Mungu azidi kukubariki Mchungaji. Unafundisha vizuri sana. Nahavache!
@saphinamlowe67804 жыл бұрын
Amen mtumishi kwa mafundisho mazur Mungu azidi kukutumia nabarikiwa sana na mafundisho yako
@rebbecatimo54494 жыл бұрын
🙏🙏Nimebarikiwa sana...napitia kipindi kigumu lakini nimetiwa nguvu na amini pamoja na ukimya huo Mungu bado atanijibu..Amina
@irenemakokha76154 жыл бұрын
Hili somo limenibariki sana, am a single mother of 3 kids nimeishi bila mume miaka 10 iliopita nilikuwa nikifanya kwa hotel ili nipate kipato cha siku , siku moja 2018 tarehe 5 February kuamka asubuhi nikakutana na maiti mwanamme ,baadae nikazingiziwa kuwa waliuania kwa nyumba yangu mbapo sikujua ! kwenye macho ya wanadamu zikuweza kujitetea kwa sababu kila jicho lilinielekea Mimi ,lakini ashukuriwe Mungu wangu anayeona kwa siri nakujibu kwa uazi alinipigania vita,nilipaki na ushuhuda ,nasikilaza mafundisho nikiwa Kenya ubarikiwe mjungaji.
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
IRENE MAKOKHA Oh!! Mungu akubariki sana!! Ushindi ni hakika
@irenemakokha76154 жыл бұрын
Mahubiri Tv Amina
@judithcherono25954 жыл бұрын
@@irenemakokha7615 Pole Dada Mungu ni mwema
@irenemakokha76154 жыл бұрын
Judith Cherono Ahsante dadangu ,Mungu wangu na akubariki .
@sammywanje26864 жыл бұрын
Amen,, mchungaji ubarikiwe na MUNGU wetu aliye MKUU akuzidishie maarisha na ujasiri,, mafundisho yako yanani bariki sana,,, BWANA ASIFIWE SANA
@devothafransis49784 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki na aendelee kukutumia na kubwa kuliko yote masoma hayo yatuongoze katika ufalme wake unaokuja hivi karibuni
@victoriachaula39214 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa somo , ninapita katika biashara yangu, changamoto za vijana kunijibu ovyo, mume wangu amenipa mwezi , kanisimamisha kazi.lakini naamini yatapita
@barakajoseph18164 жыл бұрын
Mungu azidi kuibariki huduma hii,,iwafikie wengi zaidii
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Amen
@tabumrishoamen86013 жыл бұрын
Nabarikwa na masomo yako Mungu akubariki mtumishi
@rubennathan88044 жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU ,Uzidi kubariki,kufunuliwa,kuimarishwa,kujazwa roho mtakatifu zaidi,nko dhehebu lingne lakin nabarikiwa sana mtumishi wa MUNGU🙏🙏
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Mungu akubariki, huduma hii ni kwa madhehebu yote
@aronmapunda17834 жыл бұрын
Tuombe katika ROHO na KWELI
@themessage35082 жыл бұрын
Amina
@sarahdamian50434 жыл бұрын
Baba yangu wa MBINGUNI ninae muabudu akubariki sana na kukutunza, MUNGU anakutumia sana kwaajili ya maisha yangu. Yani huyu MUNGU ninaemtumaini aendelee kukutumia kwa kadri apendavyo ili uendelee kutufundisha zaidi na zaidi, mwisho wa yote, tujitahidi wote tukutane Mbinguni🙏
@watwegopnina64804 жыл бұрын
Mungu atusaidie, na atuokoe, Asante mchungaji na Mungu akubariki. Ameeeeen.
@edithaginawila6344 жыл бұрын
Amina mchungaji, Mungu atusaidie
@naomijonas17114 жыл бұрын
Mungu akuongoze zaidi na zaidi
@samwelndulu93674 жыл бұрын
Mungu atubariki San PR nimebarikiwa na masomo yako
@sarahsamatwa3211 Жыл бұрын
Ninabarikiwa Sana .na mafundisho ya mtumishi.
@aronmapunda17834 жыл бұрын
Ndugu katika KWELI YAKE, mahubili yako siyo sahihi Kwa kuwa nawe bado unaficha KWELI YAKE, Mwisraeli wa kweli ni mtu mweusi hata mitume wote walikuwa weusi, Maombolezo:4-8
@hatimalnaamani8764 жыл бұрын
Amen. Kwa somo nzuri ili kuelewa vizuri nilisoma sura yote ndio nikakusikiliza na nimeelewa vizuri
@yohanadanielmhocha42894 жыл бұрын
Amen
@themessage35082 жыл бұрын
Amina
@najmanaj18734 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor mbaga kwa mahubiri mazuri
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Amen
@farajingware49003 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri " Mungu awabariki
@sikuzanibusanya64233 жыл бұрын
Ameen ubarikiwe
@salva949773 жыл бұрын
Mungu akubariki azidi kuinua huduma unaponya mioyo iliyojeruhiwa na kukata tamaa
@jeremiahoumaonditi82854 жыл бұрын
Amen,nimebarikiwa sana
@amirisimbano26504 жыл бұрын
Amen
@shimwekagwiza37314 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor, unazidi kunifumbua macho kila nisikilizapo mafundisho yako, Mungu akuweke zaidi ili uzidi kutuhudumia 😍😍
@jameskalume71174 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji kwa neno zuri.
@enockmatondo1824 жыл бұрын
Nakupata vzr xana pastor
@denismugisha24 жыл бұрын
Mafundisho yanaweza kufanya kitu ndani yangu naomba Yesu aonekane kupitia mafundisho haya
@esternaftari45534 жыл бұрын
Mtumishi hili somo linabariki sana
@yohananyabu40404 жыл бұрын
Amina huyo mpiga zeze amenikosha sana abarikiwe🙏🙏
@finiaseliya9392 Жыл бұрын
Amina sana pastor mbaga
@mn94844 жыл бұрын
Bwana Akiwa ndani yetu ni nani aliye juu yetu!
@mackynicky82784 жыл бұрын
Am in a, ubarikiwe mtu wa Mungu
@finiaseliya9392 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@judithmakoye87664 жыл бұрын
amina, barikiwa pastor mmbaga kwa mahubiri yako mazuri, Mungu azidi kukutumia zaidi
@themessage35082 жыл бұрын
Tuna barikiwa xn pastor
@labanmitinje34324 жыл бұрын
Amen sana
@florencethuranira48823 жыл бұрын
mungu akubariki sana mchungaji
@sporakileo13244 жыл бұрын
Amina
@Jr-pc3gr4 жыл бұрын
Amen amen amen
@janetfrancis71804 жыл бұрын
Nafarijika na neno zuri nikiwa huku Brazil ubarikiwe mtumishi David mmbaga 🙏🙏
@angelcharles77314 жыл бұрын
Ubarikiwe xna mchungaji
@esternaftari45534 жыл бұрын
Miongon mwa masom yanayonibariki ni somo hili
@marycheupe86134 жыл бұрын
Hallelujah
@nyotaepapi23754 жыл бұрын
Amen Mchungaji, Mungu akuzidishie mengi
@felikitakilonzo67554 жыл бұрын
Toa vilivyonona😍😍
@godfreygreyson78074 жыл бұрын
tunazid kubarikiwa xana mtu wamungu
@jamesmedard55384 жыл бұрын
Amen.
@judithcherono25954 жыл бұрын
Amen Nakupenda sana pastor am followed you every step please except my request lnstagram
@linethowire7031 Жыл бұрын
Kuna muda mibaraka ya Bwana inaambatana nasi mpk unajiuliza maswali KICHWANI ndo iko hivi??kiukweli kwa neno hili nimebarikiwa Sana,Sasa moyoni Sina hofu na taabu zote zinazonishika...ninachoamini vita ni vyake Yesu....atanipigania zaidi yakunipigania maana ninamuita kwa MAOMBI NA KUFUNGA.Asante Pr.ubarikiwe Sana na mafundisho haya yakutupambanua kila kukicha.
Kweli Mungu ni Mtetezi Wetu.Mwenye alicheza Violin akona kipaji na amecheza vizuri sana.
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Amen
@janetfrancis71804 жыл бұрын
Unioshe Kwa damu yako ya thamani
@MaryWilson-vg2mm3 жыл бұрын
Kanisa lako lipo wap mtumishi
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Kwanini mimi somo hili ao mafundisho haya sauti haitokagi kwenye simu yangu? Nimeona komenti kuwa kama wengine wamesikia ilamimi sauti haitokagi kilasiku ila mafundisho mengine sauti ipo
@izzylyrics22404 жыл бұрын
October 22 2019 Nimeangalia hili somo! japo limejirudiaa Nimebarikiwa mno! Mtumishi ubarikiwe nasubiri kitabu Cha ufunuo!
@kangijoseph24674 жыл бұрын
izzy lyrics @amen
@eucabethkemunto38364 жыл бұрын
Amen
@romanamihama14434 жыл бұрын
mungu azidi kutumia na akupandishe ufike kwenye utukufu mwingine