Wallah ihihih fatani itawatafuna wanyewe siyo sheikh wetu mwenye kupteza mda kwajili yatufundisha sisi alafu mnakuja najambo lapicha ilimradi sheikh wetu awajibu nyinyi mda uwo ana alla mpe umri mlefu sheikh kassimu mafuta afidhallahu
@HajiDibwa-n2fАй бұрын
Allah amuhifadhi sheikh abul fadhil Qassimu mafuta Qassimu na ampe mwisho mwema
@moussaabdallah-h4uАй бұрын
Allah amuhifadh sheikh wetu mpendwa Qassim mafuta na amkinge na fitna ambazo zinazo jitokeza kwa sasa na mpe subra.
@AliIbrahim-yk6qeАй бұрын
آمين
@mansurahmed4750Ай бұрын
اللهم آمین
@MasoudJuma-i1j28 күн бұрын
Amiin ....lakin kama amefany pia aombe radhi kwa anaowafundisha kwani. ... ...anatuchanganya kwa kweli .....mi Nina elewa masual ya picha vizuri ila pale amekosea........... Na mwenyewe anajaribu kutetea kwa kusem sio kweli hajapiga ........anaingia kwenye makosa ya uong.........anasem picha inapigwa alaf alikuwa hajui akati inaonyesha kabsa anaangalia ...camera... NJIA SAHIHI KWAKE NI KUUWEKA UKWELI AMEPIGA NA ASISEME HAJAPIGA ANAJIDHALILISHA KWA KUSEMA UONGO........ KWAN KUSEMA UKWELI NDO NJIA SAHIH.....SASA ANGALIA MPAKA WAKINA DILELE WANAINGIA KWENYE MAKOSA HAYA YOTE KISA YEYE . .....NA WANAINGIA KWENYE SHIDA KISA KUMTETEA YEYE
@moussaabdallah-h4u28 күн бұрын
@@MasoudJuma-i1j Tusubiri ukweli wa mambo.....
@AbuuhuryrahАй бұрын
tunamuomba allah amjaalie subra shekh wetu
@abuuSallyha5Ай бұрын
Hatuna wasiwasi kabsa ss masalaf na twamuomba Allah awaifadhi MaShekh watu
@HadijaDada-c5kАй бұрын
Asalam alay kum samahani sana namtafu shekhe jamada namba zake nimepoteza pamoja nasii kama wamfaha ama unazo nambA zake namtafutA
@ImranAmusaviiАй бұрын
Allaah hifadhiii shiekh
@OthmanAbdi-h7hАй бұрын
Allah ndie mjuzi zaidi lakn hata kama angepiga picha kweli haimaanishi ndo dalili ya kujuzu picha zingatieni maneno ya imam shafii huyu shekh sio malaika hupatia na kukosea Allah akuhifadhini nyote
@assadaboubakar740Ай бұрын
Hamna anaekataa hilo shida ni kwamba masheikh wengne wamedhalilishwa sana na kauli za sheikh kwa makosa, sasa hv watu wamechanganyikiwa kwajil mambo yamebadilika
@mchumiboy2972Ай бұрын
Tatizo mnajifanyaga ni malaika hamkosei na wakikosea wengine mnakosoa kama nyie hamkosei. Mm hakuna anayepatia yote na mnapenda
@jumaajambiamusa8214Ай бұрын
nakuuliza wewe kwamba kama hata akipiga yeye itaba haifai sasa je alikua akisema niharam vp😂😂😂😂😂
@DidaAlly-nd3szАй бұрын
Allah ampe subra shekh wetu ktk kipindi hik kigumu
@ABUMUSLIMYAHAYAАй бұрын
Allah ampe sibra shekhe
@AbdallahSadiki-z4bАй бұрын
Waalaykum salaam warahmatullah wabarakaatuh
@nassifsuleiman9860Ай бұрын
Wallahi wanaofanya hivi mie nadhani kuwa hawa watu hawana yakini na siku ya malipo ndio maana wafanya khiyana na uwongo kwa wenzao lau kama wanayakini kuwa kutakuwa na siku ya malipo Wallah wasingethubutu kufanya khiyana hii. Allah awahifadhi masheikh zetu wote wa kisalafi.
@MasonjoloMasonjoloАй бұрын
Ingekua tuna kawaida hii ya kuchukuliana Dhana njema kama hivi,tungeshikamana kama Mafundisho ya Dini yetu yalivyo tufundisha Lakini kwakua tumevunja Amri,na kuishi kwa kutegana na kudhaniana Vibaya (yaani Mtu ukitereza tu,umeanikwa Mchanaa wa Mbuzi kula Majani,hakuna kuchukuliana Dhana njema,wala kupeana Nasaha) Hili Jambo liacheni kama lilivyo wala msiligeuze geuze kwa kulitafutia Udharula Acheni Ubaguzi,kwa wengine yakitokea Majambo ionekane kweli ni Madhambi na wamekusudia kufanya Madhambi,na wengine wakifanya hayohayo,ionekane hawa hawakukusudia na wanatafutiwa Udharula Kumbukeni hawa Masheikh wetu sio Maasumina,wanaenda sawa,na kuna wakati Ubinadamu unawapitia na wakaenda ndivyo sivyo Kwani hamkua mnalijua hilo?
@yahyarashid8038Ай бұрын
Umeongea maneno yalio ndan ya haki na Allah ndie mjuz zaid
@assadaboubakar740Ай бұрын
Allah akulipe akhi umesema kweli, pamoja wengne hawafumbui macho kuliona hilo, watu wameshikamana na dini ulokole
@MpochiAhmadiАй бұрын
Allah ndie mjuzi wa yote na allah amrinde shekhe wetu kipenzi tuzindukeni ndugu zangu ahlsunat waljamaa hakika ujinga ni kitu kibaya sana wanazani wanaweza kumshusha yule arie pandishwa na allah wamefeli na wajue dhulma wanazo mfanyia watakwenda kumripa kwa allah na hata kama ingekua kapiga picha ingemtoa ktk uringanizi au angekua hayupo kwenye haki mmeferi hamna jipya nendeni mkavue samaki dini imewashinda
@shabansaid2323Ай бұрын
Jambo la haramu unafanya huku umetabasamu!!!????
@iddykakalike3149Ай бұрын
shida tafasili na kuelewa tu ila picha so halam kwa nini kwasababu kuna tofauti ya kutengeneza kujenga na kusajiri ukijua hapo basi utafahamu kuwa picha sio haramu ❤ salam alayku
@M.d.s-vk3quАй бұрын
Mimi labda nahisi alikua anataka kuongeza mke wa tatu sasa bila shaka akawatumia picha ili wamuone, labda sasa hiyo familia ya mke ndio wakafanya huo ujinga wakusambaza hizo picha, hayo ni mawazo yangu, kwasababu ukiangalia vizuri ile sio paspoti size, allah amhifadhi sheikh abull fadhili. Kwasababu saii tuko zama za fitna. Kila kona fitna zimejaa.
@AliIbrahim-yk6qeАй бұрын
Usiongee Kwa Wahmi.. Bora tu unyamaze usalimike.. ndivyo tulivyousiwa na Mtume rehema na amani za Allah ziwe juu yake
@allynassor2851Ай бұрын
Mhh paspot na meno nje kweli mtu ana cheka
@leonardmbonea4117Ай бұрын
Mahizbi yanateteana
@AbdulFattah-g8yАй бұрын
Sasa kama hajuzi picha KW nini apige picha?
@mharamimntoro4939Ай бұрын
Vituko vya hawa wajamaa kwangu naona kama ndowazidi kuimarisha ngome yangu katika manhaj salaf nakuzid kua mbali nao
@habibiddy8096Ай бұрын
Picha ya kutengeneza hujulikana na picha ya kupiga hujulikana! Aliyehusika kuzisambaza picha za Sheikh kwa nia na lengo la hila na kumfedhehesha sheikh basi Allah ni mwenye kumtosheleza sheikh kwa malipo stahiki dhidi ya mtu huyo! Lakini kama alisambaza kwa kutokujua na lengo la watu kumfahamu Sheikh (kwani wengi wamekuwa wakimsikia tu sauti) basi aelekezwe na kuongozwa katika njia ya sawa!!
@abuidifundi2016Ай бұрын
Kwaiyo kusambaza kwa nia ya kumjua inafaa?
@habibiddy8096Ай бұрын
@abuidifundi2016 umesoma vzuri??
@JamalAbdallah-t1yАй бұрын
Jibu swalli Acha ngonjera
@habibiddy8096Ай бұрын
@@JamalAbdallah-t1y acha mhemko ndugu Soma vizuri uelewe nilichokiandika, ni wapi nimeandika inafaa? Rejea nilichoandika ukisome kwa usahihi na utulivu mihemko si katika sifa ya waja wema waliotangulia.......!!
@habibiddy8096Ай бұрын
@@JamalAbdallah-t1y "lakini kama aliesambaza kwa kutokujua na lengo la watu kumfahamu Sheikh (kwani wengi wamekuwa wakimsikia tu sauti) basi aelekezwe na kuongozwa katika njia ya sawa!!" Ni mahali gani nimesema inafaa??
@AbdulFattah-g8yАй бұрын
Picha gani passport size mtu awe anatabasamu kama vile
@DuruusonlineTv-h8pАй бұрын
Hiyo ni Ai
@assadaboubakar740Ай бұрын
😂😂😂😂 hapana sheikh unatupiga hapa
@MohamedSalim-cm9ihАй бұрын
Yani munahaha ile passport size lati ingekua imekaa sawa na hii nyengine ndo imepinda iv basi tunge kubali.. Lkn.. Zote imepinda selfie ya maana... Alafu mwenyewe kasema kapigwa bila ya kujijua na ww unasema ati edit sa.. Tuchukue yapi 😂😂😂😂
@KikwaleRashidАй бұрын
Usalafi wa Sasa ni kichaka Cha mayahudi. Hata wakifanya makosa mabwana zao marekani huwa tetea na kuyanyamazia😢😢😢zindukeni
@DuruusonlineTv-h8pАй бұрын
Lazima mseme kwasabb tunapinga ujinga wenu
@adamjutto5849Ай бұрын
Mi nashangaa watu mnasikitika nini,hiyo ni ishara ya kuonyesha kua watu wa baatwil wamemshindwa abul fadhli
@assadaboubakar740Ай бұрын
😂😂😂😂 sasa mbona kafanya majambo ya watu wa baatwil
@adamjutto5849Ай бұрын
@@assadaboubakar740 eeh ni kwa sababu yeye sio maasuum,hata wewe unaeza ukawa umezini na bado hilo liskuangushe ktk uislamu wako,kuna kitu kinaitwa Ai,sio tu kukufanya unacheka bali naeza nkakupiga picha wewe afu nkakupost upo uchi,ili hali ulikua umevaa nguo,take care hii mitandao
@assadaboubakar740Ай бұрын
@@adamjutto5849 hio si AI, hizo ni real photo, na watu hawana shida na sheikh kukosea shida inakuja masheikh wa kisalaf ndo wanaokosea wengne ni wapotevu
@mansurahmed4750Ай бұрын
@@adamjutto5849 hilo ni jawabu kabisa siku hizi mitandao na watu wenyewe wasivyo na Taqwa Ya Allaah anakupiga kisiri au hata anafananisha kisha anasambaza tuwe makini na Allaah Awahifadhi Masheekh zetu
@farijalakhalid5558Ай бұрын
Acha uwongo we salafi unapata dhambi za uwongo Kusema zimeeditiwa
@HemedSeriousАй бұрын
''fateni nisemayo na sio nifanyayo'' kassim mafuta
@daarularqammkaku153Ай бұрын
Kwani passport ndo SI bidaa 😂😂😂
@leonardmbonea4117Ай бұрын
Picha ni bidaa au ni haramu? Khurafi kwelo
@invisible-e9lАй бұрын
Jaman kuna Artificial intelligence yaan AI kwa watu wamitandao wanaijua,kuna mdada alipiga picha tu ya sura akatengenezewa video hasaa yakuwa anafanya zinaa,,kila kitu kwa dunia ya sasa kina wezekana,watu wanaosomea mambo ya internet wanayajua hayo snaa tu,,na hata kama ni yy kajipiga kwan yy ni mtume kuwa hakosei,,wenye makosa ni wale waliosambaza yy atapata madhambi yake yakupiga na nyie mnayenu yakusambaza na kusema uongo ikiwa hajajipiga,niulize tu kwan si masheikh wanakatza usengenyaji kwan wao hawasengenyi? Hvyo bas tuskilize makatazo na sheriah sio kuangalia yy anafanya au laa,,kwa hyo sheikh akifanya dhambi ndo inakua na ww ufanye dhambi? Tumcheni Allah jaman,,hakuna aliekamilika
@assadaboubakar740Ай бұрын
Shida ni kwamba masheikh wa kisalaf wao ndo wanakosea ila wengne ni wapotevu?
@MohamedSalim-cm9ihАй бұрын
Laiti ungeiona ile picha ya selfie.. Na ile picha ya passport size c ndio ile ile ya selfie tu... Mana skuiz passport size mtu anapiga selfie 😂😂😂
@DuruusonlineTv-h8pАй бұрын
Imeondoshwa background wewe huwezi kuyajua we nimdogo bado kwenye mambo hayo
@khalidussi4624Ай бұрын
wanafiq nyinyi
@MohamedSalim-cm9ihАй бұрын
Usiwafanye watu washamba hio ni selfie wazi kabisa alafu passport size soooote tushapiga na tunazijua.. Alafu pia mwenyewe kasema kapigwa bila ya kujijua ww unasema imeditiwa.. Tuchukue ipi... 😂😂 Maneno yenu yagongana
@AllyHamranАй бұрын
Picha za passport size hazipigwi kwa selfieee wal pozi na tabasam.Na vipi zile kadi za chama za ndugi yake malaika matukanaji.
@alwiyiynmission2820Ай бұрын
KWA HIYO PICHA ZA passport SIZE SI HARAMU????
@محمدبنرجبكيتياАй бұрын
Assalaamu alaikum nataka kadhia ya picha naijua kuhusu mauqif ya ahlulilmi lkn nnachotaka kukijua nikuhuusu pichahizi je pasport mtu anachekaa
@habibiddy8096Ай бұрын
😂😂😂
@abuumansour6307Ай бұрын
Kule kucheka wameedit. Yule kama siyo huenda Pogba basi ni Azizi Ki. Sheikh hana meno yale wala hacheki vile. Ni rahisi kumuona ukiwa huku. Kwa sababu anasomesha kwa wazi na hucheka panapohitajika na wala hakithirishi hilo. Allaah amuhifadhi Sheikh wetu dhidi ya vitimbi vya maadui. Tunamuomba Allaah afya na salama.
@Ibrahim.AS99Ай бұрын
Fatilia ujue ai nini?
@IssaMussa-p5wАй бұрын
Passport ndo inakuaga selfie😂😂😂😂
@Ibrahim.AS99Ай бұрын
Kuna kitu kinaitwa AI inafanya maajabu sana raisi wa kenya ameonekana anakimbia ukumbuni mara wamemuweka nakimbilia mwanamke usiamini kila unachokiona. Such hapo juu uone vituko vya Ai
@IssaMussa-p5wАй бұрын
@Ibrahim.AS99 AI naijua na iyo siyo AIshee kapiga selfie apo
@assadaboubakar740Ай бұрын
@@Ibrahim.AS99 Hamna AI mana AI inalearn from something kwaio lazima iwe na picha ya sheikh Ili iweze mtoa hvo, mbona watu mnan'gan'gania au mnaogopa ataradiwa na yeye
@AllySibilaАй бұрын
Kweli fitna ikiingia wale wasiokua na vifua vya elimu wanachotwa kama njugu
@hamadimussa2119Ай бұрын
Naam
@IsmailSangaАй бұрын
Kuweni wakweli,Zile picha sio passport size..
@anifasinani1852Ай бұрын
Editing dear.... Lkn kuonekan kwa picha zake haimanishi kwamb picha si haramu.... Hapo Shekh kachafuliwa TUu
@IsmailSangaАй бұрын
@anifasinani1852 Sasa ndugu kama niharam yeye kapiga za nini!.
@anifasinani1852Ай бұрын
@@IsmailSanga Zimeeditiwa hizo..... Ndug watu wanajuwa kuchez na mtandao unawez ukaeditiwa upo uchi na wakakufany unacheza kabisaaa hlf sura ni Wew kabisaaa Usiombe ikakukuta Lkn pia hata kama angekuwa kapiga haimanishi kwamb ndo picha zimekuwa halali.... Allah atuepusha na fitnah hizi
@abbaspaziaog2188Ай бұрын
Duuh kusema kweli ile ni slifee. Kabisa mtihani wallah huku nikuabika. Sisi watu wasunnah
@Ibrahim.AS99Ай бұрын
Tafuta happ juu uome maajabu ya Ai au tafuta wakenya wanacho mfanya raisi wao anaonekana anakimbilia mwanamke na nk
@abbaspaziaog2188Ай бұрын
@Ibrahim.AS99 Duuh basi nimtihan na huyo alompiga bila ya ridhaa yake mwenye mwenyewe shekh Abul FADHWIL ALLAH amfedheheshe
@HassanIddy-v1bАй бұрын
Inusuruni dini ya allaah msinusuru binadamu kwenye makosa kwa kumtetea huu ni ujinga,
@ayububakari9942Ай бұрын
Unsur akhaaka dhwaaliman au madhluuman
@HassanIddy-v1bАй бұрын
هل هناك النصر في الظن إذا ظهر ثبوت قطعي؟ Je itafaa kumnusuru mtu kwa dhana unapodhihiri ushahidi wa wazi😂?
@DuruusonlineTv-h8pАй бұрын
Kucheka hayo ni mambo ya ku editj
@الحق-دАй бұрын
Kuweni waadilifu na wakweli katika daawa أم يحسبون أنا لا نسمع سرهم ونجواهم ؟؟؟ Allah atakuulizeni juu ya huu uongo mnaoeneza ما يلفظ من قول إلا لديه رقيب عتيد Mbona maneno yenu yanakinzana na maneno ya Abulfadhl??? Yeye asema amepigwa picha hiyo hajui nyie mwasema eti ni edit ??? Thibitini wala sio kumtetea MTU Kwa kosa wala kupiga picha hakumtoi MTU kwenye usalafi Aweza kuwa kateleza na Allah anasamehe lakini haya myafanyayo nyie wallahi ni maovu kuliko kule yeye kupiga picha macheni ALLAH mlezi wenu
@nassifsuleiman9860Ай бұрын
@@الحق-دkusema yeye hajui kapigwa vp ni maneno ya ujumla kwasababu hakuwa amefahamu asli ya picha imetoka wapi kutokana na Editing iliofanywa kwenye picha lkn baadae imekuja kugundulika kuwa ni pasport size yake ndio imetumika kufanyiwa editing. Kwahio Akhy hatupo ktk kumtetea mtu ktk uovu bali tupo ktk kutetea mtu aliyedhulimiwa na kufanyiwa khiyana na wala hakuna mgongano wowote wa maneno wala maandishi kila kitu kipo wazi kabisa.
@abdalasambe4005Ай бұрын
1.kama kwel shekh kajipiga picha je ni nan aliye chukua picha kwenye cm yake na kusambaza? 2.kama kwel ile picha ni halisi background ya iyo picha tunahitaj 3.je ukiwa unaongea na mtu videocall huwez uka screenshot na picha ya mtu akatokea? 4.mnazo picha za shekh zaid ya kumi akiwa amejipiga yey au wew umempiga?
@shomaryselemani3982Ай бұрын
Tunaomba qauli yake kuhusu hizo picha
@AlmasAbdallah-r3gАй бұрын
Sahihi sheikh alizungumze walau kidogo maana kama ni passport size kuna ile1 ametabasamu huenda alipigwa pasi na yeye kujua sasa kama angelizungumza ingkua vizuri zaid
@shomaryselemani3982Ай бұрын
Usiisemee kwa kutaka kumdifai ilhali inaonekana ni picha kabisa za selfie
@silimakhamis7088Ай бұрын
Aloo Ile so edit😅
@DuruusonlineTv-h8pАй бұрын
Yaani sio kucheka tu mtu anaweza kutengeneza picha yako ikawa video unacheza kabsa
@omarabdullah-k8jАй бұрын
wacheni uongo
@DuruusonlineTv-h8pАй бұрын
Zile picha alipiga ili atengeneze paspoti size
@JamalAbdallah-t1yАй бұрын
Hlf ww ndio zuzu mkuu, hujui ht picha za passport inakuwaje!
@IsmailSangaАй бұрын
Kuweni wakweli,Zile picha sio passport size..
@AbdulFattah-g8yАй бұрын
Uongo ndo sifà Yao Hata mudiri wao kassim mafuta NI muongo Sana katika daawa na anafanya talbisi na sifà na nguzo zote za UHIZBI anazo na hatupati shida juu ya UHIZBI wake. Ila wafahamu siku zote hakki itabakia kuwa hakki. Na ukweli utabia kuwa ukweli daima