Make sure unamwambia traffic we ndio umekataa kufunga mkanda hahahahaaa
@sherin31714 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@magekenny31654 жыл бұрын
Ivi kweli hata ukakutana na trfc utaanzaje kumwambia mtt kagoma kufunga mkanda 😂 😂 😂 😂 😂
@Faidhajohn3472 жыл бұрын
Mnaomtukana masanja jitathimin maisha yenu kwanza
@revinastephen76215 жыл бұрын
Nimecheka sana yaani nawapenda sana kila mara naweka bandle kwa ajili yenu mnanitoa mawazo na furahi sana kuwaangalia
@salimamarick19844 жыл бұрын
😅😅😅😅😅ilove my daughter
@zannachrischen71885 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Baba nilikumiss tena acha tu😂
@saumujuma71974 жыл бұрын
Pole sana ndio kulea uko
@ibrahimlukuba1013 жыл бұрын
Hahaha uyu mtt Anaelewa ila anajifanya askii
@judithkatabaro32944 жыл бұрын
Nimecheka sana masanja jana nime mkimbia mwanangu yani kama wakwako mkorofi aelewi somo lakin raha sana jamani
@christophertarimo50474 жыл бұрын
Bangi bhana
@robertgeorge95744 жыл бұрын
Best nasso
@teddyfadhili37684 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 maji hufata mkondo
@zenahhussein93185 жыл бұрын
The little Lady is too tough she can actually slap her father 😂😂😂😂
@isamony584 жыл бұрын
Mbavuu zangu mie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nunuuali53165 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kofia ya kisera itakufikisha wapi mtt mzuri. Ila baba umepata
@Amneamne-qi2du4 жыл бұрын
Leo kagoma
@MikereMio4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 beautiful baby girl
@kasiyarandatv36574 жыл бұрын
vizuri sana mkandamizaji? #Kasiyaranda
@amanimusenyi82175 жыл бұрын
Hahaha hicho kifungu cha sheria kimenivunja mbavu
@mariethapeter60994 жыл бұрын
😁😁😁😂😂Atari Sana
@FlorenceDDR5 жыл бұрын
Hahahhahahahahhaha 😂😂😂😂😂🙏🏾🙏🏾🙏🏾 Masanja umepatikana😁😁😁ulikiwa hivi ulipokuwa mtoto😂😂😂
@ajabukatembo12545 жыл бұрын
Sasa hapo unashangaa nin kati ni wew kila kitu...
@DalesPlaytimeFunKidsPlay4 жыл бұрын
Masanja get hold of me please.
@annamushiaminaaa43674 жыл бұрын
Mttoo anaakili kushinda wwee😅😅
@zenarupia5444 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂,,,kofia kiselaaa
@joshuayoram95054 жыл бұрын
Kaka naku kubali sana nisaidie namba yako
@godfreymlimbila27705 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 msichana mkorofi sana huyo
@corrolesscps5 жыл бұрын
Godfrey Mlimbila . Sio Mkorofi amnunulie mtoto kiti chake cha ziada ambacho unakiweka juu ya kiti cha gari, anakuwa Comfotable, Sio kiti icho cha wakubwa hayuko comfotable anajiona anasogezwa ndani ya kiti
@godfreymlimbila27705 жыл бұрын
Hapo sawa
@donaldelias66895 жыл бұрын
Mtumishi naona n jnc gani ckuiz unakosa vya kupost😂😂😂😂
@jumamlanzi82005 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@christinamsuya51505 жыл бұрын
Ni wivu tu
@donaldelias66895 жыл бұрын
@@christinamsuya5150 😂😂😂😂😂😂😥
@tshirima88865 жыл бұрын
Acha kejeli mwache afanye kile anacho kiona....ni mwanae kipenzi chake furaha yke.....wivu unakusumbuwa....masanja pamoja na familia yko tunakupenda....
@donaldelias66895 жыл бұрын
@@tshirima8886 ckua na maana mbaya maana nmezoea kuona akipost mahubiri na nk,so cna maana kwamba nachukizwa nooooooo,nisamee kma umenielewa tofauti
@zahirallyzorro53054 жыл бұрын
Nimeipenda Sana Bunk anavyo Susan!
@consolatamedard17005 жыл бұрын
Akili zako kabsa izo nazan ulikuwa unamsumbua mama kwenda shule acha nae akusumbue lakin nakushaur kitu kimoja sio wivu niushaur tu izonywele kwa umri wa mtot sionzur nakumbuka Kuna motto alipoteza maisha kwasababu ya izo nywele walimsuka wakavuta mishipa motto akapoteza maisha msuken tu nywele zakawaida atapendeza tu
@bibletv98182 жыл бұрын
Askofu kiduku😳
@isayameshack733 жыл бұрын
Katunzi
@estherirambona34604 жыл бұрын
Nim kumbu vichekesho byako usela wababa😅😅
@alimojaqueen73434 жыл бұрын
nimecheka
@aminadadaa38234 жыл бұрын
Nc
@Official_manlizy5 жыл бұрын
Et huo usela utakupeleka wapi.😁😁😁
@julytito38915 жыл бұрын
Hahahahaha kweli kila mtu akirusha vituko vya mtoto wake mtandaon ni burudani ya miaka haki ya nani vileee,,
@patriciapatrick76844 жыл бұрын
Ahahahaah nimecheka kwa sauti
@magrethtarimo35323 жыл бұрын
Hahahahaaaaaaa mtoto kiboko
@lilianw7215 жыл бұрын
Hehehe, ile siyo mkanda ya watoto!!! Mwenzako ako right kukukatalia Hehehe!!! Asante