Mambo ya Kufahamu kuhusu Viza za Muda Mfupi kuingia nchini Marekani(Utalii na Biashara)

  Рет қаралды 8,239

USEmbassyTZ

USEmbassyTZ

Күн бұрын

Пікірлер: 46
@gwalughanomerryrose4913
@gwalughanomerryrose4913 8 ай бұрын
Hii ilikuwa program bora sana... nashauri muendeleze!! Kuna Mambo mengi mazuri natamani muwe mnatupa ufafanuzi wenyewe... Mungu awabariki!
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 11 күн бұрын
Upo ok
@NeemRamadhani-j8h
@NeemRamadhani-j8h 8 ай бұрын
Asante sana Kwa mongozo mzuri, God bless you.
@SolangeAziza-f1l
@SolangeAziza-f1l Жыл бұрын
Upo vizuri dadangu
@shukuruilomo768
@shukuruilomo768 3 жыл бұрын
Ahsante Sana kwakunifungua
@kilalikanestory3635
@kilalikanestory3635 4 ай бұрын
Mimi nawashukulu sana kwa mafunzo muliyotupatia
@Abelsimalenga
@Abelsimalenga 3 ай бұрын
Naitwa Abel Simalenga tafadhali naomba kujuwa vigezo ni vipi
@muhammedjuma8966
@muhammedjuma8966 Жыл бұрын
Naomba no Nicole
@zainabumohamed8541
@zainabumohamed8541 Жыл бұрын
Nisaidie na Mimi tafadhali
@petermarwa3871
@petermarwa3871 2 жыл бұрын
Ukifika ubalozini pamele waweke sehemu ambayo watu wasio weza kuongea kingereza vizuri basi wawe na mtu ambaye anaongea kiswahili ili mtu aweze kujibu maswali vizuri
@marrypius576
@marrypius576 Жыл бұрын
Unawaambia tu kuw siko vizur kweny English lazima wakusaidie hawan kipingamiz cha lugha nadhan hivy
@petermarwa3871
@petermarwa3871 Жыл бұрын
@@marrypius576 nilishaa enda pale wakanizinguwa kwa sababu ya kingereza tu nilimkuta mmama pele
@meshakishaurifisoo8200
@meshakishaurifisoo8200 6 ай бұрын
Meshack shauri fisoo
@boy-pq6ow
@boy-pq6ow Жыл бұрын
Asante sana kwa kutuerimisha.
@simonanzuruni8415
@simonanzuruni8415 5 жыл бұрын
Nina aja ya kwenda marekani, niko Bujumbura
@angelpaul5997
@angelpaul5997 2 жыл бұрын
Mimi Nina ndugu yangu marekani amenialika nikamtembelee gharama zote ananitolea na Mimi Nina kipato cha chini je nitapata VISA?
@boy-pq6ow
@boy-pq6ow Жыл бұрын
Naitwa mariam John Mjema je kwa wale ambao visa zaoo kama za hotel wanazolipiwa garam a wa nafanya je. Nilisikia kama frorida wa natoa nafasi hiyo.
@allymaulid9391
@allymaulid9391 3 жыл бұрын
Sauti Chini
@havilambande2478
@havilambande2478 10 ай бұрын
Mimi ni mtumishi katika imani yangu Mungu ameniambia nikawewe mkono na mtumishi aliye kuwa Marekani ikuaje
@godeflymatabwa8122
@godeflymatabwa8122 2 жыл бұрын
Mimi swali langu je unaweza kuomba visa kabra ya kupata ticket
@Richardpaul01
@Richardpaul01 11 ай бұрын
Ndio
@muyahamadi3321
@muyahamadi3321 3 жыл бұрын
Kwajina naitwa muya hamadi mgazaa
@zainabumohamed8541
@zainabumohamed8541 Жыл бұрын
Kama una ndugu kule na ameshakua na watoto wa kizungu na je nitawaonje ikiwa mwanamke wa kizungu hataki kuwaleta africa anaoopa sasa je naweza kuomba visa ya kwenda kuwaona mini nikiwa bibi
@kessykasale1747
@kessykasale1747 2 жыл бұрын
Sauti ya mtoa mada ndogo
@NdayishimiyeIsaie-jf5fn
@NdayishimiyeIsaie-jf5fn 2 ай бұрын
Sija elewa vizuli vigezo Gani binaweza kuluhusu mtu kwendwa malekani
@allymaulid9391
@allymaulid9391 3 жыл бұрын
Mmboreshe kwenye upande wa sauti
@kitalambobabloja8742
@kitalambobabloja8742 Жыл бұрын
Tunaomba kiongozi vigezo gan ili uwenazo uwende marekani na sio mwanafunzi na unatak ukatafute maisha uko??
@kamuogo
@kamuogo 4 ай бұрын
Tupeni viza jamani
@Abelsimalenga
@Abelsimalenga 3 ай бұрын
Vigezo nipi hasa
@andreamndeme1539
@andreamndeme1539 3 жыл бұрын
Vigezo hivyo ni vip
@muyahamadi3321
@muyahamadi3321 3 жыл бұрын
Nahitaji visa
@kessykasale1747
@kessykasale1747 2 жыл бұрын
Ninapataje viza ya kuishi marekani?
@CyrilMjindo
@CyrilMjindo 9 ай бұрын
Moja ya vigezo vinavyo takiwa Kwa mwombaji ni vipi
@zawadmkanza8458
@zawadmkanza8458 Жыл бұрын
Nice
@zawadmkanza8458
@zawadmkanza8458 Жыл бұрын
Mm naitwa Mkanza je kwa nn mtu anaposhindwa interview harudishiwi hela yke
@kilalikanestory3635
@kilalikanestory3635 4 ай бұрын
Mimi Niko na mwaliko wa Canada munanisaidiaje kupata visa?
@saidimega9615
@saidimega9615 8 ай бұрын
Hello habali Samahani ili niombe viza ya utalii natakiwa niwe na kiasi gani chapesa kwenye bank account yangu
@ogumapeter-s4v
@ogumapeter-s4v 7 ай бұрын
Vigezo HIVYO ni vipi ambazo natakiwa kuwa navy
@hekimamtazamo4151
@hekimamtazamo4151 10 ай бұрын
Kwani tz hawatupatie mika mitano viza ya USA
@sarahbrown7884
@sarahbrown7884 Жыл бұрын
Naunga na maafisa wa visa kiukweli wanaangalia mtu anacho kiongea kina ukweli au la asha
@kadhyajuma3471
@kadhyajuma3471 Жыл бұрын
Mimi nataka visa ya kwenda marekani kufanya kazi
@charliesim9565
@charliesim9565 11 ай бұрын
Get your sound right
@IAMHERYX
@IAMHERYX 4 жыл бұрын
Vigezo nivipi vyakupata viza iyo kaka
@muyahamadi3321
@muyahamadi3321 3 жыл бұрын
Nahitaji visa
@yuzzotz3838
@yuzzotz3838 3 жыл бұрын
There are permanent resident visa
@kikapuchetu3935
@kikapuchetu3935 3 жыл бұрын
Njia rahisi kuingia Canada kzbin.info/www/bejne/e6HJkoWJft-snrM
Sababu kwanini watu wananyimwa viza Ubalozini
13:24
EBM SWAHILI
Рет қаралды 20 М.
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,3 МЛН
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 15 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 20 МЛН
MCHAKATO WANGU WA KUPATA VISA | NINI KILINISAIDIA KUPATA VISA KIWEPESI
53:36
Official Dating Assistance
Рет қаралды 4,7 М.
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,3 МЛН