Hatokei wala hatotokea rais kama wewe afrika nzima mwenyez mungu akulaze mahala pema peponi amiin
@alimussa26555 жыл бұрын
Kufa kwako tu mzee wetu mwenyez mungu akulaze mahala pema peponi basi msiba kwa wazanzibar wote aah chema hakidumu tumebaki na viongozi maslahi tu
@mdungikhamis20965 жыл бұрын
Mna comment gani nyinyi ongeeni vitu vyamana ili atae soma aweze like zanzibar tunajinyanyasa wenyewe tu sisi hatuna umoja ndio tunasota tu
@suleimansadalla5606 Жыл бұрын
Very good
@howardally83306 жыл бұрын
Mpaka dunia itaisha hii hatotokezea raisi kama marehemu karume Mungu akusamehe makosa yako ishi kwa amani kwenye nyumba yako ya milele
@mundhirsalum10626 жыл бұрын
Wazanzibari gani anazungumza maana mie sielewi elewi ivii .
@wolframchikomo88735 жыл бұрын
Ama kweli MTU AKIFA ANAKUFA NA MAWAZO YAKE NA MAONO YAKE YOTE. Mzee Karume historia itakukumbuka na Watanzania tunakumiss na kukumbuka sana na tutaendelea kukuenzi. Pumzika kwa amani tutaonana siku ya Kiyama
@issahajiday43985 жыл бұрын
Mdungi hamisi ...ndie alie comment ukweli.
@adilhaj67195 жыл бұрын
Aaah daahhh ww ndo ulokuwa kiongoz .yaan saaiv naona tafran tuu ya maisha
@zanzibarsmzenji6 жыл бұрын
Wewe na seif sharif ndio wazalendo.
@mudimuhamad33247 жыл бұрын
we mwehu ni ukomotoni unampeleka ww wenajijua kama wapeponi
@mbarakndurya61065 жыл бұрын
Endeleeni kuota. Zanzibari ilichukuliwa na waAfrika baada ya kumtoa mwarabu mdhalimu aliyeiongoza kwa Miaka Mia mbili. Ndoto ni kufkiria ya kwamba waAfrika waliowengi wataachilia nchi irudi kwa mweupe. Afrika hoyee