Tulicho Beba,Askofu Maboya,Mtume Mwamposa,Nabii Suguye Lazima Watupige (Askofu Gwajima)

  Рет қаралды 36,757

Chomoza Tv

Chomoza Tv

Күн бұрын

Kuendelea kupata mafundsho mengine zaidi ya neno la Mungu,tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
KZbin : www.youtube.com...
#ChomozaTv#DrElieWaminian#MwangaWaAkili.

Пікірлер: 105
@DavidoWaukwel
@DavidoWaukwel 5 ай бұрын
Mungu akulinde sana asko me nakupenda sana askofu
@annamlaponi9454
@annamlaponi9454 4 жыл бұрын
Nimependa mno umoja wa watumishi wa Mungu,hakika kazi yenu ni njema.Ameen.
@raimundozacariasjonas7426
@raimundozacariasjonas7426 2 жыл бұрын
Baba Yangu Mungu Akubariki sana 🇲🇿
@prophetshukurumongela3085
@prophetshukurumongela3085 Жыл бұрын
Asanteeeeeeee Kwa Maarifa haya Mtu wa Mungu
@mwendadalus2329
@mwendadalus2329 4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana watumishi Mungu nimependa sana umoja wenu hakika taifa kitapona sasa na kuwa na umoja
@noelpaul640
@noelpaul640 2 жыл бұрын
Powerful Revelation
@servantjosiahtv3129
@servantjosiahtv3129 4 жыл бұрын
Umoja huo unanibariki
@paulheko5279
@paulheko5279 Жыл бұрын
Very powerfully
@kigomampyatv9209
@kigomampyatv9209 4 жыл бұрын
AMEN AMEN
@godisgood3590
@godisgood3590 2 жыл бұрын
🙏amen nitakuwa
@benjaminkapelah7664
@benjaminkapelah7664 2 жыл бұрын
Bundle langu linaisha vizuri kwa kusikiliza maneno ya watumishi wa Mungu nabarikiwa
@bukuruphilibert2968
@bukuruphilibert2968 2 жыл бұрын
Tuachane na yote huyu gwajima Ana akili kubwa sanaa
@adeliphinamussa3085
@adeliphinamussa3085 2 жыл бұрын
Huyu bhn kinachomsaidia aeleweke anaakili nyingiii sana so pia nampenda,, anauwezo mkubwa wa ushawish
@mjumbewaaganoduniani
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Inafahamika kuwa kweli ninyi ni mitume, lakini ni kuwa mtimize, habari za manabii wengi wa uongo, hivyo mlitengwa ili kutimiza NENO la BWANA kuwa watatokea wengi wa uongo.
@chulelubella2819
@chulelubella2819 10 ай бұрын
Kipi mlichokibeba Cha ukweli mmoja anauza mafuta mwingine ananua kucha na nywele Kwa hayo ndio maono Gwajima tuambie basi
@yoshuasalum8623
@yoshuasalum8623 4 жыл бұрын
Baba yangu askofu Gwajima, Mungu akupe maisha marefu, akutumie zaidi kama alivyokukusudia. Aaaamen, wewe ni mtu muhimu sana kwenye injili ya wakati huu,
@chulelubella2819
@chulelubella2819 7 ай бұрын
Umepotea ameshaasi anafanya nini huku Kwa matapelli
@VailethIsack
@VailethIsack 8 ай бұрын
Herufi J kwenye Moja na mbili
@STEPHANONCHUMUYE-n7h
@STEPHANONCHUMUYE-n7h 7 ай бұрын
Hapo gwajima umekosea kuwainua manabii wa uongo juu kumbe na wewe nimmoja wao
@jacobkassim3642
@jacobkassim3642 4 жыл бұрын
Umoja wenu. Nimeukubali .japokuwa sikubaliani fundisho lenu potofu
@georgematanga4865
@georgematanga4865 4 жыл бұрын
SIO RAHISI UKUBALIANE NA MAFUNDISHO YOTE MFANO KUNA KKKT, RC, MASHAHIDI WA YEHOVA, WASABATO n.k Tanzania ina watu wengi sana unadhani ni rahisi wote wasali kanisani kwenu? kutokukubaliana na fundisho haimanishi ni feki ila UFAHAMU WAKO UMEISHIA HAPO.
@sharondivine8994
@sharondivine8994 4 жыл бұрын
Soma maandiko Na muulize Roho Mtakatifu, usiikariri mafundisho yako
@mwinjilistisinwaobadia2736
@mwinjilistisinwaobadia2736 4 жыл бұрын
Mtumishi Bwana aendelee kukutumia
@mganafredh186
@mganafredh186 4 жыл бұрын
Bishop Gwajima upo juuu... Ufahamu wako habari za Mungu ni neeema tu uliyopewa na Mungu mwenyewe
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Tulishamsamehe kuhusu kale kavideo alikolivujisha
@christophermbembati1854
@christophermbembati1854 Жыл бұрын
@@myself4128 zil
@davidkihiga3531
@davidkihiga3531 4 жыл бұрын
Ni sehemu ya Maombi yangu kuona Wana wa huduma mbalimbali wanaongea lugha moja
@graceluvinga190
@graceluvinga190 3 жыл бұрын
Watumishi mungu awabariki sana kwa kongamano walioitwa wajulikane pia gwajima ajiande kugombea urais wa nchi wananch tunamkubali pia mungu amemkubali ameni
@walternaiso
@walternaiso 10 ай бұрын
Bwebwe za gwajima zinaweza kukufanya umwone wa maana au ujiulize alikua wapi sikuzote kumbe mshamba mmoja sana aliye ona afanye utapeli kupitia dini
@joycehaule9717
@joycehaule9717 6 ай бұрын
Tubu
@godfreylyimo4177
@godfreylyimo4177 4 жыл бұрын
Mpk hapo nimekuelewa kwenye fasiri ya binadamu kuwa ni roho.
@DaudiMakaza
@DaudiMakaza 2 күн бұрын
Amina baba
@Calson2nguboy
@Calson2nguboy 5 ай бұрын
Amina sana baba
@Prothelogic
@Prothelogic 4 жыл бұрын
Daaa bishop Gwajima highly capacity plus greater IQ be blessed
@juliusmabuga1518
@juliusmabuga1518 4 жыл бұрын
Nakuelewaga sana Askofu gwajima
@davidkihiga3531
@davidkihiga3531 4 жыл бұрын
Anayewapinga Hawa , Mimi nitawaombea tu Gwajima upo sawa , sijakosea kukusikiliza
@prophetshukurumongela3085
@prophetshukurumongela3085 Жыл бұрын
Ameeeeeen
@vailethkinabo7961
@vailethkinabo7961 3 жыл бұрын
Dah mpaka nimeliaaa nimeelewaaa sanaaa leo nimebarikiwa sanaa Amenn
@peterdaiman5813
@peterdaiman5813 2 жыл бұрын
Gwajima huyo mungu Ana vyombo
@tmothcharles4037
@tmothcharles4037 6 ай бұрын
Ameen baba
@gracenyangusi6230
@gracenyangusi6230 2 жыл бұрын
Haleluya. Thank you so much daddy Gwajima.
@janegeogre3234
@janegeogre3234 2 жыл бұрын
Nakupenda sana dady wangu! ubsrikiwe na Bwana!
@aprgg
@aprgg 4 жыл бұрын
Very Powerful Revelation!
@sofiaantonioantonio7265
@sofiaantonioantonio7265 Жыл бұрын
Nakuelewa sana Kuhani wa Bwana yesu kristo Askofu Gwajima misichomoki kwenhe mafundisho yako yamenifanha niwepo mpaka leo!
@mjumbewaaganoduniani
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Mungu amechagua mtu mmoja ameinuliwa leo katika siku ya Bwana, Isaya 41:1-4.
@Mfunzo
@Mfunzo 2 жыл бұрын
Huu wimbo uliibwa na nani
@winfridaremmy2252
@winfridaremmy2252 4 жыл бұрын
Anaelewa Na aelewe.....Glory to god
@jumamahimbo683
@jumamahimbo683 4 жыл бұрын
Mchungaji unalindwa na body gad hauna I man I😴😴😴😴
@lightmoshi3131
@lightmoshi3131 3 жыл бұрын
Yes why not mtu mkuuu,sio dhambi
@mwigarleysaid5406
@mwigarleysaid5406 2 жыл бұрын
Utajiju
@christophermbembati1854
@christophermbembati1854 Жыл бұрын
Ufaham wako umeishia hapo.
@Dottopeche
@Dottopeche 4 жыл бұрын
gwajima is talented
@alfayorgodfrey6089
@alfayorgodfrey6089 4 жыл бұрын
Ooooooooh Lord! Groly to God.!
@lightmoshi3131
@lightmoshi3131 3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mathiaspmashibe5696
@mathiaspmashibe5696 Жыл бұрын
Huo wimbo mwisho kaimba nani
@evanmutegoa3408
@evanmutegoa3408 2 жыл бұрын
This is Heavy🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@zeddybass6672
@zeddybass6672 2 жыл бұрын
Gwajima 🔥🔥🔥sana🙏🙏
@jeniferuroki5754
@jeniferuroki5754 3 жыл бұрын
nakuelewa sana gwajima
@zaiciousmuneer3697
@zaiciousmuneer3697 4 жыл бұрын
Amina Baba mng akutie nguvu
@mabungopania4865
@mabungopania4865 4 жыл бұрын
UBILINI INJI YA UZIMA WA MILELE NA SIO KUPAKANA MAFUTA
@apostleadamgige4662
@apostleadamgige4662 4 жыл бұрын
Ujinga ni kutokujua neno,asiyekula asimhukumu anayekula,kama hujui neno la Mungu bora unyamaze,
@georgematanga4865
@georgematanga4865 4 жыл бұрын
Wanahubiri sana ila wewe unasikiliza viongozi wako wanaokuzuia usione upande wa pili. Ungefuatilia mwenyewe kwa makini ungegundua mengi mazuri ambayo huko ulipo hayapo.
@eliusjohn385
@eliusjohn385 4 жыл бұрын
Kupakana mafuta sio tatzo ata Mungu alikua anapaka mafuta watumish wake. Xema watumish wengne wanatumia hvo vitu kinyume.
@eliusjohn385
@eliusjohn385 4 жыл бұрын
Yesu alikua anatumia vitu mbalimbali kuponya watu watu. Mfano alimwambia kipofu apake matope uson akapona
@eliusjohn385
@eliusjohn385 4 жыл бұрын
Ila hawa wanatufisha. Wengne wanatumia kinyume
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 3 жыл бұрын
Duuh
@gracenyangusi6230
@gracenyangusi6230 4 жыл бұрын
Sure Bishop
@apostleadamgige4662
@apostleadamgige4662 4 жыл бұрын
Nimetiwa nguvu sana
@elishashillah9776
@elishashillah9776 4 жыл бұрын
Wimbo wa mwishoni ni wa nani? Nautaka kuudownlod, nisaidie pls
@adeliphinamussa3085
@adeliphinamussa3085 2 жыл бұрын
Ukiwa na file la snap tub unadownlod kirahis
@mathiaspmashibe5696
@mathiaspmashibe5696 Жыл бұрын
Unaitwaje
@bishopdrchiefmwakilima8520
@bishopdrchiefmwakilima8520 4 жыл бұрын
Glory to God
@joshuantagala2872
@joshuantagala2872 4 жыл бұрын
Mungu yupo ,wakati manabii wa bahari wanatamba Eliya alibaki pekeyake nabii wa Bwana ...na upumbavu wa kina yane na yambre itakua dhahiri mbele ya watu wote ni swala la Muda tu.........Manabii wa bahari kumbukeni Mungu wa Eliya yu hai
@paskalibenedictor6291
@paskalibenedictor6291 4 жыл бұрын
Unyenyekevu nikitu chathama Kaenichini mjifunze Bado mnahitaji Maziwa ya Akili ili mpate kukulia wokovu
@moseshaule586
@moseshaule586 4 жыл бұрын
Hamna mababii wanaoitwa bahari wewe Soma vizuri biblia yako..
@msafirigombo9924
@msafirigombo9924 4 жыл бұрын
Umoja huu nimeupenda sana na jumbe za watumishi wa Mungu nimezipenda sana.Kwa umoja huu kuna vitu vikubwa Mungu atavifanya katika Taifa letu.
@sylvestermalisha5292
@sylvestermalisha5292 4 жыл бұрын
Bahari ni nani?? Na nabii wa bahari ni nani hapo?? Tujuze tafadhari!!!
@christophermbembati1854
@christophermbembati1854 Жыл бұрын
@@sylvestermalisha5292 huyu mjinga anamaanisha ati hawa watumishi ni wa uongo, MUNGU was mbinguni amsamehe.
@akanishabani5789
@akanishabani5789 4 жыл бұрын
Injili ya namna ya kibinadamu hiyo si Mungu! Umeshindwa kumsikiliza Mungu sasa unafundisha uzushi!
@winniesainet8635
@winniesainet8635 3 жыл бұрын
🤭
@janegeogre3234
@janegeogre3234 2 жыл бұрын
hujui unachokiongea wewe kaa kimya!.. tena ingia uvunguni utlie hukohuko!!...
@emmanuelsamwel741
@emmanuelsamwel741 2 жыл бұрын
Akani wa bible alilaaniwa ndio maana unaishi kwa jina hilo
@christophermbembati1854
@christophermbembati1854 Жыл бұрын
@@emmanuelsamwel741 MUNGU wa mbinguni amsamehe huyo kijana
@jacobkassim3642
@jacobkassim3642 4 жыл бұрын
Napingana na gwajima .Mimi sihitaji kumjua shetani ana nguvu gani .ninachojua Yesu yuko juu ya nguvu zooooote Ushindi Wangu uko ktk Jina LA Yesu
@denisjohin8052
@denisjohin8052 4 жыл бұрын
Ili upambane na adui yako, lazma ujue nguvu alizonazo au silaha alizonazo ili ujue unaanzaje kupambananae,,askof Yuko sawa
@geofreyngino6163
@geofreyngino6163 4 жыл бұрын
Kumbuka anaetawala dunia hii ni shetani wala sio mungu ... Gwajima yuko sawa ..... ! Soma biblia vzr
@georgematanga4865
@georgematanga4865 4 жыл бұрын
Ni kwa nini Yesu hajamuua shetani? VITA VYETU SIO KTK DAMU NA NYAMA BALI NI ......... hizo ngazi zinaonyesha level ya maadui kwa hiyo vita vinatofautiana. jeshini kuna vyeo mbalimbali ukipambana na koplo ni tofati sana ukipigana na kanali wa jeshi la shetani. kuna wachawi ma lena lakini wapo wanaoweza kujigeuza mende au nyoka, TAFAKARI.
@gorofurodgers1404
@gorofurodgers1404 4 жыл бұрын
Jacob Kassim
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 жыл бұрын
Unaemfuata Yesu au unaemuabudu?
NABII NA MTUME IJUE  TAFAUTI YA WITO NA UBABA - MTUME MWINGIRA
21:36
Will A Guitar Boat Hold My Weight?
00:20
MrBeast
Рет қаралды 262 МЛН
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 138 МЛН
MITUME NA MANABII WACHACHE NDIYO WENYE SHIDA - Askofu Dastan Maboya.
22:49
Archbishop Prof. Sylvester Gamanywa
Рет қаралды 26 М.
Mtume Mwingira Akisema Wanakuja Juu,Askofu Josephat Gwajima
35:26
Chomoza Tv
Рет қаралды 171 М.
Arch Bishop Dustan Maboya - Mungu Hapeani Vitu Bure Lazima Utie Bidii
42:54
Jesus Sacred Assembly tv - Mwingi
Рет қаралды 1,7 М.
ASKOFU GWAJIMA ATOA HISTORIA JINSI MZEE GWAJIMA (BABA YAKE) ALIVYOOKOKA
8:30
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 3,7 М.
KARAMA TANO ZA UTUMISHI TUHESHIMIANE. APOSTLE DASTAN MABOYA
15:29
MAHUBIRI YA APOSTLE DASTAN MABOYA KATIKA KONGAMANO LA MIUJIZA NA UPONYAJI
7:40
Melchizedek Television
Рет қаралды 19 М.
Proff MABOYA NDANI YA MBINGU DUNIANI MAFUNDISHO JUU YA NDOA|BISHOP MABOYA
9:24
Will A Guitar Boat Hold My Weight?
00:20
MrBeast
Рет қаралды 262 МЛН