Mtu wa kwanza kabisa kumshukuru ni Magufuli kwa uthubutu wake Na maono yake kuwajengea hiyo reli ya umeme Na kujengwa bwawa la umeme , samia kwa upeo wake asingeweza au mngeletewa treni la diesel , JPM alikuwa mwamba sana Na aliijenga sana Tanzania 🇹🇿 enzi za Samia hamna chochote cha maana kinaendelea
@Samweli-vw8jiАй бұрын
Watu maskini utawajua tuu mpaka waonekane Kila sehemu daaaa Hawa chawaa shidaa sinaaa
@MinisterDaniel2199Ай бұрын
Duh hii nchi ni ngumu sana kwani mtu kufanya wajibu wake ndio kumtukuza kama mungu?😔😔
@hemedrashid2921Ай бұрын
tenaaa atatukuzwaa na wazaleto wote isipokuaa wewe gaidiii mpinzanii wa mama yetu ulaniwee na mungu siku zote
@omarybakunda2554Ай бұрын
Ss tutamtukuza sana bila kuchoka mana wenye robo mbaya mnamtukana sana.
@Halphan-cw3deАй бұрын
Timiza wajibu nawe tukusifie, kwani angeiba pesa au kutokamilisha mradi ungemfanya nini wewe
@fransicmushenyera9302Ай бұрын
R.I.P.JPM
@dastanjonas2253Ай бұрын
Sawa Rais anafanya kazi nzuri lakini kwanini tusisifie zaidi sekta husika maana bila sekta hizo ni Sawa n'a bure. Heko 🎉 kwa sekta ya mawasiliano na uchukuzi
@mawazoaliselemaniАй бұрын
Wekeni ya kwenda Mtwara Tukale ming'oko
@WaziryJumaАй бұрын
Nauli
@ernestsinje9700Ай бұрын
Yah nihatuwa
@OdenBidili-lj5qiАй бұрын
Huyu mpumbavu anatafuta cheo kila kitu ni kusifia tu mpeni utendaji wa kata ya kitunda😅
@user-gc1ez1yv4kАй бұрын
Mbwa akikosa kazi ,anabweka ili mradi apate posho.Mwaname mzima anakalia kusifia
@cmantz8837Ай бұрын
Semeni nakaukweli hata mara Moja kua Asante rais Kwa kutimiza ndoto ya magu kwani mtapungukiwa Nini mkimkumbuka jpm?
@paskalilameki9568Ай бұрын
Pw
@exaverysimon1064Ай бұрын
😂😂 YAN KUNA VIWATU KUTOKA UPINZAN VINAUMIA KUONA RAIS ANAPONGEZWA 😂😂 POLEN SANA NA BADO AMJASEMA SAMIA MITANO TENA MPAKA MSEME❤❤❤❤
@hemedrashid2921Ай бұрын
hakika roho zinawaumaa hao ni watusii wakimbiiiizii wa kutoka rwanda mungu awalani na roho zao za kibaguzii