Kusubiri Kwenye Kimya Cha Umaskini | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro

  Рет қаралды 24,145

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Ай бұрын

Пікірлер: 73
@kelvinsewando1003
@kelvinsewando1003 Ай бұрын
Ndiyo MAANA UNA moyo WA huruma mtumishi WA Mungu akubariki mnooo, mpaka ushangae
@EdinahLadislaus
@EdinahLadislaus 25 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa kutokukata tamaa pamoja na kupewa majani ya kahawa ulisonga mbele
@leahogutu9818
@leahogutu9818 Ай бұрын
Mama yangu Mwenyezi Mungu amrehemu alisubiri kwny kimya cha masikini Asante mchungaji kw mafundisho mazuri Ubarikiwe kila iitwapo leo na Bwana Yesu aliye hai 🙏
@josephndugai3598
@josephndugai3598 Ай бұрын
Nimejifunza neno kubwa sana, kuendelea kudumu na kusubiri katika kimya na umasikini.
@naeema8155
@naeema8155 23 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji unatutia sana moyo🙏🙏
@SheilaNyakundi
@SheilaNyakundi Ай бұрын
MUNGU abariki kizazi chako Mtumishi wa Mungu
@anjelalyamboko740
@anjelalyamboko740 Ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi,kupitia ushuhuda huu Mungu nakuomba uwainue ndugu zangu kiuchumi ambao mama yetu alitupigania ili tuweze kumsaidia wote.Amen
@BettyGeorge-sn2nn
@BettyGeorge-sn2nn 9 күн бұрын
Una moyo wa tofauti Naomb mungu anisaidie nije kusaidia mayatima na wanaoteseka
@ALEXMWINUKA
@ALEXMWINUKA 26 күн бұрын
Ubarikiwe sana pastor wangu
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 Ай бұрын
Niguse namimi mtumishi ni mjane hua nakufuatilia sana mtumishi shuhuda zako zinanipa nguvu mnoo
@EmimaMkumbwas-cm7db
@EmimaMkumbwas-cm7db Ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi. Kiukweli hua unanitoa mahali moja kwenda pengine
@lulumasangwa9962
@lulumasangwa9962 23 күн бұрын
😭😭😭naamini ipo siku na mimi Mungu atatuinua kwa viwango vingine🙏
@AsinatNicodemus
@AsinatNicodemus Ай бұрын
Asante mpendwa unanitia nguvu mana nina mapito makubwa
@witnessmgulisi5559
@witnessmgulisi5559 Ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu Mchungaji Kimaro
@speciozakaloli
@speciozakaloli Ай бұрын
Hongera sana mchungaji Kimaro tunamshukuru Mungu Kwa upendo wako Mungu amekuwezesha
@maureenmgeni
@maureenmgeni Ай бұрын
Jina la BWANA lizidi kubarikiwa milele na milele, amina.
@mjoan1975
@mjoan1975 Ай бұрын
Barikiwa Mch Eliona. 🙏🏽🕊️🕊️💖💖💖🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@bosiboriwinnie1363
@bosiboriwinnie1363 Ай бұрын
Mungu nakushukuru kwa ajili ya mchungaji Eliona
@KissaMwaibila-xp7io
@KissaMwaibila-xp7io 7 күн бұрын
Aameni mtumishi
@AdelaMbwilo-gd2yu
@AdelaMbwilo-gd2yu Ай бұрын
Barikiw mtumishi
@brazade5724
@brazade5724 Ай бұрын
Ubarikiwe sana baba mungu akupe miaka mingi yakuyaishi haya mema tuzidi kujifunza
@user-pq9fd5bt5x
@user-pq9fd5bt5x Ай бұрын
Bwana akubariki mtumishi wa mungu na azidi kukuinua
@AnnethMzaga
@AnnethMzaga Ай бұрын
Mungu ni mkuu sana
@philomenamushi5606
@philomenamushi5606 Ай бұрын
😭😭🥹MUNGU ZIDI KUMUINUA MTUMISHI WAKO HUYU ELIONA🤲🙏🙏MUNGU USIMPITE KATIKA NDOTO ZAKE🙏🙏NINAOMBA NAKUOMBA AMEN
@user-sy1vv6ej1m
@user-sy1vv6ej1m Ай бұрын
Mungu mueke mahala pema peponi mama angu kumbe nina mwenzangu aliyeishi maisha yangu mch. Kimaro ayo maisha yako nimeyaishi ila mimi bado cjatoka niombee nimemkumbuka mama angu angu
@UshuaniENT
@UshuaniENT 28 күн бұрын
Endelea kuamini utafanikiwa pia. Nakuombea
@SporaMushi
@SporaMushi Ай бұрын
😭😭😭😭😭 Mungu yupo jamani acha kabisa huu ushuhuda umenikumbusha hallow
@speciozakaloli
@speciozakaloli Ай бұрын
Naomba na Mimi niwe na roho nzuri
@joycelanda8987
@joycelanda8987 Ай бұрын
Mungu atusaidie kutenda mema hapa duniani!
@fredrickmichael2317
@fredrickmichael2317 Ай бұрын
Mungu apewe sifa...Bwana yuko pamoja na wewe
@DeborahNyerere
@DeborahNyerere Ай бұрын
Ameni
@Anna-fo6sq
@Anna-fo6sq Ай бұрын
Bba mungu akuweke sana
@lizpallangyo8057
@lizpallangyo8057 Ай бұрын
Ameeen baba mchungaji ubarikiwe na kuinuliwa zaidi,na ubarikiwe kila iitwapo leo
@amanmaleko3085
@amanmaleko3085 Ай бұрын
Amina mchugaji kimaro uzidi barikiwa baba🙏
@ruthmchau9527
@ruthmchau9527 Ай бұрын
😢😢 Umenivusha hapa nilipo,Barikiwa sana
@speciozakaloli
@speciozakaloli Ай бұрын
Nimejifunza nikiona mtu anauza unanunua Kwa sababu kumsaidia asante sana mchungaji Kimaro
@evaogutu7105
@evaogutu7105 Ай бұрын
Mama yangu alisubiri kwenye kimya pumzika kwa hamani mama mafundisho mazuri sana mtumishi 😢😢
@user-pi4jv2wq8c
@user-pi4jv2wq8c Ай бұрын
Amina
@ThomasNgelata-sd5hk
@ThomasNgelata-sd5hk Ай бұрын
Baraka ya mungu iwe nawe❤❤❤❤
@adeliphinusgabone7431
@adeliphinusgabone7431 Ай бұрын
Ubarikiwe pastor,nazidi kujifunza sana kwako.
@onesmonyoni2703
@onesmonyoni2703 Ай бұрын
Napenda Sana kukusikiliza, MUNGU akupe maisha marefu yenye baraka tele
@KabagambaRene-ti9oj
@KabagambaRene-ti9oj Ай бұрын
Amen thank you Dr. Eliona Nasi tuna subiri kimya😔
@user-lu4ie4fp1o
@user-lu4ie4fp1o Ай бұрын
Mumgu akubariki mtumishi
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Ай бұрын
Inspiring. Mungu akubariki sana pastor.
@magdalenamwandiga5202
@magdalenamwandiga5202 Ай бұрын
Hakika Mungu akutunze Mtumishi
@speciozakaloli
@speciozakaloli Ай бұрын
Hongera Kwa kulea watoto
@speciozakaloli
@speciozakaloli Ай бұрын
Kuuza ni njia yakuomba
@jeangodelo5349
@jeangodelo5349 Ай бұрын
Tunabarikiwa mno na mafundisho yako mchungaji 🙏🙏
@TheopistaMakoi
@TheopistaMakoi Ай бұрын
Mungu wangu murehe mama yangu huko mpe furaha ya milele
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Ай бұрын
Dah asante sàaana
@wilsonjoel3073
@wilsonjoel3073 Ай бұрын
Amen 🙏
@edvesterdamas3061
@edvesterdamas3061 Ай бұрын
Mtumishi umepanda mbegu iliyo njema😢 Mungu wa mbinguni akubariki sana
@user-uj9zn6mj5b
@user-uj9zn6mj5b Ай бұрын
Nguvu ya Mungu haipimiki kwa wakati wake aupendao yeye
@francjose9596
@francjose9596 4 күн бұрын
🤲🏿
@MariaNdagile-hx5pr
@MariaNdagile-hx5pr Ай бұрын
Numefurahi sana leo maana ni muda sijakusikia baba
@nemeskilagula3119
@nemeskilagula3119 Ай бұрын
Mungu azidi kukutumia
@jacksonmollel9206
@jacksonmollel9206 Ай бұрын
Ni kweli
@jacksonmollel9206
@jacksonmollel9206 Ай бұрын
Ndiyo maana itakiwa tuwe subiri kwemye maisha haya
@user-yj4iw6pg8u
@user-yj4iw6pg8u Ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Ай бұрын
I do respect you 🎉🎉
@tinamwashilindi6807
@tinamwashilindi6807 Ай бұрын
Mungu mwema sana
@antoinettegitego3621
@antoinettegitego3621 Ай бұрын
Asante sana 😮
@mwitabelwamajinge600
@mwitabelwamajinge600 Ай бұрын
Amina Baba mchungaji
@CatherineMgala-ui8oi
@CatherineMgala-ui8oi Ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@dinakyoma5977
@dinakyoma5977 Ай бұрын
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@Ahimidiwe-munisy
@Ahimidiwe-munisy Ай бұрын
❤❤
@AlipoMwasenga
@AlipoMwasenga 26 күн бұрын
Mtumishi hii ni uharisia wa wstsnzanis we
@samluku4014
@samluku4014 24 күн бұрын
Hivi ni lazima kutangaza kuwa unawasaidia?
@ThomasNgelata-sd5hk
@ThomasNgelata-sd5hk Ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@pricemlay
@pricemlay Ай бұрын
Ruwa ko Mndumiii
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 Ай бұрын
Hahhahahaha nimecheka kwa furaha
@user-th5xz1fg5t
@user-th5xz1fg5t Ай бұрын
Amina
USHUHUDA | Jinsi Vijana Hawa Walivyofanikiwa |  Rev. Dr. Eliona Kimaro
38:45
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 192 М.
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 135 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 9 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 92 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 36 МЛН
Usimnyooshe Mtu Kidole | USIHUKUMU | Rev. Dr. Eliona Kimaro
17:56
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 21 М.
#mahubiri MAISHA YA ANAYE BEBA AGANO |PR.DAVID MMBAGA | SIKU YA 4
1:12:11
JAMANI WALEVI WANANUKA SANA ULIWAH KUKAA NAO KWENYE USAFIRI "PASTOR MGOGO
41:19
Jinsi Mungu Alivyomfuta Machozi Mama Huyu | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro
10:06
FAIDA ZA IMANI UNAYOITUMIA KATIKA KUTOA SADAKA
1:00:32
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 146 М.
Wekeza Kwenye Uwezo Ulionao | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro
7:41
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 11 М.
Sililiza Kisa Cha Baba Huyu Utajifunza Kitu | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro
7:18
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 135 МЛН