MACHOZI - Tumaini Shangilieni Choir

  Рет қаралды 134,175

Tumaini Shangilieni Choir

Tumaini Shangilieni Choir

Күн бұрын

Tumaini Shangilieni Choir, / tumainishangilieni.choir ; / tumainishangilienichoir

Пікірлер: 65
@Regnard999
@Regnard999 2 жыл бұрын
Nimerudi hapa 2023 baada ya ushuhuda. Hakika Mungu yupo na anatenda makuu! Mzidi kubarikiwa Tumaini Shangilieni.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Mpendwa @poet Bishoza, Tungetamani kusikia zaidi juuya ushuhuda wako, Tafadhali tuwasiliane hapa 0765637590
@ErsaoAndrew
@ErsaoAndrew 3 ай бұрын
Nabarikiwa sana na wimbo huu
@AdamChambo-mf4ek
@AdamChambo-mf4ek 5 ай бұрын
Hakika uimbaji uliokomaa waimbaji wamepevuka kiuimbaji sana,hongereni sana Mungu aendelee kuwatumia vyema kwenye huduma hii aliyowaitia.
@stanleyzoka9527
@stanleyzoka9527 3 жыл бұрын
Kutoka Mombasa, Kenya nasema mumeubariki moyo wangu sana tangu nilipoanza kupata kanda zenu 1990 hadi sasa 2022. Muzidi kuinuliwa na Bwana juu tena juu sana. February 22, 2022.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Upendo mwingi sana kwako na nchi yoye ya Kenya
@elizabethdaudi-kw1qf
@elizabethdaudi-kw1qf Жыл бұрын
Hbr ya leo wazima huko nawapenda sana mungu azidi kuwainua katika uimbaji wenu kila siku lazima niwasikilize mungu awabariki.
@lamfy4098
@lamfy4098 Жыл бұрын
Naye atanipa mlango wa kutokea tuu. Be blessed
@mputaostin3077
@mputaostin3077 Жыл бұрын
Mungu awabariki kazi nzuri ila tunaomba mtu wekee wimbo unaitwa "Bwana Mungu atafuta machozi ni wimbo ninao upenda sana.
@criss336
@criss336 4 жыл бұрын
Ninabarikiwa sana asanteni tumaini inawezekana napitia kwenye magumu lkn lipo tumaini kwa Yesu.
@georgedinda7400
@georgedinda7400 3 жыл бұрын
Wimbo huu ni ushuhuda wa maisha yangu. M'barikiwe sana rafiki zangu.
@ziribarmurumwa
@ziribarmurumwa 4 жыл бұрын
Hakuna jambo gumu ambalo la kumshinda Mungu,,Amina Nabarikiwa sana na huu wimbo,,Mungu awabariki na awazidishie katika huduma wenu. Love From Kenya
@NeemaMushi-hn9oe
@NeemaMushi-hn9oe Жыл бұрын
Wimbo huu ni ushuhuda wa maisha yangu Mungu awabariki sana
@emanuelmoshi7414
@emanuelmoshi7414 5 жыл бұрын
Huu wimbo una upako jamani... Yesu wabariki hawa watu. Kuna siku nilipaki gari pembeni kwa kuzidiwa na upako nilipokuwa nasikiliza huu wimbo
@irisdionis8131
@irisdionis8131 6 жыл бұрын
Nna mshuhudia Mung kwamba amenivusha kwenye eneo Gum ambalo sktegemea baada ya kusikilza wimbo huu .Kweli Amini na Mung atafanya.Nawapenda sana Mung awabariki waimbaji.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupigania mpendwa
@eliminadokinanda3414
@eliminadokinanda3414 2 жыл бұрын
naupenda sana huu wimbo
@AbdallahMbegu-e2n
@AbdallahMbegu-e2n 11 ай бұрын
Hili nalo litapita tuu hakika Mungu ni mwema, barikiwen watumish wa Mungu
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 9 ай бұрын
Amen Amen, Mungu wa mbinguni akubariki
@agneshassan4712
@agneshassan4712 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@ackgospelchannel2819
@ackgospelchannel2819 4 жыл бұрын
Nimejifunza mengi mazuri kupita kanda hill. Litukuzwe Yesu Mwokozi.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Amen
@amosnyanda1160
@amosnyanda1160 4 жыл бұрын
Mungu nisaidie nami nikutumikie kwa uimbaji 😭😭😭😭
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Amen, Mungu asikie maombi yako
@esthermamuya5645
@esthermamuya5645 Жыл бұрын
Excellent ❤😘
@ericamalima6650
@ericamalima6650 4 жыл бұрын
HII nyimbo imefanifanya nipate furaha ya ajabu
@mwaminilyaweye4078
@mwaminilyaweye4078 3 жыл бұрын
Huwa mnanibariki sana .
@johnmponji6521
@johnmponji6521 6 жыл бұрын
Furaha Mwaisoba ninawapenda sana na uimbaji wenu mnanibariki natoka mbeya
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Neema ya Mungu iendelee kukutunza sana
@Is_God_real
@Is_God_real 3 жыл бұрын
Nimerudi tena 2022
@evansmtambi9673
@evansmtambi9673 2 жыл бұрын
Dah speechless Amen
@angelmazanda8590
@angelmazanda8590 3 жыл бұрын
Nafarijika Sana na kujiona mshindi kupitia wimbo huu
@gmwakiro
@gmwakiro 2 жыл бұрын
Very soothing song when I suddenly lost my mom.
@michaelchristopher8415
@michaelchristopher8415 5 жыл бұрын
Masolo mko vizuri
@isayasonelo4087
@isayasonelo4087 2 жыл бұрын
my foveolate song waooh!
@isaackivuitu857
@isaackivuitu857 4 жыл бұрын
Nafarijika Kwa kuusikiliza wimbo huu
@naomijuma5190
@naomijuma5190 7 жыл бұрын
Kama ni magonjwa ww unaponya kama ni machoz ww unafuta,ooh hallelujah nice song
@afmabeat9567
@afmabeat9567 6 жыл бұрын
Naomi Juma nani kama yesu kristo?
@shilikale
@shilikale 7 жыл бұрын
Ninaishukuru sana Tumain kwaya kwa wimbo huu unanitia moyo. Thanks sana.
@freyfastle1784
@freyfastle1784 7 жыл бұрын
hongeren kwa huduma hiyoooo
@ashelyjonas8141
@ashelyjonas8141 6 жыл бұрын
ukwel hapa mlijitahdi sana hasa kwa ss wenye kiu na hofu KwA mungu inatupa nguvu
@edrozasanga5632
@edrozasanga5632 4 жыл бұрын
Hakika nabarikiwa mnoo na huu wimbo
@Mg-ow9dm
@Mg-ow9dm 7 жыл бұрын
Mmmmh ninaupenda wimbo huu mno... Mbarikiwe sana
@saidsullemankliff
@saidsullemankliff Жыл бұрын
🙏🙏
@ymusic803
@ymusic803 5 жыл бұрын
Nyimbo za moyo wangu
@ernestkayombi5474
@ernestkayombi5474 3 жыл бұрын
Asanteni,nimebarikawa
@neemaalice7482
@neemaalice7482 5 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu,,,ni ibada nzuri
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
We are humbled
@michaelchristopher8415
@michaelchristopher8415 5 жыл бұрын
Hiii nyimbo naipenda sanaaa solo ubarikiwe
@janekwahada580
@janekwahada580 6 жыл бұрын
Mbarikiwe amen
@latifahood4695
@latifahood4695 4 жыл бұрын
Blessed
@johnnyemba3261
@johnnyemba3261 6 жыл бұрын
Ujumbe mzuri
@benjakavageme1693
@benjakavageme1693 7 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana
@hoseagabriel4698
@hoseagabriel4698 6 жыл бұрын
Mbarikiwe sanaa
@ombennassary7438
@ombennassary7438 4 жыл бұрын
Love you all
@mwitasamwel7972
@mwitasamwel7972 6 жыл бұрын
C wasikii wanaume kbsa
@hoseagabriel4698
@hoseagabriel4698 5 жыл бұрын
Hongereni Sana na mbarikiwe watu wa mungu
@glorykamenya2543
@glorykamenya2543 4 жыл бұрын
Amen
@afmabeat9567
@afmabeat9567 6 жыл бұрын
Wekeni futa machozi online please.
@edinalihedule3421
@edinalihedule3421 5 жыл бұрын
Amen🙏
@Is_God_real
@Is_God_real 3 жыл бұрын
Jaman mm ndo naongoza views maana si kwa kuurudia huu wimbo
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 3 жыл бұрын
Ahsante sana rachel, Mungu akubariki sana.
@salomeramadhani3887
@salomeramadhani3887 2 жыл бұрын
Nabarikiwa saana na waimbaji wa Shangilieni tangu nikiwa binti Mwaka 1997 mpaka Sasa sijawahi juta kuwafahamu mbarikiwe saana
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Mungu akakutembelee kwa wingi pia
NIONGOZE - Tumaini Shangilieni Choir
6:55
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 161 М.
BORITI
8:43
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 85 М.
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
Come and See
11:38
Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama - Topic
Рет қаралды 497
SIRI YA MACHOZI BY MERCY KEN OFFICIAL
7:54
MERCY KEN OFFICIAL
Рет қаралды 9 МЛН
HUYU NDIYE YESU - Na. Baraka John | Kwaya ya Mt. Secilia Tungi Morogoro (Official Video)
7:01
Njooni na furaha - Tumaini Shangilieni Choir
6:24
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 71 М.
Mtu wa Nne  -  Kinondoni Revival Choir (Official Music Video).
9:41
Kinondoni Revival Choir [KRC] The healing voice
Рет қаралды 105 М.
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
UFUNUO CHOIR
Рет қаралды 6 МЛН
Siitafuti Mali  - Tumaini Shangilieni Choir
7:13
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 26 М.
Ombi Langu Medley- Reuben Kigame Ft. Sifa Voices
10:16
REUBEN KIGAME OFFICIAL
Рет қаралды 1,9 МЛН
•Tenzi za Rohoni 141 Pana jito lina maji mzuri ~Mwl.Godian Newton
8:05
Total Gospel Ministry
Рет қаралды 97 М.