Aiseh!mungu anisaidie nichomoke niwe pamoja na watakatifu!
@leahenockmrina53813 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana Yesu Kristo
@leahenockmrina53813 ай бұрын
Amen
@leahenockmrina53813 ай бұрын
Asante sana Mwl
@leahenockmrina53813 ай бұрын
Asante mtumishi wa Mungu nilikuwa najiuliza chukizo la uharibifu ni nini ?leo umemfungua na kwamba tukimbie makanisa ya hivi kwa hiyo mimi nilifikiri chukizo la uharibifu mpaka liwekwe Israel kny madhabahu za huko kumbe ni kwenye makanisa
@benignacurtis3 ай бұрын
🙂Machawa Mungu awarehemu
@RoseMayige-gn9qb3 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu, naomba nikusaidie kwa habari ya sadaka za kuteketezwa, tuliookoka hatuzitoi hizo ni kwaajili ya Waisrael. Nakuomba tafuta vitabu vya Askofu Ngonyani, ndiye amepata neema ya kufafanua. Jitahidi kupata maarifa kwa waalimu waliofanya utafiti wa kutosha. Ila hapa unatoa tafsiri isiyo kabisa. Chukizo la uharibifu litafanywa na mpinga Ktisto ktk hekalu la Waisrael ambalo litakua limejengwa tena na watakua wameanza kutoa sadaka zao za kuteketeza wanyama kama zamani. Sikiliza kipindi cha "Israeli ktk unabii" utapata maarifa.