Рет қаралды 126
Nasaha za Ukombozi wa Afrika
Mwl. J.K Nyerere - 1968;
Uwanja wa Taifa;
"Hii mipaka ni mikubwa kuliko Afrika? Tuitukuze mipaka Hii?"
Sikiliza Hotuba hii iliyoasha ari na morari kwa Msumbiji, Zimbabwe, Namibia na Afrika ya Kusini kupata Uhuru wao
Inatambulika kati ya Hotuba bora Duniani kwa Mwaka 1968
Urithi wa Ukombozi, Fahari ya Afrika