DAH! Semaji ni Moja tu duniani, AHMED ALLY...Unaongezea sana watu uhai.
@EsmaandreaMakita23 күн бұрын
Acha kuongea aibu wewe
@allymwashambwa592028 күн бұрын
nimecheka kwa sauti , huyu semaji ni nooomaaa sana 😂😂😂😂😂 we love you semaji la dunia
@PaulAmos-vb1is28 күн бұрын
Hawa jamaa ni washikaji vibaya mnoo❤
@EbenezerNassary28 күн бұрын
😂😂😂 ila ahmed ally bhan anyway nafrah san mkiwa pamoj huo ndo mpira 😊
@Heri-k3v28 күн бұрын
Daaah nimecheka watani hawa ni hatari ila Ahmed Ally duuuh kila nikimskiliza nafurahi
@kefangendwa333628 күн бұрын
Ahmed ally ni hatar sanaaa🎉🎉🎉😂😂
@Swamyhassan_sy27 күн бұрын
Hawa watu nawapenda wotee jamnii wapo vzr na wanaongoza vzr sana ❤❤❤
@catherinecostantino203422 күн бұрын
Nawakubali Sanaa baba na mtoto wake
@GodfreyMhando-gn7ok27 күн бұрын
Brother mm najuwa sanaaa hongera sanaaa brother
@KakeSimba27 күн бұрын
Hii nimeipendasanaaaa
@RAMADHANAllykibanga28 күн бұрын
😂❤Ahmed ninoma
@pascalvitalis28 күн бұрын
Wasomi wakiwa wamekutana... Ahmed Ally 🎉🎉🎉
@IssackJackson28 күн бұрын
Ahamed ally hatariiiiii sana
@AndrewLikiti-yb2ws28 күн бұрын
Ila Ahamed Ally uko vizuri unampa uzoefu.
@AbdulMartial27 күн бұрын
😂😂😂😂duuuh mbn nyie mlimvisha kinyago
@adeliusvedasto721428 күн бұрын
Nimependa hii. Mpira si uadui.
@godwinrurio906028 күн бұрын
Hii ndo maana ya utani wa jadi.
@malitozzy353828 күн бұрын
Ali Kwa Ali mnatuchekesha sanaaa😂😂😂😂😂
@BeatriceSamwel-t1m27 күн бұрын
Ahmed ali atari sana 😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela🎉🎉
@yaseer25527 күн бұрын
Ali kamwe anafurahi sana Ahmed ally akiongea ndo ujue thamani ya mtu Ni watu
@sandalakabalo544228 күн бұрын
Ahmedy ally bhana
@stevenkomba462127 күн бұрын
Daaah laha tupu yan😂😂😂😂😂
@fettyabuu264427 күн бұрын
Mpira ni furaha sio uhadui. Safi sanaaa
@IsmailMrisho-v1n27 күн бұрын
ila Ahmedy Ally.....😂😂😂
@RajabuRamadhan-cy4cj26 күн бұрын
Nawapenda sana wasemaji wetu ashamed aliy na aliy kamwe❤
@abdallahakida790828 күн бұрын
Mkiwa huvi mnakua kama ndugu huu ndio kuleta mpira wa tz pamoja sio kilasiku kupakana kuweni kama wasemaji wa club kubwa acheni utoto
@JosephAlex-pm7rp28 күн бұрын
Hahahahahahaa ila jmn daaa mnavituko nimewapenda buree
@aminahhuawei113327 күн бұрын
Semaji kama semaji la caf ila nyny mnavituko sanaa nambajuwa kutuchekeshaa😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@evaristvenant28 күн бұрын
Nimerudia karibu mara 10 yaani LEONARDO AJIPANGE😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@michaelnsingija27 күн бұрын
daa mnafulahisha sana
@ranman491028 күн бұрын
Ahmed Ally 😂😂😂😂😂😂
@juliaskasiaka27 күн бұрын
Hawa majamaaaa wawili asee nimewapenda sana bureeeee2
@mohammedkidody561824 күн бұрын
😂😂😂😂nawakubali sana hawa watu
@NtamamiloGibson28 күн бұрын
Ila Ahmed Ally anajua kuchekesha kweli jama ni comedy haswa.
@omarybakunda255428 күн бұрын
Ahmed Aliii
@NeemaMushi-wj1zn28 күн бұрын
Ahmed ali 😂😂😂
@JosephSongolo-lb9fr21 күн бұрын
Hadi Raha me nimeipenda sana hii watani hasa Hawa wanajua utani ni Nini.😂😂
@ranman491028 күн бұрын
Aki na ukwa😂😂😂😂
@denizamwanisawa623028 күн бұрын
Safi sana vigurunyembe mnaanza kuchongaa.
@OmaryAthuman-jt2fc26 күн бұрын
Nimeipenda sana hii semaji langu❤❤❤
@thehustlerafrica436828 күн бұрын
Ahmed Aly 😂😂😂
@chrisjulius431021 күн бұрын
Apo mzungu roho inamuhuma😅😅😅
@JosephLamau-yq1lx27 күн бұрын
Wawoo hii safi Sana semaji la cafu na semaji utopolo Simba na Yanga yeeee
@beyondmediatz160727 күн бұрын
Ahmed awamuwezi
@AbdulkarimKigarawa28 күн бұрын
Dah alikwame tembelea upepo wa ahmed ally ilo likowaz
@Green_255_Enock27 күн бұрын
Hawa jamaa wanatoa laha sanaaa
@SalmahMwagunda27 күн бұрын
huu ndio utani sio haji manyara
@IddyMawenge28 күн бұрын
Yaani hawa ndy watani wa jadi halisi siyo yule nguruwe pori cha matusi
@user-yq7dm4gw6j28 күн бұрын
Mjinga yule Hana utani wa kweli kwanza yule wap na wap na utani
@ChingaPambakalii25 күн бұрын
Yule zeluzelu anaupungufu wa akili awa ndo wasemaji
@Fatuma-z9u27 күн бұрын
Ila Ahmed Ally 😂😂😂😂😂
@mahmoudhamisi67327 күн бұрын
Hahahaha unaruhusiwa kuchekesha😂😂😂
@eggysulle798827 күн бұрын
😂😂😂 kwenye nyongeza😂😂😂
@reymahandrew256426 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zanguuuuu uwiiiiii
@IsihakaAlly-fj4qo26 күн бұрын
Kuna kipindi alipandikiza chuki kwa mashabiki wa Simba na Yanga mpaka ikawa wanapigana uwanjani ila hawa jamaa wanachokifanya watataniana watachekana na maisha yataendelea
@AminaMagunda-lv4sn26 күн бұрын
Ahmedy ❤❤❤
@juliaskasiaka27 күн бұрын
😂😂😂😂 bhana mbavu mpaka sinaniuma asee
@TitoSarwat26 күн бұрын
Nakuelewa Ahmed Ali
@ZablonjaphetAsulwisye26 күн бұрын
Nawapenda wote wanafulaisha sanaaaa
@mahmoudhamisi67327 күн бұрын
Yani hawa wakizeeka wakianzisha comedy wanatoboa kabisaa
@godlistenclaud120527 күн бұрын
Ahmed ally😂😂😂
@brunonkelemi263725 күн бұрын
Safi sana ma afisa wetu
@israelkiobya870228 күн бұрын
Tunaitaji kucheka. Maisha ni furaha
@DAVID-wp4vc27 күн бұрын
Nimecheka sana😅
@Lulaboytz27 күн бұрын
Asante sana
@AbdallahMapila27 күн бұрын
Ahmed ally ni comedy
@Jerie-q1c28 күн бұрын
Jamaa wamenichekesha sanaa. Mafundi sanaaa
@haidarywenge360726 күн бұрын
Inapendeza😅
@majaliwahamisi889824 күн бұрын
Duuuuu
@SamsonKarungubale-dh4so27 күн бұрын
Sawa bwana
@rasheedseleman977925 күн бұрын
Mbn Ahmed ally atujamskia ????atununuiiiii
@YohanaMwakaje28 күн бұрын
Nhuruwe mbona siioni
@ChingaPambakalii25 күн бұрын
Unaluhusiwa kuchekesha
@kaizachief491227 күн бұрын
😂😂😂Ndugu kabsa hawa
@emanuelleopod394927 күн бұрын
Tafsiri halisi ya Utani 😂😂 hata mashabiki tungekua namna hii ingekua poa sana
@flova702228 күн бұрын
Ila hawa ndugu mmanara awaache tu...
@beyondmediatz160727 күн бұрын
Kabisa manara miaka aliyokaa nje ya mpira kapotea hawezi kuendana na upepo huu
@edwardpaulo335127 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MafundaSaid-r8p27 күн бұрын
Yaani kama umenuna utacheka Kwa Ahmed Ali kongole semaji la CAF
@user-in3bb3kn7d28 күн бұрын
Ahmedy alyb😂
@josephmathayo513927 күн бұрын
Hawa Vijana wako vizuri. Usemaji wa Vilabu si Vita na hapo mnadhihirisha kuwa utani wa Jadi Simba na Yanga ni vita ya maneno Kwa Muda mfupi. baada ya hapo maisha yanaendelea.
@mckobatz586127 күн бұрын
😂😂😂 hawa jamaa burudani sana
@IMANIMWAITEGE-ve8gr27 күн бұрын
Nimefurahi nyinyi mkiwa pamoja.
@gagcengineeringgeita102327 күн бұрын
Hahaaa
@WilsonBonface27 күн бұрын
Ila tunaomba sana viongozi tunakaa roho juu kwa aya madeni ila Ahmed kituko sana jamaa
@EsmaandreaMakita23 күн бұрын
Wanaujua utan hapo tumemkosa ibwe t
@MadarakaNyenza27 күн бұрын
Ahmed Tisha mbaya
@chusseboywcb280827 күн бұрын
Huo ndio mpila sasa sio chuki Hawa wasemaji wanapendeza sio Manara nachuki zake
@YovitaHilalChilemba-xe4cg28 күн бұрын
Mko vzr ivyo ndo inatakiwa sio yule bwana matus
@AzariaKajiru-eh3se27 күн бұрын
Hawa jamaa wapo sawa
@shukranitv297127 күн бұрын
Hawa watu. Akili mingi sna
@ranman491028 күн бұрын
Mwijaku na baba levo
@ELVASMBOGO25 күн бұрын
Bodi ya ligi wawapige faini tumlipie Ahmed Ally
@LovelyCalicoCat-qs1ot27 күн бұрын
ahamed apan jaman
@MADINAKITEMO27 күн бұрын
Ahmedi Ally nimekuvulia kofia
@barakamfilinge694326 күн бұрын
Kibwaga udugu hapa asingeweza
@naimasbuguza239527 күн бұрын
Hawa jamaa ni marafiki na wanapendana sannah
@RodenMgata27 күн бұрын
😂😂😂😂😂🌹🌹🌹
@johanesdeogratias510627 күн бұрын
putty IPO Sawa lakini card zao zinagoma kuingia ndio maana tumeach kuzinunua
@IMANIMWAITEGE-ve8gr27 күн бұрын
Ali kamwe na semaji la CAF mnatuvunja mbavu
@halidimgonza594528 күн бұрын
Ahmed Ali mmoja ni sw na Ali komwe saba 7 wa UTOPOLO 😂😂😂
@robertzamani561228 күн бұрын
Huyo ni komediani bhana usimfananishe na ally Kamwe
@robertzamani561228 күн бұрын
Huyo ni komediani bhana usimfananishe na ally Kamwe
@BonaventureEmmanuel-i9e28 күн бұрын
Ubaya ubwela
@allymwashambwa592028 күн бұрын
🎉
@ALLYSAIDI-jl6dn27 күн бұрын
😅😅
@nathanjulius531227 күн бұрын
Tumechekeshwa na tumejua kabila lake ... Kumbe mpare wa same