USO Kwa MACHO Vituko😂 AHMED ALLY Amchana ALIKAMWE | FIFA Wamewapa RUNGU Mna Roho Mbaya

  Рет қаралды 82,082

Tuzo Online

Tuzo Online

Күн бұрын

Пікірлер: 133
@StephanoAlmas-z6n
@StephanoAlmas-z6n 28 күн бұрын
DAH! Semaji ni Moja tu duniani, AHMED ALLY...Unaongezea sana watu uhai.
@EsmaandreaMakita
@EsmaandreaMakita 23 күн бұрын
Acha kuongea aibu wewe
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 28 күн бұрын
nimecheka kwa sauti , huyu semaji ni nooomaaa sana 😂😂😂😂😂 we love you semaji la dunia
@PaulAmos-vb1is
@PaulAmos-vb1is 28 күн бұрын
Hawa jamaa ni washikaji vibaya mnoo❤
@EbenezerNassary
@EbenezerNassary 28 күн бұрын
😂😂😂 ila ahmed ally bhan anyway nafrah san mkiwa pamoj huo ndo mpira 😊
@Heri-k3v
@Heri-k3v 28 күн бұрын
Daaah nimecheka watani hawa ni hatari ila Ahmed Ally duuuh kila nikimskiliza nafurahi
@kefangendwa3336
@kefangendwa3336 28 күн бұрын
Ahmed ally ni hatar sanaaa🎉🎉🎉😂😂
@Swamyhassan_sy
@Swamyhassan_sy 27 күн бұрын
Hawa watu nawapenda wotee jamnii wapo vzr na wanaongoza vzr sana ❤❤❤
@catherinecostantino2034
@catherinecostantino2034 22 күн бұрын
Nawakubali Sanaa baba na mtoto wake
@GodfreyMhando-gn7ok
@GodfreyMhando-gn7ok 27 күн бұрын
Brother mm najuwa sanaaa hongera sanaaa brother
@KakeSimba
@KakeSimba 27 күн бұрын
Hii nimeipendasanaaaa
@RAMADHANAllykibanga
@RAMADHANAllykibanga 28 күн бұрын
😂❤Ahmed ninoma
@pascalvitalis
@pascalvitalis 28 күн бұрын
Wasomi wakiwa wamekutana... Ahmed Ally 🎉🎉🎉
@IssackJackson
@IssackJackson 28 күн бұрын
Ahamed ally hatariiiiii sana
@AndrewLikiti-yb2ws
@AndrewLikiti-yb2ws 28 күн бұрын
Ila Ahamed Ally uko vizuri unampa uzoefu.
@AbdulMartial
@AbdulMartial 27 күн бұрын
😂😂😂😂duuuh mbn nyie mlimvisha kinyago
@adeliusvedasto7214
@adeliusvedasto7214 28 күн бұрын
Nimependa hii. Mpira si uadui.
@godwinrurio9060
@godwinrurio9060 28 күн бұрын
Hii ndo maana ya utani wa jadi.
@malitozzy3538
@malitozzy3538 28 күн бұрын
Ali Kwa Ali mnatuchekesha sanaaa😂😂😂😂😂
@BeatriceSamwel-t1m
@BeatriceSamwel-t1m 27 күн бұрын
Ahmed ali atari sana 😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela🎉🎉
@yaseer255
@yaseer255 27 күн бұрын
Ali kamwe anafurahi sana Ahmed ally akiongea ndo ujue thamani ya mtu Ni watu
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 28 күн бұрын
Ahmedy ally bhana
@stevenkomba4621
@stevenkomba4621 27 күн бұрын
Daaah laha tupu yan😂😂😂😂😂
@fettyabuu2644
@fettyabuu2644 27 күн бұрын
Mpira ni furaha sio uhadui. Safi sanaaa
@IsmailMrisho-v1n
@IsmailMrisho-v1n 27 күн бұрын
ila Ahmedy Ally.....😂😂😂
@RajabuRamadhan-cy4cj
@RajabuRamadhan-cy4cj 26 күн бұрын
Nawapenda sana wasemaji wetu ashamed aliy na aliy kamwe❤
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 28 күн бұрын
Mkiwa huvi mnakua kama ndugu huu ndio kuleta mpira wa tz pamoja sio kilasiku kupakana kuweni kama wasemaji wa club kubwa acheni utoto
@JosephAlex-pm7rp
@JosephAlex-pm7rp 28 күн бұрын
Hahahahahahaa ila jmn daaa mnavituko nimewapenda buree
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 27 күн бұрын
Semaji kama semaji la caf ila nyny mnavituko sanaa nambajuwa kutuchekeshaa😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@evaristvenant
@evaristvenant 28 күн бұрын
Nimerudia karibu mara 10 yaani LEONARDO AJIPANGE😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@michaelnsingija
@michaelnsingija 27 күн бұрын
daa mnafulahisha sana
@ranman4910
@ranman4910 28 күн бұрын
Ahmed Ally 😂😂😂😂😂😂
@juliaskasiaka
@juliaskasiaka 27 күн бұрын
Hawa majamaaaa wawili asee nimewapenda sana bureeeee2
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 24 күн бұрын
😂😂😂😂nawakubali sana hawa watu
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 28 күн бұрын
Ila Ahmed Ally anajua kuchekesha kweli jama ni comedy haswa.
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 28 күн бұрын
Ahmed Aliii
@NeemaMushi-wj1zn
@NeemaMushi-wj1zn 28 күн бұрын
Ahmed ali 😂😂😂
@JosephSongolo-lb9fr
@JosephSongolo-lb9fr 21 күн бұрын
Hadi Raha me nimeipenda sana hii watani hasa Hawa wanajua utani ni Nini.😂😂
@ranman4910
@ranman4910 28 күн бұрын
Aki na ukwa😂😂😂😂
@denizamwanisawa6230
@denizamwanisawa6230 28 күн бұрын
Safi sana vigurunyembe mnaanza kuchongaa.
@OmaryAthuman-jt2fc
@OmaryAthuman-jt2fc 26 күн бұрын
Nimeipenda sana hii semaji langu❤❤❤
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 28 күн бұрын
Ahmed Aly 😂😂😂
@chrisjulius4310
@chrisjulius4310 21 күн бұрын
Apo mzungu roho inamuhuma😅😅😅
@JosephLamau-yq1lx
@JosephLamau-yq1lx 27 күн бұрын
Wawoo hii safi Sana semaji la cafu na semaji utopolo Simba na Yanga yeeee
@beyondmediatz1607
@beyondmediatz1607 27 күн бұрын
Ahmed awamuwezi
@AbdulkarimKigarawa
@AbdulkarimKigarawa 28 күн бұрын
Dah alikwame tembelea upepo wa ahmed ally ilo likowaz
@Green_255_Enock
@Green_255_Enock 27 күн бұрын
Hawa jamaa wanatoa laha sanaaa
@SalmahMwagunda
@SalmahMwagunda 27 күн бұрын
huu ndio utani sio haji manyara
@IddyMawenge
@IddyMawenge 28 күн бұрын
Yaani hawa ndy watani wa jadi halisi siyo yule nguruwe pori cha matusi
@user-yq7dm4gw6j
@user-yq7dm4gw6j 28 күн бұрын
Mjinga yule Hana utani wa kweli kwanza yule wap na wap na utani
@ChingaPambakalii
@ChingaPambakalii 25 күн бұрын
Yule zeluzelu anaupungufu wa akili awa ndo wasemaji
@Fatuma-z9u
@Fatuma-z9u 27 күн бұрын
Ila Ahmed Ally 😂😂😂😂😂
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 27 күн бұрын
Hahahaha unaruhusiwa kuchekesha😂😂😂
@eggysulle7988
@eggysulle7988 27 күн бұрын
😂😂😂 kwenye nyongeza😂😂😂
@reymahandrew2564
@reymahandrew2564 26 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zanguuuuu uwiiiiii
@IsihakaAlly-fj4qo
@IsihakaAlly-fj4qo 26 күн бұрын
Kuna kipindi alipandikiza chuki kwa mashabiki wa Simba na Yanga mpaka ikawa wanapigana uwanjani ila hawa jamaa wanachokifanya watataniana watachekana na maisha yataendelea
@AminaMagunda-lv4sn
@AminaMagunda-lv4sn 26 күн бұрын
Ahmedy ❤❤❤
@juliaskasiaka
@juliaskasiaka 27 күн бұрын
😂😂😂😂 bhana mbavu mpaka sinaniuma asee
@TitoSarwat
@TitoSarwat 26 күн бұрын
Nakuelewa Ahmed Ali
@ZablonjaphetAsulwisye
@ZablonjaphetAsulwisye 26 күн бұрын
Nawapenda wote wanafulaisha sanaaaa
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 27 күн бұрын
Yani hawa wakizeeka wakianzisha comedy wanatoboa kabisaa
@godlistenclaud1205
@godlistenclaud1205 27 күн бұрын
Ahmed ally😂😂😂
@brunonkelemi2637
@brunonkelemi2637 25 күн бұрын
Safi sana ma afisa wetu
@israelkiobya8702
@israelkiobya8702 28 күн бұрын
Tunaitaji kucheka. Maisha ni furaha
@DAVID-wp4vc
@DAVID-wp4vc 27 күн бұрын
Nimecheka sana😅
@Lulaboytz
@Lulaboytz 27 күн бұрын
Asante sana
@AbdallahMapila
@AbdallahMapila 27 күн бұрын
Ahmed ally ni comedy
@Jerie-q1c
@Jerie-q1c 28 күн бұрын
Jamaa wamenichekesha sanaa. Mafundi sanaaa
@haidarywenge3607
@haidarywenge3607 26 күн бұрын
Inapendeza😅
@majaliwahamisi8898
@majaliwahamisi8898 24 күн бұрын
Duuuuu
@SamsonKarungubale-dh4so
@SamsonKarungubale-dh4so 27 күн бұрын
Sawa bwana
@rasheedseleman9779
@rasheedseleman9779 25 күн бұрын
Mbn Ahmed ally atujamskia ????atununuiiiii
@YohanaMwakaje
@YohanaMwakaje 28 күн бұрын
Nhuruwe mbona siioni
@ChingaPambakalii
@ChingaPambakalii 25 күн бұрын
Unaluhusiwa kuchekesha
@kaizachief4912
@kaizachief4912 27 күн бұрын
😂😂😂Ndugu kabsa hawa
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 27 күн бұрын
Tafsiri halisi ya Utani 😂😂 hata mashabiki tungekua namna hii ingekua poa sana
@flova7022
@flova7022 28 күн бұрын
Ila hawa ndugu mmanara awaache tu...
@beyondmediatz1607
@beyondmediatz1607 27 күн бұрын
Kabisa manara miaka aliyokaa nje ya mpira kapotea hawezi kuendana na upepo huu
@edwardpaulo3351
@edwardpaulo3351 27 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MafundaSaid-r8p
@MafundaSaid-r8p 27 күн бұрын
Yaani kama umenuna utacheka Kwa Ahmed Ali kongole semaji la CAF
@user-in3bb3kn7d
@user-in3bb3kn7d 28 күн бұрын
Ahmedy alyb😂
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 27 күн бұрын
Hawa Vijana wako vizuri. Usemaji wa Vilabu si Vita na hapo mnadhihirisha kuwa utani wa Jadi Simba na Yanga ni vita ya maneno Kwa Muda mfupi. baada ya hapo maisha yanaendelea.
@mckobatz5861
@mckobatz5861 27 күн бұрын
😂😂😂 hawa jamaa burudani sana
@IMANIMWAITEGE-ve8gr
@IMANIMWAITEGE-ve8gr 27 күн бұрын
Nimefurahi nyinyi mkiwa pamoja.
@gagcengineeringgeita1023
@gagcengineeringgeita1023 27 күн бұрын
Hahaaa
@WilsonBonface
@WilsonBonface 27 күн бұрын
Ila tunaomba sana viongozi tunakaa roho juu kwa aya madeni ila Ahmed kituko sana jamaa
@EsmaandreaMakita
@EsmaandreaMakita 23 күн бұрын
Wanaujua utan hapo tumemkosa ibwe t
@MadarakaNyenza
@MadarakaNyenza 27 күн бұрын
Ahmed Tisha mbaya
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 27 күн бұрын
Huo ndio mpila sasa sio chuki Hawa wasemaji wanapendeza sio Manara nachuki zake
@YovitaHilalChilemba-xe4cg
@YovitaHilalChilemba-xe4cg 28 күн бұрын
Mko vzr ivyo ndo inatakiwa sio yule bwana matus
@AzariaKajiru-eh3se
@AzariaKajiru-eh3se 27 күн бұрын
Hawa jamaa wapo sawa
@shukranitv2971
@shukranitv2971 27 күн бұрын
Hawa watu. Akili mingi sna
@ranman4910
@ranman4910 28 күн бұрын
Mwijaku na baba levo
@ELVASMBOGO
@ELVASMBOGO 25 күн бұрын
Bodi ya ligi wawapige faini tumlipie Ahmed Ally
@LovelyCalicoCat-qs1ot
@LovelyCalicoCat-qs1ot 27 күн бұрын
ahamed apan jaman
@MADINAKITEMO
@MADINAKITEMO 27 күн бұрын
Ahmedi Ally nimekuvulia kofia
@barakamfilinge6943
@barakamfilinge6943 26 күн бұрын
Kibwaga udugu hapa asingeweza
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 27 күн бұрын
Hawa jamaa ni marafiki na wanapendana sannah
@RodenMgata
@RodenMgata 27 күн бұрын
😂😂😂😂😂🌹🌹🌹
@johanesdeogratias5106
@johanesdeogratias5106 27 күн бұрын
putty IPO Sawa lakini card zao zinagoma kuingia ndio maana tumeach kuzinunua
@IMANIMWAITEGE-ve8gr
@IMANIMWAITEGE-ve8gr 27 күн бұрын
Ali kamwe na semaji la CAF mnatuvunja mbavu
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 28 күн бұрын
Ahmed Ali mmoja ni sw na Ali komwe saba 7 wa UTOPOLO 😂😂😂
@robertzamani5612
@robertzamani5612 28 күн бұрын
Huyo ni komediani bhana usimfananishe na ally Kamwe
@robertzamani5612
@robertzamani5612 28 күн бұрын
Huyo ni komediani bhana usimfananishe na ally Kamwe
@BonaventureEmmanuel-i9e
@BonaventureEmmanuel-i9e 28 күн бұрын
Ubaya ubwela
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 28 күн бұрын
🎉
@ALLYSAIDI-jl6dn
@ALLYSAIDI-jl6dn 27 күн бұрын
😅😅
@nathanjulius5312
@nathanjulius5312 27 күн бұрын
Tumechekeshwa na tumejua kabila lake ... Kumbe mpare wa same
SCHOOLBOY. Мама флексит 🫣👩🏻
00:41
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 7 МЛН
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 60 МЛН
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 37 МЛН
MWIJAKU AMLIPUA HAMISA MOBETTO, KUTEMBEA NA AZIZI K NI UPUUZI
11:42
SCHOOLBOY. Мама флексит 🫣👩🏻
00:41
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 7 МЛН