Wewe ni mpumbavu hauwezi kumiliki watoto watano halafu ukashindwa kukaanao kuhusu kumbeba mmoja wao
@jumamustapha82542 ай бұрын
Makolo na lambalamba wamedhaminiwa na GSM.
@josephlorri4312 ай бұрын
@@jumamustapha8254hawana jibu .. Mo naye akadhamini wengine..
@edwardmassawe51162 ай бұрын
@@jumamustapha8254umekurupuka
@RajabuNakapala12 ай бұрын
Tulinyamaza muda tukifhania watu wa mpira na kanuni wataliona hilo lkn wamekuwa kimya wasidhani hatuna ufahamu hapana nanyi Takukuru kafanyeni Kazi yenu Kwa ufasaha acheni au msingize siasa Kwa vile hiyo timu inapendwa na viongozi wa juu wa nchi hii hapana fanyeni kazi yenu pia kama hakieleweki mchakato wa kuwafikishia wenye mpira wao utaendelea haki na fair play izingatiwe
@sarahkinyashi62132 ай бұрын
Zetu dua cku zote 🙏🙏🙏💚💛💪💚💛 mtahangaika sna aisee
@Winstonfying2 ай бұрын
Pelekeni Mahakamani hawa TFF kama mzee Magoma tu
@hajiali-cd6sz2 ай бұрын
Huko duniani watu wenyeakili zao hakuna isipokua tazania wao huko duniani wanatumia kanuni gani
@AbdallahOnga2 ай бұрын
Kwa hiyo watu wapange matokea kwa sababu timu hazina uwezo
@DamianoTippe2 ай бұрын
Hakuna kitu hapo wewe gsm ubaki kumdamini yanga tu
@fredrickmandia17412 ай бұрын
Ndio walaji wenyewe hao, anatumia mapunguvu ya sheria iliyopo kujipatia ulaji
@RashidiMwiga2 ай бұрын
Sheria kama inaruhusu Simba tuhamie hata Zambia tuwaachie TFF na timu zao.
@mumbamuganda68342 ай бұрын
Nyie TFF mmeshatuharibia ligi dunia nzima udhamini kama huo uko hapa tz tu,
@dalalfundikila5072 ай бұрын
Hawa UTOPOLO tungewachia ligi yao na tff wanatumia mngongo wetu kutuhujum tuamie Zanzibar tu.
@emanuelpetro95912 ай бұрын
Mjinga wewe mnahujumiwa vipi inqmaqna nyie Makolo mmekandwa mara tatu mfululizo mara ya kwanza 5_1 mara ya pili 2_1 mara ya tatu ni 1_0 kwahiyo na nyie mnadhaminiwa na GSM? Azam juzi Kala 4_1 kabla ya hapo alinyoosha kule Zanzibar na yeye anazaminiwa na GSM? Acheni ujinga sajilini wachezaji wazuri nyie mnasajili ovyo hovyo mfano mwaka huu mmesajiki kwa kigezo cha rasta hapo mnategemea kuwa na timu bora na kupata ubingwa!?
@Stevmwamba20902 ай бұрын
Kwel jamaa angu uko sahihi simba yetu mbovu mno bora twende zetu zenji huko,, huku bara pagumu sana huyu yanga sio kabisa ana tishaa sanaaaaa😢😢😢 kila kitu anajua
@jumannemsengi21952 ай бұрын
Mtangazaji hajitambui kwani kusema YANGA bingwa kuna shida gani
@justinjasson70702 ай бұрын
Mbona Azam anasaport timu zaidi ya moja?
@PeterMuhina2 ай бұрын
Tff mnaharibu ligi mnashilikiana 'na yanga
@NtamamiloGibson2 ай бұрын
Mwaka huu kitaeleweka kuna sehemu mtego upo😂😂😂
@charleslinhege6902 ай бұрын
We want fair competition.
@LinusKyando2 ай бұрын
Ni MAREFA KUCHEZESHA KWA HAKI SIO KUONDOKA UDHAMINI
@chidampiri10122 ай бұрын
Viongozi wangeungana kwa hili huyu GSM asingeweza kuleta upuuzi, TFF mna tatizo
@jumakapesa29402 ай бұрын
Mwandishi amejizima sikio la ufaham na kafungua sikio la mashitaka dhidi ya GSM
@edwardmassawe51162 ай бұрын
Umekurupuka
@JosephMhagama-qs4je2 ай бұрын
Waambie ukweli hatutaki hiyo biashara ya kudhamini timu saba mashabiki tunatoa viingilio vikubwa
@FetyzarMselemoАй бұрын
Tff hamna jipya tayar gsm ni yanga dam unategemea kitatokea nn kama anadhamin tim sba Yan hapo hata mtt wa cku Moja anajua nn kinaendelea cku hzi hakuna mjinga wa hvyo
@EmanuelMuna-w2q2 ай бұрын
Sasa wewe mheshimiwa, tutaanzisha sheria mpya ambayo itailinda ligi kuu. Hatuitaki hiyo GSM. Wameishakamatwa na FBI na wizi wa serikali kuu. Sasa wewe Ofisa, nyamaza kabisa.
@JosephMhagama-qs4je2 ай бұрын
@@EmanuelMuna-w2q mahaksma yenyewe ya kwao
@josephatcelestinemuhoza22142 ай бұрын
Simba na sisi tudhamini tu-club twinning, kama kumi hivi!
@JaphetAndondile2 ай бұрын
Yanga wangekubali mo azamini timu 6
@jumas.sendekwa27882 ай бұрын
Adhamini maana team zinatafuta wadhamini huko mikoani ili nao waweze kununua wachezaji wa kimataifa
@hssanrubota38912 ай бұрын
Wanao haribu mpira sio Yanga wanaoharibu ni TFF sababu wao ndio wanaobariki haya mambo kama kweli lengo la GSM ni kiinua vitabu mbonahatuoni kujitoa sana kama anavyofanya kwa Yanga
@simonndunguru16292 ай бұрын
Kabla ya Wadhamini kujitokeza kwenye timu Mo alitamba sana Walikuwa wanawarubuni Wachezaji wa Timu fulani kucheza chini ya kiwango sababu za Njaa zao. Wadhamini wapo Wachezaji wanapata chochote cha kujikimu Makolo Msajili Wachezaji wa Maana sio wa kubahatisha ili mshindane na YANGA. Wivu haufahi
@mohammedmdangwe20562 ай бұрын
OMBULA UMESHAKULA MLUNGULA NA GSM
@DoreenMlay-e8g2 ай бұрын
simba na azam wamefungwa na wao wanadhaminiwa na GSM
@mkomboziabdallah2 ай бұрын
Uwe na akili wew , unafikiria Kwa kutumia mkundu eeeh
@joshuasamson96182 ай бұрын
Pumbavu sana wewe mliingilia mlango si rasimi kwenu mikundu nyie
Hapana iko haja mfuatilie tupe mifano ya ligi za mataifa mengine ambayo Yana mdhamini mmoja
@ericbrunokalonndwa85902 ай бұрын
Kuna mbumbumbu wanachofikiria wanadhani sheria ni kila unachofikiria
@AbdallahOnga2 ай бұрын
Mnataka ushahidi gani kudhamini timu zaidi ya moja ndio ushahidi wenyewe
@ekimnkande28732 ай бұрын
Mahakamani watu wakigundua ndugu yako huruhusiwi kusimamia kesi sasa wanaposema mpaka ukamate shitaka mbona mahakamani hawaruhusu kusimamia ndugu au hata rafiki mazingira tu yanakataza kusimamia kesi yake kama wewe ni hakimu
@mohammedmdangwe20562 ай бұрын
GSM KAARIBU LIGI YA TANZANIA 🇹🇿
@emanuelpetro95912 ай бұрын
Kwahiyo hata Makolo mnadhaminiwa na GSM?
@anyeresa9282 ай бұрын
Ligi ya tanzania ipo kwenye nafasi ya 5 africa halafu bado unasema gsm karibu kweli wewe akili unayo?
@matokeomwinami36592 ай бұрын
Kiongozi utopolo kama huyu 😂😂😂😂,,,,!!! Bado kunawatu wanashabikua mpira watanzania!!!!
@mikidadmhando25042 ай бұрын
Sasa tatizo limeonekana kuwepo viashiria vya rushwa, wekeni Sheria kujenga mpira wetu, mkinyaza nyie ndio wale wale, wewe mwanasheria wa tff of unatutia mashaka, sisi tunakufahisha kuwa ni rushwa na unaweka pingamizi, kuona huoni hats kusikia husikii , mashaka MAKUBWA Kwa viongozi kama hawa taifa litakwama Pasi shaka
@Izzoh20212 ай бұрын
Shida mshaona hamna team ya kubato na yanga sasa mnatafuta pakutokea hohohohoho kichapo kipo pale pale mtajua mmesajili au mmeokota,yani huyu pimbi naona katumwa na madunduka naye ni dunduka akili zake hazina akili kama madunduka wenyewe sasa hata mo si adhamin team zaidi ya moja maana naona wanalia na tajiri gsm hohoho
@edwardmassawe51162 ай бұрын
Weka hoja punga kwa hoja
@JosephMhagama-qs4je2 ай бұрын
Tunaomba gsm ijitoe kudhamini timu saba Yanga bingwa katangaza ukweli timu saba point za bure
@johnrogas71832 ай бұрын
Daaaaah mpira wa Tanzania unaelekea wapi
@godwinkileo77022 ай бұрын
Kama mnaona wivu, mwambie Dewji achukue timu zilizo baki kwani shida iko wapi, Gsm anaitaka kuizamini hata simba😅
@geraldbagole44942 ай бұрын
Kuna timu itachukua ubingwa wa Bongo muda wote mpaka mfadhili aseme Basi.Kwa akili ya kawaida hakuna fair competition.Akili ya kawaida tu.
@innoinnovative77302 ай бұрын
Lazma tuhangaike haya ni maajabu ya Dunia Yan mnadhamin timu sita na gsm kajiweka yanga ssa we unafikiria hizo timu sita zitakaza kwa yanga
@josephlorri4312 ай бұрын
Azam naye amedhamini teams zote..tena yeye ana team yake ya Azam
@muksinimbaruku12332 ай бұрын
Azam amedhamini nini? Unajuwa azam kadhamini nini kwenye ligi? Umeona yanga kavaa nguo yenye logo yyte ya azam? Fala ww hujuw kitu
@josephlorri4312 ай бұрын
@@muksinimbaruku1233 logo inacheza? Kuna kanuni na sheria zinaongoza soka na ligi yetu..mngekuja na analysis ya faida/hasara ya udhamini wa GSM kwa team za chini. Mo alidhamini simba na singida kwa wakati mmoja,wengine walikuwa kimya. Tulieni kolo,sindano ziwaingie
@hajikatanje59612 ай бұрын
Azam hana mkataba na vilabu azam Ana mkataba na TFF SIO NA VILABU KWASABABU LIGI INAENDESHWA NA TFF
@alifani75092 ай бұрын
Kwani nyie haiwezekani kuweka sheria ya timu kuwa na udhamini wa timu zaidi ya moja kwenye ligi moja? Muda upo. Kwanini msifanye ili kuondoa malalamiko kwenye mpira once timu inaposhindwa kuridhika na matokeo? Tatizo mpira wetu ni ubabaishaji mwingi. Inawezekana ikawa ni sawa kuweka hiyo sheria, but haijawekwa. Ni mwaka wa ngapi huu watu wanalalamika kuhusu hili?
@gilbertmaganga93702 ай бұрын
Hapo ni sawa uweke mpambano wa ngumi ndugu mmetafuta kichaka
@NyalaMaige2 ай бұрын
TFF hawana mwanasheria Tena,kama anashindwa kugundua kitu chepesi hivyo Cha upangaji wa matokeo! Hata wakijuwa atafanyanini wakati wameruhusu?
@patridabernard91482 ай бұрын
Kwani kolo naye kadhaminiwa na GSM?Maana tulimchapa nje ndani na ngao jamii tumemgongaa
Kudhamini timu za ligi kuu zaidi ya tano ni. Rushwa mojawapo ya kimpila
@ChicsSalimu2 ай бұрын
Hakuna kitu tff wote mamruki tuu karia mwenyewe anafaidika na gsm hawezi kuitoa maamuzi
@abdullahjuma39262 ай бұрын
Anababaika Sana na ukimsikiliza anakwepa kujibu sababu anaingiza mifano Zaidi kuliko uhalisia. Kwa ufupi waondoe udhamini wa Zaidi ya klabu moja kwa ligi moja ili kuondoa fikra mbaya kwa Tff na nchi kwa ujumla. Rushwa na mipango ya kusaidia inaonekans wazi wazi. Huyu jamaa unamjua kama ana uhusiano na GSM kutokana na maelezo yake. Tuacheni tabia ambazo wenzetu hawafanyi
@LinusKyando2 ай бұрын
MWANDISHI MJINGA SANA,KAMA UNA AKILI WAJLIZE SIMBA NA AZAM KWA NINI WANAFUNGWA NA YANGA KILA SIKU WANADHAMINIWA NA GSM??
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
Iyo siyo hoja .dunian kote ni tz ndo I.etokea mdhamin kudhamin vilabu sita ktk league kuu.uu ni upuz wahali ya juu.tff msitupeleke takukulu.isiwe ndo kichaka chakujificha.simba tupeleke kesi iyo fifa
@amosmahona4332 ай бұрын
Mwandishi yuko vizuri sana
@KabungaKalla-fw4pp2 ай бұрын
Nyinyi Makolo na waandishi wenu tambueni kuwa Yanga ni Timu ya wananchi sio timu ya GSM. Mmeanza kutafuta pa kitokea .kwani kolo anapo fungwa anakuwa ameambiwa na GSM aachie.? Watu wasimba mnatajiri.Mo mwambieni adhamini na yeye zilizo baki.apange matokeo.Mmefeli kwenye mpira Totaly. mmehamia kuomba msaada kwa waandishi. Poleni
@erickkaindoa86652 ай бұрын
Ndo maana ana mkataba wa udhani wa yanga GSM yy ni Muuza jezi
@josephmathayo51392 ай бұрын
Azam. Amedhamini Timu zote 16 Kwa kuzilipa Ili asimamie matangazo ya Television. Mechi zote. Na ni Mmiliki wa AZAM F.C na inasemekana ana unasaba na SSC .je naye anashiriki kupanga matokeo au anaharibu Ligi yetu?
@ChicsSalimu2 ай бұрын
Tff wote wara rushwa tuu mbona wanatetea madudu ira mtakuja kupata aibu kwani hamjui Mzee hujitambui ww
@dalmasokoth41902 ай бұрын
Kweli mfa maji haachi kutapatapa!! Wewe tengeneza timu imara ushinde ubingwa. Ukiona unashindwa kuzifunga timu ndogo ujue huna quality!!
@christianmwamoto7592Ай бұрын
Amejitangaza , kwan mo kashindwa kudhamini,
@abdullahjuma39262 ай бұрын
Sports pesa na premium si viongozi wa Yanga lkn GSM ni kiongozi wa yangs
@BakaryOmally2 ай бұрын
Gsm unamjua lakini?? Na kama unamjua pale ktk uongozi wa yanga yupo nafasi ipi??
@OmaryJuma-c9l2 ай бұрын
Ligi ninzur ila ni mbaya kiundani raisi wa yanga simfanya kazi wa GSM afu et munasema hamuna kitu kwenye udhamin kuwen na ueledi kwenye hili tff
@EdwardZayumba2 ай бұрын
Haya maelezo yake hayana mashiko kitu Cha msingi TFF ijipange Kwa kuandaa Sheria itakayo Fanya mashabiki wa upande mwingine waslalame ni ya dhamini zinazofanyika kwenye soka.
@AbdallahOnga2 ай бұрын
Kudhamini timu zaidi ya moja ndio match fixing ushahidi ndio huo
@martinjonathan45952 ай бұрын
Hivi kwamfano na timu Fulani ikiamua kudhamini timu zote zilizobaki itakuaje
@yaronaWilliam2 ай бұрын
Tatizo lipo wapi kudhamini timu zaidi moja?, marefa wapi, makamisa wapi nk, tatizo Nini hapa kama GSM kudhamini hizo timu?, Kwani GSM ni refa?
@MchungajiNzelani2 ай бұрын
Mbona kama anamzuia kwa ujanja asimuhoji?
@kassimyusuph94702 ай бұрын
Tff hamjielewi itafkia wakati mzamini mkuu atakua gsm
@DicksonAmbilikile2 ай бұрын
Huyo msemaji bodi ligi hata sura yake inaonyesha rushwa ipo
@charleslugemalila11682 ай бұрын
Kanuni mnatunga ninyi TFF ambao mnadhani hii ya GSm kudhamini timu 7 katika ligi siyo tatizo sababu huenda kuna manufaa. Lakini twende kwenye hali ya kawaida tuone. Kampuni inadhamini timun7 katika ligi ba miongoni mwazo moja ndiyo giant na inayowapa mileage. Unadhani kutakuwa na fairness hapo? Kufananisha Azam yenye uongozi tofauti na kudhamini timu zote pamoja na Yanga ambayo.Raus wake ni mwajiriwa wa GSm ninkitaka kupotosha ukweli. 15:07
@faustinemsanguli10552 ай бұрын
Wehu nyie TFF aende akadhamin ligi daraja 1 aache ujinga
@johnmweji93452 ай бұрын
Huyumwanasheria wa ajabu sana...ushahidi ni wamazingira ya rushwa ndio haya. UNATAKA ushahidi Gani UNATAKA?iv ULAYA ni mfadhiri Gani kadhamini zaidi ya vilabu sita??
@ericbrunokalonndwa85902 ай бұрын
Azam wanatim na wanadhamin timu zote na pia mwenye azam ni kolo 💯
@reginaandrew-sm4ck2 ай бұрын
Simba amefungwa tano,kafungwa mbili,kafungwa moja je anazaminiwa na gsm
@@baalawyaljadyd6750mwenzio anapokosea dawa yake nikurekebisha kosa siyo na wewe unakosea kwa makusudi kwa sababu mwenzio alikosea ⛔
@simonnjovu5862 ай бұрын
@@baalawyaljadyd6750hawana hoja hawa simba. Malalamiko siyo wadau bali ni kolozidad.
@godfreymanyilizu57892 ай бұрын
Kama vipi Simba tuhamie ligi kuu ya Zanzibar tuwaachie utopolo na TFF ligi yao ya kisenge yani mtu anadhamini timu 8 na anahamisha wachezaji kutoka timu moja kwenda nyingine anavyotaka yeye tu hawa TFF nao wanatetea usenge tu yani mtu anasema kabisa hadharani Yanga bingwa hujui Kuna rushwa hapo.
@AbubakarkilalaGwani2 ай бұрын
Hata Simba amezaminiwa na GSM ndio maana Kila anapo kutana na yanga anafungwa
@JILBERTDaniford2 ай бұрын
We wenge
@JayHassan-cd2vg2 ай бұрын
Amna jipya nyinyi mshapewa chenu mnababaisha tu
@jitihadaharuna94482 ай бұрын
Hii haikibaliki kabisa inakuaje muwe hamna kanuni na wakati mnajua suala hili hadi lilete madhara yepi mnataka kanuni itungwae leo tupate fair competition.
@jumamkwelengala45992 ай бұрын
Mbona hata Makolo walipewa rushwa wakaachia pointi sita na goli saba
@DicksonAmbilikile2 ай бұрын
Hapo pana rushwa takukuru chunguzeni hilo
@MichaelSiuhi-xl2qq2 ай бұрын
Ushahidi gani anataka huyu wambura vipi kwani haoni huyu jamaa kadhamini timu sita? Je ushahidi gani anautaka au uanasheria wake hujamsaidia chochote
@johnmariki2 ай бұрын
Awawezi kukubali, safari hii atakamatwa mtu
@AbasiHassani-td7li2 ай бұрын
Tff hakuna kitu hapo na TANZANIA hatuna waandishi wa habari tuna machawa wa habari
@rashidmkwinda232 ай бұрын
Kuna wakati unajiuliza tuna Waandishi au tuna watoa taarifa
@MishlaySulley2 ай бұрын
Huyoo ni mshabiki WA Yanga , Ktk ligi Moja kampuni Moja haiwezekani kudhamini timu Moja ,
@emanuelpetro95912 ай бұрын
Acha ushabiki kolo wewe taja kifungu cha sheria siyo unaropoka tu!! Simba anafungwa mara kwa mara na yeye anadhaniwa na GSM?,Azam anafungwa mara kwa mara naeanadhaminiwa na GSM?
@steamtvtz2 ай бұрын
Sawa mkali wa hizi kazi 🎉🎉🎉
@KhamisShija-t7y2 ай бұрын
Huyo siyo mwanasheria ni mpuuz Moja tu
@DanielDaud-uh3qq2 ай бұрын
Kamakunaukweli was mtuakizamini timu anapata pointi mbona hata moo anaweza kuzamini basi Mimi naona azamini timu zilizobaki mbona ziponyingitu kwani wewe unazani hapesa muangalie kwanza yeye moo nitajiri nambangapi Barani Africa miminaona sisi wana Simba tumshauli Moo azamini timu.
@fredrickipembe81882 ай бұрын
Bord ya ligi mnapanga matokeo na gsm ukitazama vizuri bord ya ligi wanahusika na rushwa wamehongwa na gsm huwezi kuzamini timu saba mtu mmoja ambaye na yeye akiwana timu yake hapo sio sawa kabisa
@EmanuelMuna-w2q2 ай бұрын
Huyo GSM hana fedha kabisa. They are under FBI investigation. Wacha kabisa. Kama TFF inatafuta sponsors, please tafuteni wadhamini huru wasiohusishwa na timu tawala kwenye ligi. Wewe ni mzembe, mzito wa kuelewa ukweli. Stakeholders tafuteni, lakini siyo hawa wadhamini wa Yanga. Mtafungwa wote.
@AshelyAbel-kg4kx2 ай бұрын
Hii nchi ya ajabu kumbe TFF Inaendeshwa kihuni hawana kanuni wala sheria kuweka ukomo wa mdhamini mmoja kumiliki virabu zaidi, duuh! Ndio maana janjajanja nyingi tena hata hilo liwambura nijipu haswaaaa!
@kazumarihokororo91532 ай бұрын
Kweni mooo huyu vp km ni luksa afanyee jmn au aweziii anaogopa kufilisika
@SelemaniMarko2 ай бұрын
Mtangazzji akili huna dunduka mamae
@OmaryMbaruku-pw6eo2 ай бұрын
Yani wew muandishi mnafkisana hataufanani
@proisolution71662 ай бұрын
SIMBA KWELI MNACHEKESHA,HUOM UONGOZI WENU KAMA MNAUZA KAHAWA SASA HIVI MNATAKA TUSHI KWA HISIA,HATA KUULIZA SWALI ELIMU HUNA KIJANA.
@AhmedSaid-mk7qs2 ай бұрын
Musikwepeshe gsm anatoa rushwa ndie anaeuharibu mpira wa tanzania
Gsm yeye anatangaza Biashara yake ila watu sasa wameshindwa uwanjani wanapambana nje ya uwanja
@DormanDorman-jm3dz2 ай бұрын
SIO MPAKA MUANDISHI AJE TFF KUHOJI!! KWA NINI TFF MSITOE KAULI MAPEMA . HII NI SHIDA NA LITALETA SHIDA KWA YANGA NA TFF..CZ GSM NI YANGA HALISI..
@rexgodwill73532 ай бұрын
Kilimanjaro premium hawana timu yeyote ligi kuu acha kurukaruka Mwanasheria tunasema GSM Ana timu inaitwa yanga inakuwaje apewe club zingine 5?
@DamianoTippe2 ай бұрын
Hakuna kitu hapo,asijipigepige hapo
@WolframChristophe2 ай бұрын
Uyu mwashelia nae yupo upande wa gsm
@NassoroSipemba2 ай бұрын
Hao wanao mkataa gsm wote ni simba ata kama gsm hasidhamin timu yeyote simba haiwezi kuishinda yanga kwa sasa, Kwa sababu tunaona yanga inashinda mpaka inje ya mipaka mfano mzr tumeshuhudia juzi tu kule south afrika yanga imebeba kombe la Toyota tuseme gsm ilikuwepo? Waache janja janja zao wa jenge timu yao porojo haziwasaidii ata kidogo.
@abubakarimussa19552 ай бұрын
Makolo acheni ujinga inawauma Kwa timu ndogo kuwezeshwa Ili ziweze kupambana na wasiosajiri vizuri
@tunsumemwakinyuke6612 ай бұрын
Tatizo mnajichukulia tu point kwenye timu zenu acheni uboya
@josephlorri4312 ай бұрын
Azam na simba nao wamedhaminiwa na GSM?? Wote wamefungwa. @@tunsumemwakinyuke661