Your songs have great composition ❤ and your message hits home 🏡
@thestandardoflivingchurchi2133 ай бұрын
Great teaching song
@jobnyakundi20363 ай бұрын
Apostle Na Utukufu Wote Ni Kwa Mungu...Watu Waheshimu Injili Ile Ya Zamani Yenye Uweza...
@MercyMshai-rz6gj2 ай бұрын
Ur really a legend in gospel ❤❤❤
@ruthkanini61363 ай бұрын
Mbele kwa mbele mtumishi wa Mungu ❤
@nnkoarnold54233 ай бұрын
Sawa kabisa mtumishi watu wanapenda dezo sana hawataki kushughulisha akili zao mimi binafsi najua ulikoanzia ulivyofanya kazi ya Mungu kwa taabu sana wengine wanataka wale mgongoni mwako usikubali hata Mungu hawezi kukubali udhalimu huo hao wakongo walichukua wimbo wa mtumishi munishi pia naona ni tabia yao ingawaje sio wote barikiwa mtumishi
@thestandardoflivingchurchi2133 ай бұрын
You are a blessing since I knew you many years ago God bless you
@fredmariita89303 ай бұрын
Asante Sana Apostle unanitia moyo Kwa MUNGU siku sote ninapo lemewa na Hali ya maisha lakini Kwa yote MUNGU mwema siku sote🙏🙏🙏🙏
@abrahammochache35583 ай бұрын
God bless you
@MargaretEske3 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu naomba unikumbuke kwa maombi
@user-of7ms8is3s3 ай бұрын
Yeah sure kyande.❤❤
@felixkmutisya31223 ай бұрын
Apostle ...hata kwa wengine ni hatia. I wish wote wangepokea onyo hili...God bless you man of God
@hisanipictures3 ай бұрын
Nakwelewa sana Apostle, na kwa hilo nakuunga mkono. Hata ingekuwa kurekodi, bado utaratibu lazima uwepo.
@pascalinamukui84003 ай бұрын
Tunakupenda mtumishi wa mungu hao wanao kuhudhi washindwe kwa jina la yesu
@servantmosesmunuve26873 ай бұрын
Umeongea kweli mtumishi,ata hio kwangu hainifurahishi kabisa, wengine hata ni mashoga wanaojiita wasanii wa gospel.Huo ni wizi na hakuna mbigu ya wenzi
@MamaGrandma-ie1sl2 ай бұрын
Amen Ame
@javandaudi55533 ай бұрын
Kumbe mzee upo Mungu mwema
@Dennorian001Ай бұрын
Wasamehe tu
@chegeben99813 ай бұрын
Wow ni kweli lakini ni chungu,
@alexandrebucumi73763 ай бұрын
Nyimbo za zamani si kama za sasa mtumishi,za zamani ziko na radha ,mafundisho,....
@NicholasMusembi-ft7wx3 ай бұрын
MShungaji tukumbuke Ongata Rongai kajiando Asante
@fenceevance3 ай бұрын
Vijana waheshimu watunzi
@zawadisisto81883 ай бұрын
Upo sahihi
@sammymiraka89383 ай бұрын
hao majambazi ,Wakamatwe
@JamesNdunda-dc3qw3 ай бұрын
Hao ni wezi wakamatwe.
@collinsomondi46723 ай бұрын
Uko wapi mtumishi
@Bedytuns3 ай бұрын
❤❤
@denismutuku27233 ай бұрын
Ukiona comment yangu jaribu unikol kol please nakuitaji sana please nimekutafuta sana from kenya
@apostlekyande31433 ай бұрын
Nitafute kwa messenger facebook (inbox) maana sipo Kenya kwa sasa.
@akundaotieno8663 ай бұрын
Zima hizo vitu zao zote,wako na upuzi kukopi nyimbo za wenyewe
@user-px2iu4mc5y2 ай бұрын
Ok tumeshukuru na tumekusikiya ila twaomba sorry kwa walio kukoseya.
@mtimti39123 ай бұрын
Ujumbe umefika
@user-fw1fz8qq1y3 ай бұрын
Hapa nayo hakuna kupempeleza punda kwa mtelemko. Wanavaa kichapo
@ngangarich41643 ай бұрын
Kukamua na thaaraa ya wenyewe wacha
@ApostolKenedyOyata3 ай бұрын
Daddy nimekumiss Kila siku natafuta your nambar naomba unisaidie Niko na jambo
@apostlekyande31433 ай бұрын
Nitafute kwa messenger facebook (inbox) maana sipo Kenya kwa sasa.
@ApostolKenedyOyata3 ай бұрын
@@apostlekyande3143 Asante be blessed in juses name
@egogoloba3813 ай бұрын
Mbona unawazoweya Wakongo hivyo? Unawadai kuzicopy nyimbo zako mbona hilo nijambo la kuchekesha sababu musiki wa Tanzania na sehemu nyigi Africa umeshawishiwa na ngoma na rhythm za Wakongo. Ukweli ni kwamba nyimbo na ngoma za Wakongo ndio zinakopiwa. Ukisikiza nyimbo za wa Tanzania nyingi wamejifunzia kwa Wakongo. Kama kuna kijana kutoka Congo aliye copy wimbo wako basi hiyo ni makosa yake binafsi ila usijaribu kupakaa Wakongo matope kwa ujumla. Pia kufiata na sheria za copyright mutu anaweza fanya cover songs endapo anaonyesha na kutambua mtungaji wa wimbo halisi na hauwezi ondoa channel yoyote ambayo ina cover ya wimbo wako Kama inakutambua kwamba wewe njoo mwimbaji halisi na hapo hakuna copyright violation
@apostlekyande31433 ай бұрын
Toa maoni kulingana na mada husika. Unasema nawazoea wacongo! Ulishawahi kunisikia mahali popote nikiongea habari zao ndio useme nimewazoea? Unadhani kwa njia hii utaninyamazisha kuhusu kazi yangu? Ulipaswa kusikiliza maongezi niliyotoa nikisema SIO wacongo wote bali hao vijana wa Congo waioiba wimbo wangu .Hivyo usikurupuke kutoa hoja zisizoendana. Kama kuna watu wamejifunzia muziki Congo hilo haliwapi wacongo haki ya kumiliki miziki ya watu wengine, elewa tofauti ya kucopi kazi za watu; Na ikiwa madai yako ni ya kweli kwamba tumejifunzia muziki kutoka kwa wacongo , imekuaje sasa WAALIMU wanaibia majibu ya maswali kutoka kwa MWANAFUNAI???? Sijui kama wewe ni mwimbaji au ni mpiga debe tu kwa kusikia jina wacongo. Huu sio uwanja wa malumbano ya kikabila na siasa bali nimetetea kazi yangu. Sema ni wapi kuna rithim spesheli ya kicongo hapo inayo wapa ruhusa kuwa na haki kwa kazi yangu. Tunaelewa haki ya copyrights usituone wajinga, huwezi fanya Cover ya wimbo wa mtu kwa kuonyesha tu unamtambua bila kupata ruhusa yake. Kwa taarifa yako nimeshaondoa huo wimbo wao kwa yuotube na kama unafikiri siwezi sababisha channel kufungwa, upload huo wimbo youtube kwa channel yako tusiandikie mate. Ujumbe wangu haukuwa vitisho ila nimejiweka wazi msimsmo wangu juu ya nyimbo zangu. Kazi ni yangu na NITAILINDA kwa gharama yoyote.
@emmamolell3 ай бұрын
Wewe funga mdomo unaongelea ushabiki mtu anasimamia haki yake wewe unaleta ushabiki? Umekula Muti gani?
@zawadisisto81883 ай бұрын
Je umemuelewa vizuri anacho ongea au unaongea kwa mhimiko