SOMO: Siri iliyomo ndani ya fungu la Kumi Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC +255 713 18 39 39
Пікірлер: 13
@Leonard-jl8gt3 күн бұрын
Sauti ingali ikinena asante yesu kwa zawadi hii
@mtanzaniahalisimungunimwem6733 жыл бұрын
Yesu alikuja duniani kwa ajili ya wenye dhambi na wenye dhambi wakapata Milki mpya kwa njia ya ukombozi. Na fungu la kumi ilikuwa ktk agano la kale. Jipya Ni matoleo au sadaka Ni zaidi ya fungu la kumi.ni kutoa kwa moyo wa kupenda bila sheria, yaani torati. Mungu tusaidie sana
@tegemeamtui35153 жыл бұрын
Barikiwa sana mrumishi kwa ujumbe wako...naomba kuuliza ivi nikatenga zaka yangu ila sijaipeleka madhabahuni nikawapatia watu wenye shida katika jamii kama vile watoto yatima au watu wanaoishi katika mazingira magumu ni nitakua niko nimefanya sawa sawa.????
@modecayvalerian95543 жыл бұрын
Nime barikiwa sana kunzia leo natoa fungu la kumi
@emmanueltwaha14896 жыл бұрын
Asante Mtumishi kwa kutuwekea somo zuri, Barikiwa na BWANA
@eliasmaspela89166 жыл бұрын
Nzur pasta
@patricelias85455 жыл бұрын
Somo zuri sana ZAKA
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
somo zuri
@jenipherminja31445 жыл бұрын
mtumishi naomba kuuliza ukiwa unafanya kazi utatoa fungu la kumi kwenye gross salary au ile net salary??
@johnny.j.nyondo4 жыл бұрын
Waliobarikiwa na MUNGU mtu asiwaite mwizi Aisee MUNGU tuokoe
@johnny.j.nyondo4 жыл бұрын
Hili fundisho linaua kanisa Na kuliweka kanisa kwenye laana ya TORATI Na hiyo kumbukumbu hajaimalizia maana haijaagiza kutoa hela Alafu hilo suala la hela kuwa jiwe na kujikwaa na kuwa kikwazo na wewe mtumishi unalo ndomaana unalifundisha
@princejesus51083 жыл бұрын
Jiangalie ndugu
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
haha pastor unachekesha ila unasema kweli tupu ya MUNGU BABA ni kweli ukila fungu la MUNGU ni balaa,mimi namshukuru MUNGU natoa tena kamili,hata watoto wangu MUNGU aliotupa nawatolea zaka. kwa hapo jamani siyo mwizi kabisa.