Tengenezeni programu ya kuwapa watu taarifa kuhusu vituo ambavyo vinatarajiwa kuwa vinashusha watu kuanzia Dar mpaka Dodoma, Makutopora. Hii itasaidia watu wafahamu namna ya kujipanga wakijua wapi pa kuanzia safari na wapi pa kushukia ili kuelekea makwao. Mfano mtu anaeshukia Jijini Dodoma afahamu kwamba kuna kushukia Ihumwa au Image kwa hiyo atachagua kutokana na yeye anaelekea/anakaa wapi jijini Dodoma. Kila la heri!
@zobakazizi7637Ай бұрын
Waliopinga mradi huu watafuna aibu. Waliopinga mradi wa umeme wanavuna aibu. Aibu yao.
@vt-kn6qfАй бұрын
Ona kama vurugu, please wekeni foleni ziheshimiwe from 🇺🇸
@kisutabora5914Ай бұрын
Vipi kwa watalii nchi za nje wanashindwa kufanya booking online. Mmekwama wapi?
@richardbegga6679Ай бұрын
Wekeni Watu wa Usafi kwenye Vyoo vyote ndani ya Station na ndani ya Train kila Saa wahakikishe viko safi na Mtu anapotumia waingie kukagua kama hakuna Maji Chini ya floor na kukausha
@BonaventureBaziraАй бұрын
Vipi walemavu, how are they treated?
@mohamededdi7527Ай бұрын
Very good question, lazima itakuwa ipo njia ya huduma zao.