Sasa leo umenifungua kwa nini watu hawani support...asante sana ntaji sapoti mwenyewe kwa jina la yesu...tenda mema uende zako usingoje shukran..mungu ndie mpangaji
@bressafya6055 жыл бұрын
Ubarikiwe mpaka ushangae! unachotoa ni darasa kubwa mno. MUNGU wa mbinguni akutane na haja za moyo wako, Hii sadaka ya mafundisho unayoitoa ifanyike manukato mbele za MUNGU BABA
@joelnanauka5 жыл бұрын
Asante Kwa Kujifunza
@joelnanauka5 жыл бұрын
Bress Afya nashukuru sana,endelea kuniombea pia
@marthazakayo97875 жыл бұрын
Nakukubal sanaaa
@elizamagesa34474 жыл бұрын
Nakupenda sana broo maneno yako ya Tia nguvu sana nilikata tamaa lakini katika hili naaza mpya
@liliangrace54364 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka
@jamesmwalimu77055 жыл бұрын
amina nakuelewa sana ulinifanya nijue kuwa mwanadamu aakila milo mitatu kiufasaha anaweza akaishi miaka mingi na yenye furaha na amani,,,,twa paswa 1.kula kimwili mean mchan,jion,mloulio kamili na mazoez 2.tule kiakili means tusome na kujifunza kwa umakin. 3. tule kiroho means tuwe na imani tusali na tumuombe mungu kwa nguvu zote,,,,,thanks bro
@mercyfaith81265 жыл бұрын
Kiukweli umeokoa nafsi yangu. Ni mungu amenileta hapa. Asante sana kaka.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Asante Pia Rafiki Endelea Kujifunza
@catherine-oj2sw3 жыл бұрын
Unisaidie swali boss alikuwa hajanilipa vizuri lakini sasa anacheleweshaa mshahara sana
@catherine-oj2sw3 жыл бұрын
Niko saudi boss name give up kunilipa vizuri nimekosa. Imani
@rolandpaul94655 жыл бұрын
Ahsante sana Brother @JoelNanauka , nimefarijika na pia nimefurahia sana haya mafundisho yako mazuri. Mungu akubariki sana
@joelnanauka5 жыл бұрын
Ubarikiwe Pia Rafiki Yangu Naomba Unisaidie Kushare Video Hii Na Kusubscribe Channel yangu #SeeYouAtTheTop
@rolandpaul94655 жыл бұрын
OK usijali Kaka
@boniphacedaud51603 жыл бұрын
Kak kwahilo wala usijar nakuatilia kila hatua nakuombe kwa mung azid kukupa maalifa ya kutoa elim bola ya kiuchum
@emanuelchandugu54093 жыл бұрын
Amina ."""Nitajisupport mimi mwenyewe mpaka pale watakapo kuwa tayari kunisupport."" .mungu akubariki sana kaka joel.
@jamesibrahim88495 жыл бұрын
Binafsi niliwahi kukosa sapoti, kilicho nisaidia nikutokata tamaa. Hivyo nashukuru Mwl. J. N. NANAUKA kuniongezea nyama katika hili, 'KUJISAPOTI MWENYEWE BILA YAKUTEGEMEA MTU MWINGINE'
@hamisimgaya78895 жыл бұрын
Nakukubali xana nanauka
@thegirl14055 жыл бұрын
Hii malipo makubwa yanatoka kwa mungu naipa asilimia 💯 💯 💯 nimekubali sana hii barikiwa sana brother 🙏 🙏
@thegirl14055 жыл бұрын
Ahsante brother kwa kutuongezea nguvu 💪 💪 na ujasili wa kufanya jambo furani tuna songa mbele hatukati tamaa
@joelnanauka5 жыл бұрын
Ubarikiwe Pia Rafiki
@joelnanauka5 жыл бұрын
@@thegirl1405 #SeeYouAtTheTop
@thegirl14055 жыл бұрын
Amiin brother@@joelnanauka
@wemamuss5 жыл бұрын
Shukran kaka kwa kuendelea kutupa moyo Wa kusonga mbele, maana kuna waKat akili inachoka pale unapokosa support kwa mtu wako wa karibu sn. Ubarikiwa👐
@joelnanauka5 жыл бұрын
Karibu Tena Darasani
@KabilaDamas Жыл бұрын
Aise Kaka jowel,nazidi kukushukuru Sana kwamatumaini haya umeendelea kunipa nguvu yakuto kata tamaa,kuziendea ndoto zangu.asante ,mbinu hizi ulizonifundisha nitaziishi hatanizifikie ndotozangu, mana Mungu ni Mungu haangarii Kama mwanadamu, nakunakitu ambacho nakiona maishani mwangu ,hakika sitapoteza utambulishohuu.japo nanenewa maneno yakunivunja moyo, nakuonekana mtuninae jifurajisha kuongengeaongea tu,but one day yes .
@annaglorykabuni68904 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel nabarikiwa mno kwa kutizama video zako, libarikiwe tumbo la mama aliekuleta kwenye huu ulimwengu zaidi unanibariki unaposema "see you at the top" n i believe
@asnaryissack25825 жыл бұрын
Brother you are the best, thanks so much! Nimejifunza point ya nne 4 be blessed! # see you too at the top
@jumamabruck78463 жыл бұрын
Asante ...Mungu akupe maisha marefu... tuzidi kupata elimu..
@greysonclastus28053 жыл бұрын
Mungu akubariki sana saana. Nilianza kukufatilia tangu mwez wa 5 ,1,2021. Nimebadilika sana ki_ mtazamo na kiuchumi. Nina mpango wa kufungua mgahawa. vifaa nimesha nunua bado tu wafanya kazi ili nifungue rasmi.
@clemencehaule38572 жыл бұрын
Asante Sana kwa somo zuri, binafsi kwa Sasa nipo katika kipindi ambacho naona kabisa kuwa nakosa support, niona Yale ambayo nadhamiria kuyafanya ni Kama hayaonekani kwa jamii
@beatusmpogoza42005 жыл бұрын
Ni kweli malipo ya MTU hutoka kwa Mungu, kuna wakati nafikiri nahitaji kupata sapoti kutoka kwa ninaowahudumia, mf. Mm ni mfamasia nahudumia wagonjwa, mwisho wa siku anatoka na lawama au anakutukana, so, nimejifunza kuwa, kuwa supported sio lazima. Thanks Mr. Nanauka.
@raphaeljoachim26654 жыл бұрын
Mimi nimekuelewa sana Joel,endelea na moyo huohuo,una taji yako mbinguni kwa elimu unayotupatia,binafsi nimeanza kufunguka kupitia mafundisho yako,ubarikiwe baba.
@selemaniabdallah52153 жыл бұрын
NITAJISAPOT MWENYEW MPK PALE WATAKAPOAMUA KUNISAPOTI...THAT IS A VERYVERY MOTIVATIONAL STATEMENT BE BLESSED AND KEEP IT UP...
@dianampemba38744 жыл бұрын
Mungu azidi kukuweka Kaka! binafsi unanifungua sana! uwe na maisha maref yenye baraka telee.
@revbarakaonyango88213 жыл бұрын
Nashukuru kwa somo lako nzuri , Mungu akubariki mtumishi
@Woundedbuffalo-sm2zs3 жыл бұрын
Nimejifunza kua aitakiwi kutegemea saport ya mtu na sapota ni we mwenyewa thanks brother
@29WavesTV4 жыл бұрын
Amen Asante sana kwa neema ya ujumbe mzuri Mungu akubariki na azidi kukuinua
@joshuakaminyoge49545 жыл бұрын
Joel Nanauka mbingu zashuhudia hakika una kipaji na ni speaker mzuri kuwah kutokea huwa naweza kusikiliza na kusikiliza hizi kazi zako hazinichoshi zinanipa faida tuuu. Utalipwa na Mungu 🙏
@furahasweya74337 ай бұрын
Barikiwasana kaka Joel. Kila kukicha najifunza jambo kwako na ninajiona kuwa wa tofauti. Naahidi kuanzia sasa nitajisupport mwenyewe, na kufanya vitu vya kwa ubora zaidi si kwa kiwango cha kawaida. Mungu anisaidie na akubarikisana . Mafundisho yako ni muhimusana ktk maisha yangu
@denisharold47184 жыл бұрын
Mungu akubarik sana joel nanaika tunajifunza mengi kupitia ww umekua kama malaika wa mafanikio ktk maisha ya wat
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
Nanauka Nanauka jaman wewe! MUNGU Kaweka kitu cha ziada kwako,umegusa maisha yangu ,uko vizuri kwenye ufundishaji ,big up JOEL
@joelnanauka5 жыл бұрын
Judith Njunwa Ameen nashukuru sanaa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@hassanlubola4145 жыл бұрын
Nimefrah sana kukutana na wewe brother Joel Nanauka kiukweli wewe ni mkombozi wa fikra zetu Mungu akutumie zaid!
@boazjumbe6875 Жыл бұрын
Nami nilikuwa nakwepa kuwaelewa watu nikitambua kuwa kamwe sitakuja kuwaelewa ahsante sana. JOEL
@felistamtafya31602 жыл бұрын
Thanks Mr Joel kwa kwel unagusa maisha ya wengi 🤝🤝
@judithgodfrey6503 Жыл бұрын
Ameeen! Naomba Mungu anikumbuke! Asisahau mapambano yangu! Jeshi la mtu mmoja🙏
@lenfridachanga14825 жыл бұрын
Asante sana,najifunza mengi kupitia wewe Mungu akubariki sana
@AsdAsd-qq1iv3 жыл бұрын
Asante sana kaka joel mungu amekutuma kunisaidia.roho yangu ina ugua God bless u kaka joel.
@mrishobhaya8965 Жыл бұрын
Du Leo umelenga Kwa kila pembe ya maisha ninayo ishi 1. Juhudi ninalipwa na Mungu 2. Kila nikifanya nakosa kuhungwa mkono 3 nilipoanza kufanikiwa juhudi zilipolomoshwa
@JudithChatila-gc9ow Жыл бұрын
Nimekuelewai sàna Joel Mungu akubariki sana
@anordbyamungu4 жыл бұрын
Asante Sana kiongoz kwa somo zuri
@efesojila8154 жыл бұрын
Barikiwa brother nanauka kwa somo zuri! Nimepata vitu vya kuniwezesha! Asante sana
@citymaxbookshoptanzania29245 жыл бұрын
Upo sahihi mr Joel ukitenda na kufikiria kwa njia nzuri kuhusu wewe na wengine utapata heshima kubwa sana na hakuna jambo kubwa katika maisha kama kufanya jambo kwa ubora na wakati mwingine fursa hupati kwakuwa hakuna kitu ambacho ni kisababishi cha wewe kupata fursa kubwa asante Joel na hata kama umeamua kuweka SAVINGS weka na itafika wakati utaona fursa kubwa katika kile ambacho unafanya.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Asante Kujifunza Na Usiache Kujifunza.Kama Bado Haujasubscribe Channel Hii Fanya Hivyo Sasa.#SeeYouAtTheTop
@joelnanauka5 жыл бұрын
Ubarikiwe Pia Rafiki Yangu Naomba Unisaidie Kushare Video Hii Na Kusubscribe Channel yangu #SeeYouAtTheTop
@michaelnyamba52112 жыл бұрын
Ahsante kwa SoMo hats Mimi nakosa suppt kabisa ,kakati hiki nilicho jaliwa ,nimefungua chekechea
@gracethomas52983 жыл бұрын
Ubarikiwe saana Joel kwa mafundisho yako
@rozinachao52563 жыл бұрын
Thank you very much nimejifunza mengi be blessed
@makairokuyatei33644 жыл бұрын
Mungu akuzidishie Baraka.
@neemamarco17423 жыл бұрын
Asante sana Joel umenifungua macho, Mungu akulinde na kukuinua zaidi
@usuilyhenry28916 ай бұрын
Asante sana kaka yaani unagusa maisha yangu kila nikikusikiliza
@eliyakyaolang85045 жыл бұрын
thanks my brother! massage nzuri sana imenifungua kwa upande flani
@rachealmwale38973 жыл бұрын
Amen. Barikiwa ndugu kwa mafunzo mazuri. Nimejifunza kitu.
@godmercyilluminatus515 жыл бұрын
Thank you very much Mr joel Nanauka.. you talked about something that really even though I was wondering why I didn't get support, you taught me something so great in my life. May bless you
@rehemabonza45295 жыл бұрын
God bless kaka wetu. Nimependa ulivyomkumbuka mungu katika mafunzo haya.
@yudamwakasala18665 жыл бұрын
Asante Joel nanauka MUNGU anakutumia ww kusema nasi
@arnoldasava5 жыл бұрын
Thank you, Joel. See you at the Top
@joelnanauka5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@nakudanatheresia223 жыл бұрын
God bless you brother Thanks so much
@drallytv20184 жыл бұрын
Mimi hapa nilifanya kazi na baba yangu mdogo, nilifanya kazi na kaka yangu wa kuzaliwa tumbo moja, Nikianza na babangu mdogo, yeye imefikia hatua ya kunidhulumu haki yangu, maana yake ni kwamba? Mwanzo alilipia frem ya biashara lakini alisema hana uwezo wa kuendesha maduka mawili, kwa hiyo akaniamulu mm niendeshe duka hilo, ila akasema itakua itanipa kiasi cha pesa kila mwezi, maana mm nina majukumu mengi, mm nikaona sio tatizo kwangu, baadae kama mwaka umepita ananiambia sasa hivi duka hili langu, ukitaka uwe mfanya kazi, kama hutaki kaangalie maisha kwengine, hapo hapo ameita police ili nikigoma ama nisipo ridhia kwahilo bac anipeleke police endapo sitakuwa na uvumilivu labda hata kushikana mashati, lengo lake lilikua kunipoteza, pia kakaangu nae amefata shule ya huyo baba mdogo, naye alipewa shule na huyo babaetu mdogo, Sasa yeye mm nilimwambia nafungua duka lingine ili tuwe na maduka mawili, baadae anasema lile duka la mwanzo anasema la kwake yeye pekeake, mm nikaona mwenzangu naye kanigeuka? Sasa hivi nimefungua hilo duka lakini hakuna surporty wala nn, Na muda mwingine napata tabu sana kwenye biashara, pia hao wote wako radhi hata vitu dukani kwangu vipo lakini wanaenda kuunga mkono kwa watu hata sio ndugu yao, Na wanasema wakija kuninunuza vitu mm nitapata maendeleo, Ila mm nina imani kubwa kwa Mungu ipo siku malengo yangu yatatimia, Ni hivyo tu mshauri
@salomekombo2152 жыл бұрын
Hakuna jambo lisilokua na mwsho ipo sku Mungu atakuinua ktk viwango vya juu usichoke kuomba
@priscardanier8264 Жыл бұрын
MUNGU akutane na haja ya moyo wako
@costabeatus94925 жыл бұрын
Shukuran kiongozo Mungu azidi kukubariki Ili tuendelee kujifunza mengi kupitia kwako
@francismusa4912 Жыл бұрын
Hakika nimejifunza mengi kutoka kwako. Barikiwa sana
@fredrickthobias77604 жыл бұрын
Asante sana ubaikie kila wakati na kila sekunde mungu azd kukupa zaid
@beatricedanken89365 жыл бұрын
thank you brother be blessed forever kwakaz unayofanya kutupa maarifa
@fidelpendelelo57382 жыл бұрын
Hubarikiwe sana kaka sina lakuongea zaidi yakusema shukrani
@SAIDMALAGALAGA2 ай бұрын
Kaka umenifanya niwee na furaja katika maisha yangu japo maisha yangu ya kawaida 👍
@mahambagislain96188 ай бұрын
Mungu akubariki kaka umeongea ukweli bila kujiamini hakuna maendeleo✍️🙏🇨🇩
@seifzongo3205 жыл бұрын
Baraka za kweli zinatoka kwa Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏
@joelnanauka5 жыл бұрын
Ubarikiwe Pia Rafiki Yangu Naomba Unisaidie Kushare Video Hii Na Kusubscribe Channel yangu #SeeYouAtTheTop
@NeemaKabila-gd3nu Жыл бұрын
Unazid kubadilisha maisha yangu,upendwe zaid na ubarikiwe sana.
@eliasbufula62905 жыл бұрын
Umeongea na mimi kuanzia mwanzo hadi mwisho, yote yamenihusu, asante sana kwa msaada huu kwangu. Nitazingatia haya, AMINA.
@salmabanga89623 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@aminasimba4724 Жыл бұрын
Ahsante nimekuelewa Kaka mungu akubariki sana
@alphoncedaud85615 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka mkubwa somo lako limenihusu 100% kuanzia sasa nitafanya mwenyewe mpaka watakapo tambua jitihada zangu barikiwa sana mungu wa wote akupe ufanisi zaidi katika kila unachokifanya
@geraldjoel57274 жыл бұрын
Asante brother, Mungu akubariki
@abdallahmakubi80594 жыл бұрын
Nakuelewa sana bradhar kunawati unakosa kujiamin mtu sababu ni wanadam wanahila unatumia akili na nguvu lakini wanatumia kilasababu uzalaolike unachokifanya asante umenipa moyo
@johnchibanhila18505 жыл бұрын
Point
@joelnanauka5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@salomekombo2152 жыл бұрын
Asnte broo joel kwa kunifungua ntajifunza kujisapot mwenyew ubarikiwe 🙏
@janethpallangyo26332 жыл бұрын
Asante sana
@brianamichale55282 жыл бұрын
Daa Asante m2 wa mungu kuanzia sasa nimepata nguvu mpya
@LaurentiElikana Жыл бұрын
Asante brother kwaushari
@winnyshayo88125 жыл бұрын
Ameeen, Thank you so much brother.
@kisarawetv43485 жыл бұрын
Mama
@JoshuaNdaturu-i7f8 ай бұрын
Asante sana nmejifunza kitu
@richiecharles23014 жыл бұрын
Absolutelly br/Life coach.... Ninamiaka mitano nafanya volluntering katika kituo cha kusaidia vijana/jamii iliyoathirika na matumizi ya dawa za kulevya..
@heavenlypatric48225 жыл бұрын
Ahsante umenipa ufahamu mpya kabisa.. Shukran sana Joel
@joelnanauka5 жыл бұрын
Shukrani Pia
@levinasoka16855 жыл бұрын
Nashukuru kwa mafunzo mazuri Kaka, Asante!
@mariamissaahmed76755 жыл бұрын
Kweli kabisa! Thank you
@joelnanauka5 жыл бұрын
Thanks Too
@joelnanauka5 жыл бұрын
Asante Kujifunza Na Usiache Kujifunza.Kama Bado Haujasubscribe Channel Hii Fanya Hivyo Sasa.#SeeYouAtTheTop
@boniventuresonda3 жыл бұрын
Umenigusa sana hapo,watu wengi hatuamini kama unaweza kukosa sapoti hata kutoka kwa wazazi wako,lakini ukweli ni kweli wazazi wanaweza kutokukusapoti na usijue kwa nini!!imenitokea pande zote kwa Baba na Mama tena richa ya kuwasaidia mambo yao,ndiyo kuanzia hapo nikajifunza fanya kwa ajiri yako na MUNGU na si Binadamu🙏
@cuthbertthomas70593 жыл бұрын
Napenda elimu zako sana mimi ni mdau mkubwa wa vipindi vyako vina elimisha sana barikiwa
@milcahussein38993 жыл бұрын
Ninasaidia sana hata watu nisiwoo wajua mtu akiniambia ninashida basi inauma lazima nitatuma msaada siyo kama nina uwezo bali Imani niliyojaliwa hivyo naomba Mungu anikumbuke anipe uwezo mwingi ili niweze saidia
@cashmoney62564 жыл бұрын
Nimefurh kuipata hii channel leo big sharoti Joel falsafa nzuri Sana hii naomba kujua naweza kupata kitabu Cha saiklojia
@hamisially24144 жыл бұрын
Kaka shuklan sana kwa sabab mpaka leo sapot kwangu ni ndogo nimekusikia nimehamasik mungu akuzidishie
@anselemimchulo40843 жыл бұрын
Hakika we ni mentor wangu brother, Mungu akubarik sana
@samikasongwere9163 Жыл бұрын
Mungu aku bariki sana
@upendomwasapi52355 жыл бұрын
Brother i appreciate km unajua ninapopitia kazini kwangu...nipokea baraka zako na iwe kwangu kama ulivyosema in Jesus name 🙏
@martinalan78545 жыл бұрын
shukrani sana
@sarahwaswa58193 жыл бұрын
Ukweli kabisa....asante sana bro mungu akutie nguvu
@kidoshokishy74923 жыл бұрын
Asante Sana Nijifunza sababu Niko single mother nalea mwenyewe watoto kila support ya mtu
@dedisongeneralsupplies21094 жыл бұрын
Nakushukuru sana kwa hii elimu ya kutokusubiri saport
@danielmwanza15074 жыл бұрын
Amina sana kaka ubarikiwe
@saudamussa64995 жыл бұрын
Thanks mr j nanauka darasa zuri sana
@middlechristlight81175 жыл бұрын
Support ya MUNGU ni bora zaidi kuliko support iwayo yoyote ya Mwanadamu. Maana kwa support yake MUNGU hutupatia mambo muhimu zaidi mbali na Mwanadamu...!!! MUNGU pekee hutupatia UZIMA,AFYA,NGUVU na UBUNIFU kila siku ya kufikia MAKUSUDI ya kutuumba kwake na kuishi katika kusudi lake; na kutembea katika NDOTO YAKO kwa kumtazama MUNGU na si Wanadamu. MUNGU pekee hutusaidia kuendelea kutimiza majukumu tuliyonayo. BARIKIWA SANA BROTHER JOEL.
@kilolahmakondo7665 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Leo umegusa moyo wangu brother hasa icho kipengele cha mwisho.Nakuomba punguza kidogo speed unapoongea ili tuelewe ujue wengine hatuna uwezo wa kunasa maneno haraka haraka ivyo tusaidie ktk hilo. Ciao
@emmamasonga48475 жыл бұрын
umetisha sana kaka kwan hilo tatizo hua linanisumbua sana hivo nimejua nininifanye
@phanuelpaul37855 жыл бұрын
Ahsnte Sana kwa point ya mwisho! ''Malipo makubwa yanatoka kwa Mungu'' waoooo!! Nimeipenda na ntayafanyia kazi yote haya maana mie ni mhanga wa kusubiri sapoti so kuanzia Leo ntafanya mwenywe
@josephkesoy75713 жыл бұрын
Asante sana kwa somo hilo
@omarykhalidi96032 жыл бұрын
Asante sana bro nimekuelewa sana
@sleyshabani36444 жыл бұрын
Asante sana kaka hii session imekuja wakati muafaka
@amyclassic2 жыл бұрын
Asante sana kk
@hidayaswai31193 жыл бұрын
Daah my mentor. Kazini kwangu mimi hawana appreciation kabisa lkn kumbe nipo sahihi kwamba nilifundishwa na ma yangu kwamba chochote ntachofanya nifanye km hamna mtu mwingine atakayefanya na nifanye kwa nguvu zangu zote. Penda sana wewe mentor wangu
@monamzonge13985 жыл бұрын
Asante sana kaka unanifungua akili yangu Mungu akubariki siku zote
@neemaonesmo76425 жыл бұрын
Asante kwa kutupa nguvu,kweli malipo makubwa hutoka kwa mungu
@joelnanauka5 жыл бұрын
#SeeYouAtTheTop
@lucymasanja29473 жыл бұрын
Mungu akubariki uwez jua t nikwakias gan umenisaidia kwahili dalasa leo Mungu akubariki sana kaka