TUJIKUMBUSHE HIKMA ZA AMANI KARUME DODOMA #2

  Рет қаралды 116,356

Bin Seif

Bin Seif

Күн бұрын

Пікірлер: 67
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Mungu akiwajaalia Waheshimiwa wazee wastaafu badilisheni mwelekeo wa demokrasia ya Tanzania mngali hai. Inakokwenda sio kuzuri.
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 4 жыл бұрын
Shikamoo Rais Mstafu Babaake Shangazi Fatma Aman Abeid Karume.
@hamilhassan9464
@hamilhassan9464 3 жыл бұрын
Aman bwana namkubali CNA km unamkubali ngonga like
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 Ай бұрын
Kaiba sana huyu mzee wa familia ya hapa kwangu
@AllyHilal
@AllyHilal 7 жыл бұрын
Busara na hekima iliitawala nafsi na kuyasafisha yaliyopita. Hongera Karume.
@salehalzarai8055
@salehalzarai8055 7 жыл бұрын
Ally Hilal M/moyo
@abdallaramadhan3850
@abdallaramadhan3850 4 жыл бұрын
Nakukubali sana Mh.Dr Aman Abeid Karume..nmekupenda tangu nikiwa mdogo na nitaendeleya kukupenda ,Namuomba Allah akupe umri mrefu wenye afya,tija na mafanikio..
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 жыл бұрын
Aamin
@jumamaisara7557
@jumamaisara7557 7 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marrefu muheshimiwa Amani karume
@khalfanmohd7019
@khalfanmohd7019 2 ай бұрын
Good😊
@othmanothmanabdulrahman3636
@othmanothmanabdulrahman3636 7 жыл бұрын
babu simchezo jembe ilo mtu wamchuz lkn kasaidia sana big up famili chema namin unaijua
@fahmiabdulla7690
@fahmiabdulla7690 Жыл бұрын
Long time(BIG UP
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
"Bi Mkubwa leo yameisha....". Kweli ukimaliza salama ni kumshukuru Mungu. Busara na hekima za wazee.
@ramadhankidagaa5440
@ramadhankidagaa5440 7 жыл бұрын
Karume mzee wa hekima na busara
@abdulrahmansalim1809
@abdulrahmansalim1809 5 жыл бұрын
Wazanzibar wenyewe ndio wenye haki sio ccm. Maamuzi ya wazanzibar .
@shaisudau5985
@shaisudau5985 6 жыл бұрын
Nakukubali karumee
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 3 жыл бұрын
Rais pekee wa Zanzibar ambaye ana uchungu na nchi yake . Allah akupe Kila kher
@ajuxman9382
@ajuxman9382 6 жыл бұрын
Mbona unaifupisha fupisha hii clip?
@allyomary2839
@allyomary2839 7 жыл бұрын
Mzee kweli hao wanaakili za samaki
@adilhabibu7958
@adilhabibu7958 4 жыл бұрын
Ahahahahhaha Mtoto wa karume bana
@abdulfirst_pilot
@abdulfirst_pilot 4 жыл бұрын
Mtu huyo aman karume kafanya mabaya katika utawala wake ila mwisho kama liza vizuri katu wazanzibar hawato msahau maisha kwa alicho wafanyia
@allyomary2839
@allyomary2839 7 жыл бұрын
ww nimzalendo wakweli Hakisawa kwa wote
@tawfiqissa6123
@tawfiqissa6123 4 жыл бұрын
Ww ni kiongoz mwenye busara sanaaa
@aviwaomar439
@aviwaomar439 3 жыл бұрын
Mmh hapa panguu
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Huyo shombe anatukana wajomba wake huyo si mamake mwarabu waliolewa kwa nguvu hajui huyo kwamba wajomba wake waliuliwa kama nzige NA mjeshi ya tanganika wakaolewa wasichana wa kiyarabu kwa nguvu shombe huyo
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Hekima na busara za wazee ziokoe demokrasia ya Tanzania ifanane na ya nchi zilizoendelea. Uhuru wa mawazo na kuvumiliana kuwepo kwa wanasiasa sio mkitofautiana mawazo basi kuumizana.
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 жыл бұрын
Mzee wa hapa pangu
@hamadyusuf2598
@hamadyusuf2598 6 жыл бұрын
nadhani katiba ya znz itafisiriwe kwa kiswahili na kuuzwa Vijana wasome hawa tatzo
@hassanabdalla2741
@hassanabdalla2741 4 жыл бұрын
Katiba ya Zanzibar zipo nakala za Kiswahili tena Kiswahili chepesi sn
@hassanally511
@hassanally511 4 жыл бұрын
Unakubalika Mzee
@ibrahimbakar622
@ibrahimbakar622 4 жыл бұрын
Huyu ndio rais wa ukweli wa Zanzibar " Ila na wahandishi wa habari wapuuzi mkiamua kutoa toeni na sio kukatakata maneno" Kwa mbali nimeskia "Hawatuwezi"
@ibrahimsheha215
@ibrahimsheha215 5 жыл бұрын
NaKwanini iwenongwa tuwachiwee.....
@msgbusinesslimited3367
@msgbusinesslimited3367 4 жыл бұрын
Hii inaonyesha namna yakuwa uongozi ni busara na hekima na uvumilivu
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Hotuba ya Mwl kukaribisha vyama vingi iliweka wazi kazi za chama tawala na za vyama pinzani . Mh Kikwete nae aliwahi kusema "mpinzani atakosoa wee na ndio kazi yake". Kumbe kukubali kukosolewa ni sehemu muhimu ya demokrasia . Miaka 60 ya uhuru Watanzania tutafakari pia hali ya demokrasia nchini.
@shabansaid636
@shabansaid636 5 жыл бұрын
Umewaambia kweli baba
@abdulhakimalhumaid6816
@abdulhakimalhumaid6816 6 жыл бұрын
Wanaakili za samaki 😂
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Waheshimiwa Wazee wastaafu mnaonaje mwenendo wa wanasiasa na hatima ya demokrasia ya Tanzania? Miaka 60 ya uhuru bado chaguzi zetu kuchomeana nyumba, maofisi, kuumizana, kumwaga damu , kufungana, kukimbilia uhamishoni, kutokukubali matokeo nk . Okoeni hii nchi.
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 жыл бұрын
Zanzibari emetekwa kijanja sasa imekua ukoloni wa tanganika maana ni nchi ina kheri uchumi basi inakwenda bara
@kassidpandu9806
@kassidpandu9806 4 жыл бұрын
Haina maana serikali ya kitaifa ina mapungufu na hatuipendi kabisa
@elenestjackson129
@elenestjackson129 6 жыл бұрын
karume da natamani urudi tena uraisi
@abdulfirst_pilot
@abdulfirst_pilot 4 жыл бұрын
Pandu ameri kificho huyu hapa mtu wa sultan huyu si mkuu wenu wa baraza la wawakilishi hamu achi
@nassorsaid2331
@nassorsaid2331 7 жыл бұрын
uvumilivu saa hivi unawashinda hayooooo😂😂
@mohdsaid9716
@mohdsaid9716 7 жыл бұрын
Gls Zanzibar
@masoudseif1282
@masoudseif1282 6 жыл бұрын
hahhaaaaa ww ndo mzalendo wa kweli ALLAH akulipe kwa kila chembe ya kheri ulilotufanyia wazanzibar
@masoudzanzibarali9994
@masoudzanzibarali9994 5 жыл бұрын
Hapa Pangu 😂😂😂
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 Ай бұрын
😂😂😂😂 eti saaa hivi wanamuita mzee wa hekma😂😂
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Mwanasiasa mkomavu!!!
@abdulfirst_pilot
@abdulfirst_pilot 4 жыл бұрын
Nando uvumilivu ume kushindeni hao
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 3 жыл бұрын
Hikma iko wapi hapo nyie CCM nani alikupeni dhamana hio iweje mufanye uchaguzi mukatiliwe halafu mulazimishe
@asrymohd6690
@asrymohd6690 4 жыл бұрын
Nilikuwa zamani cjakuelewa ileo nimekupata
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 6 жыл бұрын
Mkataba tena
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 3 жыл бұрын
Msiwe na akili xa samaki
@masoudzanzibarali9994
@masoudzanzibarali9994 5 жыл бұрын
Hapa Pangu
@abdulfirst_pilot
@abdulfirst_pilot 4 жыл бұрын
Mbona mnasahau mara hii muna akili za samaki nyie
@jumaothman3760
@jumaothman3760 3 жыл бұрын
Tunakukubl ww ni mzeee w hekma
@chibaboy5803
@chibaboy5803 7 жыл бұрын
mwamba
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 4 жыл бұрын
Anamatusi huyu eti wanaakili za samaki
@humoudmohammad3125
@humoudmohammad3125 3 жыл бұрын
.
@hassannasir4561
@hassannasir4561 4 жыл бұрын
Chezea karume jr wewe
@suleimanabdalla4594
@suleimanabdalla4594 4 жыл бұрын
Karume Mzalendo wa kweli
@sleyyumothman2239
@sleyyumothman2239 7 жыл бұрын
.
@asiaasia8253
@asiaasia8253 6 жыл бұрын
mashaallaa allah akujaali pia akuzidishie pale palipo punguwa
@abdulrahmansalim1809
@abdulrahmansalim1809 5 жыл бұрын
Muungano mwisho chumbe majambazi.
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Mwananchi Digital
Рет қаралды 433 М.
WAZANZIBARI SI WA KULALA NA NJAA - SHEIKH ABEID KARUM
4:54
Bin Seif
Рет қаралды 49 М.
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 31 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 20 МЛН
KAPIGE DEKI - BURUDANI ZA MASHAKA
22:52
Bin Seif
Рет қаралды 36 М.
Amani Karume aweka hadharani kuhusu Maalim Seif
1:59:58
Weyani Tv
Рет қаралды 108 М.
MFAHAMU MSANII WA PEMBA MWINYI MPEKU NA SAFARI YAKE YA CHINA
44:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 16 М.
MAALIM SEIF AJIVUA UMAKAMO WA RAIS ZANZIBAR
10:09
Mtembezionline
Рет қаралды 79 М.
UTAWALA WA DK SALMIN AMOUR-MAKALA MAALUMU
22:46
ARUSHA ONE RADIO
Рет қаралды 62 М.
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 31 МЛН