Leo, Ismail Jussa anatuchambulia kitabu cha wasifu wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Karume, kupitia kitabu cha Ali Shaaban Juma.
Пікірлер: 26
@sasha-ri7tf2 жыл бұрын
Shukran sana Mhe Ismail Jussa Allah azidi kukujaalia kila la heri na na baraka tele na umri mrefu Insha Allah.
@rastafare8782 жыл бұрын
Inshallah AMIN
@imraniqbal007652 жыл бұрын
Kila mtu anasema anavyo taka Lkn watu wengi mnoooo akiwemo Al-maruhum mzee ameir bin ameir Alieleza vizuri kua mzee karume kazaliwa Malawi na alikuja na mama yake bimwaka akiwa mabegani Ukweli utabakia kua uwekweli mzee karume hakuzaliwa zanzibar Waandishi Tunaomba muandike history ya kweli
@buchbeats53372 жыл бұрын
Very true
@nailamohd76932 жыл бұрын
Ahsante saaana kwa kipindi kizuri
@yahasalel-sheibany54032 жыл бұрын
Shukraan. Siku za mbeleni In Sha Allah mukipata wasaa tunaomba kitabu cha Sheikh Issa Bin Nasser Al Ismaily "ZANZIBAR KINYANG’ANYIRO NA UTUMWA"
@wambura-cv3ut2 жыл бұрын
Hakika tunajivunia sana kwenu
@kindysuleiman59352 жыл бұрын
Ahsante Sana shk jussa kwa history ya mzee karume observation yangu nafkiri wengi mumeiona kama kweli kazaliwa 1905 na kufa 1972 ina maana amekufa akiwa na umri wa miaka 67 kwa hio tunaomkumbuka akiwa kweli huo ndio umri wake basi alichakaa mapema jamani hebu semeni kweli unajua ukisema uwongo itabidi uongee uwongo mwingi zaidi kuthibitisha .la pili hatuelezwi ubabani kwake
@drhalimalmaskari2 жыл бұрын
Hajazaliwa na Bi Mwaka mama yake ni Bi Amina Kadudu
@hamzarijal90932 жыл бұрын
Hichi Kitabu ni kizuri sana khasa kama unapenda Historia, Ali Shaaban ametafuta picha nyingi zikiwa sio rahisi kuzipata. Mie nimekinunua na nimekipitia sasa mizani ya kukubali kukataa ni yako mwenyewe lakini jema ni kupata nakala yako nakuweka katika kumbukumbu zako nyumbani.
@solomonadams63372 жыл бұрын
Wazanzibar wote ni Wasafiri na Ma Politicians hizo ndio kazi zetu mbili sawa¿thanks
@nassirbreezy19722 ай бұрын
Tunahitaji sana kuvisoma ila vinapopatikana ndo changamoto
@lmdos43822 жыл бұрын
hicho kitabau ni tope tupu kutoka kwa muandishi uchwara
@yussuphshilingi32582 жыл бұрын
Dah Hawa watanganyika sio watu wazuri hata kidogo
@jarsjam88942 жыл бұрын
Hakuzaliwa Zanzibar
@ahmedissa78822 жыл бұрын
Please hamna sauti
@nassirbreezy19722 ай бұрын
Assalam Alykum? Hivi vitabu vinapatikana wp, naomba mutuelekeze vinapopatikana
@shaficabdalaziiz2182 жыл бұрын
👍👍👍
@ahmedissa78822 жыл бұрын
Sauti
@kindysuleiman59352 жыл бұрын
Muamko huu iendeleee kutoa tarikhi ya kweli
@feiz31802 жыл бұрын
👍
@jarsjam88942 жыл бұрын
Hajawahi kusafiri
@abdulbastadam79852 жыл бұрын
Mpaka nyie mnasaport mahistoria ya uongo....mnajidhushia hadhi
@rashidomar27712 жыл бұрын
Mngelitutajia hao waliopewa kesi ya uhaini majina yao na kuuliwa na ni wapi wengine kufungwa
@mangofish90792 жыл бұрын
Ehh bwana we huyo muandishi muongo znz ya wakati huo watu wakijuana bwana ukiwa mzaliwa utajulikana wazee wako, asili yako n.k na ukiwa wakuja utajulikana pia hilo liko wazi. Ukiwa Songea unaiona Malawi ilee na kuna wangoni wengi tu wameingiliana na wanyasa.