UFUNUO JUU YA MAAFA YA KARIAKOO.

  Рет қаралды 117,227

Apostle Mtalemwa Bushiri

Apostle Mtalemwa Bushiri

Күн бұрын

Пікірлер: 483
@mariahgaudence543
@mariahgaudence543 2 ай бұрын
Amen hta sasa Mungu ametusaidia maana waliotoka slma ni wengi kuliko walofariki hakika najaribu kuwaza cjui nnni kingetokea kma Roho mt.asingeleta huu ujumbekabla kupitia mtumishi wa Mungu huyu hta tukaomba rehema za Mungu.i love Jesus,I love prophetic ministries i love ecgthe Jesus nation .
@frankkcu7741
@frankkcu7741 2 ай бұрын
0
@joyprisy9114
@joyprisy9114 2 ай бұрын
Amen Apostle mwenye masikio na asikie yale anayonena roho wa Bwana,Mungu akulinde na kukuhifadhi we Love you too much.
@MagrethMussa-z3s
@MagrethMussa-z3s 2 ай бұрын
Wapo manabii wa kweli ambao Mungu amejisazia hapa duniani,,Mungu wasaidie.
@yvonnemashuda3004
@yvonnemashuda3004 2 ай бұрын
Ahsante eeh Mungu...ni huruma zako hatuangamii na fadhili zako ni mpya kila siku! BABA AHSANTE🤲🤲 Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu!🤲🤲🤲🤲
@victorialema4033
@victorialema4033 2 ай бұрын
Namtukuza Mungu kwa ajili Yako Apostle..umefanyika ngao kubwa sana Tanzania 🇹🇿 kwa Mambo mengi, Mungu azidi kukutumia na Akutunze sana chief 🙏🙏🙏
@godwinkatemi5157
@godwinkatemi5157 2 ай бұрын
Wizi mtupu
@vailethmwageni8441
@vailethmwageni8441 2 ай бұрын
Amosi 3:7,mungu tujalie sikio la kusikia watumishi wako na tuzingetie sawasaw na neno lako🙏🙏🙏🙏
@irenemichael
@irenemichael 2 ай бұрын
Ua nafurai mtu anaeka na maandiko
@vailethmwageni8441
@vailethmwageni8441 2 ай бұрын
@@irenemichael mungu akubarikii kwa kupenda neno lake🙏🙏
@humphreymlagalila1886
@humphreymlagalila1886 2 ай бұрын
Asante Mungu wetu mwingi wa rehema maana umetupa mitume na manabii. Apostle Mtalemwa Mungu azidi kukulinda , nimesikiliza mpaka mwisho Kuna mahali pamenitoa machozi
@maureenlilykiwia1515
@maureenlilykiwia1515 2 ай бұрын
Asante sana Mungu kutuweka chini ya huduma ya Kinabii. Ehee Mungu tunaomba utupe zaidi mioyo ya kuheshimu watumishi wako ulitupa kama zawadi sisi kutumika chini yao. Asante sana Chief kwa namna ambayo umekuwa ukitufunulia yale Mungu aliyosema nawe. Mungu azidi kukutunza
@elizabethnamwinga3210
@elizabethnamwinga3210 2 ай бұрын
Amen Apostle. Mungu azidi kukutumia barikiwa sana
@jemimatumaini7026
@jemimatumaini7026 2 ай бұрын
Namshukuru Mungu kwa Ajili ya Mtumishi wako Apostle Mtalemwa Mpe nguvu zaidi kwa kazi uliyomuitia kufanya hapa duniani na watu wako tupate kusikia na kutii sauti ya Mtumishi wako🙏🙏
@TrephinaNgambeki
@TrephinaNgambeki 2 ай бұрын
Mungu apanue mipaka yako ya huduma na hekima na maarifa ya ki Mungu nakuelewa sana Mutalemwa Aposle.
@monicarobert4286
@monicarobert4286 2 ай бұрын
Hata sasa Mungu anaongea na watumishi Mungu akubariki Apostle
@VictoriaMwanga-o4f
@VictoriaMwanga-o4f 2 ай бұрын
Ni vema Sasa watu tukubali kuwa manabii wa kweli wa Mungu aliye hai wapo hata leo
@EpsonFelician
@EpsonFelician 2 ай бұрын
Mtumish Apostle yupo vizuri sana kiunabii na Na maombi Namuamina sana ishot ni nimejifumza meng sana toka mwak 2020 namfatilia nimejifunza mengii hayaelezeki kupitia mafundisho yake Mungu azidi kukuinua katika viwango na akupe Miaka Mingi Dunian 🙏
@gambasonDennissonofmajoron6012
@gambasonDennissonofmajoron6012 2 ай бұрын
Amen chief Apostle Mungu yupo pamoja nasi Tanzania we are protected
@florencekatungu8892
@florencekatungu8892 2 ай бұрын
Merci beaucoup très cher Pasteur. Tu es le meilleur. Que Dieu soit loué, que Dieu veille sur toi et toute ta famille.
@SamweliUlomi
@SamweliUlomi 2 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua Mtumishi Mtalemwa,apanue maono ya huduma yako ufike Kilimanjaro Wilaya ya HAI,na Kata Zake zote unahitajika.
@julianapeason6254
@julianapeason6254 2 ай бұрын
kuna majanga gani tena huko?
@leonbwenda1945
@leonbwenda1945 2 ай бұрын
Mungu yupo na anaongea kila siku...tujifunze kusikiliza sauti ya Mungu
@queenGrolly
@queenGrolly 2 ай бұрын
Nimemuogopaa sana Mungu kwakweli Mungu awezi ruhusu maafa bila taatifa Mungu aturuhumie
@KenethChristian-os9jq
@KenethChristian-os9jq 2 ай бұрын
Shalom, apostle Mungu akulinde zaidi maana umejitoa kwake NAMI naungana na wewe katika sala na maombi yenye kuzuia kazi za adui Kwa jina la Yesu Kristo under the blood of Jesus
@rebekasamweli214
@rebekasamweli214 2 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi
@sundayherrieth9460
@sundayherrieth9460 2 ай бұрын
Naamini unabii wako mtumishi wa Mungu, niliposikia jengo limeanguka kkoo nilimwambia mwenzangu unabii wa hili ulishatolewa mwanzoni mwa mwaka na mtumishi wa Mungu, Mtalemwa ila watu tunakaza sana shingo, hatuna imani!! Mungu azidi kukulinda mtumishi
@RithaJoseph-uq2kq
@RithaJoseph-uq2kq 2 ай бұрын
Natamani kujua hilo kanisa like wapi na linaitwaje
@josephnkindwa7142
@josephnkindwa7142 2 ай бұрын
​@@RithaJoseph-uq2kqunashukia pale Mlimani City kuna njia ya lami inapandisha pale Chuo cha ardhi, wakati unaelekea kwenye kadaraja dogo unapita njia ya mkono wa kulia unaacha ile inayonyooka moja kwa moja chuo cha ardhi bali ile inayopinda mkono wa kulia unanyooka nayo moja kwa moja inatokea supermarket 1 hapo wewe nyooka kwa juu kidogo mkono huo huo wa kulia hapo Makongo Juu utakuta bango limeandikwa ECG The Jesus Nations Church utaona picha ya watumishi hapo utakuwa umeshafika tayari. Karibu sana
@josephnkindwa7142
@josephnkindwa7142 2 ай бұрын
​@@RithaJoseph-uq2kqKanisa linaitwa ECG (Enlightened Christian Gathering) The Jesus Nations Church ama kwa Kiswahili linaitwa Kusanyiko la Wakristo walioangaziwa Nuru (Enlightened Christian Gathering), Taifa la Yesu (Jesus Nations) kwa kifupi ukisema kanisa la ECG utakuwa umetupata hili jina linafahamika sana
@sundayherrieth9460
@sundayherrieth9460 2 ай бұрын
Kanisa lipo tankibovu
@angelmsoffe398
@angelmsoffe398 2 ай бұрын
​@@RithaJoseph-uq2kq Tupo makongo karibu na chuo cha aridhi karibu na mbelw ya dawasco
@Bles-x1v
@Bles-x1v 2 ай бұрын
kweli kizazi cha sasa kimejaa ubishi mungu atusaidie tumjue mungu kwa uwepesi na huyu ni mtumishi wa pili kumsikia kwenye mahubiri akisistiza tumjue mungu na tuombe toba wakwanza ni àpostle mwamposa nimemsikia ni zaidi ya mara 3 akisema na huyu nabii niwa pili jamani watu wamungu tuzitii sauti zaa watumishi wa mungu
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 2 ай бұрын
Naam Apostle nimekupata Asante kwa haya maono...kumbe Kuna Nabii aliona na wewe ndiye huyu Nabii. Mwenyezi Mungu Asante kwa Sauti hii.
@HappyJohn-h8q
@HappyJohn-h8q 2 ай бұрын
Waliona manabii kadhaa prophet Musa Meizon.aliitaja kariakoo.
@nikokihaga8024
@nikokihaga8024 2 ай бұрын
Mbona hawakuzuia?
@HappyJohn-h8q
@HappyJohn-h8q 2 ай бұрын
@nikokihaga8024 anayezuia ni Mungu sio mwanadamu. Hakuna mwanadamu mwenye nguvu hiyo na wewe unajua hilo. Anayewaonyesha ni Mungu na waliomba ndo maana idadi ya vifo haijawa mamia ya watu. Unaweza ukaamini au usiamini ni sawa si lazima uamini ndugu ila tu haina haja ya kubishana kama huamini . Kwenye Biblia yupo nabii alitabiri akasema kesho muda kama huu chakula kitauzwa kwa shekels kadhaa na kuna mtu akabeza hakuamini maana kulikuwa na njaa sana. Kesho yake ikawa hivyo ila kilichompata yule aliyebeza nakijua ila sitaji hapa uliza mtu anayeijua hii akwambie nini kilimpata kwenye lango la mji huo wakati huo. Wanaobeza hawajaanza sasa walikuwepo
@MagrethMussa-z3s
@MagrethMussa-z3s 2 ай бұрын
Watu kama hawa ni swala la Muda tuu,,watamjua Mungu na watumish wake
@HappyJohn-h8q
@HappyJohn-h8q 2 ай бұрын
@MagrethMussa-z3s kabisa Magreth
@domitiladsm
@domitiladsm 2 ай бұрын
Asante Mungu kwa Rehema zako. We continue to pray for our beautiful nation. Ee Mungu Rehema zako ziwe pamoja nasi.
@furahabeatrice2057
@furahabeatrice2057 2 ай бұрын
Amen Amen mtumishi wa Mungu 🙌 Mungu akubariki zaidi. Mungu azidi kukutumia kama vyombo.
@VictoriaWariobaJr
@VictoriaWariobaJr 2 ай бұрын
We are the son of Major one!Thanx Lord am proud to be ECG church!
@jacksonbiswalo8360
@jacksonbiswalo8360 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@IreneCremece
@IreneCremece 2 ай бұрын
Amina sana mtu mtumishi wa Mungu Asante sana Mungu Kwa maana unaishi karibu yetu kuliko hata nguo tulizozivaa
@MussaSoja
@MussaSoja 2 ай бұрын
Mungu bariki mtumishi wako
@janelyatuu1135
@janelyatuu1135 2 ай бұрын
Amen nakupata nikiwaaa arusha mungu akutunze baba
@saimonjmai801
@saimonjmai801 2 ай бұрын
Good Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi Wa Mungu Asante kwa kazi nzuri 🙏
@theresiamartin3150
@theresiamartin3150 2 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi nabii wetu
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 2 ай бұрын
Apostle Mungu akubariki sana Uendelee kumtumikia ktk roho na kweli,🙏
@YusuphuMapembe
@YusuphuMapembe 2 ай бұрын
Mungu akubariki chief
@EvelinaShedrack
@EvelinaShedrack 2 ай бұрын
Mbarikiwe wanamaombi, mungu yupo anaefanya mambo makubwa , yalio shindikan Kwa wanadamu yeye anayaweza
@kelvinmoses7549
@kelvinmoses7549 2 ай бұрын
hakika Mungu yuhai❤❤mtumishi Mungu akuweke
@PaulinaLunyonga
@PaulinaLunyonga 2 ай бұрын
Upande wa pili wenzetu wanatuita makafiri,, Swali nnalo jiuliza Je Mungu anaongea na makafiri kama hivi,,, Wao kuna hata unabii wowote ambao wamekwisha utoa na ukatokea kama hawajawahi wanatakiwa kujitafakari sana katika imani yao,,,, Maana Mungu alie hai anaongea ndo maana matukio makubwa kabla hayatokea anawaambia watumishi wake,,,, Natamani ningeona wote upande wa pili mmgeukie upande huuu kwani ni wazi kua Mungu yupo pamoja na walokole,,,, Ushauriii tu kama utaweza kuufata sawa ukikataa sawa
@MzeewaslowHusseinAndrew
@MzeewaslowHusseinAndrew 2 ай бұрын
Mpuuzi wewe mbona kama wakristo mnapewa maono mbona mnashidwa kuzuia tukio lisitokee na kama mtumishi aliona mbona hakuzuia tukio lisitokee!.
@MzeewaslowHusseinAndrew
@MzeewaslowHusseinAndrew 2 ай бұрын
Acha ubaguzi wa dini nimekuota dhamani Sana aisee
@experansiakahama1802
@experansiakahama1802 2 ай бұрын
Tukio haliwezi kuzuilika ikiwa watu hawamwamini miungu yeye ataomba kwa upande mwingine lakn je ambao nimeamini Mungu huwezi jua na kutoka​@@MzeewaslowHusseinAndrew
@NassoroHaji-i8k
@NassoroHaji-i8k 2 ай бұрын
​@@MzeewaslowHusseinAndrewUtamtoaje thamani mtu ambae anaongea ukwelii ..hapa hakuna unabii wala utume ..Mitume walishapita miaka mingi iliopita waliopewa uwezo wa kuona lijalo na kuanza kutoa nasaha na taarifa kwa ummah..hivyo bas hakuna mtu zaidi iliopita na mtume wa mwisho ni Mtume Muhammad S,A,W na hakuna mwengine
@JoycePoul-l8y
@JoycePoul-l8y 2 ай бұрын
We nawe umeandika maelezo mareefu nilijua ni ya maana kumbe upumbavu
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 2 ай бұрын
Hongera saana mtumishi mungu
@JoyceHaule-o8c
@JoyceHaule-o8c 2 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@SaibatMyale
@SaibatMyale Ай бұрын
Mungu atujalie
@sarraipaul2078
@sarraipaul2078 2 ай бұрын
Mungu aendelee kukutumia our Apostle
@naftarjahzeel2599
@naftarjahzeel2599 2 ай бұрын
Mungu akubariki apostle Mtalemwa a son of prophet Bushiri (Major 1.)na azidi kukutumia kwa viwango vikubwa zaidi pasipo kuwa na mpaka wowote in Jesus name 🙏
@beatriceisack5317
@beatriceisack5317 2 ай бұрын
Mwenyezi MUNGU akubariki sana pasta yani hadi mwili unasisimuka
@emmymatigula4870
@emmymatigula4870 2 ай бұрын
Utukufu kwa MUNGU MWENYEZI ALIYEHAI MUNGU ALIYEHAI Aendelee kumimina mafuta zaidi kwa mtumishi wake Mutalemwa 🙏 🙏 🇺🇸
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 2 ай бұрын
Kawaida mungu akikuonyesha maono unatakiwa kumsihi mungu ili aghairi mabaya kwa kufunga na maombi ya kujitesa mungu huwa anakubali maombi
@josephemmanuel388
@josephemmanuel388 2 ай бұрын
Kweli kama mungu kamuonesha angeomba yasinge tokea
@colethamushi2463
@colethamushi2463 2 ай бұрын
@@josephemmanuel388 wajibu wetu ni kuomba rehema, mengine ni mapenzi ya Mungu hata wakati wa korona taifa zima tuliomba tukaona ukuu wa Mungu kwa Taifa la Mungu lakini kunabaadhi walifariki pia. lakini bado hatukujiuliza kwa nini wengine walikufa. anayeokoa ni Mungu mwenyewe kwa mapenzi yetu wajibu wa watumishi ni kutuhimiza kuomba.
@fortunataangelo5575
@fortunataangelo5575 2 ай бұрын
Aanapo kushirikisha, maana yake nawewe uombbe, so jambo likitokea baya na wewe una husika, kwa sababu ya uzembe wa kuomba,, huenda hata idadi hiyo, haikufikiwa, kwa sabaabu ya maombi alkoomna mtumishi, na kimsingi, bimadamu gulivyo yassipo. Tokea tungesema uongo ​@@josephemmanuel388
@magesanka1708
@magesanka1708 2 ай бұрын
Mungu aendelee kukutumia zaidi na zaidi apostle nchi ipone
@godlovemalekela17
@godlovemalekela17 2 ай бұрын
1❤ Apostle 🎉 GOD at Work
@FestusKinyamgala
@FestusKinyamgala 2 ай бұрын
Asante Yesu kwa kuwa wewe ni njia ya kweli na uzima
@MamaNabii
@MamaNabii 2 ай бұрын
Asante kwa somo zuri
@shabanjuma7102
@shabanjuma7102 2 ай бұрын
Nami maono yangu, juma pili kwenye kanisa lako litajaa sana
@RobinahumpreyRobinafungo
@RobinahumpreyRobinafungo 2 ай бұрын
Wewe niamini kabisa wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli.
@AnethBoniphace-jp3lk
@AnethBoniphace-jp3lk 2 ай бұрын
Mungu azidi kuwatetea amen
@FloraSumuni-jm1mx
@FloraSumuni-jm1mx 2 ай бұрын
Mungu azidi be kukutumia Kwa utukufu wake I'm
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 2 ай бұрын
Mungu tusaidie jamanii tusikie neno lako toka kwa watumishi wako
@childofgod3216
@childofgod3216 2 ай бұрын
Daha aiseee Nothing was made without him kariako hakuna aliekufa wote ni wazima katika kristo Wamepata ajari katika siku ya Bwana hakuna aliekufa wametoka katika mwili wa Damu na nyama
@happinesslogasian2620
@happinesslogasian2620 2 ай бұрын
Mungu wetu ni mkuu mnoo🙏
@AnnaKamagi
@AnnaKamagi 2 ай бұрын
Ee Mungu uturehemu utupe roho ya maombi
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 2 ай бұрын
MUNGU akubariki mtumishi
@denisjumanne3790
@denisjumanne3790 2 ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU
@neemamapenzi6960
@neemamapenzi6960 2 ай бұрын
Mmmh Yesu tusaidie wanawako tunaangamia
@tanunewstz
@tanunewstz Ай бұрын
Wew pastor mm ni mwanafunzi wake real
@visionvoicechoir2015
@visionvoicechoir2015 2 ай бұрын
Atukuzwe Mungu kwa kuwaponya waliolengwa kuteketea. Ahimidiwe Mungu wa Israeli.
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 2 ай бұрын
Mungu naomba kupitia mazibau hii nipone kisukari kiishe kisirudi tena kwangu kiwe 5 point 4 tuu Mungu nitendee
@irenekenedy7889
@irenekenedy7889 2 ай бұрын
Nafikiri selikali ingekuwa inaamin na kusikiliza hivi vitu tungekuwa na macho mazuri ya kutembea kwenye nchi yetu
@imanimakishe8632
@imanimakishe8632 2 ай бұрын
Tuwasikilizeni watu wa mungu jamani, tuacheni pia ubishi wa kulinganisha dini na dini aminini nawaambia Dunia Ina kimvuli na kitu chenye kimvuli Kuna mahali kipo mpaka kikatoa kimvuli jamani mungu yupo aminini msiamini yesu anarudi. Sijui ata niwaambiaje mnielewe
@kisakim5660
@kisakim5660 2 ай бұрын
MUNGU ✅ Mungu✅ Yesu ✅ YESU✅ BWANA✅ Bwana✅ mungu ❌ yesu❌ bwana ❌ Hizi zinazoandikwa kwa herufi ndogo zote zinamaanisha miungu ya dunia hii
@FestoKalani
@FestoKalani 2 ай бұрын
Mungu aendelee kuwa pamoja na sis
@innocentchuwa-wo1nl
@innocentchuwa-wo1nl 2 ай бұрын
Asante mtume, ebu ifike mahali mwenyezi mungu awaumbue hawa wanaotoa kafara hizi
@annasamo1587
@annasamo1587 2 ай бұрын
Acheni Mungu aitwe Mungu
@neemamabena-xx5er
@neemamabena-xx5er 2 ай бұрын
Amina mapacha wamekaa siku 3 na niwadogi mungu ametendaaa
@VICENTNTALE-nw5jc
@VICENTNTALE-nw5jc 2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa BWANA, MUNGU aendelee kukupaka Nafuata ya shangwe.
@heladiosbernard7380
@heladiosbernard7380 2 ай бұрын
Mungu Asante maana uko hai
@chongedaffa3938
@chongedaffa3938 2 ай бұрын
Shalom pastor,naomba Rehema, Mimi mjane,ninaumwa lakini wanangu wananipa uchungu sana
@oliviambombe3605
@oliviambombe3605 2 ай бұрын
May God have Mercy upon us
@mwanamisisalimu1704
@mwanamisisalimu1704 2 ай бұрын
Kama kweli unamtumikia mungu aliye hai amen
@MarukamondoLaizaMondoLaizangob
@MarukamondoLaizaMondoLaizangob 2 ай бұрын
Mtumishi wa mungu naomba tuasiliane tafadhali baada ya kusoma habari nyigi kuhubiri
@rambostalon2888
@rambostalon2888 2 ай бұрын
God bless you pastor
@GlauryHaule
@GlauryHaule 2 ай бұрын
Mimi hapo nimejifunza kuwa tanzania tunaishi kwa upendo mkubwa wa mungu asante Bwana yesu kwa kutupenda namna hiiiiiiiiii mmmmm
@lilianmwita2711
@lilianmwita2711 Ай бұрын
.namtukuza MUNGU kwa ajili yako apostle
@iviejustified8109
@iviejustified8109 2 ай бұрын
Roho wa Mungu atuongoze tumfahamu Mtakatifu wa Israel... Maana watu wengi hatumpi Mungu nafasi watu tunaenda na miungu na ni changamoto kumbe watu wana agenda zao katika ulimwengu wa roho. Mwenyezi Mungu uturehemu! Mithali 3:3-4
@JacklineIkoki
@JacklineIkoki 2 ай бұрын
That is My chief apostle mtalemwa ❤❤❤
@EmmaSanga-uq5hv
@EmmaSanga-uq5hv 2 ай бұрын
Kuna nabii nilimfwatilia alisema aliona lango la rehema linafungwa lakini alimlilia sana Mungu likafunguka,nachojua Mungu akionyesha anawapenda watu wake hataki waangamie.hivo lilipaswa kuombewa Mungu anusuru.
@michaelcharles3733
@michaelcharles3733 2 ай бұрын
Haina maana hiyo,, yesu alitabil angamizo la yerusalem kwel iliangamia,, manabii wametabili majanga,vita,njaa nk na yote yanatokea,, Mungu akionyesha jambo anataka ujue kwa nn linatokea ili uombe rehema, huenda pale kkoo ilikuwa wafe weng zaid lakin wamekufa 16 kwa sababu ya maombi
@CeciliaBashiry
@CeciliaBashiry 2 ай бұрын
​@@michaelcharles3733😢😢
@HellenChamy
@HellenChamy 2 ай бұрын
Mungu kweli ni mwema sana❤❤
@Abbellll001
@Abbellll001 2 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua mtumishi Mtume na Nabii Mtalemwa.Nabii ni kinywa cha Mungu.
@ZabMan-w5u
@ZabMan-w5u 2 ай бұрын
Fungua branch kenya mtumishi wa mungu, mafunzo yako hiko juu xana.
@humphreykamuhungiraobenets9948
@humphreykamuhungiraobenets9948 2 ай бұрын
Huyu alitabiri pia mafuriko ya HANANG
@KabweDorcas
@KabweDorcas 2 ай бұрын
Uko nabii wa kweli kabisa 😢😢
@VianeMakarious-lt3is
@VianeMakarious-lt3is 2 ай бұрын
NABII MTALEMWA,TUNGEJUA TUKAZINGATIA TUNGEOKOA MAISHA KWELI WATU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA..
@KabweDorcas
@KabweDorcas 2 ай бұрын
Que Dieu nous pardonne 😢😢 vraiment
@AmosJeremiah-dj2jm
@AmosJeremiah-dj2jm 2 ай бұрын
Ameen Apostle
@godyphilemon3053
@godyphilemon3053 2 ай бұрын
MUNGU NA AZIDI KUKUTIA NGUVU APOSTLE MTALEMWA UMEJUA KUSIMAMA KATIKA ZAMU YAKO,MUNGU IBARIKI TZ NA UTULINDE NA UTUEPUSHE NA MAJANGA✝️✡️🕎🇹🇿🙏🙏🙏
@gishangaak7608
@gishangaak7608 2 ай бұрын
May GOD have Mercy upon us 🙏
@MussaBihaliBalema
@MussaBihaliBalema 2 ай бұрын
Mungu alirehemu taifa letu
@neemamabena-xx5er
@neemamabena-xx5er 2 ай бұрын
Mliopona mungu yu pamoja nanyi shetani ameshindwa
@givenmsomba9358
@givenmsomba9358 2 ай бұрын
Naphtali shida kuonyeshwa tunaweza,ila kuomba yasitokee ina kuwa ngumu.Mungu aturehemu
@NassoroHaji-i8k
@NassoroHaji-i8k 2 ай бұрын
Mtume huyu kapewa na nani huu utume mbona mnamkosea sana Mùumba wetu nyinyi viumbee mlio ruzuqiwa afya na uzima
@daudigabriel9860
@daudigabriel9860 2 ай бұрын
Viongozi wa taifa mfike mda mtambue uwepo wa watumishi wa Mungu hata kutaka mashauri kwao Nini Cha kufanya Kwa ajili ya Taifa, naamini mnayasikia haya na kuona ni ushauri tu
@CharlesMakasi-jp2hs
@CharlesMakasi-jp2hs 2 ай бұрын
Kabsa umeongea point sana sema wanakimbilia sana kusema watumishi wa uongo
@samwelmwangi9185
@samwelmwangi9185 2 ай бұрын
Maombi yana nguvu, tusiache kumwomba Mungu kwa ajili ya NCHI YETU, kila hatua unayotaka kuipiga mwombe MUNGU akusimamie. "TUSIACHE KUOMBA".
@StephanoMbwambo
@StephanoMbwambo 2 ай бұрын
amen mtumishi wa mungu.
@bamag-021
@bamag-021 2 ай бұрын
13 Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. 2 Wakorintho 11:13 14 Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. 2 Wakorintho 11:14 _##__###__###///##.. 22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Mathayo 7:22 23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. Mathayo 7:23
MWAKA 2025 UTAKUA HIVI
49:54
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 67 М.
JINSI YA KUMTAMBUA ADUI YAKO
36:45
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 20 М.
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
UNABII WA MAMBO YA SIRI - CHIEF APOSTLE MTALEMWA
21:19
CHIEF APOSTLE MTALEMWA BUSHIRI
Рет қаралды 139 М.
USIPUUZE NDOTO
46:05
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 76 М.
ROHO MTAKATIFU KTK UMBO LA VITU
24:53
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 1,1 М.
#live : [09.02.2025 ] OPERATION KOMBOA FAMILIA ( MAOMBI 12).
ARISE AND SHINE TANZANIA
Рет қаралды 556
YESU SI MUNGU MASKOFU WAMJIA JUU MZEE WA UPAKO
6:33
Mzee wa upako
Рет қаралды 67 М.
TULICHEZA KIDOE USIKU KUCHA NA MUME WANGU .
16:42
ARISE AND SHINE TANZANIA
Рет қаралды 110 М.
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН