UCHAWI WA KINYAGO|WACHAWI WANAVYOTUMIA MAINI KAMA MEMORY CARD-SHEHE OMARY MNYESHANI

  Рет қаралды 14,659

PROMOVER TV

PROMOVER TV

4 жыл бұрын

Katika somo hili mhubri anaeleza jinsi ambavyo kinyago kinavyoweza kutumiwa na wachawi kuwadhuru pia maini ya kiumbe hai yanavyotumika kuhifadhi taarifa za walengwa.Pamoja na yote anaeleza suluhisho la kiroho katika kupambana na tatizo hilo.Karibu

Пікірлер: 30
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Ukitaka kuepuka Kurogwa Epuka kula kula ovyo ovyo na Zaidi usile Chakula kama mchinjaji sio Mcha Mungu na epuka sana nguo,mapambo na shanga,pete,cheni,pete usipokee
@Mazoea
@Mazoea 4 жыл бұрын
Wanatumia vyakula pia ..kuweni waangalifu na vyakula ..wananuuzia maneno..nasema ivi sababu yamenikuta Sana..
@salumsaid4456
@salumsaid4456 Жыл бұрын
Ilikuwaje
@dokasa9176
@dokasa9176 2 жыл бұрын
Asante Kwa somo zuri,ninalo swali ni nn huwa inatembeanga tumboni wkt mtu anaumwa kwanzia kitovu,halafu inatembea mwili mzima,mara kifuani,mbavuni na kuzunguka zunguka tumboni
@niyonzimaemmanuel5433
@niyonzimaemmanuel5433 4 жыл бұрын
Walio ndani ya Yesu kikweli msihofu hata wateja wenu wanalindwa,au Anakufunguliya njia nyingine.
@chumachadollar5917
@chumachadollar5917 4 жыл бұрын
Duh Mungu ndie shujaa number 1
@Mazoea
@Mazoea 4 жыл бұрын
Wachawi wengi wanatumia Sana paka na Mende.na njiwa .anasema ukweli.yalinikuta Tena uyu wanaigeria wachawi Sana..
@glorytoGod639
@glorytoGod639 4 жыл бұрын
Asante mno kwa haya madini adimu
@zenataashura792
@zenataashura792 3 жыл бұрын
Uyu ukweli kabisa inawezekana ata panya wanatumiya
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Dada yangu alikuwa anasoma boarding school aliwahi ona panya wana hips na wanavaa skuna😅😅
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 4 жыл бұрын
Duh wachawi si mchezo,mambo yote hayo wanayafanya wao ili mradi malengo yao yatulie,yaani raha yao wao ni kuharibu,mhh inatisha na kusikitisha kwa kuharibiwa maisha bila kosa.
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
😅😅😅😅mchanganye huyu pia uondoke nae😅🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿 simtaki huyu mtoto hatareee Wewe na mimi hatuko sawa usijifananishe na mimi Tafadhali ondoka nae😅😅😅😅
@fridberthahaule9489
@fridberthahaule9489 2 жыл бұрын
Mchungaji, mimi nafuatiliwa sana na watu wengi wanaovaa rangi za nguo zangu popote ninapoenda, hats nikibadilisha nao wanabadilika, he huo in uchawi aina gani na niombeje ili kuepuka madhara yake?
@nicholaskiragu2797
@nicholaskiragu2797 2 жыл бұрын
Na ukiomba na kukemea monitoring evil spirits unawezaharibu hizo vity mchawi ameweka kwa maini?
@gracehenga1980
@gracehenga1980 4 жыл бұрын
Wachawi hatari mno.
@elvisekhayemba9069
@elvisekhayemba9069 3 жыл бұрын
Nikupate wapi mimi niko mwisho aki
@bonifasiemanueli2708
@bonifasiemanueli2708 3 жыл бұрын
Kwa sasa uko wapi mtumishi
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 жыл бұрын
Mtoto kaondoka na sufuria
@blessedlovedandfavoured4129
@blessedlovedandfavoured4129 4 жыл бұрын
Hivi ameandika Vitabu?
@gracehenga1980
@gracehenga1980 4 жыл бұрын
Ndio ameandika.
@myself4128
@myself4128 4 жыл бұрын
Trace huyu jamaa mie nina namba yake aisee anaushuhuda mzito mno mno yaani zaidi ya hayo aliyosema,mwenzie anaitwa Jamal Jojo(mombassa) walikuwa wanafunzi wa Mwalimu mmoja ni hatareee
@lolguy-x9n
@lolguy-x9n 2 жыл бұрын
excuse me guys but i do not think these people are ready to be preachers. true they understand dark world of using chicken intestines for sorcery. its spiritual world that give life that they do not know.
@abdullatifshambe280
@abdullatifshambe280 4 жыл бұрын
Jamani huyo mganga na mchawi mbona mnapa cheo cha ushehe kul mshirikina firnar jahanam haridina fia abadani
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 4 жыл бұрын
stori za paukwa pakawa , yaani hata watoto huwadanganyi kwa vistori hivyo
@eunicenjukia8829
@eunicenjukia8829 4 жыл бұрын
unataka tudaubt nyinyi wachawi hamko.....mko.kabiza sasa tumechanuka
@MishiPapalan
@MishiPapalan 3 жыл бұрын
Kama unataka uchungaji kasomee ili uwatapeli vizuli sio kanisani sitor za kichawi tuu ndio ibada gani hiyo au ndio pwagu na upwaguzi kweli lana ni lana tuu umelaniwa.wewe
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 3 жыл бұрын
Shindwa kwa jina la yesu
@estermathias8354
@estermathias8354 2 жыл бұрын
Ww nae pepo umetoka wap . kanisani patakosa mahubir ya uchawi? Naona umekosea njia ebu nenda mstikitin
@nicholaskiragu2797
@nicholaskiragu2797 2 жыл бұрын
Na ukiomba na kukemea monitoring evil spirits unawezaharibu hizo vity mchawi ameweka kwa maini?
@juliaannenderitu
@juliaannenderitu 12 күн бұрын
Definitely....The fire of the Holy spirit will burn everything against the will of God for our God is a consuming fire.
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
Papa Francis atembelea chimbuko la Uislamu
0:47
DW Kiswahili
Рет қаралды 81 М.
Tekinologia ya Uchawi Pt1-Sheikh Omari Mnyeshani Mwinyi-4th Dec, 2018
1:15:14
Nyumba ya Ufufuo na Uzima Kenya
Рет қаралды 7 М.
NGUVU YA KUZIFUNGUA KAMBA ZA MAUTI MCHUNGAJI AMIEL KATEKELA
49:17
Ruiru Revivals Day5-Uchawi wa Malila-Shehe Omari Mnyeshani-22nd Nov, 2019
1:34:48
Nyumba ya Ufufuo na Uzima Kenya
Рет қаралды 702