KAULI ZA MAALIM SEIF’ ZILIZO GUSA WATU ZNZ -KABLA YA “KIFO CHAKE”

  Рет қаралды 117,699

KTV TZ ONLINE

KTV TZ ONLINE

Күн бұрын

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 163
@husseinmohammed2186
@husseinmohammed2186 3 жыл бұрын
Hatuna lakufanya zaidi yakukuombea duwa kwa mwenyezimungu nenda salama baba mng atakufanyia wepesi huko uliko amin👏👏👏
@alimsabah4921
@alimsabah4921 3 жыл бұрын
Hakika alikua mwisho mwema aliondoka na neno kubwa Sana na muhim Sana wazanzibari tuwe wamoja ALLA amrehemu na amekua na mwisho mwema mashalla
@tamemahmad9902
@tamemahmad9902 3 жыл бұрын
Allah amjaalie firdaus njema 🤲🤲🤲
@abuysalim7163
@abuysalim7163 3 жыл бұрын
😭😭😭 Allah akusamehe mazambi yako na akujalie uingie peponi amiin🤲
@raudhatmalik9285
@raudhatmalik9285 3 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayhi rajiuni Mungu akupe safar ya kheri na akujaalie kwa rehma zake akulaze mahali pema peponi Aamin.
@binrashidsalim5667
@binrashidsalim5667 2 жыл бұрын
Ameen ya rabbil alamiyn
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiun. Yaa Allah msamehe makosa yake makubwa na madogo tunayoyajua na tusiyoyajua na uyazidishie thawabu mema yake. Hakika ktk vifo vilonigusa kimoja wapo ni hiki. Allah ailaze mahala pema peponi roho yake. Duniani tunapita na kila mmoja anamadhaifu yake na mazuri yake. Yaa Rabb usiangalie madhaifu yake na ujaalie kauli yake hio iwe ni sadaka tosha ya kumnyanyua na kumueka kwenye firdausi, Amiin.
@mattarmuhammed1330
@mattarmuhammed1330 3 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayh rajiun Allah amsamehe madhambi yke na ampe makazi mema jannatul firdaus
@imranmussa500
@imranmussa500 3 жыл бұрын
MAALIM KUMBE ULIKUWA NI AHLISUNNA MASHALLAH
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 3 жыл бұрын
Waislamu wote lazima wawe ahli sunna sii lazima mtu mpaka ajitaje kuwa yeye ni ahlisunna . Kwani masunni hawatekelezi sunna. Kwani maibadhi hawatekelezi sunna. Kwa mashia hawatekelezi sunna.
@alonealvin4534
@alonealvin4534 3 жыл бұрын
Mashia hawafwat sunna...
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 3 жыл бұрын
@@alonealvin4534 du 🤣
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 3 жыл бұрын
@@alonealvin4534 lkn hata masunni na maibadhi pia wapo wasiofata sunna.
@nooor1120
@nooor1120 3 жыл бұрын
Mnaanza tena
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 3 жыл бұрын
kila nitakapokukumbuka dua nitakuombea kwa Allah inshaallah
@stonetown578
@stonetown578 3 жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiun Allah ampe kauli thabit na amsamehe makosa yake. Wazanzibari tumeumia
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 3 жыл бұрын
Innaalillaahi wainnaailaihi raajiuna.... Allah akulaze mahali peponi...Aaamin...hiii ni safari yetu wote ila ww ndo umetangulia na in 100% hakuna ataepukana na safari hiyo...muhimu ni kurudi kwa Allah tukiwa salama...
@deleali6864
@deleali6864 3 жыл бұрын
Mmm naon maalim alijua huu ndio mwisho wamaisha yake ya dunian et ila amesisitiza sana umoja umoja mung akupe pepo kwa rehma zake hakika umefanya meng mazur kwa uwezo wa allah atakupa pepo kwa rehma zake amiin na ss atupe mwisho mwma amiin tulikupnda ila Allah kakupnda zaid
@supumoto6819
@supumoto6819 3 жыл бұрын
ALLAH akuja'lie qauli thaabit
@aybkham5795
@aybkham5795 3 жыл бұрын
Allah AKUJALIE pepo na makazi mazuri Mwalim Seif atukutanishe tena pamoja peponi, Ammeeen... 😓😓😰
@fatmamatuma4073
@fatmamatuma4073 3 жыл бұрын
Amiin 😭😭😭😭
@tamemahmad9902
@tamemahmad9902 3 жыл бұрын
Amiin 🤲🤲
@maryamalmaskari1637
@maryamalmaskari1637 3 жыл бұрын
@@fatmamatuma4073 allahuma amee
@maryamalmaskari1637
@maryamalmaskari1637 3 жыл бұрын
🤲
@nasrakapama3670
@nasrakapama3670 3 жыл бұрын
Allahumma Aaamin
@zahorsalum663
@zahorsalum663 3 жыл бұрын
Allah akupe kauli dhabiti.ww.nikingozi bora nahatotokea tn
@NasserNassor-cd5pm
@NasserNassor-cd5pm Жыл бұрын
Allah akusameh amiri wetu
@sharifabdul6085
@sharifabdul6085 3 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayhi rajiun,tunakuombea salama sana maalim,Allah akurehem na pepo iwe ndio makaazi yako
@zarnatmohd6635
@zarnatmohd6635 3 жыл бұрын
Amiiyn
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 жыл бұрын
Allahumma ameen yaarab
@fauzakassim2271
@fauzakassim2271 3 жыл бұрын
Mashaallah allah akujaalie uwe kwenye watu wema Amiin yaraby kwa sote
@hajihaji1000
@hajihaji1000 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu s.w akupumzishe kwa amani...
@omarkhamis1539
@omarkhamis1539 3 жыл бұрын
Allah akuingize katika pepo za juu inshaallah
@nassrasuleiman630
@nassrasuleiman630 3 жыл бұрын
Kikubwa ni dua kukuombea ila maumivu tumepata lkn tunasema Alhamdulillah
@salimshaib879
@salimshaib879 3 жыл бұрын
Jemedari wa kweli Allah akupe makaazi mema in shaa Allah
@kibwetere8147
@kibwetere8147 3 жыл бұрын
Umeondoka kiongoz mwenye busara and hekima iliojaa ndan ya moyo wako hakika umeondoka tukiwa bado tunahtaji muongozo wako
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 3 жыл бұрын
Hakika
@maryamalmaskari1637
@maryamalmaskari1637 3 жыл бұрын
Hatutokusahai maneno yako milele
@oman7710
@oman7710 3 жыл бұрын
Innalillaah wainna ilayh rajiuun, Allah amsamehe makosa yake na amuepushe na adhabu ya kabri na sie tuliobaki tunamuomba Allah atujaalie mwisho mwema, Allahumma amiiin Yarabb
@fadhilahaji8719
@fadhilahaji8719 3 жыл бұрын
@@oman7710 Ameen
@muniraalisaid2660
@muniraalisaid2660 3 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayh rajiun Allah ampe safar ya kheir amsameh makosa yake na awape Subra wafiwa wote na wazanzibar kwa ujumla in shaa Allah pepo ya firdaus iwe ndo makaazi yake Amiin thumma Amiin Yaa Rabbiy
@saidhaji9700
@saidhaji9700 3 жыл бұрын
kwa hakika maneno yako maalim yamejaa hekima na busara .. na ni mawaidha tosha kwa waislamu wote .. umewashinda baadhi ya mashekh maana kazi yao ni kusemana tu ktk membari .. mungu akujaaliwe upate yale yaliomazr ambayo amewaandalia waja wema .. yaa Allah sisi tunashuhudia kwa mja wako huyu kwamba alikuwa ni mtu mpenda watu mwenye kuwathamini mweny huruma na uchungu kwa waislam na mchi yake pia .. tunakuomba yaa Allah umlipe km ulivyowalipa waja wako wema .. amiiiin
@hamzamohamedKeslivol
@hamzamohamedKeslivol 3 жыл бұрын
Allah amlaze mahali pema alifika kuhimiza ummoja na kuwacha tofauti zetu. Haya maneno mazito Sana
@maalimjaffar5563
@maalimjaffar5563 3 жыл бұрын
HUYU NI MTU PERFECT,,,NIKIONGOZI WA AINA YAKE NA WAPEKEE,NI SHIDA SANA KUWAPATA VIONGOZI KAMA HAWA.
@kunchelilemangweto3867
@kunchelilemangweto3867 3 жыл бұрын
ALLAH amsamehe dhambi zote na amhifadhi peponi
@cadabra7402
@cadabra7402 3 жыл бұрын
Allah akurehemu.
@khalfanlogo3198
@khalfanlogo3198 3 жыл бұрын
Da kila nikimuona machozi yananitoka da kazi yamungu haina makosa
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 жыл бұрын
Kila kitu amekiweka safi Maalim..ameshakamilisha his destiny ndo maana Allah amemchukua
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 жыл бұрын
ALLAH AMPE KAULI THABEET INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAJ🙏🙏🙏🙏🙏 INNA LILLAHI WAINNA ILLAIH RAJIIUNI
@alisele5299
@alisele5299 3 жыл бұрын
Kamaliza kazi yake kweli
@ibramiddo4863
@ibramiddo4863 3 жыл бұрын
Allah akufnyie wepes ktk safar yko akupe kauli thabit
@alawiali3475
@alawiali3475 3 жыл бұрын
AMIN
@oman7710
@oman7710 3 жыл бұрын
Allahumma amiiin Yarabb
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 3 жыл бұрын
Umeondoka baba zanzibar umeachia Allah subkhallakh wataallakh
@hilalal-busaidi4007
@hilalal-busaidi4007 Жыл бұрын
AMEEN
@adamstour5736-kb6zq
@adamstour5736-kb6zq 6 ай бұрын
ALLAH ajaalie uwe ni miongoni mwa wenye kupewa kitabu chako kwa mkono wa kulia inshaallah
@mamukizee9360
@mamukizee9360 3 жыл бұрын
Uyu mzee alibashiriwa nin, naona kajisafisha kiaina
@dabywolker5352
@dabywolker5352 3 жыл бұрын
mungu akulaze mahalapema peponi amin
@mwanahassan6947
@mwanahassan6947 3 жыл бұрын
Allah msamehe makosayake hii njiya tutapita soote wewe mbele na sisi tuko nyuma yako bila ya wewe kusingekuwa na amani Zanzibar umeona jitihada zako tuta kukumbuka daima Allah wape subra wafiwa izidishe amani Zanzibar
@fatmamatuma4073
@fatmamatuma4073 3 жыл бұрын
Inna llillah wainna illayhi rajiuon Allah awasameh wazazi wetu walotangulia mbele ya haki
@fatmas7338
@fatmas7338 3 жыл бұрын
Amin
@oman7710
@oman7710 3 жыл бұрын
Allahumma amiiin Yarabb
@dzekocheko4437
@dzekocheko4437 3 жыл бұрын
Mungu akupe Kauli dhabit katka kaburi yk
@salmaabdulla7797
@salmaabdulla7797 3 жыл бұрын
Inna lillah wainaa ilayhi rajiun MWENYEZI MUNGU AMJAALIE KAULI DHABIT
@kekaakekaa7898
@kekaakekaa7898 3 жыл бұрын
Nalilia taifa langu la zanzibar mungu akulaze mahalapema ppn
@allythabiti8150
@allythabiti8150 3 жыл бұрын
Yaa Allah Umpe nuru na umrehemu Maalik seif.
@nguruduali2014
@nguruduali2014 3 жыл бұрын
Mungu huondosha kitu nahueka kitu nawashauri wezangu tue nasubra mungu atatupa kipezichengine Kama yeye au kuliko
@malikhabibali4651
@malikhabibali4651 3 жыл бұрын
Allah (s.w) akurehemu kipenzi chetu
@ebraheemawadh2257
@ebraheemawadh2257 3 жыл бұрын
Allah akujaalie bustani kwenye kaburi lako akujazie nuru
@hemedikombo2842
@hemedikombo2842 3 жыл бұрын
Sisi tulikupenda ila m.mungu amekupenda Zaid tutakukumbuka milele daima
@ehlamkhamis3110
@ehlamkhamis3110 3 жыл бұрын
Maneno mazitoo .. Mashaa Allah ..... Allah akurehemu akhera ulipo
@salmaelhinai833
@salmaelhinai833 3 жыл бұрын
Innallilahi wainailahi rajioun Allah amsamehe makosa yake amlaze mahali pema peponi
@fatmamatuma4073
@fatmamatuma4073 3 жыл бұрын
Amiin
@oman7710
@oman7710 3 жыл бұрын
Amiiin
@zubeirsalum128
@zubeirsalum128 3 жыл бұрын
Allahuma ghufirlahu waarhamahu waaskinahu filjannat
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 10 күн бұрын
Allah akuingize peponi bila ya hisabu amin
@hasanmakame6999
@hasanmakame6999 2 жыл бұрын
Hatutampata daima ..pumzika
@nurudinjafferji
@nurudinjafferji 3 жыл бұрын
Innalillah wainnaillah rajiun May Allah rest his soul in peace and bestow Jannat Amen
@albatawiynassir
@albatawiynassir Жыл бұрын
0
@fuadyakoub5428
@fuadyakoub5428 3 жыл бұрын
Allah mlaze pema peponi mpendwa wetu maalim
@salimkassim6020
@salimkassim6020 3 жыл бұрын
Amiin
@nassirmohd2851
@nassirmohd2851 3 жыл бұрын
Allah atakulipa kwa nia yako nzuri Allah anaangalia nia
@mekisonshirazy7791
@mekisonshirazy7791 3 жыл бұрын
Yaani muda mchache lakini alichokiengea ni zaidi ya madini. Ndio maan alikuwa na ushawishi mkubwa katika Siasa . Allah amlaze mahali pema .
@HusseinMohamed-jq7hu
@HusseinMohamed-jq7hu 10 ай бұрын
اللهم غفرله ورحمة
@FahmatFarmat
@FahmatFarmat 3 ай бұрын
Allah akurehemu kiyongoz wetu
@biramsakh9212
@biramsakh9212 3 жыл бұрын
Anasikitisha sana maalim
@ALIKHAMIS-un4fv
@ALIKHAMIS-un4fv Ай бұрын
Ni maneno mazuri mno yenye busara Allah akusamehe makosa yako kwa kuwaunga watu umoja ni muislamu kwa waislamu
@nassirmohd2851
@nassirmohd2851 3 жыл бұрын
Allah akurehem kipenz chetu
@ameameir2538
@ameameir2538 3 жыл бұрын
Mungu akuondoshe azabu za kabr
@mohameddahir8743
@mohameddahir8743 3 жыл бұрын
Inaa lilaah ma inaa ileih rajiun rest in peace and ma allh grant him his janatul firdows in sha allah
@ibugharib389
@ibugharib389 3 жыл бұрын
INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN ALLAH AMFANYIE WEPESI KATIKA SAFAR YETU HII NA SISI ATUPE MWISHO MWEMA, ewe ndugu yangu muislam maisha ya dunia ni sawa kivuli namuomba Allah kwangu na kwako ATUPE mwisho MWEMA
@hanifakhamisi4522
@hanifakhamisi4522 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima kipenzi chetu
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 3 жыл бұрын
آمين يارب العالمين
@bxrkeshorts738
@bxrkeshorts738 3 жыл бұрын
Hakiii nimelia mimi usiku huu was saa nane usiku na 47 minute nikiiyangalia hii vide
@salmaseif1070
@salmaseif1070 3 жыл бұрын
Mungu akulaz mahala pemaa kipnzchetu
@abeidsalim7456
@abeidsalim7456 3 жыл бұрын
Allah amtilie nuru kabur yake amin.
@khairatsuleiman4917
@khairatsuleiman4917 3 жыл бұрын
Innalillah wainnaillah rajiun Allah akuepushie adabur ya kabri
@jumaaomary4949
@jumaaomary4949 3 жыл бұрын
Allah ampe kaulithabit mzee wetu
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 3 жыл бұрын
Bi awena Allah awe nawe ss tulimpenda maalim lkn weye ni no 1 kwako
@hamzamohamedy3806
@hamzamohamedy3806 3 жыл бұрын
Kwel
@komboali8203
@komboali8203 3 жыл бұрын
Innalillah wainnaa ilah rajium, dah mcba mzito kwa kweli haulezeki
@ismailsaidsalim296
@ismailsaidsalim296 3 жыл бұрын
إنّا للّه وإنّا إليه راجعون
@imranmussa500
@imranmussa500 3 жыл бұрын
HAPA LEO UMEONGEA MANENO MAZITO
@mamysalum5122
@mamysalum5122 3 жыл бұрын
Hajawah kuongea pumba et
@musitemusite4316
@musitemusite4316 3 жыл бұрын
Allah akulehemu babaetu
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
Pumzika kwa aman mzee wetu
@idrisaabdillahibpxkijykbs4162
@idrisaabdillahibpxkijykbs4162 3 жыл бұрын
Jamaa amezungumza hapa
@jumamanzi4531
@jumamanzi4531 3 жыл бұрын
Lazima tusimame pamoja bila kumwogopa yeyotee kwaajili ya maendeleo ya taifa letu... Tanzania Na kua kiongizi sio kujua kila kitu...wanakosea wanahitaji kurekebishwaa,wanawaongiza watanzaniaa,wameteuliwa na watanzaniaa wakubali kukosolewa na watanzaniaa,kwanzia mjumbe wa nyumba kumi hadi raisii Tanzania nguvu moja ,🇹🇿🇹🇿
@mohamedmande3958
@mohamedmande3958 3 жыл бұрын
رحمه الله
@aminasanzu4954
@aminasanzu4954 3 жыл бұрын
Inna Lilah wa innalilah rajiun
@HassanHassan-pz4ki
@HassanHassan-pz4ki 3 жыл бұрын
Maneno yamenigusa اللهم ٱغفرله ورحمه
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul Ай бұрын
Nenda kapumzike cc hatuwezi kuzuia ucondoke bali bado tutaendelea kuyaishi maneno yk na matendo yk kw hakika mdomo wako mda wote unatowa hrf ya misk umeondoka mwk wa 3 sasa bd tunayaish mameno na vitendo na md wote tunakutakia duwa tupo tyr wznzbr km zmbi zinagaiwa tungegawana ukaenda msafi ila ht hvy tunakuombea allah akuswameh
@suleimanmohamed4367
@suleimanmohamed4367 3 жыл бұрын
Maalim Allah Akurehemu akulip fridausi
@issamohd9955
@issamohd9955 3 жыл бұрын
Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiun
@aaa64sa13
@aaa64sa13 3 жыл бұрын
Inna lillahi wainna ilahi rajioun
@masudsulemansalim3706
@masudsulemansalim3706 3 жыл бұрын
inalilahi waiinailahi rajiuuni
@ahmadarton_tz3229
@ahmadarton_tz3229 3 жыл бұрын
Innalilah wainna ilah rajiun
@abdallamasoud7734
@abdallamasoud7734 3 жыл бұрын
Innalillah wa innailayhi raajiuun
@zuhrateyn593
@zuhrateyn593 3 жыл бұрын
Sasa hivi ndo amekuwa wa mana sana mwanzo mbona hajaoneshwa mungu yupo lkin kwa kila hatuwa
@edyamir1257
@edyamir1257 3 жыл бұрын
Binadamu huwa galiwa mwisho wake atamalizia vp sio mwanzo upo
@imsimk.khamis574
@imsimk.khamis574 3 жыл бұрын
Wale wote waliofiwa na ndugu zao Allah awape wepec, kauli thabit marehemu wote. Na wagonjwa awape shifaa
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 жыл бұрын
Amiin
@mimiapa8436
@mimiapa8436 3 жыл бұрын
Ameen
@alhamud2721
@alhamud2721 3 жыл бұрын
Amiin
@mmadiausiy9810
@mmadiausiy9810 3 жыл бұрын
Nenda salama mpendwa wetu nasi tupo nyuma
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 жыл бұрын
Shein alikua anachagua mskiti...kipenzi cha wazanzibar. ..ameondoka
@samadu90online23
@samadu90online23 3 жыл бұрын
Pumzka kwa Amani mwamba wa Zanzibar
@kibwetere8147
@kibwetere8147 3 жыл бұрын
In a lilac wayna ilahi
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 3 жыл бұрын
Mungu mkubwa pingo.kwa wa zanzibar
@saharasheekh5073
@saharasheekh5073 3 жыл бұрын
🤲🤲🤲😭
@mwalimhaji677
@mwalimhaji677 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@mohammedhamad9392
@mohammedhamad9392 3 жыл бұрын
Mother umefariki lakini maneno yako yatanifanya upo tu hapa moyoni na machoni.msimamo wako wa zanzibar wewe nitaasisi pekee innalillahi wainnailahi Raaj un
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 жыл бұрын
Kwann unamuita mother?wakati huyu ni mwanaume?
@mcbuty201
@mcbuty201 3 жыл бұрын
So painfully
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 5 ай бұрын
Maalim alikua na upeo mkubwa Sana
@FrankJMkama
@FrankJMkama 3 жыл бұрын
pumzika kwa amani baba
Mkutano wa Chama Cha Wananchi CUF BUBUBU; Terehe 22 Septemba 2012; Part 4
25:31
escape in roblox in real life
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 6 МЛН
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 118 МЛН
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 35 МЛН
MAALIM SEIF AJIVUA UMAKAMO WA RAIS ZANZIBAR
10:09
Mtembezionline
Рет қаралды 77 М.
Maalim Seif amlaani Haji Omar kuteswa watu Pemba
7:34
Weyani Tv
Рет қаралды 93 М.
UTAWALA WA DK SALMIN AMOUR-MAKALA MAALUMU
22:46
ARUSHA ONE RADIO
Рет қаралды 15 М.
MAJIBU YA DKT.MWINYI KWA ACT
26:50
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 9 М.
escape in roblox in real life
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 6 МЛН