Рет қаралды 25
Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya ni hospitali yenye hadhi ya Kanda inayopatikana katika mkoa wa Mbeya ikihudumia mikoa Saba ya nyanda za juu kusini ikiwemo Mbeya, Songwe, Ruvuma, Iringa, Njombe, Rukwa na Katavi pamoja na nchi jirani Kama Malawi, Zambia na Congo! Ni hospitali Bora iliyojikita zaidi kutoa huduma Bora kwa wananchi wanaoizunguka! Karibu tukuhudumie.