No video

UKWELI KUHUSU ZAKA NA DHABIHU

  Рет қаралды 11,543

SIRI ZA BIBLIA

SIRI ZA BIBLIA

Күн бұрын

#sadaka#zaka#dhabihu#matoleo
Zaka ni fungu la kumi la pato lako.
Zaka ni fungu la kumi la pato toka mshahara wako ofisini, shambani au kwenye mifugo. Tena zaka hii ni ya Bwana na ni Takatifu. Mtu asipoitoa zaka hii anamwibia Mungu. Zaka si yako hustahili kukaa nayo wala kuitumia nje ya utaratibu wa Mungu.
Naam, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini
"Warumi 13:11"
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Пікірлер: 38
@user-dq9bf5qy6n
@user-dq9bf5qy6n 2 жыл бұрын
Nafurahia sana mafundisho haya japo nafahamu hiyo nikweli kabisa Mungu azidi kukulinda utukufu wa Mungu ukawe juu yako ili izidi kutufundsa zaidi Amen Amen 🙏🙏
@truthsetsfree2753
@truthsetsfree2753 3 жыл бұрын
Mama yangu!!! Asante mtu wa MUNGU aliyehai Innocent nimejua sasa mana mimi hutoa mshahara wangu baada ya kukatwa kodi na makato mengine kumbe ni malipo kabla ya makato!! Asante mtu wa MUNGU barikiwa sana nitaanza kutoa hivyo kuanzia leo!!!
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 3 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kuyafahamu maarifa hayo.umesamehewa sababu hukujua.anza upya sasa
@truthsetsfree2753
@truthsetsfree2753 3 жыл бұрын
@@sirizabiblia5276 amina mtu wa MUNGU🙏🏽
@meesfome1200
@meesfome1200 2 жыл бұрын
Nitapata wap mafundisho yananibariki sana
@jackiemaggy2484
@jackiemaggy2484 2 жыл бұрын
Ameeeeeeen
@kadunawewe7248
@kadunawewe7248 2 жыл бұрын
Ameen
@eraudnyamika295
@eraudnyamika295 3 жыл бұрын
Amina kaka nikweli kabisa kaka nime ona mengi Sana kupitia zaka
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 3 жыл бұрын
Amen amen,Mungu hasemi uongo
@shadrackjoel2393
@shadrackjoel2393 2 жыл бұрын
Nashukulu sana mtumishi wangu ila nilikuwa na swali mkuu fungu la kumi uwa sielewangi naomba unifafanulie past
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 2 жыл бұрын
0758 708804 wasiliana nami nijue unahitaji maelezo yapi zaidi ya hayo ndugu
@jaquelinebandola8286
@jaquelinebandola8286 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@alphoncemichael5798
@alphoncemichael5798 2 жыл бұрын
Challenge, Agizo katika malaki 3:7-10, au Kitabu chote cha malaki, lilikuwa la Taifa la Israeli au kwajili ya kanisa? Na mistari yote katika kitabu cha Malaki, tunaizingatia kama tunavyoizingatia Malaki 3:7-10? Vipi kuhusu Malaki 4:4? Naomba majibu mtumishi wa Mungu.
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 2 жыл бұрын
Ikumbukeni torati ya Musa, mtumishi wangu, niliyomwamuru huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote, naam, amri na hukumu. Maandiko hatuyatafsiri hivyo tu, Yesu hakuja kuondoa torati ya Musa bali kuitimiliza. yaliyoandikwa kwenye biblia yanamuhusu kila anayemuamini Kristo na neno lake. na torati ya Musa ni amri kumi ambazo ndizo tunazitumia kwa sasa. Amini maandiko na soma kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu utaelewa hatua kwa hatua rafiki
@peacefulkariuki6630
@peacefulkariuki6630 2 жыл бұрын
Asante kwa mafudisho ,,ya kutuelimusha
@peacefulkariuki6630
@peacefulkariuki6630 2 жыл бұрын
Yakutuelimisha
@jameskambu9134
@jameskambu9134 2 жыл бұрын
Shukurani sufufu kwakunielimisha
@kelvinwashenyu1970
@kelvinwashenyu1970 3 жыл бұрын
Ubarikiwe saana kwa Maneno hayo kuhusu zaka na dhabihu
@daftonkizaro1320
@daftonkizaro1320 3 жыл бұрын
Asante mtumishi naomba kama itawezekana somo hili liwe na muendelezo maana watu wengi zaka na fungus huwa hatulielewi
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 3 жыл бұрын
Linaendelea.....
@marthamanasseh4237
@marthamanasseh4237 2 жыл бұрын
Baadhi ya mafundisho wanasema eti Kwenye Agano Jipya fungu LA kumi halitajwi, hivyo eti sisi wa Agano Jipya hatutakiwi kutoa. Naomba uwasaidie hao ambao elimu hiyo imewapitia au wanaamini hivyo.
@salminjumah4955
@salminjumah4955 2 жыл бұрын
Kwann sasa umefunga video
@clarisatieno214
@clarisatieno214 2 жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo, nina swali Nko nnje ya nchi yangu nitajuaje madhabahu sawa ya kutoa zaka na dhabihu zangu? Kwasababu nchi ninayo ishi hakuna makanisa ya kikristo, tafadhali nishauri
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 2 жыл бұрын
Msaada mkubwa kwako ni Roho Mtakatifu ukimuomba atakupa maelekezo ya wapi pa kuachilia sadaka yako, huenda isiwe huko ulipo...unaweza kutuma hata kwa kanisa lako nyumbani...au mahali ambapo pana madhabahu inayokuhudumia na kukulisha kiroho...usiache kuingia katika maombi na umuulize Roho Mtakatifu,ni mwaminifu na atakupatia muongozo sahihi
@TassiryShija
@TassiryShija 9 ай бұрын
Mtumishi mimi nafanya kazi kila mwezi. huwa ninawekeza mtaji ndo nipate kipato. Je? Wakati wa kutoa zaka nitatoa vipi Mfano nimeweka mtaji wa 25,000 nikapata commission ya 150,000 na hiyo 25,000 ipo humo natoa vip hapo? Ameni🎉
@stiangabrirl
@stiangabrirl 3 жыл бұрын
Nilikua nikisubiri sana hii, asante kaka mwendelezo tafadhali 🙏
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 3 жыл бұрын
Upo tayari,fuatilia
@alphoncemichael5798
@alphoncemichael5798 2 жыл бұрын
Swali la pili, kwanini Yesu hakuwafundisha na kuwaagiza wanafunzi wake kutoa zaka? Na kwanini mitume wa Yesu katika mafundisho yao hawakuwafundisha wala kuwaagizo Wakristo wa mataifa kwa habari ya zaka?
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 2 жыл бұрын
Marko 2: 18 Wakati mmoja wanafunzi wa Yohane na wanafunzi wa Mafarisayo walikuwa wanafunga. Basi, watu wakaja, wakamwuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wa Yohane na wa Mafarisayo wanafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?” Yesu akajibu, “Je, walioalikwa harusini hutakiwa kufunga wakati bwana arusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana arusi hawawezi kufunga. Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga.
@adamchacha3088
@adamchacha3088 Жыл бұрын
@@sirizabiblia5276 romans 6;14 Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi chini ya sheria, bali chini ya neema. (Amp version) For sin will no longer be a master over you, since you are not under Law [as slaves], but under [unmerited] grace [as recipients of God’s favor and mercy , The tithe was the requirement of the law in which the israelties were required to give 10% , we live under the freedom of the GOD 'S GRACE and not the law so if you continue living under the requirement of the law sin will continue to be your master .
@adamchacha3088
@adamchacha3088 Жыл бұрын
you can give as your way of giving as ten percentage but not get compacted with the master of law as taking it as a law which gives (fear and guilt )
@adamchacha3088
@adamchacha3088 Жыл бұрын
@@sirizabiblia5276 2 CORINTHIANS 9;7
@oscarlucars7651
@oscarlucars7651 3 жыл бұрын
Somo zuri sana mtumishi wa MUNGU natamani kujua ni lazima kutoa zaka mahali ninapo salii au inawezekana kutoa kwa wahitaji na MUNGU akaikubali??
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 3 жыл бұрын
Majibu yote yapo sehemu ya pili
@user-ub1yx5vc8b
@user-ub1yx5vc8b Жыл бұрын
Wewe SI Myahudi. Sheria za TORATI walipwa Wayahudi. Hilo no Agano la kale kwa Wayahudi. Agano jipya linajitosheleza hakuna Fungu la kumi halipo. Wewe unajimiza wizi. Hatutoi kubarikiwa Bali tumeshabatikiwa. Wewe ni Mlawi?
@user-ub1yx5vc8b
@user-ub1yx5vc8b Жыл бұрын
Wachungaji matapeli hulazimisha 10%Ibrahimu hakutoa ktk mapato yake Bali alitoa kutokana na alichopora ktk vita. Hakuwahi kutoa kutoka mali zake. Unawaibia watu
@user-ub1yx5vc8b
@user-ub1yx5vc8b Жыл бұрын
ACHA uongo
@user-ts4kn7bn5c
@user-ts4kn7bn5c Жыл бұрын
AMINA
KWANINI MUNGU ANASEMA TUMJARIBU KWENYE SADAKA
14:45
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 6 М.
IMANI NYUMA YA SADAKA NI BORA ZAIDI KULIKO UKUBWA WA SADAKA/AINA 6
8:27
Cute kitty gadgets 💛
00:24
TheSoul Music Family
Рет қаралды 21 МЛН
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 24 МЛН
MISTARI 5 KATIKA BIBLIA INAYOWEZA LETA MAFANIKIO KATIKA BIASHARA YAKO
27:15
LIVE: MAOMBI YA KUANGUSHA NGOME ZA ADUI MAISHANI MWAKO
31:50
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 9 М.
AMRI KUMI ZA MUNGU. Ushahidi katika Biblia
4:37
Jukwaa la Biblia
Рет қаралды 239
MITIMINGI # 366 UKILA ZAKA (FUNGU LA KUMI) UMEKULA SUMU
15:12
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 17 М.
ATOAYE dhabihu ya SHUKRANI ndiye ANITUKUZAYE!
30:52
PROPHET NICOLAUS SUGUYE
Рет қаралды 5 М.
USITOE FUNGU LA KUMI POPOTE PALE // HAKUNA FAIDA
44:32
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 37 М.
NGUVU YA DHABIHU
59:21
Jackson Lerte
Рет қаралды 280
IBRAHIM ALIVYOKABIDHIWA ISRAEL/KAANANI NA MUNGU
25:27
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 183 М.
NGUVU YA SADAKA | PST.GEORGE MUKABWA | 12-06-2022
1:17:44
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 13 М.
BWANA ATAWAPIGA ADUI ZAKO MBELE YAKO // MAOMBI
16:53
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 30 М.