Nami nampenda Sanaaa Mchungaji Hananja kwa ukweli uliotukuka kwa Dizi zote mbili ya Uislamu na Ukristo. Mungu amuweke zaidi atufunze zaidi.
@kenanimwakanemela483 Жыл бұрын
"Huduma ya kinabii ipo ila ofis ya kinabii haipo". It takes maturity in God's word to understand this, Hongera pastor
@DonMooSTUDIO_Express Жыл бұрын
😁 Mchungaji Ananja anatikisa kichwa kwa kusikitika 😁 Huyu mchungaji anaongeaga ukweli bhana
@hermanfrank6727 Жыл бұрын
Mchungaji Hananja ninakupenda kutoka moyoni Kwa sababu ya ukweli wako kuhusu Biblia na umejitahidi kumeza maandiko,unatema nono la Mungu sio maneno.Wewe ni mfano wa kuigwa aisee❤
@GetrudeMwemba8 ай бұрын
Mungu akubariki Mchungaji kwa ukweli wa Mungu unaoleza.
@amonsekajingo69965 ай бұрын
Gifted man of God . Keep it up! Such 'minds' should at times be teaching in bible colleges.
@hastatz Жыл бұрын
Huyu mzee akamatwe apimwe akili asije kua ni YESU amerejea😂😂 mbona anasema ukweli sana
@PreciousMwajombo Жыл бұрын
Hey you spare my ribs
@VeronicaEugen Жыл бұрын
For sure 😂😂😂😂
@paulinamariki3371 Жыл бұрын
Keel ndgu yang
@nellyhortensia24079 ай бұрын
😂😂😂😂
@ibrahimcharles98429 ай бұрын
😂😂😂😂 nimefurah sana comment ako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bonnymwajombe779 Жыл бұрын
👍very nice Hananja
@mbukumagiubukumagu406 Жыл бұрын
Yupo vizuri sana na anaujuwa ukiristo karibu katika uislamu
@matunzojr4862 Жыл бұрын
huyu jamaa geneous sana mchungaj pekee aliyebaki kusimama kwenye ukweli
@victorbugobola2276 Жыл бұрын
Kwl kila mtu anawakati wake saiv n wakati wa Hananja Kutrend hakika anatrend kwa ukwl wake,....Mungu akubarik ❤️ mtumishi AMINA...
@theophilwhiteheart1997 Жыл бұрын
😂 sipingi hata kitu kimoja hapa father umemaliza kila kitu God bless you
@rajabamis11358 ай бұрын
Huyu mzee mwenzangu Hananja ni real. Ni pastor wa kweli❤
@isackmachiyanshoka6754 Жыл бұрын
Mchungaji hananja upo sahihi Mungu akutunze sana!🙏🤝
@ipyanaGehaz8 ай бұрын
Mzee una madini mengi Sana God bless you
@mariakibwana3700 Жыл бұрын
Mchungaji Hananja, nakupenda sana kwa maelekezo.
@KamiliusPiusАй бұрын
Uko sawa, pasta Hananja, Waambie wasijie haponime kusikia umenena vema,
@yolbul1616 Жыл бұрын
Daah unapendeza sana dada love from south sudaness 🇸🇸🇸🇸🇸🇸
@lionking3015 Жыл бұрын
Napenda swagga ya huyu mzee yani anaongea kama wimbo yani anapiga verse Kisha anaweka chorus Enheeee Enheeeee😂😂
@PreciousMwajombo Жыл бұрын
😂😂😂 akh eeeeh
@mathiasswai7006 Жыл бұрын
Nice baba mchungaji,anabidi apewe PhD, ya heshima, na chuo kikuku
@phelisterswamalwa329510 ай бұрын
Yote yatapita Neno la Mungu litasimama litangaze muchungaji,I like it
@ElipendoElias-no6ki Жыл бұрын
😅😅😅😅nimefurahishwa sana na maelezo ya mtumish huyu wa Mungu ana hekima yakimungu kwakwel..
@meshackkazimil6837 Жыл бұрын
Hongera sana baba! Mimi nakuelewa sana sana
@ibrahimumtera79438 ай бұрын
Safi saana mchungaji sana apo uko sawa mimi ni mwadventista
@NemesiYustina-ye2vs8 ай бұрын
❤❤❤nimefarijika na ujumbe wako muadventista
@amissitundula8568 Жыл бұрын
Namuelewa sana mzee wangu
@jacquelinebaitani8370 Жыл бұрын
Mungu unaye mbona kwenda kuchukua maji? Omba Mungu wako akuponye huwezi chukua vifaa vya kiroho hata upewe kinyesi chukua upone.Maana wewe hiamini Mungu uliyenaye kama ni muweza wa yote.
@catherinenicander7468 Жыл бұрын
Naye kanisa lake mbona anataka sadaka kwani,kanisa litaendeshwaje.hakuna nabii anayewalazimisha watu kutoa sadaka ni unavyoona wewe mwenyewe.kama anafunga wakati anaandama wenzake,si awaache Tu .kila MTU si atabeba mizigo wake,waache watumishi wa bwana.
@georgemlonda4174 Жыл бұрын
Mungu akubariki ! Cjapoteza bando langu bure
@gertrudenyandwi82186 ай бұрын
Asante sana mtumishi waMungu barikiwa sana
@samweljumanne-wo2pu Жыл бұрын
Mchungaji Hananja Ni Proffesor akili mingi kichwa kimejaa mistari mitakatifu iliyojaa ukweli ndani yake hongera baba
@FatumaMussa-y7y9 ай бұрын
Mimi ni muislam,ila nampenda Sana huyu baba🎉
@salomedarema3047 ай бұрын
Eti kweli mtume anamikiki prado na kiyoyozi wakati paulo alijichimbia mahandaki akakaa huko yaani mmh hii mitume na manabii hewa Mungu awashughulikie
@ahmedalfan8075 Жыл бұрын
😂😂😂😂 dah uyu mchungaji comedian sana 😅 water skukuu
@VincentMurethi7 ай бұрын
Nice teaching always mchungaji
@sostentulian9462 Жыл бұрын
Namkubali sana mzee hananja
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny9 ай бұрын
Shukrani sana mzee wetu nakukubali pia❤❤❤❤
@deekibonga Жыл бұрын
Huyu baba apewe TV tuelimishwe zaidi
@bainolatino3412 Жыл бұрын
Sawa Sawa ilibidi waliona hilo japo wasafi au clouds au eatv au yeyote tuu a pate na masponsor
@IlyasaMohd2 ай бұрын
Allah akujaalie ungie ktk uislam amin
@PeterLubalaАй бұрын
Eeeeeeehe wew nae
@dankhany3385 Жыл бұрын
maisha marefu hananja ♡♡♡
@fredybanda2861 Жыл бұрын
Kkkkkkkkkkkk moto kimbunga moto kkkkkkkk niubunifu kkkkkkkk you are the best
@KamiliusPiusАй бұрын
Amina Leo tunatoa Unabii kwanjia ya Neno,.
@lucasprochesi10 ай бұрын
Huyu mtu ana akili kuliko kawaida.. jinsi ya kushika hayo maandiko tu inatosha kuwa umefunuliwa
@gracesanga64896 ай бұрын
amina mchungaji napenda sana mafundisho yako yananitoa hatua kwenda hatua nyingine
@oscarngata567211 ай бұрын
Mungu akubarki mchungaji❤❤❤❤❤❤❤❤
@LuckyBoy-pp2md Жыл бұрын
Poleni sana na samahani sana naona niliwakwaza wengi nawaomba mnisamehe maana sijui nilitendalo lakini by the way Karibuni kwa yesu
@wizdon6470 Жыл бұрын
Acha ushamba
@ElipendoElias-no6ki Жыл бұрын
Utajua hujui hata huyo usimuamin sana mpendwa
@shadraachshadinho Жыл бұрын
Acha hizo ni tittle tu kaka dini ni wewe mwenyewe haya makanisa yatatupotosha tu wengine wananjaa zao sio watumishi wa kwel
@frankzagalino9687 Жыл бұрын
Mimi ndo kanisa langu mtandaoni ! Vuka jordani ibada yenye nguvu za Roho mtaktfu WA Mungu.
@praykyara2604 Жыл бұрын
Kweli kabisa kaka💪💪💪🙏
@charlesmuyabi-nu9sv6 ай бұрын
hongera mchunguji kwa elimu nzur
@florencemwanansao834 Жыл бұрын
Mungu akubariki mchungji
@gertrudenyandwi82186 ай бұрын
Uko vizuri sana mtumishi
@AnneSampegete Жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa jamani tufunguke
@obotelaurent13596 ай бұрын
Mashallah...
@salmoncelestine6840 Жыл бұрын
Live long baba,,unasema ukweli siku zote.I love you
@LuckyBoy-pp2md Жыл бұрын
Mungu akulinde mzee wangu nakupenda unasema ukweli
@engelbertkiondo401410 ай бұрын
mwalimu Hananja asante. watu hawasomi Biblia kabisa. wanakariri vimistari vichache
@heronimomsefya319010 ай бұрын
Safi sana barikiwa daima
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Huyu ndugu anaongea ukweli Siyo mnafiki❤
@rosendanshau2674 Жыл бұрын
Uko vizuri baba unajua neno songa mbele
@NurdinMwezi-w3j6 ай бұрын
Nakubali sana mzee wangu
@dausonedius4100 Жыл бұрын
kweli kuna ukwel ndan yake baba amen
@khalid6264 Жыл бұрын
ubarike sana ,mungu akuongoze
@tojotv6414 Жыл бұрын
Mwandishi Leo umependeza tofauti na unavyovaaga
@kassianwilliam8257 Жыл бұрын
Hapa nimeondoka na kitu chema na kikubwa sn, asnt Baba Mchungaji.
@juliusroko3051 Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri kuhusu mfungo Mchungani.
@lucaschisamalo2852 Жыл бұрын
Mm nilishudia mke wa boss wangu kontena lilishika moto akatoa mafuta kila akimwaga moto unazidi zimamoto wakamwambia mama moto hauzimwi kwa mafuta
@Cianadvd17 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@sirpleasureb9 ай бұрын
binti hongera kwa kujistiri kwako
@damasjoachim4451 Жыл бұрын
Mchungaji umekosea sana, matendo ya Mitume inasema,imani yetu imejengwa juu ya mwamba wake Kristo mitume n'a manabii, hapo mchungaji hajatajwa, Petro aligawa vitambaa n'a kupelekwa kwa wagonjwa n'a kipona, Mchungaji unakosea sana unapokosoa maono ya watumishi wa Mungu, Yesu alitumia udongo kuweka jichoni n'a kupona n'a mengi sana, hayo ni maono unakosea sana
@vaghoghontweki98279 ай бұрын
Acha kutuhumu mtu..ww ni ndugu yake Mungu hadi ufikie huko na kujua sana et.....
@denisluena Жыл бұрын
god bless u
@JaphetPeter-sc3pe Жыл бұрын
Ameeeeeeeeeeen mzeeeee wang,
@EssauEmanuel-j9r9 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Mimi ninafuatilia sana maongezi yake Hananja.Anaongea logic na mantic.Siyo mnafiki
@princessprecious6995 Жыл бұрын
Upo sahihi kabisa na Mungu akutunze kabisa hujaongopa wakorinto 8.8. chakula kwaajili ya tumbo na tumbo kwaajili ya chakula tusipokula hatupungukiwi kitu tukila hatupungukiwi kitu
@mosesmtomo43116 ай бұрын
Upo vizur sana aisee
@fadhilichristine7734 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@estonmnthali37198 ай бұрын
Amina kweri kabisa
@BeatriceOscar-u4t11 ай бұрын
Bigup Mchungaji
@servantofalmightygoddranth2511 Жыл бұрын
Na kuhusu mwisho wa nabii, nabii wa mwisho aliyemtabiri YESU ALIE HAI na kunyosha mapito na kitengeneza njia nabii wa mwisho ni YOHANA Mbatizaji
@brendamontego6059 Жыл бұрын
I love his teachings
@Peacemollel8 ай бұрын
Jaman!!!
@zebedayokatamaduni96768 ай бұрын
Safi sana mtumishi
@athumanmbaraka51926 ай бұрын
Nampendagasana uyu dingiii❤❤❤
@FrorianiMlandali-zi5vd Жыл бұрын
Kweli mchungaji hananja anajua sana ukimsikilza kam wew ni kiongoz wa din unaweza ukazan anakutusi ila huo ndo ukweli na hajitungii coz vyote vipo kwnye bible
@JonathanJustin-qu4pz11 ай бұрын
Ahsante sana
@fatimafatima6796 Жыл бұрын
Kweli kabisa mtumishi wa mungu 🙏🙏
@Kobe_254 Жыл бұрын
Huo ni ukweli mtupu kuhusu dini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
@AaziziMkambi-qf5mj8 ай бұрын
Mchungaji umenifundisha jambo kubwa sana natamani nipate ata namba yako niwe nakutumia chochote kitu
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Ahsante sa n a baba
@PROPHETJOHNCHARLES-d7r8 ай бұрын
Agabo ni nabii agano jipya, ,huduma, ministry na ofisi , office, hapo ni lugha imekuchega mzee, manabii wapo na mitume wapo , isaya alienda kwa hezekia, elisha kumfufua mtoto wa mshunami, yesu aliitwa nabii, yohana 9:1___, paulo hata leso wagonjwa waliponywa , mafuta ya upako ,marko ,6:13, kwa nini musa anakabidhiwa fimbo na alitumia zaidi ya mara moja , kwanini eliya alitumia vazi zaidi ya mara moja, manabii ninachokiona wataurithi ufalme ,wachungaji wamejaa kujihesabia haki ,
@chiaseeds6919 Жыл бұрын
Nakukubali sana mpendwa
@jesuspower2390 Жыл бұрын
Yesu hakuwa na kanisa. alikuwa akihubiri katika makutano.
@jeanmuzaliwa9023 Жыл бұрын
kanisa manake nini?
@tinnahagustinolyelu42479 ай бұрын
Wewe nawe uliza uelewe Nini maana ya neno Kanisa labda nukusaidie Kanisa Ni watu sio jengo
@KamiliusPiusАй бұрын
Hapo umenena pasta Hiyo ndoo kweli,
@bonifaceferdinand566 Жыл бұрын
Ila kweli mchungaji hananja,Yani Imani za Sasa hivi ushirikina,njoo na udongo tuuombee,
@joycejackson2320 Жыл бұрын
Kufunga ni kati ya mimi na Mungu wangu!! na wala sio kubadilisha muda wa kula! Mungu aliumba mchana na usiku kwa maana kubwa! usiku viungo vinapumzika ukivifanyisha kazi havifanyi kwa sababu ndio maumbile bure utaamka umechoka kwa mzigo uliobeba!! Majivu Hananja ni ukumbusho tu wa kwamba mimi ni majivu na mavumbini nitarudi! kama wewe unavyovaa mavazi ya rangi mbalimbali ukiwa kwenye lbada kama mchungaji yana maana mbalimbali! ni ishara flan so kila mtu ana theolojia yake hatuwezi kufanana kwa kila kitu! cha msingi ni kutenda matendo mema yale Mungu anapenda
@frankmushi8892 Жыл бұрын
Nikweli kabisaaa
@RashidiGumbo-v9o8 ай бұрын
,kweli baba
@fatumaminyeko187529 күн бұрын
Tuombee nyumbani kanisani shetani anafanya kazi sana
@manjaruu1575 Жыл бұрын
Mzee we nomaa
@joycekalembo2225 Жыл бұрын
Dah nimefarijika sana..unajitahd sana kuwaeleza wakristo ukweli,tatizo letu ckuhzi hatusomi biblia,jamani WAKRISTO BIBLIA ndio nguzo yetu sehem ya majibu yetu..jaman tusidanganyike na haya manabii wa uongo wanaotumia shetani.jaman jaman?!!
@JumaJuma-fu7ji9 ай бұрын
😂😂😅hanjana uwa unanifraisha sana nakuelimisha Yani nakukubali mno eti unapiga uji