Mafunzo yako nimazuri sana kila unapotoa funzo utadhani unanilenga mm kaka yangu respect💕🙏 ubarikiwe sana
@queeneva37094 жыл бұрын
Watu kama hao wapo wengi sana. Mungu atusaidie kwakweli.
@ussikhamisussi48824 жыл бұрын
Sante kwa somo, nimeona hapa kubwa yao ni "Kuwapuuza na Kuwakataa kwa kile wanachokitaka na kutaraji kitokee kutoka kwako.
@michaelkasogela3704 жыл бұрын
Mm juzi tu mmoja alinifata nikampotezea
@grace-neemabuninange-bujik91172 ай бұрын
Nimepona aisee kupitia haya mafundisho😅
@financialBoldCommunity10 ай бұрын
Hali hii napitia pia ofisini nasemwa maneno ya uongo 😢😢
@washentown642 жыл бұрын
Umeongea ukweli kaka umenifunza kitu
@richardambrose87422 жыл бұрын
Kaka nimewi kukutana nao na bado nakutana nao
@esternzumbi18884 жыл бұрын
😍😍😍 Maisha yangu ni jukumu langu.
@RastaRuvako6 ай бұрын
Exactly sir.👍
@AkitakaHuwa9 ай бұрын
Nimekupata nilichotaka
@jeremiahgodson73894 жыл бұрын
Hako kamlio kanaharibu ujumbe Kaka binafs
@faudhiasalum727928 күн бұрын
🎉🎉Wow
@Unknow94734 жыл бұрын
Mmmh me na kumbuka kwenye mahusiano yangu watu walikuwa wakimfuata mt wangu wakimwambia vitu naye akawa anareact mpaka siku akavunja mahusiano kisa maneno ya watu
@chrismassawe3264 жыл бұрын
Asant sana mwalimu Joel Nanauka
@leonardmcheche80484 жыл бұрын
Kwelii umenifungua macho
@queeneva37094 жыл бұрын
Nimewahi kukutania na visa kama hivi sana sema at the time there was no one to educate me how.should I deal with them.
@mwanatz59804 жыл бұрын
Kweli kaka inauma sana .
@mkubwaphoto62504 жыл бұрын
Hellow abari za uzima kaka enderea kutupa erimu japo changamoto nyingisana unazo pitia ila nikushauri sauti ndogo sana
@sadajuma81894 жыл бұрын
Asante teacher Joel Nauka yaani kwa kipindi hichi hii changamoto ndio nipo nayo tena ipo ndani ya familia ila umenipa muongozo nashukuru sana nitakabiliana nazo Mungu akubariki sana
@Tanurulafikra24104 жыл бұрын
Well copied my brother nanauka
@sylvestermagarya5342 Жыл бұрын
Kama mtu akiwa makini kusiliza maneno yako miaka 3 iriyo pita maisha yake yamebadilika naamini hivyo🙏🙏
@lucykichumisa56534 жыл бұрын
Mungu akubariki sana, siku moja ndiyo
@mengicacoconut81444 жыл бұрын
Asante brother
@deborahlaizer96834 жыл бұрын
Lesson learned, thank you
@rehemajuma46564 жыл бұрын
Thank u teacher joel
@alhandroraj80094 жыл бұрын
Napenda sana mafunzo zako Joel, naomba namba yako tafadhali
@neemaonesmo76424 жыл бұрын
Thanks Sir
@joseefaidabutu72944 жыл бұрын
Shukrani kaka
@josephmallya65192 жыл бұрын
👍
@HappinessGeorge-z4n11 ай бұрын
Asante,mi nasemwa siishi maisha ya level yangu kisa ninasomesha wanangu shule ya private (shule ya masister)nani primary.Ila shauku ya moyo wangu ni kuona kwa msaada wa Mungu wanangu nawafikisha mahali, na ndiyo maana nilijitahidi kusoma kuwepo nilipo kwa ajili ya kuwapambani wanangu kesho yao . Swali ambalo najiuliza wanaijua level yangu kuliko nnavyoijua mimi
@mussahashimu45934 жыл бұрын
Thanks
@hilarygodfrey58624 жыл бұрын
Nakubali sana mwalimu
@maxmaxmo55454 жыл бұрын
Da ni kweli kbs nilishamwambiaga mtu hivyohivyo kwamba nimekugundua ..... Aliacha Toka siku hiyo
@AbednegoYusuph-r2y2 ай бұрын
Ndy
@edoraandason5 ай бұрын
nimewahi kukutana nao na nipo nao .Ila katika yote nikikusikiliza Kuna namna nafunguliwa ufahamu . Mungu akubariki na kuzidi pia .
@tinaamwacha7404 Жыл бұрын
Natamani nikutafute Kaka yangu haya maisha ya kesemwa vibaya yananitesa San 😭😭😭
@sophiambunda15074 жыл бұрын
Asante bro imetupa mafunzo mazur mungu akubalk najvunia kukfaamu
@mercyccherono5896 Жыл бұрын
❤❤❤ thanks for Advice sae mimi ndio nko hyo situation but I don't give up mungu yupo😢
@benardjaloo52634 жыл бұрын
nimewahi kukutana nao Wengi sana
@faithpanga35914 жыл бұрын
Ninakutana nao sana hao watu, huwa wananiumiza sana.😣
@tabithaerastoshukrani.904 жыл бұрын
Wapo Kila sehem,
@directorjobely42524 жыл бұрын
Tunaitaji sound bora
@faidaruzamuka69974 жыл бұрын
Unasema kweli
@ellysilwani92874 жыл бұрын
Kaka Joel asante sana!kila uchao ninapopata masomo yako nafunguka na kugundua mengi sana,watu hao wapo ,hata jana, leo nimekutana nao,sitawapa muda.See you at the Top!barikiwa sana!