Hii ilikuwa program bora sana... nashauri muendeleze!! Kuna Mambo mengi mazuri natamani muwe mnatupa ufafanuzi wenyewe... Mungu awabariki!
@mohammedrashid290611 күн бұрын
Upo ok
@NeemRamadhani-j8h8 ай бұрын
Asante sana Kwa mongozo mzuri, God bless you.
@SolangeAziza-f1l Жыл бұрын
Upo vizuri dadangu
@shukuruilomo7683 жыл бұрын
Ahsante Sana kwakunifungua
@kilalikanestory36354 ай бұрын
Mimi nawashukulu sana kwa mafunzo muliyotupatia
@Abelsimalenga3 ай бұрын
Naitwa Abel Simalenga tafadhali naomba kujuwa vigezo ni vipi
@muhammedjuma8966 Жыл бұрын
Naomba no Nicole
@zainabumohamed8541 Жыл бұрын
Nisaidie na Mimi tafadhali
@petermarwa38712 жыл бұрын
Ukifika ubalozini pamele waweke sehemu ambayo watu wasio weza kuongea kingereza vizuri basi wawe na mtu ambaye anaongea kiswahili ili mtu aweze kujibu maswali vizuri
@marrypius576 Жыл бұрын
Unawaambia tu kuw siko vizur kweny English lazima wakusaidie hawan kipingamiz cha lugha nadhan hivy
@petermarwa3871 Жыл бұрын
@@marrypius576 nilishaa enda pale wakanizinguwa kwa sababu ya kingereza tu nilimkuta mmama pele
@meshakishaurifisoo82006 ай бұрын
Meshack shauri fisoo
@boy-pq6ow Жыл бұрын
Asante sana kwa kutuerimisha.
@simonanzuruni84155 жыл бұрын
Nina aja ya kwenda marekani, niko Bujumbura
@angelpaul59972 жыл бұрын
Mimi Nina ndugu yangu marekani amenialika nikamtembelee gharama zote ananitolea na Mimi Nina kipato cha chini je nitapata VISA?
@boy-pq6ow Жыл бұрын
Naitwa mariam John Mjema je kwa wale ambao visa zaoo kama za hotel wanazolipiwa garam a wa nafanya je. Nilisikia kama frorida wa natoa nafasi hiyo.
@allymaulid93913 жыл бұрын
Sauti Chini
@havilambande247810 ай бұрын
Mimi ni mtumishi katika imani yangu Mungu ameniambia nikawewe mkono na mtumishi aliye kuwa Marekani ikuaje
@godeflymatabwa81222 жыл бұрын
Mimi swali langu je unaweza kuomba visa kabra ya kupata ticket
@Richardpaul0111 ай бұрын
Ndio
@muyahamadi33213 жыл бұрын
Kwajina naitwa muya hamadi mgazaa
@zainabumohamed8541 Жыл бұрын
Kama una ndugu kule na ameshakua na watoto wa kizungu na je nitawaonje ikiwa mwanamke wa kizungu hataki kuwaleta africa anaoopa sasa je naweza kuomba visa ya kwenda kuwaona mini nikiwa bibi
@kessykasale17472 жыл бұрын
Sauti ya mtoa mada ndogo
@NdayishimiyeIsaie-jf5fn2 ай бұрын
Sija elewa vizuli vigezo Gani binaweza kuluhusu mtu kwendwa malekani
@allymaulid93913 жыл бұрын
Mmboreshe kwenye upande wa sauti
@kitalambobabloja8742 Жыл бұрын
Tunaomba kiongozi vigezo gan ili uwenazo uwende marekani na sio mwanafunzi na unatak ukatafute maisha uko??
@kamuogo4 ай бұрын
Tupeni viza jamani
@Abelsimalenga3 ай бұрын
Vigezo nipi hasa
@andreamndeme15393 жыл бұрын
Vigezo hivyo ni vip
@muyahamadi33213 жыл бұрын
Nahitaji visa
@kessykasale17472 жыл бұрын
Ninapataje viza ya kuishi marekani?
@CyrilMjindo9 ай бұрын
Moja ya vigezo vinavyo takiwa Kwa mwombaji ni vipi
@zawadmkanza8458 Жыл бұрын
Nice
@zawadmkanza8458 Жыл бұрын
Mm naitwa Mkanza je kwa nn mtu anaposhindwa interview harudishiwi hela yke
@kilalikanestory36354 ай бұрын
Mimi Niko na mwaliko wa Canada munanisaidiaje kupata visa?
@saidimega96158 ай бұрын
Hello habali Samahani ili niombe viza ya utalii natakiwa niwe na kiasi gani chapesa kwenye bank account yangu
@ogumapeter-s4v7 ай бұрын
Vigezo HIVYO ni vipi ambazo natakiwa kuwa navy
@hekimamtazamo415110 ай бұрын
Kwani tz hawatupatie mika mitano viza ya USA
@sarahbrown7884 Жыл бұрын
Naunga na maafisa wa visa kiukweli wanaangalia mtu anacho kiongea kina ukweli au la asha
@kadhyajuma3471 Жыл бұрын
Mimi nataka visa ya kwenda marekani kufanya kazi
@charliesim956511 ай бұрын
Get your sound right
@IAMHERYX4 жыл бұрын
Vigezo nivipi vyakupata viza iyo kaka
@muyahamadi33213 жыл бұрын
Nahitaji visa
@yuzzotz38383 жыл бұрын
There are permanent resident visa
@kikapuchetu39353 жыл бұрын
Njia rahisi kuingia Canada kzbin.info/www/bejne/e6HJkoWJft-snrM