USO Kwa MACHO Vituko😂 AHMED ALLY Amchana ALIKAMWE | FIFA Wamewapa RUNGU Mna Roho Mbaya

  Рет қаралды 87,267

Tuzo Online

Tuzo Online

Күн бұрын

Пікірлер: 133
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 5 ай бұрын
nimecheka kwa sauti , huyu semaji ni nooomaaa sana 😂😂😂😂😂 we love you semaji la dunia
@StephanoAlmas-z6n
@StephanoAlmas-z6n 5 ай бұрын
DAH! Semaji ni Moja tu duniani, AHMED ALLY...Unaongezea sana watu uhai.
@EsmaandreaMakita
@EsmaandreaMakita 5 ай бұрын
Acha kuongea aibu wewe
@Swamyhassan_sy
@Swamyhassan_sy 5 ай бұрын
Hawa watu nawapenda wotee jamnii wapo vzr na wanaongoza vzr sana ❤❤❤
@catherinecostantino2034
@catherinecostantino2034 5 ай бұрын
Nawakubali Sanaa baba na mtoto wake
@EbenezerNassary
@EbenezerNassary 5 ай бұрын
😂😂😂 ila ahmed ally bhan anyway nafrah san mkiwa pamoj huo ndo mpira 😊
@PaulAmos-vb1is
@PaulAmos-vb1is 5 ай бұрын
Hawa jamaa ni washikaji vibaya mnoo❤
@Heri-k3v
@Heri-k3v 5 ай бұрын
Daaah nimecheka watani hawa ni hatari ila Ahmed Ally duuuh kila nikimskiliza nafurahi
@GodfreyMhando-gn7ok
@GodfreyMhando-gn7ok 5 ай бұрын
Brother mm najuwa sanaaa hongera sanaaa brother
@RajabuRamadhan-cy4cj
@RajabuRamadhan-cy4cj 5 ай бұрын
Nawapenda sana wasemaji wetu ashamed aliy na aliy kamwe❤
@kefangendwa3336
@kefangendwa3336 5 ай бұрын
Ahmed ally ni hatar sanaaa🎉🎉🎉😂😂
@KakeSimba
@KakeSimba 5 ай бұрын
Hii nimeipendasanaaaa
@pascalvitalis
@pascalvitalis 5 ай бұрын
Wasomi wakiwa wamekutana... Ahmed Ally 🎉🎉🎉
@BeatriceSamwel-t1m
@BeatriceSamwel-t1m 5 ай бұрын
Ahmed ali atari sana 😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela🎉🎉
@AbdulMartial
@AbdulMartial 5 ай бұрын
😂😂😂😂duuuh mbn nyie mlimvisha kinyago
@AndrewLikiti-yb2ws
@AndrewLikiti-yb2ws 5 ай бұрын
Ila Ahamed Ally uko vizuri unampa uzoefu.
@fettyabuu2644
@fettyabuu2644 5 ай бұрын
Mpira ni furaha sio uhadui. Safi sanaaa
@Africa_Yao
@Africa_Yao 5 ай бұрын
Ali kamwe anafurahi sana Ahmed ally akiongea ndo ujue thamani ya mtu Ni watu
@JosephSongolo-lb9fr
@JosephSongolo-lb9fr 5 ай бұрын
Hadi Raha me nimeipenda sana hii watani hasa Hawa wanajua utani ni Nini.😂😂
@OmaryAthuman-jt2fc
@OmaryAthuman-jt2fc 5 ай бұрын
Nimeipenda sana hii semaji langu❤❤❤
@IssackJackson
@IssackJackson 5 ай бұрын
Ahamed ally hatariiiiii sana
@RAMADHANAllykibanga
@RAMADHANAllykibanga 5 ай бұрын
😂❤Ahmed ninoma
@chrisjulius4310
@chrisjulius4310 5 ай бұрын
Apo mzungu roho inamuhuma😅😅😅
@adeliusvedasto7214
@adeliusvedasto7214 5 ай бұрын
Nimependa hii. Mpira si uadui.
@godwinrurio9060
@godwinrurio9060 5 ай бұрын
Hii ndo maana ya utani wa jadi.
@juliaskasiaka
@juliaskasiaka 5 ай бұрын
Hawa majamaaaa wawili asee nimewapenda sana bureeeee2
@IsmailMrisho-v1n
@IsmailMrisho-v1n 5 ай бұрын
ila Ahmedy Ally.....😂😂😂
@stevenkomba4621
@stevenkomba4621 5 ай бұрын
Daaah laha tupu yan😂😂😂😂😂
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 5 ай бұрын
Semaji kama semaji la caf ila nyny mnavituko sanaa nambajuwa kutuchekeshaa😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@malitozzy3538
@malitozzy3538 5 ай бұрын
Ali Kwa Ali mnatuchekesha sanaaa😂😂😂😂😂
@JosephAlex-pm7rp
@JosephAlex-pm7rp 5 ай бұрын
Hahahahahahaa ila jmn daaa mnavituko nimewapenda buree
@SalmahMwagunda
@SalmahMwagunda 5 ай бұрын
huu ndio utani sio haji manyara
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 5 ай бұрын
Mkiwa huvi mnakua kama ndugu huu ndio kuleta mpira wa tz pamoja sio kilasiku kupakana kuweni kama wasemaji wa club kubwa acheni utoto
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 5 ай бұрын
Ahmedy ally bhana
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 5 ай бұрын
Ila Ahmed Ally anajua kuchekesha kweli jama ni comedy haswa.
@evaristvenant
@evaristvenant 5 ай бұрын
Nimerudia karibu mara 10 yaani LEONARDO AJIPANGE😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 5 ай бұрын
😂😂😂😂nawakubali sana hawa watu
@michaelnsingija
@michaelnsingija 5 ай бұрын
daa mnafulahisha sana
@ranman4910
@ranman4910 5 ай бұрын
Ahmed Ally 😂😂😂😂😂😂
@JosephLamau-yq1lx
@JosephLamau-yq1lx 5 ай бұрын
Wawoo hii safi Sana semaji la cafu na semaji utopolo Simba na Yanga yeeee
@Fatuma-z9u
@Fatuma-z9u 5 ай бұрын
Ila Ahmed Ally 😂😂😂😂😂
@IsihakaAlly-fj4qo
@IsihakaAlly-fj4qo 5 ай бұрын
Kuna kipindi alipandikiza chuki kwa mashabiki wa Simba na Yanga mpaka ikawa wanapigana uwanjani ila hawa jamaa wanachokifanya watataniana watachekana na maisha yataendelea
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 5 ай бұрын
Hahahaha unaruhusiwa kuchekesha😂😂😂
@denizamwanisawa6230
@denizamwanisawa6230 5 ай бұрын
Safi sana vigurunyembe mnaanza kuchongaa.
@AbdulkarimKigarawa
@AbdulkarimKigarawa 5 ай бұрын
Dah alikwame tembelea upepo wa ahmed ally ilo likowaz
@ranman4910
@ranman4910 5 ай бұрын
Aki na ukwa😂😂😂😂
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 5 ай бұрын
Ahmed Aliii
@reymahandrew2564
@reymahandrew2564 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zanguuuuu uwiiiiii
@Green_255_Enock
@Green_255_Enock 5 ай бұрын
Hawa jamaa wanatoa laha sanaaa
@AminaMagunda-lv4sn
@AminaMagunda-lv4sn 5 ай бұрын
Ahmedy ❤❤❤
@thehustlerafrica
@thehustlerafrica 5 ай бұрын
Ahmed Aly 😂😂😂
@TitoSarwat
@TitoSarwat 5 ай бұрын
Nakuelewa Ahmed Ali
@ZablonjaphetAsulwisye
@ZablonjaphetAsulwisye 5 ай бұрын
Nawapenda wote wanafulaisha sanaaaa
@NeemaMushi-wj1zn
@NeemaMushi-wj1zn 5 ай бұрын
Ahmed ali 😂😂😂
@juliaskasiaka
@juliaskasiaka 5 ай бұрын
😂😂😂😂 bhana mbavu mpaka sinaniuma asee
@brunonkelemi2637
@brunonkelemi2637 5 ай бұрын
Safi sana ma afisa wetu
@rasheedseleman9779
@rasheedseleman9779 5 ай бұрын
Mbn Ahmed ally atujamskia ????atununuiiiii
@eggysulle7988
@eggysulle7988 5 ай бұрын
😂😂😂 kwenye nyongeza😂😂😂
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 5 ай бұрын
Tafsiri halisi ya Utani 😂😂 hata mashabiki tungekua namna hii ingekua poa sana
@beyondmediatz1607
@beyondmediatz1607 5 ай бұрын
Ahmed awamuwezi
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 5 ай бұрын
Yani hawa wakizeeka wakianzisha comedy wanatoboa kabisaa
@godlistenclaud1205
@godlistenclaud1205 5 ай бұрын
Ahmed ally😂😂😂
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 5 ай бұрын
Hawa Vijana wako vizuri. Usemaji wa Vilabu si Vita na hapo mnadhihirisha kuwa utani wa Jadi Simba na Yanga ni vita ya maneno Kwa Muda mfupi. baada ya hapo maisha yanaendelea.
@IddyMawenge
@IddyMawenge 5 ай бұрын
Yaani hawa ndy watani wa jadi halisi siyo yule nguruwe pori cha matusi
@AlfaniMichael
@AlfaniMichael 5 ай бұрын
Mjinga yule Hana utani wa kweli kwanza yule wap na wap na utani
@ChingaPambakalii
@ChingaPambakalii 5 ай бұрын
Yule zeluzelu anaupungufu wa akili awa ndo wasemaji
@ELVASMBOGO
@ELVASMBOGO 5 ай бұрын
Bodi ya ligi wawapige faini tumlipie Ahmed Ally
@AbdallahMapila
@AbdallahMapila 5 ай бұрын
Ahmed ally ni comedy
@MafundaSaid-r8p
@MafundaSaid-r8p 5 ай бұрын
Yaani kama umenuna utacheka Kwa Ahmed Ali kongole semaji la CAF
@Jerie-q1c
@Jerie-q1c 5 ай бұрын
Jamaa wamenichekesha sanaa. Mafundi sanaaa
@WilsonBonface
@WilsonBonface 5 ай бұрын
Ila tunaomba sana viongozi tunakaa roho juu kwa aya madeni ila Ahmed kituko sana jamaa
@haidarywenge3607
@haidarywenge3607 5 ай бұрын
Inapendeza😅
@DAVID-wp4vc
@DAVID-wp4vc 5 ай бұрын
Nimecheka sana😅
@kaizachief4912
@kaizachief4912 5 ай бұрын
😂😂😂Ndugu kabsa hawa
@israelkiobya8702
@israelkiobya8702 5 ай бұрын
Tunaitaji kucheka. Maisha ni furaha
@SamsonKarungubale-dh4so
@SamsonKarungubale-dh4so 5 ай бұрын
Sawa bwana
@barakamfilinge6943
@barakamfilinge6943 5 ай бұрын
Kibwaga udugu hapa asingeweza
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 5 ай бұрын
Ahmed Ali mmoja ni sw na Ali komwe saba 7 wa UTOPOLO 😂😂😂
@robertzamani5612
@robertzamani5612 5 ай бұрын
Huyo ni komediani bhana usimfananishe na ally Kamwe
@robertzamani5612
@robertzamani5612 5 ай бұрын
Huyo ni komediani bhana usimfananishe na ally Kamwe
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 5 ай бұрын
Huo ndio mpila sasa sio chuki Hawa wasemaji wanapendeza sio Manara nachuki zake
@yustinndu-gt8hr
@yustinndu-gt8hr 5 ай бұрын
Yyaaan imenis tyu Ali kamwe a cheke mana semaji la caf liko kazin
@mckobatz5861
@mckobatz5861 5 ай бұрын
😂😂😂 hawa jamaa burudani sana
@IMANIMWAITEGE-ve8gr
@IMANIMWAITEGE-ve8gr 5 ай бұрын
Nimefurahi nyinyi mkiwa pamoja.
@SamwelJulius-e7k
@SamwelJulius-e7k 5 ай бұрын
Ila yanga kila mwezi lazima washtakiwe na FIFA
@EsmaandreaMakita
@EsmaandreaMakita 5 ай бұрын
Wanaujua utan hapo tumemkosa ibwe t
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 5 ай бұрын
Hawa jamaa ni marafiki na wanapendana sannah
@IMANIMWAITEGE-ve8gr
@IMANIMWAITEGE-ve8gr 5 ай бұрын
Ali kamwe na semaji la CAF mnatuvunja mbavu
@nathanjulius5312
@nathanjulius5312 5 ай бұрын
Tumechekeshwa na tumejua kabila lake ... Kumbe mpare wa same
@Lulaboytz
@Lulaboytz 5 ай бұрын
Asante sana
@majaliwahamisi8898
@majaliwahamisi8898 5 ай бұрын
Duuuuu
@shukranitv2971
@shukranitv2971 5 ай бұрын
Hawa watu. Akili mingi sna
@MadarakaNyenza
@MadarakaNyenza 5 ай бұрын
Ahmed Tisha mbaya
@johanesdeogratias5106
@johanesdeogratias5106 5 ай бұрын
putty IPO Sawa lakini card zao zinagoma kuingia ndio maana tumeach kuzinunua
@YovitaHilalChilemba-xe4cg
@YovitaHilalChilemba-xe4cg 5 ай бұрын
Mko vzr ivyo ndo inatakiwa sio yule bwana matus
@enoshmhemakapaya
@enoshmhemakapaya 5 ай бұрын
Ukijichanganya kwa Ahmed ali umeishaaaa kwakwel
@JofrayMahenge
@JofrayMahenge 5 ай бұрын
Ahamed ally yeye ni suuti kuwa nazifu Ila Alli kamwe ni miwani na tisheti inamana suti hazioni
@AzariaKajiru-eh3se
@AzariaKajiru-eh3se 5 ай бұрын
Hawa jamaa wapo sawa
@ALLYSAIDI-jl6dn
@ALLYSAIDI-jl6dn 5 ай бұрын
😅😅
@ranman4910
@ranman4910 5 ай бұрын
Mwijaku na baba levo
@RodenMgata
@RodenMgata 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂🌹🌹🌹
@ChingaPambakalii
@ChingaPambakalii 5 ай бұрын
Unaluhusiwa kuchekesha
@MADINAKITEMO
@MADINAKITEMO 5 ай бұрын
Ahmedi Ally nimekuvulia kofia
@YohanaMwakaje
@YohanaMwakaje 5 ай бұрын
Nhuruwe mbona siioni
@flova7022
@flova7022 5 ай бұрын
Ila hawa ndugu mmanara awaache tu...
@beyondmediatz1607
@beyondmediatz1607 5 ай бұрын
Kabisa manara miaka aliyokaa nje ya mpira kapotea hawezi kuendana na upepo huu
@gagcengineeringgeita1023
@gagcengineeringgeita1023 5 ай бұрын
Hahaaa
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
🔴#LIVE:SPORTS ARENA NDANI YA WASAFI FM -04/02/2025
Wasafi Media
Рет қаралды 224