Kweli doctor christ yani kuanzia sasa lazima operation chunguza mamkwe ifanyike 😅😅
@VeronicaRugoyi23 күн бұрын
Ukweli semwe ❤❤❤
@victormkello9575Ай бұрын
😅😅😅 duh. Kikaangoni it was necessary
@Beth_shebaJoram7 күн бұрын
Habari doctor mimi ni mwanamke ziwa linaniwasha naomba nisaidie shida inaweza kuwa nini?
@menzanealide518326 күн бұрын
Doctor mimi nimekosa mke kwenye u mkasa
@hadijambwambo683325 күн бұрын
Wewe Chris,kama sio mm kumuongoza hata nyumba ya kulala tusingekuwa nayo !
@edwardntamaboko341423 күн бұрын
Huyo ndiye aliyeshindwa kukusimamia! Ndiyo maana akashindwa hata kuwa na nyumba mpaka wewe ukamsimamia ndiyo nyumba ikajengwa
@PendoPogwa24 күн бұрын
Wamaume nao wanachepuka sana jaman kuna mda hawajali wake zao hawana mda na wake zao matumizi shida heshima itatoka wapi? Umtii ktk manyanyaso hawajui nafasi zao ndo maana wanadharaulika.
@edwardntamaboko341423 күн бұрын
Wanawake nao hawaolewi wengi kwa sasa ßbabu ni wafisadi kwa wanaume,wajeuri.Hata wanawake wanadharauliwa ndiyo maana wengi SK Hz hawaolewi
@djramsoyusuph966128 күн бұрын
Nataka semina yote napateje semina hii
@hamasikatv28 күн бұрын
Tazama sehemu ya pili hapa Ishi na Wanawake kwa akili - Dr Chris Mauki kzbin.info/www/bejne/bnnXmpyAja6DrKs
@PendoPogwa24 күн бұрын
Mwanamke anarudisha mara mbili ya unachompa.hakuna mwanamke mkorofi akionyeshwa thaman na upendo.mbona mnataka utii pasipo upendo??
@edwardntamaboko341423 күн бұрын
Wanawake hawaridhiki pesa mbele kuliko kingine,sasa upendo gani kwa anayejali pesa kwanza?
@Kenyan_Duke2 күн бұрын
Sikubaliani kabisa😢,,Mwanamke hatari
@African51128 күн бұрын
Hata maandiko yanasema ishini kwa akili na wanawake,wewe ishi kindezi unywe chai kwa mruzi.
@masalakulwa7601Ай бұрын
hii video nataman hubby aione ..hajiwezi kwa kila kitu..acha nimuongoze tu aise🚮