Asante kwa namna ulivyosimulia Pro, hakika ni kitabu muhimu cha kusoma kwa faida yetu na taifa kwa ujumla
@jizzomonster3 күн бұрын
Kaburdi soma Baba hicho kitabu kinaukweli mtupu najua kuna wengine kinawachoma hapo😂😂😂
@SifaEmma2 күн бұрын
Harmonize Mzee Popo anapata sapoti ya badhi viongozi wa CCM kuharibu kazi za Diamond na Wasanii wake youtube na uchawi...Aibu Tanzania 💯❌😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@josephlorri4313 күн бұрын
Pro uko vizuri kusimulia..
@gosbertireneus5558Күн бұрын
nimependa huo utata kwenye mwaka wa kuzaliwa 😂😂😂
@mohamedally15942 күн бұрын
Prof. Umenogesha sana . Kongole
@bakarimakalo71283 күн бұрын
❤ Love Moringe RIP my Loving Great Tanzanian Leader.
@adelinelyaruu30363 күн бұрын
Amen and amen ❤
@annabubelwa45433 күн бұрын
Rip jembe Moringe
@kalumbugideon41593 күн бұрын
Kazi Nzuri Sana Iendelee
@OmariGamuya-dz2oo3 күн бұрын
Edward Moringe Sokoine mwanawatanzania lala salama baba sudi Yako Bado inaishi.
@eliasmedutieki75783 күн бұрын
Jitafakari wewe hapo ulipo je Kuna nafasi yeyote ambayo utajilinganisha na marehemu Edward Sokoine? Je unakumbuka maneno yako kabla hujapewa cheo? Sasa hiyo itawatafuna
@kheriakida33093 күн бұрын
Kabudi very smart uanasheria wake unamsaidia kukwepa mambo 😅😅😅, hataki kuambiwa si ulisoma pale, someni
@Subilaeliasubilaelia3 күн бұрын
Ww mzee mungu akupe misha malefu sana
@ChristmasMaheri3 күн бұрын
This is an interesting narrative to twist and walk close to the Maasai,after serious injuries on their land and livelihood by the government of the land.
@gabrielsanya32783 күн бұрын
Prof ana uwezo mkubwa wa kujieleza na kuelezea, lakini ukekelezaji kivitendo hapo ana kigugumizi kikubwa Sana, pamoja na yote bado CCM Wana fumbia macho matatizo ya utekaji na ukaji wanmeweka pamba masikioni hii ni AIBU kwa Chama kongwe kutotoka hadharani na kuelezea ukweli.
@HellenLemilya16 сағат бұрын
Mbwembwe nyingi,maprofesa nao ,ila huyu baba mmm
@LucasMahenge2 күн бұрын
Pr umeinogesha saana simuliz hiyo ime
@gosbertireneus5558Күн бұрын
kitabu cha JPM lini???
@NixonJohnson-zn8nk2 күн бұрын
Huyu ni mbwembwe nyingi kutusaidia kama taifa 0
@kindi4926Күн бұрын
Mkatoliki na wake wawili?
@athumanmapunda3 күн бұрын
Sawa Prof kabudi
@MiriamAziz-z5t2 күн бұрын
KOMREDI MORINGE SOKOINE....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....ILE NDIO ILIKUWA CCM YA KIZALENDO KWELI KWELI....CCM ILIOKUWA NA 'DIRA' YA TAIFA....SIJUI KAMA CCM YA SASA INAFIKIA HATA ROBO YA CCM YA AKINA SOKOINE!
@jonasamos5553 күн бұрын
Interesting story
@HajiKlein-so1rk3 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿💕🙏
@yordanyona12343 күн бұрын
Watu walikuwa wakweli sana ...hata kilichoandikwa kinasomeka
@JovinMwakalebela3 күн бұрын
tungekuwa tunakubaluana na mawazo yangu wewe unataliwa kuwa rais wa jamhuri ya tanzania
@ramadhanchenga46063 күн бұрын
Huyu sio mkweli na ajawai kukosoa kitu chochote kile ni muoga
@mohamedally15942 күн бұрын
Kitabu bei gani
@malkavoice25703 күн бұрын
Yaani unaongea kiswahili afu unatafsiri kiswahili professor why?
Hivi vitabu vya viongozi viwe vinatumika hasa sekondari na vyuo vikuu kwenye uchambuzi na pia italeta Chachu ya wasomi wengi kupata maarifa ya uongozi na uzalendo.
@adelinelyaruu30363 күн бұрын
Library zote nchini zipelekewe nakala za kutosha
@VitusSamwerКүн бұрын
kwel hasa chuo Cha uongoz il tupate viongoz wadirifu na sio matapel
@josephlorri4313 күн бұрын
19:40 sio appendix..ni appendicitis
@JackJack-oi2io3 күн бұрын
Uchaguz utakuwa mgumu sana
@omuze12903 күн бұрын
Striker ndiye huyo huyo refa na kamisaa kwenye game. Ugumu utoke wapi?
@OmmyJames-xn7ji3 күн бұрын
MAMA MITANO TENA NYIE ANDAMANENI 😢😢😢😢😢😢😢
@frankcharles3980Күн бұрын
@@OmmyJames-xn7jiKICHWA HASARA
@mbikamtanganaki3 күн бұрын
Tutaulainisha
@kimalinganomhelela83773 күн бұрын
Hilo kuwa alikuwa mkatoliki kindakinda wakati alikuwa na wake wawili,linanipa ukakasi kuelewa.
@godfreymassawe33413 күн бұрын
Mke wa pili alilazimishwa kimila
@RomanMwinyi3 күн бұрын
Nauto elewa kwa sababu uwelewa wako mgumu mnoo
@abuumuhammad71333 күн бұрын
Ndio ujue Uislaam unatambuwa maumbile ya Binadamu
@PartySekemi2 күн бұрын
Kwani hakuna sasa wakatoliki wenye wake zaidi ya mmoja?
@evelina96213 күн бұрын
5:24
@abelabba78093 күн бұрын
Huyu kibaka ni msanii sana . Yaani maccm yamuona anaongea bora sana. Huu utoolo akaongee na wajinga. Tunajuwa mengi kuliko yeye anaongea puma tupu. Tupo imara
@SamwelSimon-tf6oo2 күн бұрын
Utajua mwenyewe
@FelixMbore-wq7ho3 күн бұрын
Mama tunakupenda sana usihofu na kelele za wapinzani wewe ni raisi na uwezo unao kuzidi wanaume na pia hakuna jipya wanachoweza kuleta zaidi ya kuibia Watanzania. Mama nakutakia maisha marefu.
@RomanMwinyi3 күн бұрын
Boyaaa ww ana uwezo Gani mavi kuza bandali apo ume sikia sokoine kuuza bandalii au uwanja wandege kengee wewe
@mundhirsaid12503 күн бұрын
Ukweli ndio huo NYERERE alihusika na kifo cha sokeine. Wacha kigugumizi wewe. Weka sawa.
@bakarimakalo71283 күн бұрын
Tupatie ushahidi wenye uhahika. Wengine tunaimia kwa Viongozi wengi walipotea. Kolimba, Ally Kigoma Malima, Mwl Nyerere Do.. Dr JP Magufuli. We miss them all !