Ndiyo MAANA UNA moyo WA huruma mtumishi WA Mungu akubariki mnooo, mpaka ushangae
@EdinahLadislaus25 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa kutokukata tamaa pamoja na kupewa majani ya kahawa ulisonga mbele
@leahogutu9818Ай бұрын
Mama yangu Mwenyezi Mungu amrehemu alisubiri kwny kimya cha masikini Asante mchungaji kw mafundisho mazuri Ubarikiwe kila iitwapo leo na Bwana Yesu aliye hai 🙏
@josephndugai3598Ай бұрын
Nimejifunza neno kubwa sana, kuendelea kudumu na kusubiri katika kimya na umasikini.
@naeema815523 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji unatutia sana moyo🙏🙏
@SheilaNyakundiАй бұрын
MUNGU abariki kizazi chako Mtumishi wa Mungu
@anjelalyamboko740Ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi,kupitia ushuhuda huu Mungu nakuomba uwainue ndugu zangu kiuchumi ambao mama yetu alitupigania ili tuweze kumsaidia wote.Amen
@BettyGeorge-sn2nn9 күн бұрын
Una moyo wa tofauti Naomb mungu anisaidie nije kusaidia mayatima na wanaoteseka
@ALEXMWINUKA26 күн бұрын
Ubarikiwe sana pastor wangu
@zuenahamoud1532Ай бұрын
Niguse namimi mtumishi ni mjane hua nakufuatilia sana mtumishi shuhuda zako zinanipa nguvu mnoo
@EmimaMkumbwas-cm7dbАй бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi. Kiukweli hua unanitoa mahali moja kwenda pengine
@lulumasangwa996223 күн бұрын
😭😭😭naamini ipo siku na mimi Mungu atatuinua kwa viwango vingine🙏
@AsinatNicodemusАй бұрын
Asante mpendwa unanitia nguvu mana nina mapito makubwa
@witnessmgulisi5559Ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu Mchungaji Kimaro
@speciozakaloliАй бұрын
Hongera sana mchungaji Kimaro tunamshukuru Mungu Kwa upendo wako Mungu amekuwezesha
@maureenmgeniАй бұрын
Jina la BWANA lizidi kubarikiwa milele na milele, amina.
@mjoan1975Ай бұрын
Barikiwa Mch Eliona. 🙏🏽🕊️🕊️💖💖💖🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@bosiboriwinnie1363Ай бұрын
Mungu nakushukuru kwa ajili ya mchungaji Eliona
@KissaMwaibila-xp7io7 күн бұрын
Aameni mtumishi
@AdelaMbwilo-gd2yuАй бұрын
Barikiw mtumishi
@brazade5724Ай бұрын
Ubarikiwe sana baba mungu akupe miaka mingi yakuyaishi haya mema tuzidi kujifunza
@user-pq9fd5bt5xАй бұрын
Bwana akubariki mtumishi wa mungu na azidi kukuinua
Mungu mueke mahala pema peponi mama angu kumbe nina mwenzangu aliyeishi maisha yangu mch. Kimaro ayo maisha yako nimeyaishi ila mimi bado cjatoka niombee nimemkumbuka mama angu angu
@UshuaniENT28 күн бұрын
Endelea kuamini utafanikiwa pia. Nakuombea
@SporaMushiАй бұрын
😭😭😭😭😭 Mungu yupo jamani acha kabisa huu ushuhuda umenikumbusha hallow
@speciozakaloliАй бұрын
Naomba na Mimi niwe na roho nzuri
@joycelanda8987Ай бұрын
Mungu atusaidie kutenda mema hapa duniani!
@fredrickmichael2317Ай бұрын
Mungu apewe sifa...Bwana yuko pamoja na wewe
@DeborahNyerereАй бұрын
Ameni
@Anna-fo6sqАй бұрын
Bba mungu akuweke sana
@lizpallangyo8057Ай бұрын
Ameeen baba mchungaji ubarikiwe na kuinuliwa zaidi,na ubarikiwe kila iitwapo leo
@amanmaleko3085Ай бұрын
Amina mchugaji kimaro uzidi barikiwa baba🙏
@ruthmchau9527Ай бұрын
😢😢 Umenivusha hapa nilipo,Barikiwa sana
@speciozakaloliАй бұрын
Nimejifunza nikiona mtu anauza unanunua Kwa sababu kumsaidia asante sana mchungaji Kimaro
@evaogutu7105Ай бұрын
Mama yangu alisubiri kwenye kimya pumzika kwa hamani mama mafundisho mazuri sana mtumishi 😢😢
@user-pi4jv2wq8cАй бұрын
Amina
@ThomasNgelata-sd5hkАй бұрын
Baraka ya mungu iwe nawe❤❤❤❤
@adeliphinusgabone7431Ай бұрын
Ubarikiwe pastor,nazidi kujifunza sana kwako.
@onesmonyoni2703Ай бұрын
Napenda Sana kukusikiliza, MUNGU akupe maisha marefu yenye baraka tele
@KabagambaRene-ti9ojАй бұрын
Amen thank you Dr. Eliona Nasi tuna subiri kimya😔
@user-lu4ie4fp1oАй бұрын
Mumgu akubariki mtumishi
@laurentraphael5470Ай бұрын
Inspiring. Mungu akubariki sana pastor.
@magdalenamwandiga5202Ай бұрын
Hakika Mungu akutunze Mtumishi
@speciozakaloliАй бұрын
Hongera Kwa kulea watoto
@speciozakaloliАй бұрын
Kuuza ni njia yakuomba
@jeangodelo5349Ай бұрын
Tunabarikiwa mno na mafundisho yako mchungaji 🙏🙏
@TheopistaMakoiАй бұрын
Mungu wangu murehe mama yangu huko mpe furaha ya milele
@rehemakanyere4188Ай бұрын
Dah asante sàaana
@wilsonjoel3073Ай бұрын
Amen 🙏
@edvesterdamas3061Ай бұрын
Mtumishi umepanda mbegu iliyo njema😢 Mungu wa mbinguni akubariki sana
@user-uj9zn6mj5bАй бұрын
Nguvu ya Mungu haipimiki kwa wakati wake aupendao yeye
@francjose95964 күн бұрын
🤲🏿
@MariaNdagile-hx5prАй бұрын
Numefurahi sana leo maana ni muda sijakusikia baba
@nemeskilagula3119Ай бұрын
Mungu azidi kukutumia
@jacksonmollel9206Ай бұрын
Ni kweli
@jacksonmollel9206Ай бұрын
Ndiyo maana itakiwa tuwe subiri kwemye maisha haya