Kaka niseme ahsante sana kwa kunipa Moyo mpaka kusimama tena maana niliingia katika mkataba bila kuwa makini na kujikuta share ile mkataba wanibana mimi, na sasa nasimama mimi kama mimi kwanza na naanza na kilekile kiwango changu, Ubarikiwe sana Kaka 🙏🥋🥊👉🏆
@firdosoman31333 жыл бұрын
Ni watu wanao nizunguka ila video zako zimenifundisha mengi sana kaka,,,mungu akubariki na akupe afya njema kaka joel
@kijokombao53453 жыл бұрын
Sauti iko sawa sana kaka shukrani
@joelnanauka3 жыл бұрын
Pamoja sana
@jafarilupimo45373 жыл бұрын
Mimi nilifeli kwa sababu ya usimamizi nakushuru sana Mr Joel Kwa masomo yko yamenitia moyo sana nimefanikiwa kuanzisha biashara nyengine MUNGU akubariki sana.
Nmepata Point kuu ni Maarifa na kuyafanyia kazi. Ahsante Mwalim wng Joel
@farajhassan17753 жыл бұрын
Shukran sana 🙏
@aidanmbilinyi81843 жыл бұрын
Usimamiz uliniangush never give up now nitarud strong n usimamiz mm mwenywe
@msetihosea97323 жыл бұрын
Mimi kisa cha kufeli ni kutokuwa na malengo thabiti
@allymnyiwe96983 жыл бұрын
Asante kaka Joel mm kilichonifanya nianguke ni usilamizi mbovu
@esthermutua12873 жыл бұрын
Thanks for updating this point taken..knowledge and skills
@justinebaada90793 жыл бұрын
Barikiwa sana bro nimepata kitu muhimu sana hapa
@NeimahJay3 ай бұрын
Kaka nakupenda sana mungu akubaliki
@ahz69073 жыл бұрын
This is gold.asante bro.be blessed.
@viceboirapper11213 жыл бұрын
hivi kaka biashara gani inaanza na mtaji mdogo
@emmanuelmakindi44093 жыл бұрын
Napenda kuona hii channel ikiendelea, mada ni nzuri lkn pia infact nimependa Background
@ibahatimoses64313 жыл бұрын
Nimejifunza mwalimu kwa maelekezoyako nitafanyia kaz nitasimama tena
@yumbujackson8693 жыл бұрын
Good content be blessed
@harunmwazembe99803 жыл бұрын
Ni kukosa usimamizi mzuri
@jembesumukagine14033 жыл бұрын
Nakukubari, naomba nikuulize swali? Je vitambu ulivyo viandika mwenyewe huwa unavisoma,
@augustinoreuben68423 жыл бұрын
Kukulupuka 2 uelewa mdogo kuhusu maswala kibiashara
@vicentmlumba5913 жыл бұрын
Vijana Tunabeti mnooo adi tunashindwa fikia malengo coz tunapoteza pesa kipuuzii sanaa naomba siku ulizungumzie hili
@blankakecy24643 жыл бұрын
Mim kilichonifekisha ni eneo ambalo nilikua nimefungua biashara,hivyo nimebadilisha eneo nimeongeza maarifa nimeanza upya.
@hoseakitomary71023 жыл бұрын
Kaka me Ni usimamizi na mfanyakazi wang
@timothykengere25353 жыл бұрын
📚📚📚📚📚 📖
@PeterMwidete-wm5sh Жыл бұрын
Kaka nashukura kwa masomo yako kupitia Wewe nilifanikiwa sana ila Leo hii biashara imekufa nikwasababu ya ghalama za kodi yaani matumizi makubwa kuliko kipato ninachokiingiza
@fredymuhuro45403 жыл бұрын
Kaka mimi niliwahi kufanya biashara lakini kilicho nifelisha ni isimamizi wa biashara yangu kwa sababu mda mwingi nilikua mbali na eneo la biashara hivyo ikanipeleka kupata hasara kubwa mno.. Nikalima pia usimamizi pia ukanifanya nifeli kwa kiasi kukubwa sana. Sasa nashindwa nifanyeje ili niweze tekeleza haya mambo mawili
@mujunior36643 жыл бұрын
Sasa uncle Kuna sisi ambao tupo na umri mdogo Kama miaka 20 tunasoma chuo unaweza kusaidian kuhusu ideas za biashara
@emmanuelmhina71763 жыл бұрын
uza nguo za wadada, mfano za ndani si gharama kubwa wao kununua, au juices; kwa sehemu za vyuo vitu kama chakula na juice ni rahisi kuuzika. najua huna friji ya kuhifadhia unaongea na wauza vyakula ambao wanazo anakuwa na kazi ya kukuhifadhia na kuuza pia.
@joelnanauka3 жыл бұрын
Tafuta video Yangu inayosema BIASHARA 5 AMBAZO MWANACHUO ANAWEZA KUFANYA u
@awamkhalid55713 жыл бұрын
Marifa ndio kitu kikubwa kwenye biashara
@khamismshamu18643 жыл бұрын
Usimamizi
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Tunaisubiria hiyo video kwa,hamu sana
@joelnanauka3 жыл бұрын
Naamini umeshaisikiliza
@husseinbhatia4343 жыл бұрын
usimamiz mbovu ,kukosa maaarifa yakuifaham biashara na soko kwa ujumla
@joelnanauka3 жыл бұрын
Pole sana
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
Usimamizi na watu nilio wa chiaa 😢
@joelnanauka3 жыл бұрын
Pole sana, ila naamini utafanyia kazi makosa yako
@emmanueljoseph61713 жыл бұрын
Kaka mi nipo dubai nafanya kazi nataka nifanye biashara dubai to Tanzania watu waniagize bidhaa uku kwa hela zao,wanilipe kwa ajili ya kuwanunulia,nifanye nini waniamini au niweke rehani nini wajue siwadanganyi? nimejifunza kwa wakenya, kuliko mtu aingie gharama za Visa, nauli gharama za Hotel anitumie mimi kuokoa gharama hizo na mzigo ntamtumia bila shida
@kondoatown87653 жыл бұрын
Big aidia . Ndg yngu kufanya hivyo ni lazima ujitoe Kwanza . Kwa namna yoyote . Jamaa yngu mmoja alianza kusafiri na Mara ya Kwanza nilimpa lift kwny roli. Ameenda kuchukua mzigo kwa pesa yke aliochukua oda teyari . Alianza kwa kumtembelea mteja wke ebwna naona unabidhaa hii je nikikuletea nkakuuzia kwa bei hii vipi ? Akaanza na wa Kwanzaa akatafuta na mwingine na mwengine kwa Sasa anapewa hela kma ilivyoaidia yko Kisha anawatumia . Japo yupo Dar tu na ananunua mzigo Dar kwnda mikoani na kwa Sasa anapata faida Mara mbili coz ananunua mzigo tan 15 . Ambapo anaikodi ile Gari. Kisha yy anapakia mzigo Kisha ule mzigo anauchagi kwa kila items . Mfano anakodi Gari milioni Kisha Kuna Aina Mia za mizigo kila Aina labda anachaji elfu Kazaa mwisho wa siku labda anapata kachaji milioni na laki Tatu. Hizo laki Tatu ndio faida Sasa akitoa hela ya wapakiaji nk . Kwa siku hakosi laki na hamsini na kuendelea maisha yanasonga .
@emmanueljoseph61713 жыл бұрын
@@kondoatown8765 asante sana kaka hakika umenitia moyo wa kutokukata tamaa,barikiwa sana
@harunmwazembe99803 жыл бұрын
Ni kukosa usimamizi mzuri
@mariammaligwa88873 жыл бұрын
Mawazo ya kutelekezwa na mtoto na kuondokewa na mama ambaye alikuwa Kama kiongozi kwangu, nilipoteza Kila kitu!