeasammy78603 жыл бұрын
Napokea kwa damu Yesu!......Amen.
@givenmwaluanda35908 ай бұрын
Namshukuru mungu ni mwema Kila siku🙏
@davidkumulaga94194 жыл бұрын
Asante Yesu kwa uponyaji wako
@juliethpetro15564 жыл бұрын
Amina,nawapata vizur pia nabarkiwa
@yasintabuhilya6418 Жыл бұрын
Napokea nguvu ya uzima na familiar yangu ,barikiwa watumishi wa mungu
@godwinkidio46763 жыл бұрын
Ameen ahsante Yesu kwa uponyaji wako
@janeomary84643 жыл бұрын
Asantee bwanA yesu kwa kuniponya
@ruthmwasomola39073 жыл бұрын
Amen nashukuru Sana mtumishi Mungu azidi kukulinda ili uzidi kutuudumia
@ulumbielias49472 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa mtumishi huyu baba nimepata uponyaji 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@mathiaslyimo93734 жыл бұрын
Haleluya. Utukufu kwa Mungu
@raphaelsukari84652 жыл бұрын
Miongoni mwa watumishi halisi wachache waliosalia wa Mungu aliye hai. God bless this man ,amen.