Pole meti wangu Makumira sec school. Mungu anajua kilicjokusibu, nitakukumbuka ulivyo mpole,tangu ulivyomaliza shule ukaondoka, atimae nakuona leo tena kwenye picha umekufa, tangulia Meti
@eliupendondemfookimaro1001Ай бұрын
Duu Vicky umesema cha Makumira ndo nikamkumbuka huyu kaka
@HaliNgaboАй бұрын
Duuu pole sana wanafamilia zote ni njia za mungu
@AdelinajescaOswaldАй бұрын
Jamani Wana habari, hiki kilichoelezwa mmeridhika nacho? Mbona sisi ambao hatujasomea mambo ya habari tunaona kama habari haijitoshelezi? Kichwa cha habari mimi sijakiona naona kiwiliwili cha habari tu! Ebu tutosheleze basi kwa mlichokisomea tafadhali kusudi kazi yenu isitukanwe! Maana hii habari ni kichwa chini miguu juu!!!
@matildamsekele6221Ай бұрын
aibu sana kwa baadhi ya waandishi
@KasalamaAllyАй бұрын
Duu Sinza, chan'gombe, makuburi ,mwananyamala mbona kiza kinene Mungu wape nguvu Wana family poleni sana
@sophiakimaro5174Ай бұрын
Hiyo ajali ilikuwa ni mchana jamani.embu tutafutien hata mashuhuda watano.ina maana hakuna aliyeona hiyo ajali?je!mtu anaweza kuitwa na TRA aende bila hata kitambulisho cha nida?😢😢
@MungubarikiShooАй бұрын
😊😊😊
@royalahmed7024Ай бұрын
sio kweli hata kdg ,hapo kuna kitu hakiko sawa.
@elinurukitomali6008Ай бұрын
Km alikua anaenda kupokea makontener ina maana alikua ajabeba vielelezo vyovyote ya utamvulisho wa hy mizigo yk
@SameerDony-j3gАй бұрын
Huyo alieiba sm mungu anamuona engepokea hata sm moja atoe taarifa haya mambo yasengekuwa hv
@zaharamustafa-t1lАй бұрын
Mmm poleni familia
@salumunsabimana6502Ай бұрын
Kwanza muelewe mtu mawasiliyano ya marehem mwisho ilikuwa ni temeke sasa mwili wamarehem ukafikavipi monchwar mwananyamala .nyiye laleni tu mtauliwa kama kuku .halini ngumu mnatakiwa mkipigiwa simu na mtu yoyote msikurupuke usiende mwenyewe tafuta ndungu hata 3 rafikihata 2 pekeyako usende hakuna utu ubinadam umekwisha toka enzi .
@salumunsabimana6502Ай бұрын
Huyo kauliwa lakini wauwaji wajuwe Mungu halali kumdhulumu mtu uhai wake kwa ujinga wakiduniya malipo yapo. Mungu amlaze mahalipema amsameh madhambi yake amin .inaskitisha sana hiyo si tanzania ya zamani hii nitanzania ya wababe .
@chachamturi259Ай бұрын
Duuu aiseee inasikitisha sana aisee. Mungu atunusuru kwakweli hiinchi ningumu .
@umarwa6915Ай бұрын
Baada ya kuona anataftwa wakaamua kumaliza kbsa hatujui ukwel lkn kuna vtu haviitaj shule unaelewa tuu sema mung atusameh maan hatujui ktu
@nsiamasawe4578Ай бұрын
Tutafutieni eneo ambalo ajali ilitokea na mjaribu kuwauliza wenyeji kama kuna ajali ilitokea maeneo hayo. Pia mashuhuda tuwasikie
@LukuSaidАй бұрын
Taarifa zenyewe hazijitoshelezi hapo lazima tu mtu uwe na was was kuna namna hapo wala sio bure pumzika kwa aman mpendwa wetu Ulomi MUNGU ndo muhukumu wa mwisho
@LindaUrassaАй бұрын
Hao police wamwthbisha ajali imetokea wap???? Maeneo gan??? Naje aligongwa ma lori au vp mbma hyo hbar ni bdo haijitoshelez. Na
@VendrineLemaАй бұрын
Dah ndaii umetuacha jaman 😊😊
@khadejakhadeja9713Ай бұрын
Ajari imetokea wapi???? Tuwaone hao wasamaria wema walio shughudia ajali na itakuwa kuna walio mbeba tuwasikie nao alau tupo mbali majaji nasi tusikie😢😢😢😢😢
@FatherKunuttiАй бұрын
Ni lini majeruhi/miili vyapokelewa hospitali/morchuary na zisichukuliwe takwimu/maelezo ya waletaji na taratibu kama PF3????
@collinsulomi1008Ай бұрын
My brother, daah great loss
@iddyissa8110Ай бұрын
Vepee kpk na Lolo likowapi napia tuna mwitaji askali alie mpeleka hospital msitifanye mazizu sisi tukianza kuwagonga mnasema tunachukua Sheria mkononi na tunaitaji alie wasiliana nae mala ya mwisho ajitokeze wazi
@kennethmwakatobe2832Ай бұрын
jaman tujiongeze plet namba ya piki piki huwa inaonsha mmiliki .i
@king_King-4029Ай бұрын
Vp PF3 si kuna watu walimpeleka maana yake wanataarifa za mwanzo za ajali.
@mercye.4277Ай бұрын
Eneo??
@rejius11Ай бұрын
Ripoti haiko sahihi
@HadijaJoseph-d1gАй бұрын
Hii ajali ilikuwa sehemu gani na lazima police afike eneo latukio lkuzibitisha hiyo ajali ndio mwili uchukuliwe kupelekwa hospital nashindwa kuelewa kabisa ajali ya namuna gani isiyo julikana halafu ilikuwa mchana kweli inamaana ilikuwa polini watu hamuna yani kifo kimesabishwa na haijulikani, nisida hii nchi
@henrygabriel2892Ай бұрын
Ndugu zangu tuwe makini tunapozungumza hiyo ni ajali msamaria /wasamaria wamemchukua na kumwacha zahanati labda wao wakaondoka kilichofuata kifo na kifo cha ajali ya gari kugongwa kinajulikana Haya maswali mengi tuliachie Jeshi la Polisi kufanya kazi yao,
@KhadijamussaMachapatАй бұрын
Miye nasema hivi wenye sim wawe watusambazia matukio kama yule kaka bonge isigekuwa kurikodiwa ushaidi usingekuwepo
@KhadijamussaMachapatАй бұрын
Sisi tunataka wasamalia wema walio shuudia🙄😳🙄
@JacquelineMahumbeАй бұрын
Hii nchi ni ngumu
@AgnessJohn-v8pАй бұрын
Nimebaki mdomo wazi mungu ndo shahidi
@josephatemmanuel458Ай бұрын
Pikipiki aliichukua nani?na iko wapi? Kawaida ajari zote zinatokea mpaka taarifa ziwezimefika polisi
@mercye.4277Ай бұрын
Ajali ilitokea maendeo gani
@stevenngomele3604Ай бұрын
Ina maana Polisi hawajui eneo ambalo ajali iliyokea? Pkpk ilipatikana wapi au kwa nani?
@vero57Ай бұрын
Jeshi la police wenyewe wakali hao !!! Sijui ukweli utajulikana tuuu
@elinurukitomali6008Ай бұрын
Hivi cm ilizimika baada ya kupata ajali? Pili cku hizi kila mtu anatembea na vitambulisho vya venye kumtambulisha mtu ..siku zoote anatafutwa hilo jeshi la polic kwa nini hawakuingia mtandaoni kuhusu ajali hy.
@SamirahassanRajabu-n5lАй бұрын
Dada samahani naomba jirekebishe na utoaji habari wako mbona eeeee nyingi bhana mm cijapemda
@bonphacehitra2024Ай бұрын
Ila sio sir huyu kamanda wapolice ana dhambi kubwa sana
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Ila ipo siku Mungu anaona
@FurahinikatkabwanaАй бұрын
Siku yake yaja kama mwivi,auae kwa upanga nae atauawa kwa upanga
@khadejakhadeja9713Ай бұрын
Eti kamanda Kala kiapo kashika msahafuu na bibiria halafu anaongea uwongo
@dicksonkilupa2258Ай бұрын
MSIULIZE NI WAPI ALIPATIA AJALI JADILINI SIMU ZAKE ZILIKATIA MAWASILIANO WAPI? HAPO NDIPO MTAJUA ALIKOPOTELEA SIYO HUKO MAKUBURI MNAYOITAJA. ILA UKWELI TUUSEME MBONA NI KAMA WACHAGGA WENGI WANAANDAMWA NA HILI ZIMWI? SITAKI KUELEWA.
@mussamassawe7624Ай бұрын
Maelezo hayajai aisee
@winifridakasibu2900Ай бұрын
Wasamalia weme hawkuiona iyo ajari jaman
@RobertKajegeАй бұрын
Ni wakati muhimu sasa kama Taifa kuweka kamera ktk majiji kama DSM ,Arusha ,Mwanza , mbeya na Dodoma
@dicksonkilupa2258Ай бұрын
Ama ndo maana kuna wakati walipiga marufuku watu kurekodi matukio na kuyasambaza? tunataka kujua ajali ilipatikana wapi? Temeke au? je hali ya pikpik yake na mwili wake vinaashiria umoja wa ajali? Isije kuwa vitu vyenye ncha kali ndo vilimdhuru? taarifa bado haijai kikombe.
@Muro-p9iАй бұрын
Walioshuhudia ni nanii jamani mbona maelezo ya msingi siyapati?????
@deohaule98Ай бұрын
Maeneo gani alipata ajali, alipataje ajali? Je kuna mtu aliusika kusababisha ajali? Mashuhuda wa ajali? GPS ya simu inasemaje? Nani alimpeleka hospitali? Vituo vya afya kwanini hawaku repoti polisi mapema siku ya tukio?
@Josephtibu-l9eАй бұрын
Kiukweli tanzania siyo nnchi salaama tena😢😢😢
@barakalukeha6184Ай бұрын
Jamani acheni kukoment kwa kutia hofu watu,,haiwezekani kila tukio baya tutupie lawama kwa serikali no no no!!!hilo likowazi mtu aliyepata ajali sio pekeyake,,hatawengine ni vigumu kutambua maeneo na ndugu n,I.acheni uchomganishi
@FurahinikatkabwanaАй бұрын
Mbona pana mzunguko mzito,ajali imetokea kungine huon hao polis ndio wauaji
@Muro-p9iАй бұрын
Ajali ilitokea wapii????
@Eangle666Ай бұрын
Saivi kwa jinsi technologie ilivokuwa Kuna mtu anaeza kupata ajalia mpaka kufaliki ikiwa bado ajali hajajulikana mbona ajali zingine Zina tangazwa na jeshi la polisi mbn Zina fika eneo la tukio au ajalia ya OLOMI ndio hatakiwi kuwekwa wazi???
@elinurukitomali6008Ай бұрын
Hy polisi akanatwe aliotoa tagarifa akaoneshe alikopatia ajali....na km alipelekwa na wasamaria wema hawakuchuka maelezo yao...pamoja na vtambulisho vyao mana kitu chochote sasa hivi lazima uoneshe vitambulisho
@Muro-p9iАй бұрын
Tunataka mashahidi,walioona ??
@lailafakhihajiАй бұрын
Hao polisi hawawezi kujua pikipiki inamilikiwa na nani???au ndio uvivu!!!
@AminaTanzaniaАй бұрын
Yaani hawa maaskari watamarizwa na wananchi
@Sophia-w5k4iАй бұрын
Mwanzo kabisa mkewe aliongeanae mara ya mwisho sm alipokea yupo chang,ombe ndio maanq taharifa zinapingana
@winifridakasibu2900Ай бұрын
Je mke wake anasemaje
@zariadunia6328Ай бұрын
Mtu kapata ajali hawajamtafuta hospital wanatangaza kapotea
@DaudiMadeАй бұрын
Hiyo ajali aligongana na gari aligonga mtembea kwa miguu pikipiki iliacha njia akajibamiza mtaloni ?hebu toeni ufafanuzi? familia kaangalieni eneo la tukio vipande vya vioo na damu kama vinaonekana?
@Muro-p9iАй бұрын
Wapii ajali ilitokea?????
@pastorjameswatersoflifechu1227Ай бұрын
Mwandishi usiongeze maneno,. Walifika mala yakwanza waliulizia, wakaambiwa hayupo. Hiyo ilikua nimala ya3.
@peteriyohe3700Ай бұрын
Asa kwanini hiyo hospitali ya mwananyamala hawatagazi hizo miili zisizojulikana kwa wananchivili watu waende ili kuzitambua?
@Sophia-w5k4iАй бұрын
Apo kunanamna fuatlieni mahojiano ya mwanzo kabisa na mkewe
@peterpetermdaku1691Ай бұрын
Mashuhuda wa ajali wako wap na waliompeleka hospital wakina nani km ni external mchana watu walikuwa hawapo je? Aligongana na kitu gani? Mbona maswali hayajibiwi vizuri??
@BokoMnemelaАй бұрын
Ajali = makuburi geraji RB: = Temeke ??
@winifridakasibu2900Ай бұрын
Pikipiki ikowapi aliyopata nayo ajari ,je kama hakuwa na utamburisho inamaana akuwa na sim
@ototek8037Ай бұрын
Em tuione hiyo picha ya pikipiki aliyopatanaya ajali! Aligongana au alitumbukia mtaloni?
@khadijathani9064Ай бұрын
Sasa ajali kapatua wapi tujue iyo ajali ilitokeawapi
@emmanuelamos4581Ай бұрын
Taarifa hii ina utata mkubwa
@oam14lАй бұрын
Ninyi waandishi kwa nini msiende Makuburi mjue ni nani alimpeleka pale na walimtoa wapi? Hao waliompeleka wataweza kueleza ajali hiyo mnasema mbaya ilikuwaje? Alianguka, aligongana na nini na hata picha ya ajali yenyewe? Na mbona inasemekana mawasiliano ya mwisho ya simu yalionyesha alikuwa Chang'ombe?
@eyerine6013Ай бұрын
Tabata reli gereji
@jamilaathumani5481Ай бұрын
Mim niulize uyo mtu wa tra alimpigia mkewe simu je aliipataje namba ya uyo mke wa marehemu wakati yeye alikuwa anawasiliana na mwanaume..sasa uyo mfanyakazi watira aliipataje namba ya uyo mke?? Mim swali langu ni hilo
@KassimKassim-wv8dbАй бұрын
Hakuwa mtu wa tra, alikuwa wakala (AGENT) wake.
@joshuanassary5072Ай бұрын
Inamaana siku zote izo hawakuzunguka mahospitalini, 5 days.... Anyway uwongo ni wamuda mfupi
@KhadijamussaMachapatАй бұрын
Jamani miye najiuliza si alikuwa na Sim mbina watu upata Ajali utumia Sim kuwajulisha ndugu inamaana wasamalia wema kweli mbona uwa wanaogopa ajali mpaka Asikali wafike leo huyo imekuwaje nawatu kwani awakuwa na sim zao si uwa wanaumbea wa kulusha matukio ya Ajal ata miye hapo sikubali kabisa watu wengi siku izi wanasim wagelusha video ya Ajali🤔🤔na mnasema ni mchana🙌🙌🙌🙌🙌🙄🙄🙄😳😳😳
Nacho jiuliza wanasema alipata ajali makubuli sasa vip alipita uko na yy alikua anaenda mbagala
@MagrethMussa-z3sАй бұрын
😭😭😭
@Gratefulheart3188Ай бұрын
😮
@RamadhaniKitala-gx6wcАй бұрын
Yaan maiti inapelekwa na kupokewa kama kuku kweli
@khadejakhadeja9713Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂hata kuku akifa lazima ataulizwa.kuku huyu ni jirani😂
@MashavuMussa-f3rАй бұрын
KUMBUKENI ALISEMA KWA MARA YA MWISHO SIM ILIKUWA CHANG'OMBE VIPI HAPO
@annajohn175Ай бұрын
Hata mimi nashangaa ukiijua jografia vizuri simu inaonyesha mnara chang'ombe the anaanguka makuburi haiingii akilini
@RamadhaniKidubaАй бұрын
Hapo mimi nashindwa kuelewa ndugu wametoa taarifa Polisi na polisi hinyo ajali polisi wanajua kwa nini wasiwaambie ndugu kuna ajali ilitokea akaangali Hosp lakini mpaka siku zote hizo mungu ndo anajua yote
@Muro-p9iАй бұрын
Nyie tuambieni mazingira ya ajali yalikuwaje aligonga nn,
@OmanFanja-u4dАй бұрын
Acheni-umbeya-nyie-uong-tuu-waonevire
@PatricePatrice-ue4ylАй бұрын
ACHENI KUPOTEZA MDA MPAKA UYO BIBI AONDOKE ELFU MBILI NA 30 MSHA DEDI SNAAA
@HAWANassoro-o2jАй бұрын
Ukiwemo na wewe
@FurahinikatkabwanaАй бұрын
Huyo bibi hafai aachie ngaz awez kuja kusema kifo ni kifo
@HamisMghuna-fj3vzАй бұрын
W bongo ye anatembeaje pekeyake una biashara za kontena huna mpambe uko ka mdada kisu, sime bastola huna tukusaidieje
@ChrianusKamugangaАй бұрын
Wakati ndg wanamtafuta mpaka kupewa rb mbona police hawakutokea kusema kuna mtu kapata ajali? Maelezo hayo yana utata kiukweli
@NgamelaYussuphАй бұрын
Ukienda police kulipoti hawakupi Rb had Iwe imepita Masaa 24 Wanakuambia katafute Kwanza Mahospitali na vituo Vya police so Unaweza Kwenda hospital ukaonyeshwa miili lkn Kwa vile ni Wa ajali na uoga Unaweza usiutambue.
@FurahinikatkabwanaАй бұрын
@@NgamelaYussuphhao polis wangeonyesha pikipiki wamuonyeshe mkewe,kwan mkewe si alisema kabisa alitoka na pikipikiakiwa mwenyewe,wangemuambia kuna ajali ilitokea ya pikpik aione kama ni yakwao,polis niwauaj
@Muro-p9iАй бұрын
Ajali alipata wapi??????
@Muro-p9iАй бұрын
Alieshuhudia ni naaniii???
@Muro-p9iАй бұрын
Waandishi hojini vitu vya msingi
@Muro-p9iАй бұрын
Walio ona ajali ni nanii???
@Muro-p9iАй бұрын
Waandishi jengeni hoja za msingi
@LindaUrassaАй бұрын
Hao police wamwthbisha ajali imetokea wap???? Maeneo gan??? Naje aligongwa ma lori au vp mbma hyo hbar ni bdo haijitoshelez. Na