Ali muhsin al Barwan wallah I’m so proud to be your grandchild 🙏
@thaniahmed3303 жыл бұрын
Reality is repeating itself, Hizbu was ignored for many years because of fear from Tanganyika, but now Alhamdullilah, young generation are learning the reality God bless zanzibar
@sheikhalimuhsinalbarwani28193 жыл бұрын
On behalf of Sheikh Ali Muhsin’s family we would like to thank you… Jazakum Allah Khayran
@innocentman59543 жыл бұрын
Tunatambua umuhimu wa Ali Muhsin Barwani.. na tunamtaja kla siku.. Kwetu cc ana maana kubwa!
@azizamri15223 жыл бұрын
I’ve read the book sometime ago but Jussa has reality made it more understood. This book has cast Nyerere in his right color, the most divisive political figure in East Africa and Africa in general. A political Western puppet who wore a tiger’s skin! Sk. Ghassani thank you for bringing these programs.
@it-vw4zj3 жыл бұрын
Kwa miaka mingi sana history ya Zanzibar imekua ikipotoshwa kwahio discussions kama hizi ni muhimu sana kuujulisha umma especially new generations what really happened/took place in our motherland
@suadbarwani41173 жыл бұрын
Ahsante Bwn Jusa kwa kutuweleza kwa utulivu na ukweli wa mambo na ubaya unaotokeya Zanzibar. Aloandika Sh.Ali Mohsin katika Kitabu chake ( Conflict and Harmony in Zanzibar ).kwa hakika Zanzibar ina Maadui Jadi na Jadi, hichi kisiwa kidogo lakini kinaogopwa.
@aaahadventures42143 жыл бұрын
Masha Allah...Alhabib Jussa...Mwenyezi Mungu akulinde...Haya mambo yanafumbua akili kwa wenye akili.
@seanmurray65163 жыл бұрын
Allah awape sihha njema, awahifadhi Na kulla sharri Na fitna minaljinnat wa nnasi Ajman. Allah kwa uwezo wake akupeni Imri mrefu wenye Kheir Na nyinyi akujaalieni minal faizeen ya Rabbi. اللهم ندعوك كما وعدتنا فأستجيب دعاء أنا يا رب يا رب العالمين اللهم يحفظكم يحفظكم جميعا أنت الاخ إسماعيل والأخ محمد يا رب العالمين وجميع المؤمنين والمؤمنات
@it-vw4zj3 жыл бұрын
Amazing talk about our iconic figures.. well done Jussa well done Ghassani
@bunamay10009 ай бұрын
جزاكم الله خير الجزاء Ahsante sana
@khalidibrahim45793 жыл бұрын
SHEIKH ALI MUHSIN ALIKUWA MUUNGWANA AKIPENDA WA ZANZIBARI WOTE MUNGU AMRAHAMU NA AMPE JANAAT ALFARDOUS AMIN
@mwalimuali18503 жыл бұрын
Dah kumbe haya mambo Maalimu jusa hadi leo tunapambana iko siku nchi yetu itakuwa huru zanzibar kwanza nakupenda nchi yangu zanzibar 🥰
@nailamohd76933 жыл бұрын
Ameen ya rabby
@nailamohd76933 жыл бұрын
Shukraan saana 👏👏 kwa kipindi kizuri
@hamadalisuleiman46943 жыл бұрын
Wonderful
@sasha-ri7tf3 жыл бұрын
Tinausubiri uhondo baada ya dakika 8 na Mhe Ismail Jussa, Insha Allah .
@salehali9763 жыл бұрын
Hichi kitabu nimekitafuta sana sijakipata. Tafadhali nieleze wapi naweza kipata
@masilambazaim53023 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, hongereni kwa juhudi zenu za kufikisha kile mnachokijua kuhusu historia na mafunzo muhimu ktk hazina zilizoachwa na lulu zetu. Maoni yangu kuna mambo muhimu na yenye thamani kufahamika kwetu sisi watazamaji au wafuatiriaji, kwahyo kulingana na muda kuwa mchache ningeomba ikiwezekana Mgawe vitabu kama hivi katika mfumo wa episode ili tunufaike kwa kiwango cha kutosha in shaa Allah
@wambura-cv3ut3 жыл бұрын
Kiukweli mimi sasa ndio naijua ZANZIBAR yangu nikupeni hengera zangu kaka zangu hakika ZANZIBAR tuna watu tena hazina kabisa
@harounkuchi91003 жыл бұрын
Ally Muhsin Al Barwan ni Zaimu
@imsimk.khamis5743 жыл бұрын
Mashallah. Kuna mambo mengi mimi sikuwa na yajua. Hiki kitabu nishaki order ktk Amazon.
@hakikwadalili3 жыл бұрын
Asanate sana kwa gumzo hili kwa kweli unahisi utamu wa fasaha wa lugha ya kiswahili.
@mohammedjabir61283 жыл бұрын
Niko pamoja na sh Ismail Jussa! Ili tusirudie makosa lazima tuungane, ili tupate ufumbuzi. Na CCM ifikirie kubadilisha jina la chama kwani jina hilo ndio chanzo cha vurumai na chuki!
@it-vw4zj3 жыл бұрын
@@mohammedjabir6128 Well said brother Mohammed
@lmdos43823 жыл бұрын
@@mohammedjabir6128 tuungane na ccm?
@rafaelmarquez93963 жыл бұрын
Fasaha ya lugha ya kiswahili cha zanzibar sio ccha tqnganyika
@imsimk.khamis5743 жыл бұрын
Lkn hio ya Shekhe Ali Muhsin ( Allah amrehem Amyin). kuhamishiwa Tanganyika ni kheri kwake. Kwasababu Karume alikuwa akienda kuwachukua watu jela alina Hanga Othman Sharif nakuwauwa kwakuwagunga ndani ya gunia nakuwatupa baharini wakiwa hai
@khatibal-zinjibari69563 жыл бұрын
WAASISI WA ZANZIBAR NATIONALIST PARTY (CHAMA CHA WANANCHI WA ZANZIBAR) 1) Vuai Kitoweo (Raisi) Jambiani 2) Haji Hussein Ahmed ( Makamo wa Raisi) Ng'ambo 3) Mwandoa Khamis (Katibu Mkuu) Mkamasini 4) Miraji Shaalab (Ndijani) 5) Maalim Zaid Mbarouk (Kiembe Samaki) 6) Maalim Maksudi Fikirini (Mwachealale) 7) Maalim Wazir Ali (Dimani) 8) Othman Soud (Nga'mbo) 9) Abdullah Mahmoud Kombo Jecha (Makunduchi) 10) Ramadhan Khamis (Welezo) 11) Maalim Hijah (Ndijani) 12) Ameir Kitende (Ndijani) 13) Abdullah Mali (Kiboje) 14) Haji Kombo (Dunga) Hawa wote ni Waislam na Wazanzibari Kinda Kindaki walopigania UHURU KAMILI wa ZANZIBAR kutoka Uingereza na sio Oman kama Makaburu na vibaraka vyao wanavyopotosha.
@rastafare8783 жыл бұрын
Tunashukuru Kwa kutuelimisha
@innocentman59543 жыл бұрын
Asant!
@hudaasaalim13333 жыл бұрын
Mambo matamu .lini tutapata nchi yetu tusomeshe history ya nchi yetu.
@nassorali45642 жыл бұрын
Zanzibar tunqelikuwa mbali mno lakin fitna majunqu na tamaa za watu wachache kwa tamaa zao mbk Kunifanya Zanzibar Kupoteza hadhii yake mb leo tunajutia
@jaanjaan1113 жыл бұрын
Kwa vile watanganyika wengi hawakua na elimu na uelewa wa nchi yao ndio mwalimu nyerere aliwazulumu na kuwaonea sana na bado waliona ni mtu bora na mwema ndio mpaka sasa niwachache mwenye kufahamu maovu ya mwalimu nyerere
@imraniqbal007653 жыл бұрын
Assalam aleiykum Tunawashukuru saanaaa Ismail na Muhammad Kwakeli zanzibar imeuliwa zamani Sanaaaa. Pia Tunaomba kitabu cha Bi fatma jinja please
Haya machotara yanataman kweli waarabu warudi Zenji kama xix tunavoitaks Tanganyika yetu Kwa udi na uvumba 😎😎
@SulemanKhan-lr1mu2 жыл бұрын
Does anyone know where JK N hid during the 1964 Askari mutiny.The only person visible at that time was a top politician named Mr Kambona.It is interesting to know some historical facts about that period.
@alijuma72043 жыл бұрын
Tunataka uchambuzi wa kitabu ukwel ndio huu kaka muhamed
@hudaasaalim13333 жыл бұрын
Yaani tukifundishwa azimio la Arusha. Nilikuwa sipendiiii. Na ilhali sisi ni watu ni watu na history yetu😓
@alijuma72043 жыл бұрын
Wazanzibar kupelekwa Tanganyika ni suala lazaman toka mgogoro wa Barahash na majid
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Sultan harudi tena Zanzibar!!
@sadofaraji59993 жыл бұрын
Ameshafariki Allah amrehemu,labda kama una jingine.
@sulimanmasoud93373 жыл бұрын
Wa ujiga fahamu nanikakutawa sasa japo unamuna mama Samia mzanzibari mama Samia Kaekwa kuku wadaganya wazazibari kama wewe bado umelalaa katikandoto. Labda mwabie Jusa kupe hadithi ya mfalme akishivipi alanini vipi anavo anavoka na raifa wake kasoma skuligani .utazame hawalo tawala sasa. nanibora. Ukita kujua zaidi nenda kwa mulim hiaja utamkuta msikiti Jbrill siku ya uradi.kwani yeye ni rafiki yake na wakisaka pamoja. a
@rastafare8783 жыл бұрын
Wewe kapilima muarabu aje afanye nini huku , watu wanamaisha yao mazuri MashaAllah aje ahanisike huku kwenye dhiki shida zisizokwisha , acheni kutisha watu ,watu wakijitetea aaa waarabu watakuja, kwani Sasa hivi hawaji Na si ndio wanaotusaidia Leo misaada hii kesho misaada ile tena si Zanzibar wala Tanganyika Na wala hawabaguwi then munajitia midomo juu , ndio maana hatuendelei Kwa sababu watu wakijitetea aaa waarabu , hayo mambo ya kutisha watu ni mambo ya kitoto watu wanachotaka ni maendeleo sio kuleta stori hizo Kwa hizo .cha kushangaza misaada yao munaipokea mbiombio mbona hamukatai , waarabu Wana maisha yao Mungu aliyowanyooshea MashaAllah hawana shida Na kutawala Africa kwenye maendeleo duni milele
@jumakapilima56743 жыл бұрын
@@sulimanmasoud9337 jamsheed bye bye!
@khatibal-zinjibari69563 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 Hata Mtume Muhammad (SAW) hatarudi.
@SA-xj8hc3 жыл бұрын
Kila siku maskulini tunafundishwa historia ya Zanzibar kuanzia Mapinduzi kama kwa Zanzibar ilianza 1964! Sad 😔
@hudaasaalim13333 жыл бұрын
Very sad wallah
@ashaibrahim17863 жыл бұрын
Jamani tunaomba na kitabu cha Tanganyika Muslim Struggle Against Independent cha Al marhum Abdulwahid Sykes kichambuliwe tuelewe historia ya kabla ya uhuru.