Mungu akiwajaalia Waheshimiwa wazee wastaafu badilisheni mwelekeo wa demokrasia ya Tanzania mngali hai. Inakokwenda sio kuzuri.
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Shikamoo Rais Mstafu Babaake Shangazi Fatma Aman Abeid Karume.
@hamilhassan94643 жыл бұрын
Aman bwana namkubali CNA km unamkubali ngonga like
@machintangachibwena5922Ай бұрын
Kaiba sana huyu mzee wa familia ya hapa kwangu
@AllyHilal7 жыл бұрын
Busara na hekima iliitawala nafsi na kuyasafisha yaliyopita. Hongera Karume.
@salehalzarai80557 жыл бұрын
Ally Hilal M/moyo
@abdallaramadhan38504 жыл бұрын
Nakukubali sana Mh.Dr Aman Abeid Karume..nmekupenda tangu nikiwa mdogo na nitaendeleya kukupenda ,Namuomba Allah akupe umri mrefu wenye afya,tija na mafanikio..
@jaysullman36972 жыл бұрын
Aamin
@jumamaisara75577 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marrefu muheshimiwa Amani karume
@khalfanmohd70192 ай бұрын
Good😊
@othmanothmanabdulrahman36367 жыл бұрын
babu simchezo jembe ilo mtu wamchuz lkn kasaidia sana big up famili chema namin unaijua
@fahmiabdulla7690 Жыл бұрын
Long time(BIG UP
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
"Bi Mkubwa leo yameisha....". Kweli ukimaliza salama ni kumshukuru Mungu. Busara na hekima za wazee.
@ramadhankidagaa54407 жыл бұрын
Karume mzee wa hekima na busara
@abdulrahmansalim18095 жыл бұрын
Wazanzibar wenyewe ndio wenye haki sio ccm. Maamuzi ya wazanzibar .
@shaisudau59856 жыл бұрын
Nakukubali karumee
@ahmedalbalushi62393 жыл бұрын
Rais pekee wa Zanzibar ambaye ana uchungu na nchi yake . Allah akupe Kila kher
@ajuxman93826 жыл бұрын
Mbona unaifupisha fupisha hii clip?
@allyomary28397 жыл бұрын
Mzee kweli hao wanaakili za samaki
@adilhabibu79584 жыл бұрын
Ahahahahhaha Mtoto wa karume bana
@abdulfirst_pilot4 жыл бұрын
Mtu huyo aman karume kafanya mabaya katika utawala wake ila mwisho kama liza vizuri katu wazanzibar hawato msahau maisha kwa alicho wafanyia
@allyomary28397 жыл бұрын
ww nimzalendo wakweli Hakisawa kwa wote
@tawfiqissa61234 жыл бұрын
Ww ni kiongoz mwenye busara sanaaa
@aviwaomar4393 жыл бұрын
Mmh hapa panguu
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Huyo shombe anatukana wajomba wake huyo si mamake mwarabu waliolewa kwa nguvu hajui huyo kwamba wajomba wake waliuliwa kama nzige NA mjeshi ya tanganika wakaolewa wasichana wa kiyarabu kwa nguvu shombe huyo
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Hekima na busara za wazee ziokoe demokrasia ya Tanzania ifanane na ya nchi zilizoendelea. Uhuru wa mawazo na kuvumiliana kuwepo kwa wanasiasa sio mkitofautiana mawazo basi kuumizana.
@emilyibraimo50323 жыл бұрын
Mzee wa hapa pangu
@hamadyusuf25986 жыл бұрын
nadhani katiba ya znz itafisiriwe kwa kiswahili na kuuzwa Vijana wasome hawa tatzo
@hassanabdalla27414 жыл бұрын
Katiba ya Zanzibar zipo nakala za Kiswahili tena Kiswahili chepesi sn
@hassanally5114 жыл бұрын
Unakubalika Mzee
@ibrahimbakar6224 жыл бұрын
Huyu ndio rais wa ukweli wa Zanzibar " Ila na wahandishi wa habari wapuuzi mkiamua kutoa toeni na sio kukatakata maneno" Kwa mbali nimeskia "Hawatuwezi"
@ibrahimsheha2155 жыл бұрын
NaKwanini iwenongwa tuwachiwee.....
@msgbusinesslimited33674 жыл бұрын
Hii inaonyesha namna yakuwa uongozi ni busara na hekima na uvumilivu
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Hotuba ya Mwl kukaribisha vyama vingi iliweka wazi kazi za chama tawala na za vyama pinzani . Mh Kikwete nae aliwahi kusema "mpinzani atakosoa wee na ndio kazi yake". Kumbe kukubali kukosolewa ni sehemu muhimu ya demokrasia . Miaka 60 ya uhuru Watanzania tutafakari pia hali ya demokrasia nchini.
@shabansaid6365 жыл бұрын
Umewaambia kweli baba
@abdulhakimalhumaid68166 жыл бұрын
Wanaakili za samaki 😂
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Waheshimiwa Wazee wastaafu mnaonaje mwenendo wa wanasiasa na hatima ya demokrasia ya Tanzania? Miaka 60 ya uhuru bado chaguzi zetu kuchomeana nyumba, maofisi, kuumizana, kumwaga damu , kufungana, kukimbilia uhamishoni, kutokukubali matokeo nk . Okoeni hii nchi.
@alialamoudi97293 жыл бұрын
Zanzibari emetekwa kijanja sasa imekua ukoloni wa tanganika maana ni nchi ina kheri uchumi basi inakwenda bara
@kassidpandu98064 жыл бұрын
Haina maana serikali ya kitaifa ina mapungufu na hatuipendi kabisa
@elenestjackson1296 жыл бұрын
karume da natamani urudi tena uraisi
@abdulfirst_pilot4 жыл бұрын
Pandu ameri kificho huyu hapa mtu wa sultan huyu si mkuu wenu wa baraza la wawakilishi hamu achi
@nassorsaid23317 жыл бұрын
uvumilivu saa hivi unawashinda hayooooo😂😂
@mohdsaid97167 жыл бұрын
Gls Zanzibar
@masoudseif12826 жыл бұрын
hahhaaaaa ww ndo mzalendo wa kweli ALLAH akulipe kwa kila chembe ya kheri ulilotufanyia wazanzibar
@masoudzanzibarali99945 жыл бұрын
Hapa Pangu 😂😂😂
@machintangachibwena5922Ай бұрын
😂😂😂😂 eti saaa hivi wanamuita mzee wa hekma😂😂
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Mwanasiasa mkomavu!!!
@abdulfirst_pilot4 жыл бұрын
Nando uvumilivu ume kushindeni hao
@kindysuleiman59353 жыл бұрын
Hikma iko wapi hapo nyie CCM nani alikupeni dhamana hio iweje mufanye uchaguzi mukatiliwe halafu mulazimishe
@asrymohd66904 жыл бұрын
Nilikuwa zamani cjakuelewa ileo nimekupata
@husseinkonz51926 жыл бұрын
Mkataba tena
@fakihdarusi43853 жыл бұрын
Msiwe na akili xa samaki
@masoudzanzibarali99945 жыл бұрын
Hapa Pangu
@abdulfirst_pilot4 жыл бұрын
Mbona mnasahau mara hii muna akili za samaki nyie
@jumaothman37603 жыл бұрын
Tunakukubl ww ni mzeee w hekma
@chibaboy58037 жыл бұрын
mwamba
@sudaissoud36704 жыл бұрын
Anamatusi huyu eti wanaakili za samaki
@humoudmohammad31253 жыл бұрын
.
@hassannasir45614 жыл бұрын
Chezea karume jr wewe
@suleimanabdalla45944 жыл бұрын
Karume Mzalendo wa kweli
@sleyyumothman22397 жыл бұрын
.
@asiaasia82536 жыл бұрын
mashaallaa allah akujaali pia akuzidishie pale palipo punguwa