Nini Chakufanya Unaposemwa Vibaya Na Watu?

  Рет қаралды 177,015

Joel Nanauka

Joel Nanauka

5 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 563
@oseahkaswaga4212
@oseahkaswaga4212 4 жыл бұрын
Post kama hizi zinahitaji kuwa na views kuanzia Billion na kuendelea,lakin tatizo watanzania wengi tunaishi na tabia kama hizi cz tunahisi kama tuna disiwa kumbe tuna pewa Elimu....Kaka unaweza sana #WorkHard #I_got_α_chαnges 4ur words.
@saumuyahaya8959
@saumuyahaya8959 10 ай бұрын
Hapa kazini kwangu nimeshakutana nayo kwa maboss na wafanya kazi wenzangu lkn nilijitahidi na kazi sikukata tamaa mwisho nilifanikiwa Asante kaka unanielimisha sanaaaaaa
@komboomar8275
@komboomar8275 5 жыл бұрын
Brother ni kioo cha jamii nizaidi ya mwalimu ww ni zaidi ya mshauri unayoyasema yoteee ndio tulionayo kwenye jamii na ndio changa moto zetu hakika Allah akubarik daima uwe na maisha marefu mia 900
@innocentkyungai1138
@innocentkyungai1138 4 жыл бұрын
Nakusikiaga Sana kaka ila sijawahi pata muda wa kukufuatilia hakika kuanzia leo maneno yako ni chakula changu Cha kila siku Kama iliyokuwa kwa mitimingi!.
@tumaingideon5237
@tumaingideon5237 Жыл бұрын
Brother thanks
@lesionlukumay5195
@lesionlukumay5195 9 ай бұрын
Brother mm nina shida kubwa sana màana anae nisema vibaya ni mume wangu na kila akisema ukimuuliza anasema nimeteleza nisamehe anarudia kila mara najikuta naumia sana lakini hajali
@lesionlukumay5195
@lesionlukumay5195 9 ай бұрын
Naomba msaada
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 5 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana kunawatu wanaweza wakasema vibaya sababu umewazidi cheo au umewazidi pesa au kiwango flani. Mwingine anweza sema vibaya sababu tu umemkopesha pesa anachelewa kulipa nawe unaitaka hivyo anaanza kupakaza mbovu. Mwingine labda alikua rafiki lakini ukamtenga sababu anapenda Starehe wewe unapenda kuwekeza hivyo lazima aseme mbovu. Ahasante kwa Ujumbe Bro.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Maneno Lugendo Ni Kweli kabisa
@user-ko1dh8zf7p
@user-ko1dh8zf7p 10 ай бұрын
Umeongea ukweli kabisaa 🙏.Mimi hapa kazi ninachangamoto mengi sana😢😢kusemwa,kudharauliwa na kukosa furaha😢
@mansourkhamis457
@mansourkhamis457 9 ай бұрын
Pole sana 😢
@dialukando8605
@dialukando8605 7 күн бұрын
Kiukweli sio wewe tu,Kuna watu ni mashetani hasa makazini
@queennossy921
@queennossy921 3 жыл бұрын
I like this guy Nanauka ananimotivate sana my God blessed u more
@salamahamadisudi1912
@salamahamadisudi1912 4 жыл бұрын
Asante kaka nimejifunza ilikuwa na kerwa Sana na binadamu km hawa lkn Sai nitawapotezea niangalie mambo yangu ya maana
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 4 жыл бұрын
This is one among your best speech.Hongera sana Teacher
@elisantemrerimmwiri3158
@elisantemrerimmwiri3158 5 жыл бұрын
Thanks brother for the powerful speech, your helping me on my way of life.
@user-ur8cz7ls3s
@user-ur8cz7ls3s 3 күн бұрын
Kwakwel brother unafundisha vzur sana aisee na nmekuelewa sana na ninakuombea maisha marefu yenye baraka na mafanikio makubwa sana katka maisha yako yote 🙏🙏
@fahadabdulrazaq670
@fahadabdulrazaq670 4 жыл бұрын
Exactly brother, may Allah bless your hand work
@guadenciamapunda6593
@guadenciamapunda6593 2 жыл бұрын
Thank you for sharing your experience
@charlzzesonconsciousness6685
@charlzzesonconsciousness6685 5 жыл бұрын
Mm watu kunisema vibaya hainiogopeshi sana lakini mtu ambaye tunaheshimiana na anayenifahamu vzuri kwa muda mlefu akinisema vbaya lazma nikae chini kujitafakari.
@saficharles216
@saficharles216 5 жыл бұрын
Kaka asante kwa mafundisho mazur ubarikiwe
@mumanyimulyowa8361
@mumanyimulyowa8361 3 жыл бұрын
Ndio wale namba mbili umeshauriwa usikae kimya tetea haki yako dhidi yao
@user-qs9rn2je4c
@user-qs9rn2je4c 5 жыл бұрын
Asante sana kaka elimu yako ni pana mno malipo sina ila mungu atakulipa
@noelakyungu4559
@noelakyungu4559 3 жыл бұрын
Thank you Sir
@okokamfaume6888
@okokamfaume6888 5 жыл бұрын
Asante sana,
@samwelalex8417
@samwelalex8417 5 жыл бұрын
Waooooo!!!!! Nmejifunza. Nmekutana na kundi la 3 but pia la 4 hadi nmeamua kumake decision Ya kuhama kituo cha kazi licha ya kwamba maeneo yale nilkua Tayar nmeanzisha biashara yangu Nzuri. Nilikua depressed Kwa kipindi kirefu. Nashukuru Mungu now baada ya kuhama nmetulia na inabidi kuanza MAISHA/KUJIPANGA vizuri.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Samwel Alex pole kwa changamoto na hongera kwa kuchukua hatua haraka kabla mambo hayajaharibika
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 5 жыл бұрын
Pole sana,Mungu mwema utafika utakapo tu
@amariaelieneza1854
@amariaelieneza1854 3 жыл бұрын
Jamani Mimi nimekutana na yote. KWA sasa napambana na kundi no nne. Asante kwa kunipa njia ya kuishi nao. Wooowooooo. Keep on what you doing. 💪💪💪💪💪💪
@HappyDuck-cd2cx
@HappyDuck-cd2cx 18 күн бұрын
Asante umeniponya kidonda kikubwa mno mungu akubariki Sana 🙏🙏
@happinessbitababaje2970
@happinessbitababaje2970 5 жыл бұрын
Asante Yesu, nimepata majibu maana nimepitia changamoto hizi kazini kwangu. Barikiwa bro uishi milele
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
shukrani sana. endelea kubaki na sisi kuna video nyingi zinakuja
@festonmwampashe5767
@festonmwampashe5767 5 жыл бұрын
Big up bro mungu akupe long life na ukuongezee uwezo zaidi ya juu ulinao @
@egonkasiano7822
@egonkasiano7822 5 жыл бұрын
Shukran
@medameda3920
@medameda3920 4 жыл бұрын
Thanks bro I'm more studying every day the thorough of your thanks so much.
@jumamustafa6402
@jumamustafa6402 4 жыл бұрын
Thanks for message bro joel
@joycelehmann2817
@joycelehmann2817 3 жыл бұрын
Thankyou brother i follow your advice very wise
@mwangazajoyce2287
@mwangazajoyce2287 3 жыл бұрын
Thanks dear brother
@rahmahussein4019
@rahmahussein4019 5 жыл бұрын
Absolutely true talk .
@zuhuraabdillah6941
@zuhuraabdillah6941 5 жыл бұрын
kiukwel bro makundi yote nimekutana nayo maeneo ya kazi. kundi la watu wanaotaka kukutoa kwenye focus ni changamoto kubwa. Nashkuru kwa kunielimisha am still doing great
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 3 жыл бұрын
Be blessed
@carolinetalam5832
@carolinetalam5832 5 жыл бұрын
Nice teachings
@veronicamwautenga7394
@veronicamwautenga7394 Ай бұрын
Asante sana
@agathamichael8818
@agathamichael8818 5 жыл бұрын
Thanks bro
@gracedamas5883
@gracedamas5883 3 жыл бұрын
Nimekua nikisemwa vibaya tena pale tu ninapoongea Ukweli ktk kufikisha ujumbe sehemu tofauti ndugu marafiki. Lakn leo umenifungua ufahamu wangu kaka Joel nanauka Mungu akubariki sana
@qatardoha9378
@qatardoha9378 5 жыл бұрын
Asante kwa funzo hilo
@hurumaemmanuel470
@hurumaemmanuel470 5 жыл бұрын
Very powerful bro!!!
@maggiepeter8936
@maggiepeter8936 4 жыл бұрын
Powerful words mwalimu....
@nathanmateow9455
@nathanmateow9455 5 жыл бұрын
Asante rafiki yangu wa dhati nimeguswa ni watu wa karibu kama ulivyofundisha walitaka kunishusha thamani,sasa ntakabiliana nao sitakubali wafanikiwe nasonga mbele,thanks very much.
@victoriabulambo2029
@victoriabulambo2029 2 жыл бұрын
Asante sana pastor nimejifunza kitu 🙏
@lilianmachahha7709
@lilianmachahha7709 3 жыл бұрын
Wow thanks kaka
@marthahaule8337
@marthahaule8337 3 жыл бұрын
Asante kwa ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi. Mimi nimekutanana na makundi hayo yote na yameniumiza sana na kujisikia kukata tamaa sana lkn huwanaachilia baadae ili maisha mengine yaendelee japo huwa kunakipindi nasikia sana kuumia tena.
@anasanga922
@anasanga922 2 жыл бұрын
Thank you God bres you
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 2 жыл бұрын
thanks bro
@kinogomuriga8631
@kinogomuriga8631 5 жыл бұрын
Uko vizuri sana kk. 💕
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
Shukraan brother barikiwa sana
@seifzongo320
@seifzongo320 5 жыл бұрын
Wanataka kunitoa kweny focus.... huyu mm kabisa watu wanataka kunitoa...I'm keeping doing the right thing , Asante sn kaka
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Seif Zongo kabisa Zongo
@johnsonbagambi1086
@johnsonbagambi1086 5 жыл бұрын
Tuko pamoja
@shayopoul1612
@shayopoul1612 3 жыл бұрын
Asante
@glorymushi5425
@glorymushi5425 2 жыл бұрын
Thankyou bratherwew ni mshauri sana kwenye jamiii muda mwingine huwa tunakatamaaa kupitia watu wanaotuzunguka
@kitegwelucas1562
@kitegwelucas1562 5 жыл бұрын
Kiongozi me nakuelewaga sana motivation zako na napenda sana kukusikiliza #God_bless_you👏👏👏
@yolandasebastian685
@yolandasebastian685 Жыл бұрын
Kaka Asante kwa ushauri makundi yote manne nimekutana nayo.
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 жыл бұрын
Asantee kaka
@mwajumamwishehe3423
@mwajumamwishehe3423 5 жыл бұрын
Asante kaka Mimi namba nne wanataka kunitoa katika muereleo wangu Ila nakomaa. Nao 😬😬
@muhamedichipila3182
@muhamedichipila3182 3 жыл бұрын
God bless you more..
@ibrahimkassim4505
@ibrahimkassim4505 Жыл бұрын
Thanks for your hospitality
@judaspantaleo9779
@judaspantaleo9779 5 жыл бұрын
Much help
@EuniaRyaga-zd3zx
@EuniaRyaga-zd3zx 5 ай бұрын
May God bless you! You are the one whom I appreciate
@mshindivictor1690
@mshindivictor1690 5 жыл бұрын
Ahsante Joel
@pambachannel8835
@pambachannel8835 5 ай бұрын
Kundi namba moja niko nalo so, Nipe mbinu za kuwapuuzia
@4gtradingimpex201
@4gtradingimpex201 Жыл бұрын
Thanks kaka nimependa somo lako kwani napitia hizi hatua zote lakini umenifungua mawazo kwa sababu haya yote nilikuwa nafanya na kumbe nilikuwa sahihi kabisa ahsante kwa kuniongezea nguvu na hatua mia mbele.Barikiwa
@maseiafricano1250
@maseiafricano1250 2 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu yako nzuri nimejifunza kitu kwa somo lako mungu akubari sana mwalimu
@lucygodlove8838
@lucygodlove8838 5 жыл бұрын
b blessed brother.
@tabycatytabitha
@tabycatytabitha 5 жыл бұрын
God bless you
@gideonkipruto3987
@gideonkipruto3987 5 жыл бұрын
Asante baba
@hassnhaji8585
@hassnhaji8585 3 жыл бұрын
Shukran kaka
@sugarkheri4680
@sugarkheri4680 2 жыл бұрын
Barikiwa Sana kaka J Umenigusa kwa sasa hapo kwenye kusemwa kuna ambao wanakusema kwa watu wengine hawa tunawakabili vipi
@josephmwanyika8300
@josephmwanyika8300 4 жыл бұрын
Asante Sana kaka daa elimu yako nzuri sana haya mambo yako Sana kwenye jamii zetu. hata ndugu kwa ndugu tuliozaliwa pamoja ipo somo la nne ilo saana Mungu akubaliki Sana..
@user-pb2kp9qm9x
@user-pb2kp9qm9x 26 күн бұрын
Asante kwa elimu yako
@lightnesstumsifu6593
@lightnesstumsifu6593 4 жыл бұрын
Asante kaka nimejifunza sana
@alihassanhaiba6937
@alihassanhaiba6937 5 жыл бұрын
Ahsante sana ,mm wakati nipo chuo Uganda nilikutana na point ya 4 kwa watanzania wenzangu lakin nilifocus kwenye masomo yangu at end I got award. best student
@zahrazukher4337
@zahrazukher4337 3 жыл бұрын
Asantee sanaa mm nipo kwenye ndoa ila mume wang ali weza kuwa na mwanamke mwingine naa aka mpa namba yang nakuaza kunitumia sms zakejeli na kunambia maneno yakuumiza sanaa' sasa hii Hali Bado inanitesa sanaa zile sms bado zinaishi kwenye kichwani kwangu nimeshidwa kuzisahau
@leilalusekelo153
@leilalusekelo153 Жыл бұрын
Ahsante sana
@jacobnduya798
@jacobnduya798 3 жыл бұрын
Asante kwa somo nzuri. Mimi karibia nimekutana na makundi hayo lkn ni wale ambao hawana cha kufanya na oppressors
@freshman9913
@freshman9913 2 жыл бұрын
Aisee asante sana kwa maneno yako mazur nimezidi kujifunza vitu vingi hata watu watu wakijaribu kunisema vibaya na puuza na songa mbele mungu akubarik sana joel nanauka
@mariammwambungu3174
@mariammwambungu3174 4 жыл бұрын
Asante sana nikweli nimejifuza Sana.
@derickluhaga738
@derickluhaga738 5 жыл бұрын
Remain blessed bro.....
@michaelmichael7758
@michaelmichael7758 5 жыл бұрын
Nice speach God bless you Brother.
@jumajaji7149
@jumajaji7149 3 жыл бұрын
Nikweli kaka angu unayoyasema ni kweli
@alfredsebastian9131
@alfredsebastian9131 5 жыл бұрын
Blaza Joel Nanauka. Nakubali kazi yako lakin Naomba ujaribu kuweka vitabu vyako katika online viwe katika e-book Kwan utaweza kujipatia kipato lakin kubwa zaid utatusaidia sisi WA mikoan kupata kwa wepesi
@asteriambwei95
@asteriambwei95 5 жыл бұрын
Una mafundisho manzuri na shati lako linzuri sana wewe ni mwalimu ? Unaongea ukweli mno unanifurahisha ndiyo shida ya sisi wanadamu
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 5 жыл бұрын
Ha!ha!ha,shirt zuri au siyoo!
@hallimahassan9630
@hallimahassan9630 4 жыл бұрын
Asante kaka
@furahairene1829
@furahairene1829 3 жыл бұрын
Asante Sana Joel,yaan mm n mkenya bt mafunzo yako yamenifanya niiujue ulimwengu,najiona hata mtu akinifinyilia namna gani tyr huwa nmepata jawabu lake,maisha s rahisi Ila n rahisi ukijikubali na kujitoa vilivyo,barikiwa kaka
@shemsamussa608
@shemsamussa608 4 жыл бұрын
Asante xana kwa lecture kaka ,kweli kabisa uyasemayo
@rukyaabdilo7921
@rukyaabdilo7921 5 жыл бұрын
Ahsante
@johnkapalamula4351
@johnkapalamula4351 11 ай бұрын
Asante sana.napitia hayo kazini nafanya kila jukumu langu vizuritu.lakini mtu mmoja aliepewa mamlaka uniripoti vibaya.emefikia nakosa Raha oficini. kila ninachofanya yeye nikibayatu.
@joannafula9496
@joannafula9496 2 жыл бұрын
Ahsante brother. Joel
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 жыл бұрын
Nakushkuru mwalimu Joel nimezungukwa na vitu hivo nimepata majibu leo asant sanaa
@jacksonmoshi1152
@jacksonmoshi1152 3 жыл бұрын
Thanx brother umenifundisha mambo mengi Sana'a
@samweliponera1100
@samweliponera1100 3 жыл бұрын
Kaka Joel yesu akubariki sana
@emanuelavaleriani8646
@emanuelavaleriani8646 5 ай бұрын
Dah hii nzuri sana
@bressafya605
@bressafya605 5 жыл бұрын
Be blessed brother....
@josephmathew4418
@josephmathew4418 4 жыл бұрын
Uko vizuri xana Mr Joel
@danielmlanda5597
@danielmlanda5597 5 жыл бұрын
AMEEEN.............
@mwazanimbogo5996
@mwazanimbogo5996 3 жыл бұрын
Amina bro
@specialistmkombozi2353
@specialistmkombozi2353 Жыл бұрын
Safi sana brother
@yahyafimbo1755
@yahyafimbo1755 4 жыл бұрын
ahsante
@lauchungulau9255
@lauchungulau9255 5 жыл бұрын
Thank you so much teacher joel for the power full speech I Lean something god bless you so much
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Lauchungu Lau Ameen thanks so much Lauchungu
@eliasevelin869
@eliasevelin869 4 жыл бұрын
god bless you my brother
@jackypaul8846
@jackypaul8846 2 жыл бұрын
@@joelnanauka kaka na je kama sitaki kabisa kuzungumza nae yaani kila siku group ya whatsap mambo ya kazi ananisema vibaya yaani ana na kagroup ka wenzie ka wa5 nilishamcomfront face to face ila kwa sasa sihitaji kuongea nae tena, je nikimkalia kimya?bado ataniona mnyonge?
@keflentito8052
@keflentito8052 5 жыл бұрын
Asante my kaka Joel
@tmsalumu9258
@tmsalumu9258 3 жыл бұрын
Nakuelewa Sana nitaendelea kukufatilia thank you my brother
@bahatiinnocent4375
@bahatiinnocent4375 3 жыл бұрын
Asante kwa sharing. Ikumbukwe mtu wenye matunda yaliyokomaa na kuiva ndio hurushiwa mawe. Wanatusha mawe ili nawe uwarushie matunda yako. Nini cha kufanya. Kusanya mawe jenga jukwaa kubwa endelea kung'aa watakuzoea.
@irenedaudi638
@irenedaudi638 Жыл бұрын
Nimefurah mno nilichukia ila kwa kukusikiliza wewe nimepona....God bless you my brother
@mwanaharusialifakifaki8716
@mwanaharusialifakifaki8716 5 жыл бұрын
kundi la nne la kwanza nimenigusa mno ahsantenimejifunza binadam wana sura mbili mbili ,umenenakaka ,mm nyonge sipendaji kujibu ila huwa wanavijembe kila nkitabasamu kumbe sitakiwi niwe mnyonge.mafanikio yangu yanawauma sana watu ,ahsante mungu akueke miaka 10000.
@user-qj3bb2qb4r
@user-qj3bb2qb4r 4 ай бұрын
Ahsante kaka nimejifunza
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 3 жыл бұрын
Asante kaka ❤❤❤
@berthsunshine3936
@berthsunshine3936 5 жыл бұрын
Asante sana kaka unanisaidia mno
@IlhaamMarshed
@IlhaamMarshed 5 жыл бұрын
Asante kwa somo kaka mkuu
Wajue Maadui 4 Kwenye Maisha Yako
7:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 141 М.
JOEL NANAUKA - KWA NINI WATU WANAKUCHUKIA?
6:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 34 М.
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 57 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 13 МЛН
Nini Ufanye Unapokosa Support? - Joel Nanauka
9:42
Joel Nanauka
Рет қаралды 121 М.
ONDOA UCHUNGU NDANI YA MOYO - JOEL NANAUKA
7:04
Joel Nanauka
Рет қаралды 90 М.
SAIKOLOJIA YA WIVU KWA WANAWAKE -  JOEL NANAUKA
18:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 57 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
NAMNA YA KUISHI RAFIKI YAKO AMBAYE UNAJUA NI MNAFIKI
5:21
Lazaro Samwel
Рет қаралды 13 М.
Mambo 5  Ya Kufanya Kila Siku Kama Unataka Kufanikiwa
21:53
Joel Nanauka
Рет қаралды 261 М.
Jinsi ya Kuishi na Watu Wenye Haiba Mbalimbali 16.02.2016
44:09
Channel ten
Рет қаралды 77 М.