#SAUTDIGITAL l #HABARI l #RadioSAUTFm l #sautdigitalupdates l #ukrainerussiaconflict
Пікірлер: 58
@emmanuelfari892422 күн бұрын
Keep going 💪
@user-ii6gs2jg4g22 күн бұрын
Jino kwa jino mpaka kieleweke
@user-mm9qr7em8k22 күн бұрын
Kule anaendelea kuchukua maeneo huku anawasubiria waje uwanjani.😂😂😂😂😂
@athumanisudi89122 күн бұрын
Yaan ni shida kweli dunia ipo moto sana ipo mbele ya muda dah!
@paulalopes7018 күн бұрын
Witch language is this
@KilimbikeHaji-iy2fm16 күн бұрын
Mwenyezi mungu azidi kuipa nguvu urusi iwashinde mashoga wote duniani amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu
@user-xc6ls9xn8h22 күн бұрын
Kazi imeiva urusi hataki ujinga tena
@HajiKlein-so1rk22 күн бұрын
🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
@shd12m5522 күн бұрын
Putin wee wanyooshe tu sisi waa Africa tunakuombea sana tu,,ila mkumbuke kutotuhusisha na hayo mambo yenu,,,halafu nnavyo kujua hata kabla hujavamia uklein ulisema hivyo hivyo unafanya zoezi mara tukaskia timbwili limeanza
@samwelipima379522 күн бұрын
Nachomanisha ulaya wajitazame nakujitafakali watashangaa putini kawazingira
@jumakapilima729519 күн бұрын
Kweli alisema kuwa anafanya mazoezi mara tukasikia kaanza kuishambulia Ukraine
@Allybinamour22 күн бұрын
tupo pamoja babu putin
@user-sj3wf5vz7l22 күн бұрын
Tawala nyingi zimepita. Hata marekani itapita kwa sababu imekwenda kinyume na mapenzi ya Mungu. Kuifanya nchi wanaume na wanaume kufunga ndoa. Wanawake na wanawake kufunga ndoa. Kishi na wanyama kama wenzi. Marekani Mumgu keshaondoka. Na Mungu akikuacha ujue huwezi shida vita hata kama unazo technolojia za namna gani. Maana amiri jeshi wa majeshi yote ni Mungu peke yake na Mungu anachotaka umtii na kumheshimu. Putin kiroho yupo vizuri. Na anaweza kuwakunguta vibaya hadi wakashangaa. Daudi na goliath.
@samwelipima379522 күн бұрын
Kinacho nishangaza hizi meli zilikua zimepakiwa tu kabla ya valangati make Tanzania nzima tunaweza tusiwe hata na jumla ya meli 40 hata hizi za kawaida
@KihangoIsmail-qn2uh22 күн бұрын
umeshakula matango poli eti unajigamba hakuna nchi inayoweza kuipiga marekani marm
@show...00222 күн бұрын
👍👍
@bukuruyassini22 күн бұрын
Poutine niatal
@SalumJuma-iz2gj22 күн бұрын
Hakuna nchi inayo weza kuipiga marekan ule ni mziki mwengnee wee jitie tiee na vimeli vyako ivo mpaka ujae kwenye kumi nananezake uangalie kiama chake
@stevenmahinda65722 күн бұрын
Kwenye movie ni kweliii....hlf Putin ni Smart kiliko ww anaelewa nn anafanya
@user-cw8zn2dn6m22 күн бұрын
Soma hata historia utaona nchi ndogo tu ya Vietnam, ilimpiga marekani hii unayosema ww.
@SalumJuma-iz2gj22 күн бұрын
@@user-cw8zn2dn6m nikweli vetnam ilipiga marekani lakini sio kweny nchi yake nikulekule vetnam ndo jesh la Marekani lilishindwa sasa urus anaenda kumchezea simb ndevu
@matendupiterngoge870722 күн бұрын
Kweli kabisa marekani alipigwa mno @@user-cw8zn2dn6m
@christopherjoseph833022 күн бұрын
Marekani mwenyw anategemea NATO hawezi simama pekeyake mbele ya Urusi.
@wahabiahamadichongera636122 күн бұрын
Uko sasa
@fadhilisecha426822 күн бұрын
Uraaaaaaa
@jumakapilima729519 күн бұрын
Uraaaa
@user-bl3vk3vt2o22 күн бұрын
Kinachokushangaza nn hapo.? Kufanya mazoezi au
@user-lv1ki7nn7t22 күн бұрын
Good job Russia ❤❤❤❤❤tupo pamoja Russia is a super power fully country in the world mbwa waarekani kaaa mbali shenzi kabisa
@jumakapilima729519 күн бұрын
We support you King Putin
@mkulimatanzania22 күн бұрын
Mbabe wa kivita ambaye hajawahi tawala nchi yeyote Africa. Kufanya mazoezi uko ni kwa ajili ya kumlinda honorable Putin wanajua njia USA watapitia ni Korea kurisini ndio mana wameenda piga kambi pembezoni mwa Korea kusini wanaona kila kinachoingia kwa iyo wametawala ilo eneo mpaka mzee mkubwa anywe kahawa na dogo kiduku. Aise tunaona mengi izi zama mkubwa mkubwa tuu.
@fadhilisecha426822 күн бұрын
Mpaka sasa mkubwa ashajulikana. USA ilikua kelele Tu hamna kitu palee. Putin baba lao
@abuukajembe-to6sd22 күн бұрын
@@fadhilisecha4268 naaaam
@venancerutta687521 күн бұрын
Hana lolote mbwembwe zake kaisha sasa anapigwa ndani nchi mwake
@jumakapilima729519 күн бұрын
Tulia dawa ikuingie
@user-lv1ki7nn7t22 күн бұрын
Viva putini mwamba wa dunia mbwa wa magharibi kaeni mbali maana tutawapeleka kuzimu
@user-ey1fq6hd9l22 күн бұрын
Hakuna kitu hapo
@jumakapilima729519 күн бұрын
Tulia dawa ikuingie
@aloycemchuo768722 күн бұрын
Kachanganyikiwa ,sio kashindikana
@hamzamasoud912022 күн бұрын
You are LGBTQ
@kamanapomo702922 күн бұрын
Hayo yakwako
@AshaOmar-vk7kg22 күн бұрын
Waliochanganikiwa nihao mashoga wenzako wa magharibi