Kuendelea kupata mafundsho mengine zaidi ya neno la Mungu,tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews KZbin : www.youtube.com... #ChomozaTv#DrElieWaminian#MwangaWaAkili.
Пікірлер: 105
@DavidoWaukwel5 ай бұрын
Mungu akulinde sana asko me nakupenda sana askofu
@annamlaponi94544 жыл бұрын
Nimependa mno umoja wa watumishi wa Mungu,hakika kazi yenu ni njema.Ameen.
@raimundozacariasjonas74262 жыл бұрын
Baba Yangu Mungu Akubariki sana 🇲🇿
@prophetshukurumongela3085 Жыл бұрын
Asanteeeeeeee Kwa Maarifa haya Mtu wa Mungu
@mwendadalus23294 жыл бұрын
Mungu awabariki sana watumishi Mungu nimependa sana umoja wenu hakika taifa kitapona sasa na kuwa na umoja
@noelpaul6402 жыл бұрын
Powerful Revelation
@servantjosiahtv31294 жыл бұрын
Umoja huo unanibariki
@paulheko5279 Жыл бұрын
Very powerfully
@kigomampyatv92094 жыл бұрын
AMEN AMEN
@godisgood35902 жыл бұрын
🙏amen nitakuwa
@benjaminkapelah76642 жыл бұрын
Bundle langu linaisha vizuri kwa kusikiliza maneno ya watumishi wa Mungu nabarikiwa
@bukuruphilibert29682 жыл бұрын
Tuachane na yote huyu gwajima Ana akili kubwa sanaa
@adeliphinamussa30852 жыл бұрын
Huyu bhn kinachomsaidia aeleweke anaakili nyingiii sana so pia nampenda,, anauwezo mkubwa wa ushawish
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Inafahamika kuwa kweli ninyi ni mitume, lakini ni kuwa mtimize, habari za manabii wengi wa uongo, hivyo mlitengwa ili kutimiza NENO la BWANA kuwa watatokea wengi wa uongo.
@chulelubella281910 ай бұрын
Kipi mlichokibeba Cha ukweli mmoja anauza mafuta mwingine ananua kucha na nywele Kwa hayo ndio maono Gwajima tuambie basi
@yoshuasalum86234 жыл бұрын
Baba yangu askofu Gwajima, Mungu akupe maisha marefu, akutumie zaidi kama alivyokukusudia. Aaaamen, wewe ni mtu muhimu sana kwenye injili ya wakati huu,
@chulelubella28197 ай бұрын
Umepotea ameshaasi anafanya nini huku Kwa matapelli
@VailethIsack8 ай бұрын
Herufi J kwenye Moja na mbili
@STEPHANONCHUMUYE-n7h7 ай бұрын
Hapo gwajima umekosea kuwainua manabii wa uongo juu kumbe na wewe nimmoja wao
@jacobkassim36424 жыл бұрын
Umoja wenu. Nimeukubali .japokuwa sikubaliani fundisho lenu potofu
@georgematanga48654 жыл бұрын
SIO RAHISI UKUBALIANE NA MAFUNDISHO YOTE MFANO KUNA KKKT, RC, MASHAHIDI WA YEHOVA, WASABATO n.k Tanzania ina watu wengi sana unadhani ni rahisi wote wasali kanisani kwenu? kutokukubaliana na fundisho haimanishi ni feki ila UFAHAMU WAKO UMEISHIA HAPO.
@sharondivine89944 жыл бұрын
Soma maandiko Na muulize Roho Mtakatifu, usiikariri mafundisho yako
@mwinjilistisinwaobadia27364 жыл бұрын
Mtumishi Bwana aendelee kukutumia
@mganafredh1864 жыл бұрын
Bishop Gwajima upo juuu... Ufahamu wako habari za Mungu ni neeema tu uliyopewa na Mungu mwenyewe
@myself41283 жыл бұрын
Tulishamsamehe kuhusu kale kavideo alikolivujisha
@christophermbembati1854 Жыл бұрын
@@myself4128 zil
@davidkihiga35314 жыл бұрын
Ni sehemu ya Maombi yangu kuona Wana wa huduma mbalimbali wanaongea lugha moja
@graceluvinga1903 жыл бұрын
Watumishi mungu awabariki sana kwa kongamano walioitwa wajulikane pia gwajima ajiande kugombea urais wa nchi wananch tunamkubali pia mungu amemkubali ameni
@walternaiso10 ай бұрын
Bwebwe za gwajima zinaweza kukufanya umwone wa maana au ujiulize alikua wapi sikuzote kumbe mshamba mmoja sana aliye ona afanye utapeli kupitia dini
@joycehaule97176 ай бұрын
Tubu
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Mpk hapo nimekuelewa kwenye fasiri ya binadamu kuwa ni roho.
@DaudiMakaza2 күн бұрын
Amina baba
@Calson2nguboy5 ай бұрын
Amina sana baba
@Prothelogic4 жыл бұрын
Daaa bishop Gwajima highly capacity plus greater IQ be blessed
@juliusmabuga15184 жыл бұрын
Nakuelewaga sana Askofu gwajima
@davidkihiga35314 жыл бұрын
Anayewapinga Hawa , Mimi nitawaombea tu Gwajima upo sawa , sijakosea kukusikiliza
@prophetshukurumongela3085 Жыл бұрын
Ameeeeeen
@vailethkinabo79613 жыл бұрын
Dah mpaka nimeliaaa nimeelewaaa sanaaa leo nimebarikiwa sanaa Amenn
@peterdaiman58132 жыл бұрын
Gwajima huyo mungu Ana vyombo
@tmothcharles40376 ай бұрын
Ameen baba
@gracenyangusi62302 жыл бұрын
Haleluya. Thank you so much daddy Gwajima.
@janegeogre32342 жыл бұрын
Nakupenda sana dady wangu! ubsrikiwe na Bwana!
@aprgg4 жыл бұрын
Very Powerful Revelation!
@sofiaantonioantonio7265 Жыл бұрын
Nakuelewa sana Kuhani wa Bwana yesu kristo Askofu Gwajima misichomoki kwenhe mafundisho yako yamenifanha niwepo mpaka leo!
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Mungu amechagua mtu mmoja ameinuliwa leo katika siku ya Bwana, Isaya 41:1-4.
@Mfunzo2 жыл бұрын
Huu wimbo uliibwa na nani
@winfridaremmy22524 жыл бұрын
Anaelewa Na aelewe.....Glory to god
@jumamahimbo6834 жыл бұрын
Mchungaji unalindwa na body gad hauna I man I😴😴😴😴
@lightmoshi31313 жыл бұрын
Yes why not mtu mkuuu,sio dhambi
@mwigarleysaid54062 жыл бұрын
Utajiju
@christophermbembati1854 Жыл бұрын
Ufaham wako umeishia hapo.
@Dottopeche4 жыл бұрын
gwajima is talented
@alfayorgodfrey60894 жыл бұрын
Ooooooooh Lord! Groly to God.!
@lightmoshi31313 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mathiaspmashibe5696 Жыл бұрын
Huo wimbo mwisho kaimba nani
@evanmutegoa34082 жыл бұрын
This is Heavy🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@zeddybass66722 жыл бұрын
Gwajima 🔥🔥🔥sana🙏🙏
@jeniferuroki57543 жыл бұрын
nakuelewa sana gwajima
@zaiciousmuneer36974 жыл бұрын
Amina Baba mng akutie nguvu
@mabungopania48654 жыл бұрын
UBILINI INJI YA UZIMA WA MILELE NA SIO KUPAKANA MAFUTA
@apostleadamgige46624 жыл бұрын
Ujinga ni kutokujua neno,asiyekula asimhukumu anayekula,kama hujui neno la Mungu bora unyamaze,
@georgematanga48654 жыл бұрын
Wanahubiri sana ila wewe unasikiliza viongozi wako wanaokuzuia usione upande wa pili. Ungefuatilia mwenyewe kwa makini ungegundua mengi mazuri ambayo huko ulipo hayapo.
@eliusjohn3854 жыл бұрын
Kupakana mafuta sio tatzo ata Mungu alikua anapaka mafuta watumish wake. Xema watumish wengne wanatumia hvo vitu kinyume.
@eliusjohn3854 жыл бұрын
Yesu alikua anatumia vitu mbalimbali kuponya watu watu. Mfano alimwambia kipofu apake matope uson akapona
@eliusjohn3854 жыл бұрын
Ila hawa wanatufisha. Wengne wanatumia kinyume
@mercykariithi79193 жыл бұрын
Duuh
@gracenyangusi62304 жыл бұрын
Sure Bishop
@apostleadamgige46624 жыл бұрын
Nimetiwa nguvu sana
@elishashillah97764 жыл бұрын
Wimbo wa mwishoni ni wa nani? Nautaka kuudownlod, nisaidie pls
@adeliphinamussa30852 жыл бұрын
Ukiwa na file la snap tub unadownlod kirahis
@mathiaspmashibe5696 Жыл бұрын
Unaitwaje
@bishopdrchiefmwakilima85204 жыл бұрын
Glory to God
@joshuantagala28724 жыл бұрын
Mungu yupo ,wakati manabii wa bahari wanatamba Eliya alibaki pekeyake nabii wa Bwana ...na upumbavu wa kina yane na yambre itakua dhahiri mbele ya watu wote ni swala la Muda tu.........Manabii wa bahari kumbukeni Mungu wa Eliya yu hai
@paskalibenedictor62914 жыл бұрын
Unyenyekevu nikitu chathama Kaenichini mjifunze Bado mnahitaji Maziwa ya Akili ili mpate kukulia wokovu
@moseshaule5864 жыл бұрын
Hamna mababii wanaoitwa bahari wewe Soma vizuri biblia yako..
@msafirigombo99244 жыл бұрын
Umoja huu nimeupenda sana na jumbe za watumishi wa Mungu nimezipenda sana.Kwa umoja huu kuna vitu vikubwa Mungu atavifanya katika Taifa letu.
@sylvestermalisha52924 жыл бұрын
Bahari ni nani?? Na nabii wa bahari ni nani hapo?? Tujuze tafadhari!!!
@christophermbembati1854 Жыл бұрын
@@sylvestermalisha5292 huyu mjinga anamaanisha ati hawa watumishi ni wa uongo, MUNGU was mbinguni amsamehe.
@akanishabani57894 жыл бұрын
Injili ya namna ya kibinadamu hiyo si Mungu! Umeshindwa kumsikiliza Mungu sasa unafundisha uzushi!
@winniesainet86353 жыл бұрын
🤭
@janegeogre32342 жыл бұрын
hujui unachokiongea wewe kaa kimya!.. tena ingia uvunguni utlie hukohuko!!...
@emmanuelsamwel7412 жыл бұрын
Akani wa bible alilaaniwa ndio maana unaishi kwa jina hilo
@christophermbembati1854 Жыл бұрын
@@emmanuelsamwel741 MUNGU wa mbinguni amsamehe huyo kijana
@jacobkassim36424 жыл бұрын
Napingana na gwajima .Mimi sihitaji kumjua shetani ana nguvu gani .ninachojua Yesu yuko juu ya nguvu zooooote Ushindi Wangu uko ktk Jina LA Yesu
@denisjohin80524 жыл бұрын
Ili upambane na adui yako, lazma ujue nguvu alizonazo au silaha alizonazo ili ujue unaanzaje kupambananae,,askof Yuko sawa
@geofreyngino61634 жыл бұрын
Kumbuka anaetawala dunia hii ni shetani wala sio mungu ... Gwajima yuko sawa ..... ! Soma biblia vzr
@georgematanga48654 жыл бұрын
Ni kwa nini Yesu hajamuua shetani? VITA VYETU SIO KTK DAMU NA NYAMA BALI NI ......... hizo ngazi zinaonyesha level ya maadui kwa hiyo vita vinatofautiana. jeshini kuna vyeo mbalimbali ukipambana na koplo ni tofati sana ukipigana na kanali wa jeshi la shetani. kuna wachawi ma lena lakini wapo wanaoweza kujigeuza mende au nyoka, TAFAKARI.