I agree with you mtumishi wa Mungu Stay blessed 😇 📚📚❤️🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾
@khadijaalmasi96862 жыл бұрын
Mjinga mwenzio
@thomasnyarusanda26082 жыл бұрын
Wewe unachanganya ukweli na uongo kuhusu ukristo halisi na uongo,au huelewi vizuri. Unatuchanganya. Mache Mungu aitwe Mungu.
@davidmwambo63992 жыл бұрын
Haya mambo ni mazito sana na Mungu kaamua tuyafahamu ili tutengeneze njia zetu,Mungu akupe nafasi zaidi ili wengine wafu guliwe kupitia ww mwalimu,ameeeen Mungu tusaidie sana
@tanunewstz2 жыл бұрын
Great cheers great AMEN mtumishi
@bensonsamwel16032 жыл бұрын
Mungu akubariki zaidi uwendelee kutufunilia maneno zaidi
@robertlyimo6362 жыл бұрын
Hii vita ni kwa ajili ya kuonyesha utukufu wa Mungu juu ya Israeli Ezekiel 38:16 hapa inaonyesha Urusi itashindwa vita hivyo ingawa ni Taifa dogo machoni pa Urusi Soma EZEKIE 39:1-4 Soma EZEKIEL 39:11-15
@Fm-MornStar20142 жыл бұрын
Professa kuwa unatupa references maana wengine tunapenda kufanya research zaidi.
@djbm39552 жыл бұрын
Somo hili like sawa kabisa ukwelimtupu
@Samandito2 жыл бұрын
Nashukuru kwa kunifungua kitu !! 🙏
@williamshitobelo64332 жыл бұрын
Baba yangu Nabii Eliya, MUNGU amekuchagua kwa majira haya ulishe kondoo zake. Wale walio wake MUNGU watakuelewa!! Amina Amina Amina
@dottomabula7253 Жыл бұрын
Alivamia alizani ataachwa
@allyawadh3902 жыл бұрын
Huyu jamaa kawa mkisto?kweli njaa mbaya sana,kaona sehemu ya kupiga hela ni kuwadanganya wakristo kwa waislamu kashindwa kupata hela,hapo sasa utapiga sana hela kwasababu chochote utakachowaambia wao sawa.
@harounkiyungi72882 жыл бұрын
Amezamilia kusisaka Kwa njia yeyote huu ni msiba aisee yaani haoni hata aibu duuu hatari sana, ila tusiwe na wasiwasi juu watu kama Hawa Allah ana majibu Yao na soon atayapata
@freduallughano23012 жыл бұрын
Ila kuua watakataa vipi huko kwa mod kuua ruksa?
@ibrahimkadabla21112 жыл бұрын
Jamaa alijichanganya kwa waislam tukamtoa mita mia dangya tot
@musilimusembi16462 жыл бұрын
How can a religion that denies that Jesus is God be a true church? Your history is good but you need to know what paul and Barnabas believed in. They believed in trinity. So the orthodox church is more of Pharisees and Sadducees (Judaism) than the the first church.
@protaspeter53712 жыл бұрын
Nabii eliya nimeamini kweli ww sio mtu wa kawaida hapa duniani, na sielewi kwanini watu wengi hawakuzingatii sana, ujue ipo siku watakuelewa lakini watakua wamechelewa
@officialyohanamalisa1873 Жыл бұрын
Apendae mafundisho hupenda maarifa. We waache tu. Huyu jamaa amenipa akili kinoma. Siyumbushwi na majuha mtaani
@emanuelmargwe70872 жыл бұрын
Tunamuhubiri Yesu Kristo Wala hatuhubiri dini. Kila ulimi utakiri Yesu Kristo Ni Bwana
@aloyceiluminata36502 жыл бұрын
Na hii ndiyo historia halisi kabisa ya Dini zoote hapa duniani....ubarikiwe saana nabii.... Russia mpaka sasa hajasema chanzo cha kuivamia Ukraine..nadhani lengo Lao ni hili ambalo nabii amelifanyia unabii hapa
@jobmoffat78442 жыл бұрын
Ukristo unajengwa katika Upendo na msamaha, siyo vita.
@jinomoko55102 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi hakika Mungu amekupa mafunuo mengi ya kutuweka sawa watu wake Mungu akulinde aaamen
@williamshitobelo64332 жыл бұрын
Baba yangu Nabii Eliya, MUNGU amekuchagua kwa majira haya ulishe kondoo zake. Wale walio wake MUNGU watakuelewa!! Amina Amina Amina
@khadijaalmasi96862 жыл бұрын
Umepotea wazi wazi yaani hata taperi anasifiwa
@voomtech2 жыл бұрын
17:25 mpango wa shetani kwa maana ya papa wa katoriki
@samsonthoya42752 жыл бұрын
Amin Nabii Eliya tunakuombea Mungu aweze kukutia nguvu zaidi. Nasisi wanao tuko nyuma yako. Tufunulie zaidi yaliyofichwa chini ya maji.
@hamidgirrafe37082 жыл бұрын
Mungu hana mtoto broo
@stevensosipita2851 Жыл бұрын
Wewe mwenyewe nimtoto wa mungu bila uwezo wa mungu usingekuwepo duniani
@dottomabula7253 Жыл бұрын
Huwezi kuiondoa Israel kwenye ramani ya Dunia amini usiamini itakupa taabu
@thomaslali7052 жыл бұрын
Half knowledge is always dangerous. Sick the true track of truth to get the truth.
@lemonadesoldier13772 жыл бұрын
Dah kama movie vileeee ...sema umechambua vizuri Sana kaka Mungu akubariki sio wengi wanaweza kuchambua history
@christian-tq2hb2 жыл бұрын
.amin
@nicetoknow272 жыл бұрын
Huo ni uongo kabisa...nimeangalia mafunzo mengine yake na ni ya uongo kabisa
@BONGOINMOTION2 жыл бұрын
Leta reference tusome na sis
@barmedastv2 жыл бұрын
Waliokubeza watakuelewa tu maana nilikuwa nachukia sana watu wanatanguliza udini na hata hawajasoma vitabu kuelewa neno .YESU NDIYE MKOMBOZI
@Gamba1772 жыл бұрын
Mkombozi gani acha uwongo yesu alikuja kwa wana wa Israel peke yake wewe mmakonde wa Lindi mlaji panya buku wapi na wapi.
@wycliffkasinga80862 жыл бұрын
Bravo
@coj79202 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kufungua macho kwa wenye upofu wa kiroho na kudhani kuwa Urusi ni wabaya
@dawoudal-arabiybik37472 жыл бұрын
hiv huyu jamaa kuna watu wanamwamin kwa kweli mungu awasaidie sana .....zero kabisa kosa linaanzia kujiita nabii hiv amekupa nani unabii we jamaa?
Kiongozi unaelezea mengine ya kweli na mengine si ya kweli, kwanini asili ya kanisa ni antiokia na sio Israel ambako ndiko alizaliwa nabii ISSA na hiyo aya kwanini hujaimalizia mbele inasema na Hilo ni jina la kupanga walilopangiwa na wapagani wa aljokia,kwanini kanisa liwe uturuki wakt yesu sio kwao Na kwanini lisianzushwa Israel ambako ndiko alizaliwa nabii ISSA au yesu Inasema kwa
@kiliantereba65022 жыл бұрын
Mmh uongo mtupu, yaani Urusi ndiyo Israel. Haya mafundisho yamejaa uongo mtupu
@eliakanyika53792 жыл бұрын
Kabisa anachanya uongo na ukweli
@crescentvscross11322 жыл бұрын
Ww ni shetani tu sio wa kanisa wala wa msikiti una boa sana
@dottomabula7253 Жыл бұрын
Huwezi kumuondoa zelesky kwenye ramani ya Dunia
@khadijaalmasi96862 жыл бұрын
WEWE UMEFERI KWENYE IMANI
@khadijaalmasi96862 жыл бұрын
Utaperi acheni KIAMA karibu
@swaleheamri23032 жыл бұрын
Ok
@Hoseapr2 жыл бұрын
This is not true....give us reference
@belgieboys98672 жыл бұрын
hujui hata historia ya ukiristo. laana ya Allah iwe juu yako hata kwenye biblia wanaomuamini yesu wanajua kuwa yesu sio kiristo aliyeleta ukiristo nis sauli aitwaye Paul. na yeye alikuwa ni mroman na mkatoliki na alitumwa kutoka roma kuuleta hizo sehem. na kwenye biblia imo na hilo kundi . ulolitaja ni kundi lilojitenga na ukiristo yaani ukatoliki HUJUI CHOCHOTE HATA STORY YAKO HUJAIPANDA UZURI UNABABAIKA TU 😂😂😂
@sosbrayantbenjamin97012 жыл бұрын
jibu kwa hoja iyo laana iwe kwako
@danielharuni18002 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu stephano alikuwa Mkristo wa antiokia? Acha upotoshaji
@davidndaha96072 жыл бұрын
Kiukweli mafundisho mazuri ila wachanga katika biblia they don’t understand you!.
@abasijuma69892 жыл бұрын
We kafiri ungelipo tu
@ibrahimbujiku30072 жыл бұрын
Kiasi nimekuelewa nitaendelea kujifunza
@pascalnicolaus69862 жыл бұрын
Biblia ndio msingi wa imani ya Kirklisto.Tupime maneno ya mtumishi yeyote na neno katika biblia .Vinginevyo tutaambulia patupu.
@rabbithare3812 жыл бұрын
First you ain't no Prophet, second this topic and the entire detail was done years ago by a certain muslim scholar. So it's wrong the same details you've picked from someone else then purporting to be a Prophet. A prophet never copies & pastes from mortal beings, a prophet gets direct information from the almighty creator.... I will research and find out the exact muslim preacher who already gave this lecture in the United States, once I get it will definitely paste the link here...
@vivianoforo47602 жыл бұрын
Did you find that link.
@ishipalemypasco2567 Жыл бұрын
Duuu kwa hio mwamba anaitaka na uturuki.😂😂😂
@LucasKaliyaya5 күн бұрын
Israeli haija raniwa, tena wewe ume raniwa
@edwardkiwelu4532 жыл бұрын
Mwongo wewe umeyatoa wp huna sehemu ktk hayo
@paromaparoma66032 жыл бұрын
Wewe ni hamza ukristo unakuusu nini sasa
@joshuakimathi3366 Жыл бұрын
Wewe nabi ni mkristo au mwisilamu
@sebastiannjebarikanuye17492 жыл бұрын
Good
@rajaburamadhani66292 жыл бұрын
Jamaa alikuwa anajifanya muislamu hahaaaaaa
@richardondabu93672 жыл бұрын
Good prophesy.
@hamidgirrafe37082 жыл бұрын
Mtihani nabii wewe mbongo hahahaha
@deusisindwa6162 жыл бұрын
Mungu akujalie afya njema Sisi ambao hatujabahatika kupata elimu hii uendelee kutuelimisha,, Binafs napenda sana kufatilia mafundisho yk
@FafaFrancineenjo5 ай бұрын
Amen ❤️ Amen ❤️
@khalidbelhasa26002 жыл бұрын
YESU HAKUANZISHA KANISA WALA HAJAINGIA KANISANI ALIINGIA MASNA GOGI MSIKITI WA MAYAHUD
@aloyceiluminata36502 жыл бұрын
Sawa
@freduallughano23012 жыл бұрын
Upeo wako huo,na uislam bila mohammad/hadija haupo kutuambia ulikuwepo tangu dunia kuumbwa ni upunguani wa hali ya juu.
@ambarnelly63042 жыл бұрын
@@freduallughano2301 42 :13 Quran soma iyo mana naona yanakutoka tu ndugu ata bibiliya inasema umepotea usipo juwa maandiko
@anettmwebrania5042 жыл бұрын
Ahsante Sana kwa kuniongezea maarifa. Mungu akubariki.
@kambonamahmadoo68142 жыл бұрын
Russian can't take Othman empire never
@eliakanyika53792 жыл бұрын
Yesu hakuwalaani wayahudi hapo umesema uongo mtumishi wa---- nipe andiko linalo sema wayahudi walilaaniwa?
@111dudi2 жыл бұрын
Anavuruga historia
@pilipilikali71672 жыл бұрын
Kwa njia nyingine wataka kusema kuwa Israel ndio mpiga kristo,juu kawaida hizi vita zikizidi Israel itasupport Ukraine,??????? Hapo?????hapana
@elishamwita22762 жыл бұрын
Huyu sio nabii nitaper tu hanajipya unasema utatu mtakatifu ni upagani unapotosha mandiko
@mwalimucheche84572 жыл бұрын
Hapo sawa
@rwenenahomechannel16342 жыл бұрын
Mimi ni Urusi hakika.
@mathayolaizer7232 жыл бұрын
Mathayo
@manjoriwakunesa70062 жыл бұрын
Kujiirlewa nijambo moja
@dottomabula7253 Жыл бұрын
Uongo
@loraumuhire47552 жыл бұрын
Asante sana Mungu awabariki kabisa unafundisha mpaka mutu anasikia, Jina ra Bwana wetu Yesu kristo ribarikie Sana.
@ernestraymond40062 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi Wa Bwana
@frankyotam60082 жыл бұрын
Nabii Eliya kuwa makini na kazi amri ya upendo inasemaje ?aliyoiacha Yesu kristo , Kati ya Urusi na Ukraine ni nani aliyeanza kurusha risasi kwenye ardhi ya mwenzake?
@aloyceiluminata36502 жыл бұрын
We hujui kitu mzee ni Bora ukae kimya Kama Mimi tu Mfano Mimi ni muumini wa dhehebu la orthodox toka kuzaliwa na mafundisho haya tumekuwa tukifundishwa kanisani
@LucasKaliyaya5 күн бұрын
Wewe mchungaji ni muongo
@gideonlangat50352 жыл бұрын
Elimu kidogo uko nayo, Uslamu imekuaribu..
@danielharuni18002 жыл бұрын
Huyu hajui mtu kuitwa Mkristo maana yake nini je wanafunzi wa Yesu walikuwa sio wakristo? Huyu ni mpotoshaji sana wa Neno la Mungu:
@kindi49262 жыл бұрын
Yesu mwenyewe hajawahi kujiita Kristo mpaka anapaishwa Mbinguni hajaitwapo walamkujiita Kristo.
@oscarkamgisha39972 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Yani mi nakusapot urus toka mwanzo
@petermangale93142 жыл бұрын
MADINI MAZITO SANA HAYAAA!!!!
@bernardmkuffya51712 жыл бұрын
Remain blessed,let God preserve you for saving more souls.
@martensnshimi36132 жыл бұрын
Uwongo mtupu.othdoxe anawutambua utatu mtakatifu:Mungu Baba anayejifunua katika mwana na Roho mtakatifu.nandiyo mama wanapoanza kusali wanapiga Alana ya musalaba.zungumuza mengineyo.hiyo ni Vita ya ucumi kijana
@wycliffkasinga80862 жыл бұрын
Bravo
@jumakibe50322 жыл бұрын
Hatariii Lete utamu. Km kuna kitu kinaniingia ktk roho yangu.
@PsilaoKamwana2 жыл бұрын
😅😅😅😅
@weremamwita89812 жыл бұрын
Ki ukweli nakushukuru ndg kwa ufafanuI ambao utanipa changamoto kuingia zaidi kwenye utafiti. Hv, are you saved?
@willylazarusmwaigwisya26832 жыл бұрын
Waafrika tupo wapi tufufie dini zetu
@amanimsami30132 жыл бұрын
Asante kwa kufugua kiroho watu, nakuelewa san mafundisho najikuta nabarikiwa sana hasa ukishakuwa kama mzazi wa kiroho As mina
@OnlineEarningTz Жыл бұрын
We jamaa yangu muongo sana. Murtadi wewe! Sasa ile miezi 3 uliosema ikiisha Mungu atatuadhibu vipi bado tuendelee kusubiria au
@dollsouthtv21362 жыл бұрын
Nabii nakuelewa sana shida yetu waroman katholic na islamic hatutaki kukubali ukweli yesu ni mwana wa mungu na ni nafsi ya mungu na mtume wa Mungu Asante nabii ifungue dunia
@suzandavd52132 жыл бұрын
Amina mtumishi endelea kutufumbua macho kweli Yesu yu karibu kurudi ubarikiwe sana tunakuelewa.
@giuseppemanaos752 жыл бұрын
Wewe jamaa unajua sana sana na umesoma sana that history ya Roman Catholic inaitwa historia ya kanisa na ilipo kwenye Deconstaninopo. Na uturik or Turkey neno Key..n fuguo za Ukristo makanisa 7 na mji wa siri wakaninisa constantinopo lenye kuta 7 .... historia tam sana ..
@jumakibe50322 жыл бұрын
Hapa napata picha kwann JPM alikuwa anataja sn Mungu na alikuwa hayuko upande wa magharibi. Hotuba yake akiwa manyoni inaniliza sn😭😭😭
@mussaissa67962 жыл бұрын
Huyu ni mgonjwa Wa akili Hana lolote huyu Mpuuzi tu Na kuna siku atafyatuka kabisa awe anapita uchi mitaani na bado Kuna wapuuzi watamfuata hivyo hivyo Tu kwa kuwa wapumbavu wako wengi
@shabanmlekwa95132 жыл бұрын
Endelea kupotea wewee...! Hayo aliyoyasema mi nilishaanza kuyafaham siku nyingi. Wee baki gizani ...
@khalidbelhasa26002 жыл бұрын
Hana kitu huyo asiwapotoshe , hayo mambo tayar yashatabiriwa zaman miakq 2000 nyuma
@graysonpastory19182 жыл бұрын
Kutabiriwa sio tatizo tatizo je watu tunajua kilicho tabiliwa ?
@protaspeter53712 жыл бұрын
Kwani aliekwambia anatabir saiv ni nani, kojoa ukalale fisi we
@khalidbelhasa26002 жыл бұрын
Tatizo huyu jamaa ni msengee LGBT
@danielharuni18002 жыл бұрын
Kama wakristo wa kwanza walianzia antiokia baada ya huduma ya paulo tuambie Anania ambaye Yesu alimwambia akamwombee paulo yeye alikuwa Mkristo wa wapi? Aliyembatiza Sauli akaitwa Paulo alikuwa Mkristo wa wapi? Ukristo ulianzia kwa Kristo mwenyewe kutiwa mafuta kisha wanafunzi wake ambao ndio waliowazaa kiimani kina anania waliombatiza Paulo: wale watu ambao sauli alikuwa anawauwa waliokuwa wanaitwa wa njia hii walikuwa wakristo wa Antiokia? Acha upotoshaji
@fadhilikisusange86502 жыл бұрын
Kwaio Mheshimiwa Nabii kanisa lako linaamini nini? Roman ambao ni wapagani au Orthodox 😀
@JUJU-qv1ks2 жыл бұрын
I love those Orthodox ni wakristo halisi waliotajwa vxur ndani ya Qur an kwa kuanzia kwa Najjash mfalme Hapo umejenga point ya msingi sana , i agree with you on that
@andrewsam3642 жыл бұрын
kama nihivyo wakat urusi wanakuja kuchukua kanisaLao ambalo kwasasa nimsikit waisilam wao wataruhusu hilijambo?kwasasa waisilam wanamuunga mkono urusi je hawajui kama msikit waoutachukuliwa?hebu tuweke waz hapo
@reubenabuga32492 жыл бұрын
Huyu ndiye Elijah prophet ??
@Yeshuatv7292 жыл бұрын
Lakini Sasa wapo waorthodox WANAITWA Copic orthodox Hawa wapo hapa Tz na wao Ni trinitirians
@dastanymadambo19742 жыл бұрын
Mimi sijakuelewa hapo kwenye utatu mtakatifu biblia tuisomayo inatueleza vzr katika utatu mtakatifu yako hiyo ya Mungu kama Mungu iko wapi? Kwasio jua bibli vzr watakushangilia hekalu halisi liko Israel ambapo katila mafundisho yako potofu unaita israel feki unasema hekalu lipo uturuki rudi ukasome biblia upya.
@graysonpastory19182 жыл бұрын
Soma sana utaelewa vzr ukiwa unasoma Bible bila roho mtakatifu kuwa ndan yako kuelewa inahitaj kaz ya ziada
@marthaeliya64782 жыл бұрын
Mbona waisilam hawa comment? Hahahah baba yao anaaaumbua huku