Masha Allah maustaadh wangu...mada imefika nyumbani. Barkallah fikum🤲
@jumanjenga76822 жыл бұрын
Ndacha mtapeli.masha Allah Ustaz Wambugu
@kawtharalbarwani13372 жыл бұрын
Masheikhe wetu Allah atawalipa kila la kheir na baraka kuipigania dini ya haki mbele ya Allah inshaAllah Amiin
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@moureenkamau86977 ай бұрын
Wwe wapee sheikh wangu mungu akulipe akulinde akulipe mrri mrefu nakupenda sana kwa jili Allah ❤❤❤❤❤
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp7 ай бұрын
Amin sote
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
Shekhe Yusuphu Allah atawalipa kheri hapa Duniani na kesho mbele ya haki Amiin.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@barakaalberto2879 Жыл бұрын
Pastor, Mungu akubariki tumejifunzaaa aiseee hatujakosea kuwa wakristo,maana pastor anatumia mpaka koroan yenu kujibuuu lakin nyie hamtumiii bibilia kujibuuu 👍🏼👍🏼
@caringtonbarasa4501 Жыл бұрын
Ndacha ni professor
@mutomubaya2 жыл бұрын
Allah awabariki nyote Waislamu na viongozi wetu Sheikh Yusuf na Sheikh Mwirigi na Maalim na tumuombe Allah amuongoze Ndacha aweze kufahamu njia sahihi ya Maisha ambayo, bila Shaka ni Uislamu. Mtu akikataa kufuata Uislamu ati kwa kuwa anakatiwa sima kubwa na wapotofu ajue heri aiache hiyo sima kubwa afuate haki bila uoga
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah 💕
@Sai.Mo692 жыл бұрын
MashaAllah. Ujembe ume fika! Ndacha hawezi ku silimu kwa sababu Kanisa yake ina tengeneza QUICK MONEY anao itwa 'SADAKA'
@jamilaomari24442 жыл бұрын
Safi Sheik wetu kiboko cha Ndacha. 👍💪👌
@ahmedmohmed-j8j Жыл бұрын
Yuko wapi kiboko wa ndacha hivi hata haibu hamna
@LilyKangethe-hw2bw Жыл бұрын
Taakbir Allah Akbar...❤❤❤
@mohammedabdinur62362 жыл бұрын
Mungu akujaliye mema na kuongezee tawabu kwa mizani yako siku ya kiyama
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@aishahazary40972 жыл бұрын
Maasha Allah.Huwa napenda sana Ndacha akikutana na hawa masimba wa daa,wa maana anapewa dozi ya kutosha kabisa.
@Ibnubjr2 жыл бұрын
Proud of you ❤❤❤
@edwinmahonga40634 ай бұрын
Wanataja neno bila kuelewa
@zumrantorez85702 жыл бұрын
Mashaallah Allah awalinde popote muendapo inshallah.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@deborahmoraa2442 Жыл бұрын
Mungu akubariki pastor ndacho
@SmilingArcade-xj7zg3 ай бұрын
Weslam amna dini pasta ndacha waonyeshe awo ilo watubu mungu akubaliki sana 🙏
@issamohamedi92252 жыл бұрын
MashaaAllah masheikh ndacha kawa mpole kama kamwagiwa maji
@mishijuma55582 жыл бұрын
Mashaallah masheikh wetu Allah awape afya njema
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@macrinnahneema Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe ukweli unauma lkn ndacha siezi ingia wislam
@harunhassan50662 жыл бұрын
Mashallah....Yusuf wambugu...ndio dawa ya ndacha
@jokabable Жыл бұрын
Skiza Arab guy called Christian prince if your heart is open I bet you utaamka umewachana na hii news paper mnasomanga this guy proves everything to even Arabs he is a native Arab wacha nyinyi mnaambiwa hapa eti kiarabu ABC and d huyu amelelewa na kiarabu akula kiarabu amekua Kwa uislamu na hakuna ATA Dr nakir. Amekataa kumpea challenge just know you are in news paper religion there is nothing like Allah and nothing like Qur'an nothing at all
@emmymshomi8893 Жыл бұрын
mbona hajibu hoja anaongea maneno nje yamabjibuu Mohamed akaslimishwa na nan
@abdallahnassoro65152 жыл бұрын
Mwalimu yusufu uliadimika je ilikua salama shekhe wangu na nunaiman wewe ndio mwalimu was ndacha wallahi hua hafurukuti anapokua na wewe na hua Hana furaha ya kweli Kisha ninakushauli mwalimu wangu hua wakristo wanatoa vijioja Vitara vya uongo Sasa nyinyi walimu wetu muwe mnaifuatia neno kwa neno ndio mtakua mnafanya vizuri zaidi alafu ninaomba irudie Tena hoja ya wake wengi inshaallah jazaka llahu khaira
@aishaally66022 жыл бұрын
ALLAHUMA BARIK ALLAH awazidishie mana niujasiri wa ajabu
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@richardsineno6720 Жыл бұрын
Mashaallah ndacha ujue kwamba jina la mtu haliwezi kuwa dini kristo ni jina la masihi na haliwezi kuwa dini
@HassanAli-eq8ko2 жыл бұрын
Mashaallah jazakumllah kheir amiin kazi nzr sana ust wang mola akulipen pepo kwa wote pamoja na ss amiin
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@myoutubecom-gg7sb2 жыл бұрын
Masha Allah
@shamimnassor37002 жыл бұрын
Sheikh yusu ALLAH akuzidishie umri munapambana sana
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@aminaabu15992 жыл бұрын
MashaAllah uislam Raha Allahu Akbar
@jamalsaid74752 жыл бұрын
Maa Shaa Allaah Alhamdulillah JazakaAllaahu'khayran Tuko Pamoja kwa Dua'aa
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@yusufmahdi89212 жыл бұрын
Mansha Allah
@NurdiinXabiib2 жыл бұрын
The first time I used to hate Ndacha but now I think he is helping people to understand Islam and he has experience with respect the time although he try to lying when he talks about Islam but we know noone can destroy Quran and Islam
@jokabable Жыл бұрын
Quran and Islam itself can't be backed by Allah lol 🤣🤣 it's backed by Muhammad and the rest just a loss total waste of time and energy that's just a news paper as Christian Prince the Arab calls it.... Lol 🤣🤣
@jokabable Жыл бұрын
Listen to Christian Prince an Arab who challenges that newspaper there is no even a single Muslim leader who accepts to challenge him because he is an Arab by birth grown as an Arab brought up in Islam and now he fights Islam. Is called Christian prince if you listen to him you'll stop reading the news paper thinking you are in a religion
@shikiliaimaniyakobypastors3371 Жыл бұрын
09 up∆ .
@bahatikenia392 жыл бұрын
Mashaalah ndacha sindano imemuingia haswa akae kwa kutulia
@jamalsaid74752 жыл бұрын
Neema hio Allaah Atawalipa Duniani na kesho Aakheera.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@jamalsaid74752 жыл бұрын
@@jkewl999 Alhamdulillah JazakaAllaahu'khayran Akhii May Allaah reward you all.
@hassanadam30076 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤masha Allah
@ahmedsalatbashir43802 жыл бұрын
Keep going bro 🤲🤲🤲
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Ameen 🤲🏽🤲🏽
@alimahmoud58372 жыл бұрын
Quran 78:11 Tukaufanya mchana ni kutafuta maisha; a) Kula b) Chakula kinatokana na mmeya c) Mmeya unatokana na nguvu za juwa Kisayansi ni photosynthesis Hiyo ndio Quran bwana.
@ndikumanainnnocent77962 жыл бұрын
Asalam alykum www safi sana sheikh yesufu pastor mukorofi amerewa mada atazidi kuwa na chuki ya wislam
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Waleikum Salam warahmatullahi wabarakatu
@edwinmahonga40634 ай бұрын
Hawa waislamu mada zao hazina msingi,ni kelele tu ya kuonyesha wenzao hawako pabaya,,,quran haina msingi duniani,,,hivi mtu alipata yesu ameishi kwanzà,,saa Muhammad amekuja baadaya 500 years,,,mbona hawa wapinga kristo ni vipovu
@FrankEdson-l2o10 ай бұрын
Hakakajamaa hakajibu Maswali ya Mch
@RAZALOCHUMA3 ай бұрын
Hongera ndacha
@mwanashagladys4581 Жыл бұрын
Mpende msipende BWANA YESU weee ana tawala aaaah aaaah aaaah BWANA YESU weee ana tawala.
@ibruzah00111 ай бұрын
Kwanza hakuna wakristo zama hizi. Hawa ni mushrikeen. Wakristo halisi walikuwa zama za Yesu, na walikuwa wanamuabudu mungu mmoja na kufuata mafundisho ya Yesu. Hawa wa zama hizi ni washirikina kwa sababu wanamuabudu Yesu badala ya Mwenyezi Mungu. Allah awaongoze kwa sababu wengi wao hawana elimu. Wanapotezwa na wachungaji waongo kama Ndacha.
@hiimbinaimmuslim30412 жыл бұрын
Asalamu alekum mashallah walimu wetu Mungu atawalipa kher na umri muweze kuwaongoza njia sahivi kwanza huyo yesu alipo ulizwa na wanafunzi wake kuhusu ubatizo kasema hajuwi hata ni nini au paste hujasoma dah he usimcheze yusuf
Ukweli ni kwamba yesu ndie njia kweli na uzima na sijuti kuwa mkristo Ndacha wewe ni kidune hodori wa yesu..💪👍 Bwana yesu asifiwe🙏🙏🙏
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp Жыл бұрын
Mathayo 24 :24
@nakundwamkubwe78232 жыл бұрын
Rahaaa mnamgaragaza Kasuku Ndacha 😃😀. Takbiriii Takbiriii Allah Akbar.
@jamalsaid74752 жыл бұрын
Allaahu'Akbar Alhamdulillah
@FrankEdson-l2o10 ай бұрын
Jibuni swali
@delefantasticali83772 жыл бұрын
Yusufu mashallah
@edwinmahonga40634 ай бұрын
Mbona nyinyi mwaosha nyuma mnapoenda msalani,,maanake kutoa uchafu,ubadizo ni kutoa uchafu wa dunia,,,
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp4 ай бұрын
Kuocha nyumba ni usafi
@sosdododo56532 жыл бұрын
Ndacha hana say mbele ya yusuf kabisa hamuezi yusuf muangalie vile anavyoongea akiwa na yusuf yani debate yeye na yusuf tiari amekubali kabla hajajibiwa ,manake yusuf hua hacheleweshi anampa sindano ile ile yakumfunga mdomo ,haruki mbele ya yusuf, mungu ampe afya yusuf aendele na daawa
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp2 жыл бұрын
Amin sote
@kawtharalbarwani13372 жыл бұрын
Amiin thumma amiin
@jumamanu6054 Жыл бұрын
Waislam wajue ukweli.
@abangaabanga46774 ай бұрын
Now I understand why Christian Prince educates and crushes people’s lies using their own books
@hamso254 Жыл бұрын
Kitabu kimetaja yesu wa Bibilia ndacha ajieliwe sio yesu wa injili😢
@CharlesDanielnyanda2 ай бұрын
Waisilamu niwagumu sana kuerewa
@yusufmahdi89212 жыл бұрын
Ndacha and MURTAD PAUL ARE LOST SOUL TO DEVIL 👿
@rodrickplacide1834 Жыл бұрын
Sasa swali ndacha ameuliza mbona hawaja jibu. 😂 wana kuja nama tusi. Jibuni kwanza swali. Afu hendelesheni ujinga wenu
@sultanalnaamani2156 Жыл бұрын
Ndacha unapoteza waumini eti yesu alibatizwa vipi munabatiza mnawatoa kwenye uislam kuwapoteza mwislam habatizwi
@WilliamKambi-c2u2 ай бұрын
Yaaani kweli waisilamu nani kawaroga yaaani kuelewa ni shida
@asmaalharthy89102 жыл бұрын
Ndachaaa hana lake nikupoteza time ya Mashekhe wetu tu
@Mahatshallow1232 жыл бұрын
Nilisikiza daawa karibu miaka kumi hadi hivi sasa na niligundua pasta ndacha si msalaamu wala mkiristo.Ulimi wake haina mfupa.Wachana naye.
@KennedyBarasa-mc4mz3 ай бұрын
Huyu Yusuf ni kelele tupu ndacha mfunze ajue injili
@suleimanabdull19582 жыл бұрын
Wallah huyo Paulo njaa itamungiza motoni lkni ukweli anaujua ameanza aya ya Quran kwa bismillahi mmemaikiaa? Kasahau jina la Yesu.
@jeanninemunezero6469Ай бұрын
Hoja za ndacha hazijibuwi mpaka kiayama tena hata kama ndacha afariki wakristo tutaendeya kuhoji vilevile
@swalehabdullahi42572 жыл бұрын
Huyu hajui anasema nini... Hajasoma maskini
@aliroro9344 Жыл бұрын
😂😂😂yani kua muslim rahaaaaaaaaaaaaaaaa tupu Alhamdhullilah 🙏
@dianahanzetseodongo3929 Жыл бұрын
Paster ndanja usijali wao tuna ukweli wataukumiwa vibaya sana
@mercymjunior9684 Жыл бұрын
Ni kweli hawaelezeki ni wagumu kama mawe
@FrankEdson-l2o10 ай бұрын
Kifupi Ndacha amewashinda maana mnapolojo tu Ila Maswali hayajibiki
@moureenkamau86977 ай бұрын
haki msafari sheik kauliza huyo wa wapi ? ukasema wa dodori umimaliza na kicheko mungu awalipe 😂😂😂😂 ndacha kayakanyanga
@masala80992 жыл бұрын
Ndacha njaaa kali
@masala80992 жыл бұрын
tuendelee kuwashughulikia wakose pakutokea makafiri huku Tanzania washasarenda na duniani kote kwasasa wanasilimu tu makafiri hawana nafasi
@nathanwakitaa88752 жыл бұрын
Na wish cku moja wakualike hata ukuje uku TANZANIA kwenye mihadhala!! Y hawakuliki lakin!!?
@yusufathman24782 жыл бұрын
Yusuf wambugu ni kiboko wa ndacha
@salimamugeni3568 Жыл бұрын
Ndacha ni pesa zina mfanya teteye urongo
@aminaabdallah77022 жыл бұрын
Subuhana Allah subuhana Allah ndacha ??? unadanganya watu mpta unasubutu kusema Mohamed rasouloullah alikwenda kwa yesu kumona ??? lahaula walakuata bilah Mohamed rasouloullah alizaliwa yesu alikua wapi ??? miaka 600 kabla Muhamad rslw kuzaliwa ?? ndacha wewe umemzidi shetwani mungu yakuongeze kwa sababu umepotea kweli kweli uongo gani ndacha ??? héla zamarekani zimekupoteza akili ???
Hakuna wacha kuweka maneno midomo yetu, ndacha ako poa Sana
@Jabaman207-ue6sk5 ай бұрын
Musimualikange Dnacha Juu anajuwanga ukweli Lakin kazi yake kutaka tu ili apoteze wakiristo
@hammerandnail71112 жыл бұрын
Pastor Ndacha can you show me anywhere in your bible where the disciples of Jesus have baptized anywhere where they used " kwa jina la baba mwana na roho" let me tell you, hakuna. then you also tell me according to the new testament what is the name of the Father? hakuna!
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Kwwri ndacha mbisha na anajua saana ukweri kwamba uislam ni Dini ya haki. Hayo maswari yake anapinfisha pindisha
@saharaabdull90882 жыл бұрын
Huyu Ndacha anahepahepa na kujipa fake courage
@jumamanu6054 Жыл бұрын
Sikiza point kwanza.
@guenterernst54812 жыл бұрын
hope anaitazama hiyo video baadae ajijue anaongea nini
@fedrickgeorge290 Жыл бұрын
Kwel ndacha unaelim Sana
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp Жыл бұрын
Hanalolote
@mrimh77982 жыл бұрын
Uyo dancha mafundisho yake nishida 🤔
@ahmedcenzatail Жыл бұрын
Nami Niko DRC lubumbashi huwa nafatiliya mafundisho yenu Allah awaongenzeye na awape mwisho mwema
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp Жыл бұрын
Amin sote
@hirammbugua75932 жыл бұрын
Swali hamkujibu.
@omarnjoroge3977 Жыл бұрын
Ndacha uko kazini, akikubali kusilimu hakuna mshahara.
@tutukagara94528 ай бұрын
Dasha ni mwalimu waukweli
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp7 ай бұрын
Matayo 24.24
@jokabable Жыл бұрын
Nani alisema iyo eti njia ya haki ni uislamu Kama sio Muhammad 🤣🤣 how do you expect Muhammad aseme uislamu sio njia ya haki?!!! Waislamu nyinyi na Muhammad ni same Tu hope mnajua Muhammad hakua anajua kusoma ama kuandika
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp Жыл бұрын
Pole Sana malizia kusoma sura hiyo ya 7 Aya 157
@jumamanu6054 Жыл бұрын
Kabisa yesu alikufa na haka fufuka Muhammad ako wapi watuambie.
@barakaalberto2879 Жыл бұрын
Aiaseee umesemaaaa
@aliroro9344 Жыл бұрын
😂😂wewe waongea nn emu uliona wapi mitume wa mungu walisoma Darasani au wewe ulipozaliwa ulikua wajua ata kuongea😂
@jokabable Жыл бұрын
@@aliroro9344 mbona uyo Mohamad wenyu hakua na elimu kama watume wengine kama Musa na Ibrahim allah alisahau kumpea hekima ATA yakusoma na kuandika hehe nyinyi ni wapumbavu Sana haha
@jacobmuiruri4318 Жыл бұрын
dacha hubiria hawa watu kabiza.
@abangaabanga46774 ай бұрын
Now I understand why Christian Prince educates and crushes people’s lies using their own books