Kutembea na mume wamtu sio kosa wanawake wa ndani tunajisahau sana wanaume wanaitaji ubunifu hawalidhiki na mmoja mm naomba wqnawake tuwe na subra tufanye yetu tutauwa wangapi wanaume ni malaya chamsingi ukigundua mwambie aowe sio kuzini
@kelvinimlan2 ай бұрын
Kosa sio la huyo ninti..kosa na la mwanaume .sasa huyo mwanamke atawafanyia wanawake wangapi maana huyo mumewake hawez kua na mmoja.
@NewNew-ep5dq2 ай бұрын
Huyo mam siana hongea tu wanaume wengi wakitogoza hatakam hana mke hasema sena mke, nauyo mam ningekua mtoto wake
@YasmeenKhalifa-zq1zk2 ай бұрын
Nikwel kabisa
@RhodaMlowe2 ай бұрын
Alietakiwa kum Bana ni mwanaume wake sio kumdhalilisha bint hata kama hata kama
@MajiburaAlly2 ай бұрын
Uyo afande angedili na mumewe wala si uyo mschana yy alitakiwa kama ulivotakiwa wew utagombana na wanawake wangapi mumewako kama malaya tu
@sharifamahamudu1822 ай бұрын
Kabisa maana mwanaume kuwa na mwanamke mmoja so kweli
@FatimaAli-of4gh2 ай бұрын
Tatizo linakuja kuna maradhi jamani pamoja na wanaume zetu hawaridhiki na mmoja bora angeowa tu tukajua tupo wangapi lakini akimleta wa pili atamueka ndani ataenda kuchit na watatu
@rukiaally20642 ай бұрын
Huyo afande nae achukuliwe hatua
@NeemAmianaMramiFamily2 ай бұрын
Nae abakwe na kulawitiwa
@EnalaKunda-cy3rv2 ай бұрын
Jaman Ata sisi tunapitia ayo kwenye ndoa zetu lakini uwezi kumfanyia ivo mtoto wa mwenzio uyo mama ni mtu mzima ange ongea nae kama mwanae je ingelikua yeye sasa mwanae kafanyiwa icho kitendo ange jisikiaje sio siri uyo mama amekosea Sana kwa kifupi ingelikua mwanangu kafanyiwa icho kitendo warahi damu ingemwagika adharan kwann ao Vijana asinge watuma Waka mrawiti mume wake kwa sababu iyo ndio mtu mzima yule ni mtot
@chikujuma182 ай бұрын
Huyo afande afukuzwe kazi hana hadhi ya kuwa afande
@FatrishaAyoub2 ай бұрын
Mtangazaji kasikia mnala unazimwa kupowa na hakutaka kuendelea kusikia Mambo ya mnala🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@HusnaKassi2 ай бұрын
Kwaushauri wangu wanyongwee tuu ili kukomesha matukio hayo yakikatili tunawaremba sana wahalifu ndo maana haifiki kikomo kila kukicha matukio mama alofanyie kazi kwakina hilo yunamuomba na asilifumbie macho
@JamaliMahalu2 ай бұрын
Duh!
@SihabaJuma-ij4sdАй бұрын
Hawo si wakufungwa maisha maana wakifungwa itakuwa nikama wanawofugwa kupewa urahisi wa maishatu wakula bure hawo niwa kunyongwa ikawa nifunzo kwa wengine
@IckramSayyid2 ай бұрын
Mama avimtishi unakaa wapi
@neemanziku54032 ай бұрын
Kweli kabisa wake wa ndani huwa tuna nyanyasika sana
@RachelGerald-b5u2 ай бұрын
Nikweli kbs jamen mimi yalinikuta mume anatoka na mshirika mwenzangu had nilitamani kumuua lakn niliamua kuondka nilishidwa kuvumilia
@andrewkatoke94072 ай бұрын
Kama hujielewi lazima unyanyasike nyie mkiolewaga huwa mnajiona kama mmefika mnadharau sana hisia za wenza wenu
@kashiririrkaasongwisye94872 ай бұрын
Wanawake siku izi mmeharibika ndo maana wanaume wanatoka mpaka mjirekebishe!
@DativaMbowe2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 ngoja nikanywe maji kwanza,
@RhodaMlowe2 ай бұрын
@@RachelGerald-b5u muue Mume tuu maana sijui utaua wanawake wenzio wangapi wanaume wetu ndio wabaya anaenda tafuta mchepuko huko anamdanganya sina mke au kama anajua huyo mwanamke anamjua mke wake atamponda mkewe vibaya ili tuu ampate akishapatwa anatengenezwa unasahau alikotoka mkewe akijua anadil na mwanamke mwenzie sio Sawa maana ukidili na huyo Kesho Mume ana mwanamke Mwingine hata huko kuua utaua wangapi?
@KoleYasini2 ай бұрын
Masela mavii hawa..
@dinosiasa56002 ай бұрын
Mama Avintishi unajua mambo c mchezo na pia wakati wko ulikuwa pisi kali
@zedequiasarlindo42022 ай бұрын
❤❤❤iyo kali
@fatmaalnabhani36092 ай бұрын
Sio tendo la ndoa-tendo la ngono ndugu mtangazaji
@SemeniSaleheidi2 ай бұрын
Wewe mama mbwa Nini 1:02
@MusaMalongo-q3vАй бұрын
Semeni mtakavyosema hii siyo poa binti huyu hajatendewa haki kabisa na hata huyo aliyemponza ni mwehu vilevile, mtafuteni anyongwe pamoja na mkewe na hicho kikosi chao
@HusnaKassi2 ай бұрын
Huyo mama nahisi anaongea ujinga tuu apo vile so mwanao ndo maana anabwabwaja mme wamtu kani nini mbona ikishindikana mnaachana kama ni mmewako kwanini akuache tujifikirie kabula ya kutenfa mme ni rafiki tuu muda wote anaweza kukubadilikia
@gracemugozi84362 ай бұрын
Wakomeshe maana kunawakati wanaxidi mara kwa waganga mara kuwafokea wenye waume wasijui ni wezi
@ZintanaAhmedy-pe4ou2 ай бұрын
Nakuombea upate Binti yeye abakwe na mmoja tuu Kuma wewe
@SumayHamisi2 ай бұрын
Hujafaa ujaumbika hivi angekuwa Binti Yako ungefurahi kuwa na moyo wa huruma
@Mwana85Mwana85-wz1ol2 ай бұрын
Nimependa hyoo mama avinitishi Bora tuwe hyoo minara mwaka hitatokoma nipenda mama avinitishi na mm nimpeleke mtu hili mnara usisome
@samiahjmlimanzilla93542 ай бұрын
Ningekua mm namkodia watu yy mwanaume achezee maana kwa huyu binti niuonevu pengine alidanganywa pia kwa stayre hii utakodia wanawake wangapi coz huyo ataachana nae atapata mwingine😢
@kadijahajali39182 ай бұрын
😢
@FrankRwechungura2 ай бұрын
Aaaah! wee mama komaaa! ...Why Frank?😢😢😢😢😢
@MbarakAhmedAbdalla2 ай бұрын
Unaongea kwakua haikuusu lkn kama nimtuwako ungejinyonga naona ikiwa unaonashida kamreport achukuliwe hatuwa
@LaitisiaDaniel2 ай бұрын
Kwa hiyo kama mama mjengo nmanyanyasika iyo ndo solution??? Mkumbuke na nyie mnawatoto na watot wen watafanyiwa hivyo, na kosa nila mwanaumee dili na mmeo, mtii mumeo
@NasraAllyrashid2 ай бұрын
Watoto wengne wanachana mbaka mikundu unashonwa😂😂😂wasituambie tuna maumbile mabaya
@MusaMalongo-q3vАй бұрын
Mwanamke siku zote huwa anatakwa kwa kutongozwa jukumu la kukubali ni lake iweje ahukumiwe acheni unafk someni maandiko
@nasrahassan73462 ай бұрын
Mnara wangu umetisha dear
@zainabufeka872 ай бұрын
😅😅😅😅😅mama avinitishiwee😂😂😂
@DavidLauson2 ай бұрын
Aiseee Kaz ipo
@sikukuuchuo30932 ай бұрын
Mwanamke aongee n mumewe lkni sio kumfanyia hivyo
@IreneMsile2 ай бұрын
Naomba no ya huyo mama vinitishi halafu upo tabata naombeni no yake😂
@NeemaMwita-h2y2 ай бұрын
Jamn kwan majilaya hakuwepo jamn kweli
@GatekaFatma2 ай бұрын
😂😂😂😂Eti mnara unapanda unashuka. Nimecheka kwa sauti
@FatumaAli-xm8di2 ай бұрын
Nafasi ni nne mama wwe upo
@AsiaJuma-mn7se2 ай бұрын
Oyo Afande amekosea wangemfila mumewake ao wafilaji ili awe wake pekeyake watu wangemkataa mtaani angejua wake peke yake
@AminaRajab-w4n2 ай бұрын
🤣🤣🤣nacheka utazani mazur, kwel msichana hanakosa
@VenjiStone-fc1sx2 ай бұрын
Mmmmh mama unaongea kama hujitambui
@davidsabena97212 ай бұрын
Mtatumaliza mnatuloga sana
@DativaMbowe2 ай бұрын
😂😂😂😂
@fridaminja71912 ай бұрын
Umeongea kweli kabisa dda,
@CECILIAMAGANGA-sk8md2 ай бұрын
Dada kwanza kabla ya kusema Mme wa mtu hebu waza Suleiman alikuwa na wake wa ngap? Pia Baba yako, Babu yako alikuwa na wake wa ngap? UKWELI ni kwamba wanaume hawaridhiki na mke mmoja hyo ni asili toka enzi za mababu
@FatimaAli-of4gh2 ай бұрын
Sawa lakini huyo sio mke huyo ni mzinifu mwenziwe kila mwanadamu anajuwa wake 4 angeowa kungekuwa hakuna shida bora dada utupe dawa za kuuwa minara
@TridgeTanzania2 ай бұрын
Mwanaume ndo ana makosa kwani huyo msichana alimtongoza yeye mwanaume hajiheshim huyo
@selinajastine-t4r2 ай бұрын
yani huyo mwana mke hafai hata kuitwa mama kumtendea mtoto wa mwanamke mwemzake unyama inauma sana inatakiwa kupewa azabu iliiwe fuzo kwa wanaweke wenye tabia kama zake
@JoyceKabula-in1sh2 ай бұрын
Na huyo mme wa mtu akamatwe lili akome mtoto wa watu kafanyiwa vibaya ye anajisikiaje akamatwe na mke wake akamatwe wakanyee ndoo
@Mariam-fm8vq2 ай бұрын
Wah hii nimeipenda😂😂😂😂😂😂😂😂
@aaminaasljbgbvf7452 ай бұрын
Kweli dada umenena
@MwajumaJuma-x8o2 ай бұрын
Mwanaume wamekuja juu walivyo sikia mnala kuzima wamehisi na wao utazima 😂😂😂😂
@annaurassa70822 ай бұрын
Naomba polisi wa mwanza wapewe hiyo kazi naona dar imeshindwa
@tatually13662 ай бұрын
Huna watoto we mama 😢
@ac...2622 ай бұрын
Uwiiiii,,,
@BizeddOfficial2 ай бұрын
cheki hiyu kaandika nini sasa yaan binti katembea na mke wa afande fala kweli
@KhalfanAbdallah-oi1hh2 ай бұрын
Aibu hii nchi
@EassaHuthad-wq5pd2 ай бұрын
Wanatuchosha akili jamani. Hawaogopi. Kwamba tutajulikana
@AdveterKawenga2 ай бұрын
Huna akili wew
@SalmaSaid-v3d2 ай бұрын
No comment 😢
@AnastanziaMkamba2 ай бұрын
Hakuna sheria yakumlawit au kumbaka mtu kisa mwanaume wa mtu huyo askar ni shetan laana itaramba. Family yake
Unataka dawa za kuzima mnala mawasiliano hayapandi😂😂😂
@vickytango55912 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh ee my dear nataka
@vickytango55912 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh nipe namba zako make unatoa point
@AmerdaKavishe-pu3cf2 ай бұрын
Sim azina shida sm nizuri sana ila wewe na mimi unatumiaje
@ThobiasMarandu2 ай бұрын
HUYU MWANAMKE ANAYEONGEA NI TAKATAKA
@DativaMbowe2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@FatimaAli-of4gh2 ай бұрын
Inakuhusu😂😂😂 utazwimwa tu huo mnara wako
@BOSCOMAOGOLAIKAMA2 ай бұрын
Kwahiyo ndoamufanyie ukatili kama huo tena. Ni.askari, kazi aliyoapishwa ni kazi hiyo yakufanyia ukatili,mm angekuwa ndugu yangu,huyu askari ningemutafuta
@prosperiamani2 ай бұрын
we mama chizi kweli unaongea upuzi tuu eti nyokooo nyoko
@KhadijaMasoud-m6u2 ай бұрын
Kwani mwanaume wa mtu anachapa usoni km ukitongozwa utajua km mume wa mtu jamani wanaume ndo nao wabaya km mwanamke anajua km mume wa mtu bc ana makosa yy huyo mwanamke lkn km hajui bc usinge mtenda huyo mwanaume anaweza kusema hn mke na akawa yupo free kwako yupo wazi akiwa na ww hana woga wowote na mwanamke anaweza kujiachia kujua ndo wk peke yk wapo wengine hawajui
@DatashzyaMahamoud-p8q2 ай бұрын
😅😅mxheee kiakili
@AnaAna-rb8fh2 ай бұрын
Hawa watu walitakiwa kunyongwa ili iwe funzo kwa wengine, kwamaana huyo mwenye kosa ni mwanaume
@SalumJohn-h2s2 ай бұрын
Hawa tusiwanyonge,Mie nilikuw nilikuw nawaza bora kwenda nao porin2,Afu mnachimba shimo refu mnawazika wakiw hai
Kwan huyo afande daaah sasa kama afandee annakuwa ivo na raiya. Wafanye nn mbon ivo lkn
@AnnastaziaAlex-j6u2 ай бұрын
Akna mwanaume mwenye mwanamke mmoja
@RajabuHayyan2 ай бұрын
Ukiitaka ndoa ujasir uwepo na subra yakikushinda toka.lkn ukihukumu inaishia jera na mume utaawachia wenzio
@OmanOman-ty6ef2 ай бұрын
Kwani usigombane mume wako ? Unaongea vibayaaa we mama weee
@KemilembeKiimbisa-vt4hr2 ай бұрын
Maisha ni vita
@jenjoseph72702 ай бұрын
Dada umeongea kweli mume anauma
@annastevensteven95152 ай бұрын
Kama.alijua mdad katembey na mume wak si ange mpelek kweny sheriy
@ElizaMapatano2 ай бұрын
Utamdhibiti mtot wa mtu kama ivyo ukafanya aumie sawa vip kuhusu uyo mmbwa wako uko ndan unajua ana wanawake wangap nnje na una uwezo wa kuwadhibit wote
@asmahsadick22162 ай бұрын
Ningekuwa mimi ndie mwanaume wa afande bc ningemuoa uyo binti kwa ndoa maan uyo mke kafanya kitendo cha unyama unyanyasaji uzalilishaji apo ukute mumewe anawanake wanje ata watatu nk.
@ThobiasMarandu2 ай бұрын
ASANTENI KWA KUONYESHA PICHA ZA WABAKAJI
@AlidaizanMohamed2 ай бұрын
Ni ujinga2 hivi kweli hao vijana ni wale panya road au?
@fatmasaid48062 ай бұрын
Naomba namba ya huyu dada jmn😂
@Abdul-oc1ul2 ай бұрын
Huyo anafirwa huyo askr alotuma kosalake nn alowtuma kosa walofnya hao ni lipi c wanajirikod wanasema kw ck wAnasema wanasema wanatembea ht na wnwaume kumi sasa kpy nn?
@GetrudaKombo2 ай бұрын
Kwakweli huyo afande hafai kwenye jamii anastahili adhabu kubwa huyo ni muuwaji
@Edna-e5b2 ай бұрын
Ukiona mume anachit ,ujuwe ww mkeo humpipenzi zur, huo ni ushezi2 kwa mwanamweze2 alichokifanya
@AnethPrivatus2 ай бұрын
Jaman nyie wadada matajili ebu kabla yakufnya jambo jifikilie kwani
@Eunicesamuel-l9h2 ай бұрын
Nikweli mwaya
@beatricehenry67762 ай бұрын
Wanawake tuache ujinga mu mm e wa mtu ulimzaaa ujinga sana
@KhadijaMasoud-m6u2 ай бұрын
Mtu kazaliwa na mama yk humjui amekuliya vp ana tabiya gani ukampata ww ss atakuwa wa peke yko huyo kuna mwanaume wa peke yk
@Zengeni-gz8fe2 ай бұрын
We dada umezaa tahazali na ulimi wako..hakuna mwanaume anayekutongoza halafu akwambie km anamke..je angekuwa mwanao ????
@MkeganiMkeganiaisha2 ай бұрын
Kwani ameandika usoni kuwa mumue wamtu???
@Zengeni-gz8fe2 ай бұрын
@@MkeganiMkeganiaisha hapo ndg yangu.nakwann awe peke yake.hawa ambao hawana wapenzi wafanyaje?
@nasrahassan73462 ай бұрын
nipe namba nije mimi kipenzi😂😊
@EdnaJohn-c5x2 ай бұрын
Ume ongea kitu cha ukweli dada katumia mbinu zaki za mani sana saivi awa pigi mtungo vunja mnala pita kule😂😂😂😂
@darajalakidatukilomgi23622 ай бұрын
Kumwkua na mambo ya uzushi uzushi hapa Tanzania, tumetoka kupoa uzushi wa watoto kuibiwa imezua taharuki Tanzania nzima, ikajulikana ni uzushi nahisi na hili sakata kama la kutengeneza vile? Kwa Nini muhusika hapatilani Yombo Dovya hawamjui maafande hawapatikani Polisi tusaidieni isije kuwa tunalia kwa hasira kumbe Ni tukio la kutengeneza
@dstaroficial2 ай бұрын
Kamwaga cr wanawke wana atr jmn tuogope
@angelgodfrey48702 ай бұрын
Wanaume wanajulikana kua niwatu wa tamaa,,pande zote mbili zina makosa, mwanamke kutongozwa ni kawaida ila kukubali ni hiar hulazimishwi , asingemkubali kwakua ni mme wa mtu yasingemkuta hayo!! Japo adhabu aliyopewa kiukwel mtoa adhab kakosea saana
@KaramaHaji2 ай бұрын
Ndugu yangu wanaume wengine ni walaghai ute mtoto huyo anaishi mazingira magumu kadangawa kapewa visenti kakubali
@Mwana85Mwana85-wz1ol2 ай бұрын
Hawa masela wapumbavu San wamenuliwa bia wanajuona imesha poleni San sengerea inawausu muda wote pole San wauni mavi San
@TidyMunish2 ай бұрын
Hilo Jana mke Ni jisenge halina akila quma make
@fridagustaphmwenda66582 ай бұрын
Mama huyo hana akili
@manjalemakongoro40142 ай бұрын
Mwandishi Hilo ni tendo haramu la ngono, sio tendo la ndoa
@salimomar-n7s2 ай бұрын
Serekali ichuke hatua kali ya hao vijana watono wafungwe jela milele
@WakiliHaule2 ай бұрын
Uyu dada chizi ngoja siku afanyiwe mtoto wako au wewe mwenyewe