#TBC1

  Рет қаралды 13,874

TBConline

TBConline

7 ай бұрын

#TBC1: WEKEZA TANZANIA: MAPYA JUU YA UWEKEZAJI MKUBWA WA KITUO CHA BIASHARA UBUNGO
Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka eneo la Ubungo mkoani Dar es Salaam kilipokuwa kituo cha mabasi yaendayo mikoani ambapo kwa Sasa unaofanyika uwekezaji mkubwa wa Kituo Cha Biashara na usafirishaji Cha Afrika Mashariki, uwekezaji huo una thamani ya zaidi ya Bilioni 270.
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK

Пікірлер: 20
@JohanessMarwa
@JohanessMarwa 2 ай бұрын
Congratulations to Tanzania for seeing the opportunity and promoting the message of East Africa. It is good for citizens to encourage leaders when they are doing well so that they can bring us more progress. 🇧🇮🇹🇿🇹🇿
@reubenjaphet3062
@reubenjaphet3062 6 ай бұрын
Uwekezaji huu utawezesha Watanzania kupata guality products toka China kwani huko nyuma wafanya biashara wengi wa Tz walikuwa wanatuletea low quality products toka China na kutuuzia kwa bei ya juu. Kumbuka nchini China Kuna products za quality mbalimbali. Kuna zile zinazotengenezewa uchochoroni na ni za bei ya chini Sana na zikiletwa hapa zinauzwa kwa bei kubwa. Ila this time hii haipo.
@user-uj8lh8fj4j
@user-uj8lh8fj4j 6 ай бұрын
Hongera rais wetu toe I fursa zaid za uwekekezaji tunataka tuone mirad mikubwa zaid
@hosseatippe6484
@hosseatippe6484 6 ай бұрын
Good interview... I give them 5 🌟
@castroydaimon3107
@castroydaimon3107 6 ай бұрын
Dada Cathy! Uko vizuri sana
@user-lq7ew3eg3u
@user-lq7ew3eg3u 6 ай бұрын
Hengera dada kwa kazi nzuri
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 6 ай бұрын
Dada hongera
@allennyingi7357
@allennyingi7357 2 ай бұрын
kwenye hilo soko watauza bidhaa za kutoka china tu au nasisi Watanzania wenye viwanda tunaruhusiwa kuuza bidhaa zetu humo...???. Itakuwa ni platform nzuri sana ya kuuza bidhaa zetu kwa matifa jirani.
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 4 ай бұрын
This is good may be we can get brand products and not fake ones
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 6 ай бұрын
Watu wasiogope inatakiwa kuwa na hizo masoko mengi ,pia wafungue viwanda TZ hapo hapo.
@allennyingi7357
@allennyingi7357 2 ай бұрын
Sawa kabisa ....viwanda ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi
@khatibsaid5010
@khatibsaid5010 6 ай бұрын
Kwenye bizaa umeona mbali sana
@emmanuelbaraka2217
@emmanuelbaraka2217 6 ай бұрын
Hii kitu nilikuwa najua tu Tukishindwa kufanya partnership na wachina waje watengeneze viwanda bac watajenga soko na watauza bidhaa zao
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct 5 ай бұрын
hii ndio akili
@tradamus4158
@tradamus4158 3 ай бұрын
Hiyo ni mall au vip
@khatibsaid5010
@khatibsaid5010 6 ай бұрын
Muangalie na faida zake kwa taifa sio ilmradi miradi tu inufaishe wawekezaji pekee hayo majengo msipo angalia kwa makini mtayaona machungu ysnaweza yasiwe na faida zaid yahasara kwa taifa
@user-uj8lh8fj4j
@user-uj8lh8fj4j 6 ай бұрын
Watanzania mnaogopa nin tunahitaj malls zaid ya hiz tz
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 5 ай бұрын
Hivi,wewe Lylian mwasha huwezi kuongea kiingereza?,unamhoji vipi mtu kwa kiswahili na yeye anaongea kiingereza?,wasiojua kiingereza watajua anakujibu nini?
@mamodelmam
@mamodelmam 9 күн бұрын
Ata wao ukienda china hawaongei kiingereza
UWEKEZAJI NA MANUFAA YAKE: UTT AMIS WANATOA UFAFANUZI ZAIDI
22:47
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 205 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 6 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA
12:30
Dar Es Salaam Tanzania has changed! BRT Phase 4 Work has started
18:41
Explore with Bertin
Рет қаралды 5 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 205 МЛН