Kweli kabisa kushindana mke mwenzio ata kumroga ushamba
@user-eo4hd8xu6d8 ай бұрын
😂😂😂kalie chooni
@janechaula28706 ай бұрын
😁
@MdNasr-jm8pj5 ай бұрын
Nimecheka Kwa saut 😂😂 Nena usikimbie nyumba Kwa mke mwenza 😂😂
@SalmaSauko-mf8is7 ай бұрын
nimekupenda dada ❤
@imranbanda3963 Жыл бұрын
صلوا على النبي
@mawiotvonline7832 Жыл бұрын
asante dada unaelezea vizuri unatoa ujumbe safi ila sikubaliani unapo sema wake wenza wakigombana chanzo ni mume mana nyinyi wanawake mwalimu wenu ni jumamanne kipofu
@FatimaAli-of4gh5 ай бұрын
Mwanaume anachangia na kikubwa zaidi Mwanaume lahuku anapeleka kule la kule analeta huku hapa ndio tunagombana
@FatimaAli-of4gh5 ай бұрын
Mimi mumewangu kaowa wala sina muda na mwenzangu na niliwahi kumuona mara 2 tu nina miaka 21 sijamuona lakini huyu mwanaume na choko choko la huku watt wa mwenzio wamefanya da wamefanya de wanahivi wanahivi ni mbaya na husda
@user-fb3er2pi8r5 ай бұрын
At ukeweza siutak lapekeako na dhaninikaburiitu nnalo ikipita miaka arubainii kisheria linaruhusika kuzikwa mwengine tizama apootu
@alibadi6323 Жыл бұрын
Nikweli dada
@IsmailBaraza7 ай бұрын
Asant Dada kwaushauro
@farhatkhamis44016 ай бұрын
Kweli kabisa
@hemedabdalla4171 Жыл бұрын
Elimu unayotoa sirahisi kuipata kwa wanawakengi.
@ghhyhh75914 ай бұрын
Yaan dada nimekupenda bure yaan uloyasema yote niyangu mm nilikuwa oman mume kaowa nilipo rud sijaamin ilo swala la kusema mume yuko zam nalihesab yupo kazin mpk mwenyewe kaniuliza huna wivu nikilala kule unajiskiaj nikamjui nakuhesab upo kazin jaan jamaa haamini yy mwenyewe kuna siku kasema nijuta kuowa maana kila kit hufanya kwangu
@HABIBMEDIA-fk9hg2 ай бұрын
assalaamu aleykum. naomba kama wapo waschana wakutaka ndoa nijulishwe. shukran
@islamicmarriageburkenya31922 ай бұрын
Wapo
@user-mu6ye9np5z5 ай бұрын
Maneno kuntu dada
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
Mm ukewenza siutak man wanaume sahv si waadilif
@diyashitindi6675 Жыл бұрын
uwadirifu utaujuaje ilhali hujataka mume aowe?
@ummuhkhalfan5542 Жыл бұрын
Muombe Allah kila kitu kitakaa mahali pake maana kwa sasa ukisema kisa kaoa udai talaka utaomba sana na hata kama ukiachika ukirud nyumban watakupenda wiki ya kwanza tu zinazofata zote ushakuwa mzigo na hata kama ukiwa unajiweza Kuna umri unafika c wakukaa ubachela wakujitakia akikupa Taalifa anataka kuoa swalini kwanza istikhara kwa huyo anaekuja na uadilifu kwa mume piah Akupe amani ya moyo Allah hawez kukupa Bomu wakati umemlilia na kuuma lazima viume maana ni mumeo wala c kaka ako huyo.