Post kama hizi zinahitaji kuwa na views kuanzia Billion na kuendelea,lakin tatizo watanzania wengi tunaishi na tabia kama hizi cz tunahisi kama tuna disiwa kumbe tuna pewa Elimu....Kaka unaweza sana #WorkHard #I_got_α_chαnges 4ur words.
@saumuyahaya895910 ай бұрын
Hapa kazini kwangu nimeshakutana nayo kwa maboss na wafanya kazi wenzangu lkn nilijitahidi na kazi sikukata tamaa mwisho nilifanikiwa Asante kaka unanielimisha sanaaaaaa
@komboomar82755 жыл бұрын
Brother ni kioo cha jamii nizaidi ya mwalimu ww ni zaidi ya mshauri unayoyasema yoteee ndio tulionayo kwenye jamii na ndio changa moto zetu hakika Allah akubarik daima uwe na maisha marefu mia 900
@innocentkyungai11384 жыл бұрын
Nakusikiaga Sana kaka ila sijawahi pata muda wa kukufuatilia hakika kuanzia leo maneno yako ni chakula changu Cha kila siku Kama iliyokuwa kwa mitimingi!.
@tumaingideon5237 Жыл бұрын
Brother thanks
@lesionlukumay51959 ай бұрын
Brother mm nina shida kubwa sana màana anae nisema vibaya ni mume wangu na kila akisema ukimuuliza anasema nimeteleza nisamehe anarudia kila mara najikuta naumia sana lakini hajali
@lesionlukumay51959 ай бұрын
Naomba msaada
@manenolugendo63965 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana kunawatu wanaweza wakasema vibaya sababu umewazidi cheo au umewazidi pesa au kiwango flani. Mwingine anweza sema vibaya sababu tu umemkopesha pesa anachelewa kulipa nawe unaitaka hivyo anaanza kupakaza mbovu. Mwingine labda alikua rafiki lakini ukamtenga sababu anapenda Starehe wewe unapenda kuwekeza hivyo lazima aseme mbovu. Ahasante kwa Ujumbe Bro.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Maneno Lugendo Ni Kweli kabisa
@user-ko1dh8zf7p10 ай бұрын
Umeongea ukweli kabisaa 🙏.Mimi hapa kazi ninachangamoto mengi sana😢😢kusemwa,kudharauliwa na kukosa furaha😢
@mansourkhamis4579 ай бұрын
Pole sana 😢
@dialukando86057 күн бұрын
Kiukweli sio wewe tu,Kuna watu ni mashetani hasa makazini
@queennossy9213 жыл бұрын
I like this guy Nanauka ananimotivate sana my God blessed u more
@salamahamadisudi19124 жыл бұрын
Asante kaka nimejifunza ilikuwa na kerwa Sana na binadamu km hawa lkn Sai nitawapotezea niangalie mambo yangu ya maana
@ahmuhally44304 жыл бұрын
This is one among your best speech.Hongera sana Teacher
@elisantemrerimmwiri31585 жыл бұрын
Thanks brother for the powerful speech, your helping me on my way of life.
@user-ur8cz7ls3s3 күн бұрын
Kwakwel brother unafundisha vzur sana aisee na nmekuelewa sana na ninakuombea maisha marefu yenye baraka na mafanikio makubwa sana katka maisha yako yote 🙏🙏
@fahadabdulrazaq6704 жыл бұрын
Exactly brother, may Allah bless your hand work
@guadenciamapunda65932 жыл бұрын
Thank you for sharing your experience
@charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын
Mm watu kunisema vibaya hainiogopeshi sana lakini mtu ambaye tunaheshimiana na anayenifahamu vzuri kwa muda mlefu akinisema vbaya lazma nikae chini kujitafakari.
@saficharles2165 жыл бұрын
Kaka asante kwa mafundisho mazur ubarikiwe
@mumanyimulyowa83613 жыл бұрын
Ndio wale namba mbili umeshauriwa usikae kimya tetea haki yako dhidi yao
@user-qs9rn2je4c5 жыл бұрын
Asante sana kaka elimu yako ni pana mno malipo sina ila mungu atakulipa
@noelakyungu45593 жыл бұрын
Thank you Sir
@okokamfaume68885 жыл бұрын
Asante sana,
@samwelalex84175 жыл бұрын
Waooooo!!!!! Nmejifunza. Nmekutana na kundi la 3 but pia la 4 hadi nmeamua kumake decision Ya kuhama kituo cha kazi licha ya kwamba maeneo yale nilkua Tayar nmeanzisha biashara yangu Nzuri. Nilikua depressed Kwa kipindi kirefu. Nashukuru Mungu now baada ya kuhama nmetulia na inabidi kuanza MAISHA/KUJIPANGA vizuri.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Samwel Alex pole kwa changamoto na hongera kwa kuchukua hatua haraka kabla mambo hayajaharibika
@meshackngadango68555 жыл бұрын
Pole sana,Mungu mwema utafika utakapo tu
@amariaelieneza18543 жыл бұрын
Jamani Mimi nimekutana na yote. KWA sasa napambana na kundi no nne. Asante kwa kunipa njia ya kuishi nao. Wooowooooo. Keep on what you doing. 💪💪💪💪💪💪
@HappyDuck-cd2cx18 күн бұрын
Asante umeniponya kidonda kikubwa mno mungu akubariki Sana 🙏🙏
@happinessbitababaje29705 жыл бұрын
Asante Yesu, nimepata majibu maana nimepitia changamoto hizi kazini kwangu. Barikiwa bro uishi milele
@joelnanauka5 жыл бұрын
shukrani sana. endelea kubaki na sisi kuna video nyingi zinakuja
@festonmwampashe57675 жыл бұрын
Big up bro mungu akupe long life na ukuongezee uwezo zaidi ya juu ulinao @
@egonkasiano78225 жыл бұрын
Shukran
@medameda39204 жыл бұрын
Thanks bro I'm more studying every day the thorough of your thanks so much.
@jumamustafa64024 жыл бұрын
Thanks for message bro joel
@joycelehmann28173 жыл бұрын
Thankyou brother i follow your advice very wise
@mwangazajoyce22873 жыл бұрын
Thanks dear brother
@rahmahussein40195 жыл бұрын
Absolutely true talk .
@zuhuraabdillah69415 жыл бұрын
kiukwel bro makundi yote nimekutana nayo maeneo ya kazi. kundi la watu wanaotaka kukutoa kwenye focus ni changamoto kubwa. Nashkuru kwa kunielimisha am still doing great
@fhyubhhh28813 жыл бұрын
Be blessed
@carolinetalam58325 жыл бұрын
Nice teachings
@veronicamwautenga7394Ай бұрын
Asante sana
@agathamichael88185 жыл бұрын
Thanks bro
@gracedamas58833 жыл бұрын
Nimekua nikisemwa vibaya tena pale tu ninapoongea Ukweli ktk kufikisha ujumbe sehemu tofauti ndugu marafiki. Lakn leo umenifungua ufahamu wangu kaka Joel nanauka Mungu akubariki sana
@qatardoha93785 жыл бұрын
Asante kwa funzo hilo
@hurumaemmanuel4705 жыл бұрын
Very powerful bro!!!
@maggiepeter89364 жыл бұрын
Powerful words mwalimu....
@nathanmateow94555 жыл бұрын
Asante rafiki yangu wa dhati nimeguswa ni watu wa karibu kama ulivyofundisha walitaka kunishusha thamani,sasa ntakabiliana nao sitakubali wafanikiwe nasonga mbele,thanks very much.
@victoriabulambo20292 жыл бұрын
Asante sana pastor nimejifunza kitu 🙏
@lilianmachahha77093 жыл бұрын
Wow thanks kaka
@marthahaule83373 жыл бұрын
Asante kwa ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi. Mimi nimekutanana na makundi hayo yote na yameniumiza sana na kujisikia kukata tamaa sana lkn huwanaachilia baadae ili maisha mengine yaendelee japo huwa kunakipindi nasikia sana kuumia tena.
@anasanga9222 жыл бұрын
Thank you God bres you
@abubakarihamissi41782 жыл бұрын
thanks bro
@kinogomuriga86315 жыл бұрын
Uko vizuri sana kk. 💕
@thegirl14055 жыл бұрын
Shukraan brother barikiwa sana
@seifzongo3205 жыл бұрын
Wanataka kunitoa kweny focus.... huyu mm kabisa watu wanataka kunitoa...I'm keeping doing the right thing , Asante sn kaka
@joelnanauka5 жыл бұрын
Seif Zongo kabisa Zongo
@johnsonbagambi10865 жыл бұрын
Tuko pamoja
@shayopoul16123 жыл бұрын
Asante
@glorymushi54252 жыл бұрын
Thankyou bratherwew ni mshauri sana kwenye jamiii muda mwingine huwa tunakatamaaa kupitia watu wanaotuzunguka
@kitegwelucas15625 жыл бұрын
Kiongozi me nakuelewaga sana motivation zako na napenda sana kukusikiliza #God_bless_you👏👏👏
@yolandasebastian685 Жыл бұрын
Kaka Asante kwa ushauri makundi yote manne nimekutana nayo.
@husnauthman76095 жыл бұрын
Asantee kaka
@mwajumamwishehe34235 жыл бұрын
Asante kaka Mimi namba nne wanataka kunitoa katika muereleo wangu Ila nakomaa. Nao 😬😬
@muhamedichipila31823 жыл бұрын
God bless you more..
@ibrahimkassim4505 Жыл бұрын
Thanks for your hospitality
@judaspantaleo97795 жыл бұрын
Much help
@EuniaRyaga-zd3zx5 ай бұрын
May God bless you! You are the one whom I appreciate
@mshindivictor16905 жыл бұрын
Ahsante Joel
@pambachannel88355 ай бұрын
Kundi namba moja niko nalo so, Nipe mbinu za kuwapuuzia
@4gtradingimpex201 Жыл бұрын
Thanks kaka nimependa somo lako kwani napitia hizi hatua zote lakini umenifungua mawazo kwa sababu haya yote nilikuwa nafanya na kumbe nilikuwa sahihi kabisa ahsante kwa kuniongezea nguvu na hatua mia mbele.Barikiwa
@maseiafricano12502 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu yako nzuri nimejifunza kitu kwa somo lako mungu akubari sana mwalimu
@lucygodlove88385 жыл бұрын
b blessed brother.
@tabycatytabitha5 жыл бұрын
God bless you
@gideonkipruto39875 жыл бұрын
Asante baba
@hassnhaji85853 жыл бұрын
Shukran kaka
@sugarkheri46802 жыл бұрын
Barikiwa Sana kaka J Umenigusa kwa sasa hapo kwenye kusemwa kuna ambao wanakusema kwa watu wengine hawa tunawakabili vipi
@josephmwanyika83004 жыл бұрын
Asante Sana kaka daa elimu yako nzuri sana haya mambo yako Sana kwenye jamii zetu. hata ndugu kwa ndugu tuliozaliwa pamoja ipo somo la nne ilo saana Mungu akubaliki Sana..
@user-pb2kp9qm9x26 күн бұрын
Asante kwa elimu yako
@lightnesstumsifu65934 жыл бұрын
Asante kaka nimejifunza sana
@alihassanhaiba69375 жыл бұрын
Ahsante sana ,mm wakati nipo chuo Uganda nilikutana na point ya 4 kwa watanzania wenzangu lakin nilifocus kwenye masomo yangu at end I got award. best student
@zahrazukher43373 жыл бұрын
Asantee sanaa mm nipo kwenye ndoa ila mume wang ali weza kuwa na mwanamke mwingine naa aka mpa namba yang nakuaza kunitumia sms zakejeli na kunambia maneno yakuumiza sanaa' sasa hii Hali Bado inanitesa sanaa zile sms bado zinaishi kwenye kichwani kwangu nimeshidwa kuzisahau
@leilalusekelo153 Жыл бұрын
Ahsante sana
@jacobnduya7983 жыл бұрын
Asante kwa somo nzuri. Mimi karibia nimekutana na makundi hayo lkn ni wale ambao hawana cha kufanya na oppressors
@freshman99132 жыл бұрын
Aisee asante sana kwa maneno yako mazur nimezidi kujifunza vitu vingi hata watu watu wakijaribu kunisema vibaya na puuza na songa mbele mungu akubarik sana joel nanauka
@mariammwambungu31744 жыл бұрын
Asante sana nikweli nimejifuza Sana.
@derickluhaga7385 жыл бұрын
Remain blessed bro.....
@michaelmichael77585 жыл бұрын
Nice speach God bless you Brother.
@jumajaji71493 жыл бұрын
Nikweli kaka angu unayoyasema ni kweli
@alfredsebastian91315 жыл бұрын
Blaza Joel Nanauka. Nakubali kazi yako lakin Naomba ujaribu kuweka vitabu vyako katika online viwe katika e-book Kwan utaweza kujipatia kipato lakin kubwa zaid utatusaidia sisi WA mikoan kupata kwa wepesi
@asteriambwei955 жыл бұрын
Una mafundisho manzuri na shati lako linzuri sana wewe ni mwalimu ? Unaongea ukweli mno unanifurahisha ndiyo shida ya sisi wanadamu
@meshackngadango68555 жыл бұрын
Ha!ha!ha,shirt zuri au siyoo!
@hallimahassan96304 жыл бұрын
Asante kaka
@furahairene18293 жыл бұрын
Asante Sana Joel,yaan mm n mkenya bt mafunzo yako yamenifanya niiujue ulimwengu,najiona hata mtu akinifinyilia namna gani tyr huwa nmepata jawabu lake,maisha s rahisi Ila n rahisi ukijikubali na kujitoa vilivyo,barikiwa kaka
@shemsamussa6084 жыл бұрын
Asante xana kwa lecture kaka ,kweli kabisa uyasemayo
@rukyaabdilo79215 жыл бұрын
Ahsante
@johnkapalamula435111 ай бұрын
Asante sana.napitia hayo kazini nafanya kila jukumu langu vizuritu.lakini mtu mmoja aliepewa mamlaka uniripoti vibaya.emefikia nakosa Raha oficini. kila ninachofanya yeye nikibayatu.
@joannafula94962 жыл бұрын
Ahsante brother. Joel
@chrismassawe3265 жыл бұрын
Nakushkuru mwalimu Joel nimezungukwa na vitu hivo nimepata majibu leo asant sanaa
@jacksonmoshi11523 жыл бұрын
Thanx brother umenifundisha mambo mengi Sana'a
@samweliponera11003 жыл бұрын
Kaka Joel yesu akubariki sana
@emanuelavaleriani86465 ай бұрын
Dah hii nzuri sana
@bressafya6055 жыл бұрын
Be blessed brother....
@josephmathew44184 жыл бұрын
Uko vizuri xana Mr Joel
@danielmlanda55975 жыл бұрын
AMEEEN.............
@mwazanimbogo59963 жыл бұрын
Amina bro
@specialistmkombozi2353 Жыл бұрын
Safi sana brother
@yahyafimbo17554 жыл бұрын
ahsante
@lauchungulau92555 жыл бұрын
Thank you so much teacher joel for the power full speech I Lean something god bless you so much
@joelnanauka5 жыл бұрын
Lauchungu Lau Ameen thanks so much Lauchungu
@eliasevelin8694 жыл бұрын
god bless you my brother
@jackypaul88462 жыл бұрын
@@joelnanauka kaka na je kama sitaki kabisa kuzungumza nae yaani kila siku group ya whatsap mambo ya kazi ananisema vibaya yaani ana na kagroup ka wenzie ka wa5 nilishamcomfront face to face ila kwa sasa sihitaji kuongea nae tena, je nikimkalia kimya?bado ataniona mnyonge?
@keflentito80525 жыл бұрын
Asante my kaka Joel
@tmsalumu92583 жыл бұрын
Nakuelewa Sana nitaendelea kukufatilia thank you my brother
@bahatiinnocent43753 жыл бұрын
Asante kwa sharing. Ikumbukwe mtu wenye matunda yaliyokomaa na kuiva ndio hurushiwa mawe. Wanatusha mawe ili nawe uwarushie matunda yako. Nini cha kufanya. Kusanya mawe jenga jukwaa kubwa endelea kung'aa watakuzoea.
@irenedaudi638 Жыл бұрын
Nimefurah mno nilichukia ila kwa kukusikiliza wewe nimepona....God bless you my brother
@mwanaharusialifakifaki87165 жыл бұрын
kundi la nne la kwanza nimenigusa mno ahsantenimejifunza binadam wana sura mbili mbili ,umenenakaka ,mm nyonge sipendaji kujibu ila huwa wanavijembe kila nkitabasamu kumbe sitakiwi niwe mnyonge.mafanikio yangu yanawauma sana watu ,ahsante mungu akueke miaka 10000.