Sns nakukubali sana bonge la voice bro habari zako unatangaza na nazielewa moja kwa moja
@CastoryKapinga-nb7htАй бұрын
Unyamaaa sana hongerewni sanaa wababe wa vita dunian RUSSIAN CUBA AMBAO WANAKEMEA USHOGAA KUWA NI HARAMU SAFII
@hemedjackson2261Ай бұрын
Putin bwana: Action speak than words( Real gentle)❤❤❤
@HamzaMbasha-xs2kyАй бұрын
Marekani imeshindwa kumuheshimu mkubwa mwenzake ... Hilo ndoo kosa walilolifanya tutaona mengi sana....
@user-md9iy9qn1kАй бұрын
Hana ukubwa mbele y USA 🇺🇸 uyo ni mavi tu
@HamzaMbasha-xs2kyАй бұрын
@@user-md9iy9qn1k marekani ni mkubwa kwenye mataifa madogo madogo hila sio mkubwa kwa Rusia
@nizarrama225Ай бұрын
@@user-md9iy9qn1k😂😂😂 unaishi zama za kale 😂😂😂 hujui nyakati zimebadilika, USA ameshindwa kivita Ukraine pamoja na washirika wake NATO, ameshindwa kuvuruga uchaguzi wa urais urusi! Ameondolewa ukanda wa Saheel, au mwenzetu huna macho na masikio 😂
@ASALABOYАй бұрын
SnS inaunguruma ukweli n UWAKIKA 🇲🇿🇹🇿
@salimfaraj5509Ай бұрын
Hapo kamuweza marekani huwa anajiona yupo mbali sana
@alextanzaniaАй бұрын
Sio mara ya kwanza Urusi kufanya hivyo
@msafirisaimoni9561Ай бұрын
N zaid ya miaka 30 russia anampleka mbio us 😂😂😂
@FridayMwassaАй бұрын
@@msafirisaimoni9561Russia masikini hana ubavu wa kumpeleka mbio America
@deniccgabriel6153Ай бұрын
Hongera sana urus mtu na rafikiake Cuba ❤ hapo USA ni jilani2
@hassangaddafi2347Ай бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@georgekimasaofficial1629Ай бұрын
Ashinde basi hiyo vita coz alisema ataipiga Kwa week lakini nimiaka 3 sasa imeenda wakati Ukraine Haina hata Wanajeshi milioni Moja 😂😂😂
@bonnymakuke3153Ай бұрын
@@georgekimasaofficial1629we unaona mtu yupo matakoni mwa marekani wewe unaleta habari za Ukraine 😢😢😢
@martinisadru9899Ай бұрын
Unaota!, kua Russia atamsaidia parestina, au umedanganywa. Mrusi hawezi kuisaidia parestina kamwe. We nenda kamwamshe allah, aamke kuwasaidia parestina,, maana, allah wako amelala usingizi.
@maniamba.tz_Ай бұрын
Urusi kajiongeza 😂😂😂
@SalumJuma-iz2gjАй бұрын
Apo marekani kwisha chini ya kizingiti jamaa kamkalia
@nasibugunda7927Ай бұрын
kasogelewa yaani marekani akifungua dirisha tu anaona vyuma vileeeee
@zaitunibakari6632Ай бұрын
😂😂😂
@bonnymakuke3153Ай бұрын
😂😂😂
@hamzafishten9560Ай бұрын
Marekani anahaha sna
@kingpunzy194Ай бұрын
Russia alikuwa kimya baada ya USSR kuvunjiaka, alikuwa anajitafuta. Now Russia kajipata kamsogelea US mlangoni.
@jumamussantuicheАй бұрын
Urusi yupo juu.
@MilicentKabuiАй бұрын
Vita ni Vita Mura
@yayananajota5838Ай бұрын
The boss has alived 💪
@user-sj3wf5vz7lАй бұрын
Urusi. Putin❤❤❤captain ibrahim ❤❤❤
@jumamussantuicheАй бұрын
Tarafa nzuri na sahihi manual ya nyuklia,meli za urusi.dolia ya marekani kujidanganya ili atanjwe.
Serious time, serious measures. Mazoea sasa basi putin.
@cidewashington670Ай бұрын
🇨🇺🤝🇷🇺 Uraaaaaaaa 💪
@festohaule9716Ай бұрын
Adui kaja mlangoni Sasa!!! Karne hii hatuna Nchi iliyopooza kabisa...
@alextanzaniaАй бұрын
Sio Mara ya kwanza
@Gulfnas1Ай бұрын
Timing ndo shida mzee @@alextanzania
@deniccgabriel6153Ай бұрын
Tanzania imepooza Karne hiii😅😅😅
@ManyaSumailiАй бұрын
Nyinyi amuijuwe marekani kbs
@festohaule9716Ай бұрын
@@ManyaSumaili Unasema Nini!!! Korea aliigawa yeye Marekani mbona hakuimeza yote______?? Aliunda NATO Kwa lengo kumsadia mishe zake Ulimwenguni.. Amerika alipingwa na Osama hapohapo kwake na kuuwa watu 3600 Kwa masaa tu...
Maamaeeeee Mashoga lazima watie akili mara hii walifikiria waarabu hao
@DafiMohamed-dz8xkАй бұрын
Maisha lazima tuheshimiane sio kila siku vitisho vya marekani na Western countries...Canada nao ni wanafiki wakubwa hao..mkubwa mungu
@nasibugunda7927Ай бұрын
Yaani kutoka Havanna Cuba mpaka Florida U.S.A pana umbali wa 90 miles sawa na kilomia 145 ni karibu sana
@AfricaamkenitznawenusoАй бұрын
Marekani kazi unayo
@jonathanmaengo4281Ай бұрын
Team V putin code 18 🇷🇺🇹🇿
@sonnyr1899Ай бұрын
Kudadadeki sasa hivi mmarekani umepata wa size yako anakufuata hadi mlangoni sasa fyoooooo uone. Hii sio Libya ao Irak
@user-md9iy9qn1kАй бұрын
Hana uwezo waku pigana na USA 🇺🇸 ao hujasikia Russia 🇷🇺 ikisema haiwez pambana na usa 🇺🇸 labda hizo inch za Europe sio USA 🇺🇸
@sonnyr1899Ай бұрын
@@user-md9iy9qn1k Sasa ndio kakufata mlangoni kwako we ulifikiri hizo meli ni zakuja kufanya maonyesho Ya 7/7?
@mfaumemfaume3813Ай бұрын
Skai work HP swal kwamatangazo ya staily Iko pou
@abdulmasoko7241Ай бұрын
Mi naona Raha..😂😂😂 Urusi 🤝👊
@bonnymakuke3153Ай бұрын
Mi nirifikili katuma ndegu ili azipige izo meli kumbe doria2 😂😂😂
@suratibrahim6417Ай бұрын
😊😊Dunia iko mahala Salama mikononi mwa Urusi✍️✨🏹🏹💌💯 Putin 🔥 Russian military special forces 🔥🔥🪖🎖️🔥 Nakubali... nakubali.. nakubali ❤️✨✍️
@cdeegwau551Ай бұрын
😅😅 i ndo maana halisi ya vita ni vita muraa..
@bogoheidaso2628Ай бұрын
Putin ameamua kumfata adui yake karibu sana
@mwenebatuetabo5515Ай бұрын
Nihatari kumekuchaaa
@abdallahngoeАй бұрын
Tunahitaji GPS ya hii issue tupeni mapema tafadhari
@Gulfnas1Ай бұрын
Labda next week coz ni once a week
@salimfaraj5509Ай бұрын
Jamaa kamfuata huko huko 😅
@user-ii6gs2jg4gАй бұрын
Hahahaha ye si anajidai mjanja wa kupigaga kwa wenzake na kuharibu kisha kusepa. Sasa ni zamu yake
@AfricaamkenitznawenusoАй бұрын
Yah good
@user-md9iy9qn1kАй бұрын
Hana uyo uwez Cuba 🇨🇺 itageuzwa majivu isubutu ione janga usa 🇺🇸 haitaniwi kijan hawa ni vichwa vibovu sio Mara ya kwanza Russia 🇷🇺 kuongia 🇨🇺
@giloline1308Ай бұрын
@@user-md9iy9qn1k😂😂😂
@nizarrama225Ай бұрын
😂😂 unaumia ukiwa wapi @@user-md9iy9qn1k
@lucasbatano333Ай бұрын
Marekani akikohoa tu amekwisha😊
@georgekimasaofficial1629Ай бұрын
Axa akoowe vipi zaidi ya masiraha kibao anayowapa wa Ukraine au Urusi anapenda Marekani kuisaidia Ukraine 😂😂😂😂
@SaidkhelАй бұрын
@@georgekimasaofficial1629sasa huyo Ukrein kapewa siraha kafanya nini cha ziada nyie ndiyo mashoga wa marekan
@paschalsafari9747Ай бұрын
Uraaaaaaaaaaa
@SelemaniMeena-oo3osАй бұрын
Marekani anasema hazina nyuklia amezikagua? Mavi yamegonga chupi, hajasema na bado atasema
@vladimirputn1809Ай бұрын
😂
@Puppet666MasterАй бұрын
CUBA CABANA🇨🇺
@user-qh9gw2vr6kАй бұрын
Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione
@SamwelianasetiАй бұрын
hakuna Taif lolote kwa sasa ambalo linaweza kuiangusha Marekani bado wanajitekeenya labda kwa siku za mbeleni sis
@jumaamohamed2815Ай бұрын
Na hakuna taifa lolote linaloweza kuiangusha Russia & China
@fakijechaАй бұрын
Unasema hakuna sie tunangalia vitendo na sio mipasho yako
@jumaamohamed2815Ай бұрын
@@fakijecha vitendo vya ushoga vya marekani na Israel ndio unaangalia
@ezekiambise2595Ай бұрын
God bless russia 🇷🇺
@espoiraklonda8664Ай бұрын
Utaaaaaaaaaaaaaaaaa🥊🤝💪💪
@Badvoice707Ай бұрын
Akisubutu mmarekani anamuangamiza kabisa oohh ajaribu aone moto 😂😂😂😂😂
@simontamba1285Ай бұрын
Viva
@msukumamnywamaziwa2785Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@josephelias7364Ай бұрын
Huyu Urusi haijui marekani vizuri
@user-yb9cl6fr6lАй бұрын
Hanalolo nishoga tu ndicho ndicho ambacho mrusi anamjua mmrekani niokwachengine Sasa usiempenda kaja Sasa kama yeye nikidume siange mdifensi kama kweli yeye nimume? mrusi kajipanga Wala hakuna anaemuhofia hata mmoja kwataarifayako marekani naulaya nzima hawapati usingizi kwaputin huo nikhabari nyengine nandio mtetezi wadunia nasio hao mashoga
@bonnymakuke3153Ай бұрын
Sasa hasimjue wakati wote wanakaa kwenye vikao vya maamuzi!! Hao wote wanakura za turufu au mwenzetu haujui ilo😢😢😢
@peterilimwa5754Ай бұрын
bundala I sallute u
@hunstonjuliusmkonyionlinetvАй бұрын
meli za kichovu
@longinoludovick7909Ай бұрын
Tusishabikie kitu tusichokifahamu tuombe amani iwepo mungu atatuhukumu kwa maovu hapa Duniani😊😮
@ProsperMwakasunguraАй бұрын
Wewe kama hufamu naomba tulia tu.
@daviddeus6437Ай бұрын
Ngoja wajichanganye cuba litakuja kuwa jimbo la marekani kwa lazma
@elinathanbanka5485Ай бұрын
Marekan ni mchokozi Sasa anafuatilia ziara za wengine kwamisingi ipi?? Mbona ziara zake hazifuatiliwi????
@josepheriah5977Ай бұрын
Vita iendeleee
@HajiKlein-so1rkАй бұрын
🇹🇿❣️🇷🇺👏
@mutambukamubarakaАй бұрын
🙏👍👍👍🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺♥️♥️✊
@JeanPierreBashagalukeАй бұрын
Wakongomani wana salimu hayo mazowezi hiyo
@hemedjackson2261Ай бұрын
Hodiiiiiii!
@AfricaamkenitznawenusoАй бұрын
Jamani karibuu tumekoma!!!😂😂😂😂
@petermugurubi7837Ай бұрын
Free afrika huko wapi
@muksinimbaruku1233Ай бұрын
Ndio maana mama anakopa sana anajuwa baada vita ya 3 ya Dunia kumalizika tutasamehewa madeni
@user-pd5hl9di2qАй бұрын
USA waoga wanajipa moyo kuwa ziara ya meli Cuba ni ya kawaida huku rohoni wakijua hawako salama, urusi yuko serious kaenda Cuba kuwakumbusha USA kuwa wamemruhusu zelensky ashambulie ndani ya urusi wajue urusi sheria yao ya nyuklia ikivunjwa vya kutosha urusi analiamsha sasa yuko jirani tu hapo Cuba
@mohamedaley5632Ай бұрын
Viva Russia viva Putin
@user-jh9yv1zp1lАй бұрын
Marekani viva❤❤
@willibroadwilliam6798Ай бұрын
Nchi ya kwanza dunia kiuchumi uliza. Nchi ya kwanza yenye Bajeti kubwa yaulinzi uliza. Nchi yenye 4:09 idadi ya watu wasomi uliza. Ukerain tu tangu 24/02/2024 mpaka sasa mkono unapingwa.Jibu sahihi ukiulizwa Urusi hinapigana na nchi gani kwasasa utajibuje?
@josepheriah5977Ай бұрын
Urusi zaifu
@SM-fu1yvАй бұрын
American kapata saizi yake
@user-wt9nd8bh2hАй бұрын
Uuraaaaaaa 😂😂
@MrTop-wj7noАй бұрын
😂😂😂😂 huyu PUTINE ataniuwa kwa maraha
@user-dg7wf6fg2jАй бұрын
Putin hataki utani
@jotafungo4622Ай бұрын
Nyie njooni huku ngoma inogile
@chachajulius4481Ай бұрын
Tutaishumbulia Guantanamo kijeshi kama marekani wataendelea kufatilia meli za Kremlin 🇷🇺 🇷🇺🇷🇺
@jumaamohamed2815Ай бұрын
Putin awapige tu Marekani Ushoga uishe rasmi Duniani
@user-md9iy9qn1kАй бұрын
Hapo cuba 🇨🇺 watapigwa na usa 🇺🇸 kwa 100% wasipime maana wataumia maana usa 🇺🇸 haipendagi ujinga hapo Cuba 🇨🇺
@maclaudismail6606Ай бұрын
Marekani anashindwa na wayemeni houth ataiweza urusi ? 😂😂
@kwisa4899Ай бұрын
Ukiona hivyo ujue Cuba kapokea pesa nyingi sana na mkataba wao ni kuijenga CUBA subilini maendeleo yake yatakavyo piga hatua
Bwana eeeh hakuna vita hapo wanatangaza biashara zao msituone wajinga kama kweli mnataka kukinukisha msitangaze silaha hadharani mwagianeni muuwane kweli tutaamini ni vita ila siku hizi vita imehamia mitandaoni mnaonyeshana silaha ili nchi zinunue mamaee nendeni congo ndio mtajua kuna vita sio wafanya biashara
@Maxpaul-oi8pwАй бұрын
Mm binafs naikubal sana urus ila nawashangaa watu wanavyoshabikia meli za kivita kufika cuba badala ya kuionea huruma cuba
@godfrey3926Ай бұрын
Sasa huu ujinga ni wa nini, wanapigwa Ukraine na huyu Jasusi Putin anafikiri anaweza kumtisha yeyote. Ni kama mtoto aliyenyimwa pipi, anarukaruka tu. Wanajeshi wa Urusi walio Ukraine wamerekodiwa walisema hawana hata risasi za bunduki, alafu huyu jasusi anato show lama hizi, hajali watu wake wanayouliwa, hawapi equipment za vita. The guy is simply dumb.
@laodapigfarmmrduroc8327Ай бұрын
😂😂😂😂 hata hujuu unaobngea nn
@jolitabukabengwe3070Ай бұрын
Mpaka Sasa MAREKANI keshaufyata... Anakiherehere sana MAREKANI. Safari hii Kaingia Cha kike
@pixeldrop5874Ай бұрын
Wew ni mjinga kweli Unafkiri urusi n Tanzania Eti.unasema.hana.hata risasi Mtu Ana viwanda vya kuengeneza Silaa Alaf unaongea bla bla haPa Acha kuwa brain wash wew
@kamtandeabdala3271Ай бұрын
Jidanganye urusi hajawahi kuwa dhaifu alafu kumbuka ni mataifa mangapi yanapigani usijizime data kaka
@JureyjiАй бұрын
Hujui kitu ww endeshwa na ushabiki
@officiallugano8991Ай бұрын
Uchumi wa New York City pekee ni mkbwa kuliko Nchi ya Urusi. Kwahiyo America 🇺🇸 inatazama jinsi Urusi inavyo jitekenya
@allyslim7774Ай бұрын
wewe! Kweli?
@dicsonbiko-wz7ymАй бұрын
unaota ndoto ya mchana wewe😂😂😂😂
@graysonpastory1918Ай бұрын
Kweli mashoga msio na akili mpo wengi sn sn,
@abdallahngoeАй бұрын
Usemacho ni kweli kabisa hata jiji la califonia lina uchumi sawa na ufaransa na hata katika nchi 5 zenye uchumi mkubwa urusi haipo. Lakin lakin lakin anaeongoza kwa nyuklia duniani ni urusi 5900+ na kisha USA5400+ na asilimia 90 mpaka 95 ya silaha duniani wanasupply wao. Hivo hata wakisema wapigane na USA akashinda bado lazima na yeye ataumizwa vibaya mno na hatakuwa tena no1 duniani kama ambavyo akipigana vita nyngne ushinda na anabaki no1
@abdallahngoeАй бұрын
Utajiri sio kigezo cha ushindi ndugu yangu unaweza ukashinda ila husiwe tena no 1 tena kabla ya kuwa no1 marekani kuna dola nyingi zimewai tawala dunia mfano ottoman empire, roma hata england miaka ya 1800 baada ya mapinduzi ya viwanda yeye ndo alikuwa tajiri wa dunia lakini alipoingia kwenye vita na hzo dola nyingine mpaka leo kama ottoman ya waturuki ni dola za kawaida tu si no1... hata england na washirika wake walishinda vita ila mpaka si no1 tena