Ni kama Himars tu!! Ilikuwa vigumu sana kuiharibu au kuidungua, lkn wakalikamata hilohilo mfumo wa Himars, kisha ndo wakaweza kuijua na kuizima afu kuharibiwa kabla ya kuleta madhara. Russia ni wajanja sana!!!
@nasibugunda79273 ай бұрын
Ndio mjue sasa kwann russia wameficha silaha mpya na wanatumia zaidi silaha za kizamani
@shomaryramadhani2703 ай бұрын
Duuuuh jaman tuwaombee tu mungu awape mioyo ya kustisha mapigano vita sio nzuri kuna watu wanakufa bila hatia
@jumamussantuiche3 ай бұрын
@@shomaryramadhani270 wazo lako mzuri marekani na umoja wa ulaya biashara yao migogoro duniani.
@MAHAN-SMART3 ай бұрын
Ilo kombora Russia ikishindwa kulifanyia uchunguzi linapelekwa china hapo ndio inakua mwaisho wake utaskia china na yeye ana makombora ya atacams anauza
@makanjamkabila3 ай бұрын
Kwani wewe unaona wa china 🇨🇳 wapo juu kwa technology ku zidi russia 🇷🇺
@hashimumwinyi22393 ай бұрын
Iran baba linaenda mabingwa wa reverse
@WilliamKivugo3 ай бұрын
@@makanjamkabilawachina wana copy hatareeee
@AjudeKaluwa-bp1zz3 ай бұрын
Tena wanaboresha zaidi
@sirpaza85133 ай бұрын
Urusi na Marekani ndio top. China wanakuja kwa kasi
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
@KenedyThabiti2 ай бұрын
Nani kakudanganya kuwa urusi ananguvu zaidi duniani
@SelemaniMeena-oo3os3 ай бұрын
Urusi kuichalenji marekani ni rahisi mno, ila marekani kuichalenji urusi ni ngumu mno
@jumamussantuiche3 ай бұрын
Urusi anaga baiya
@YohanaMasebo3 ай бұрын
Habari nzuri kwa team Russia 🇷🇺🙏🙏
@directortwicep30283 ай бұрын
Ujanja wote wa Mrusi anaanza kulifuatilia kombora la mmarekani 😂 Hawa jamaa teknolojia bado na mmarekani hawezi peleka kwasasa silaha more advance ukraine hilo kombora lakitambo na bado linawapa wakati mgumu mrusi 😂😂😂
@paschaljuma33123 ай бұрын
Nenda kaolewe marekan
@vumiliamgingu15793 ай бұрын
🇷🇺🇷🇺🇹🇿 🔥
@theempire40583 ай бұрын
Alafu ukija kwenye ule ushabiki wetu wa kipumbavu mtu anakuambia mrusi yupo juu kwa silaha wakati hapa tu kabomu kadogo kanatoa jasho, aya hatujui kuna mengine mangap tofaut bado mmarekani hajayatoa, putin ajifunze na ajipange kupitia hili kutengeneza silaa za kisasa.
@HarounRashidKuyawa3 ай бұрын
kwenye mfumo wa ubongo wa binadamu hakuna binadamu mwenyewe kujua Kila kitu,Kwa hiyo technology Kila mtu ana yake,kujua ya mwezako kuna faida mara mbili,na kuhusu silaha Urusi ndio nchi yenye mabomu Hatari Zaid ya nuclear kuliko nchi yeyote duniani,Acha undezi fatilia utambue
@@omarymwaluko9765 tuache ushabiki usio na maana, umeona apo kabisa urusi ndo anaanza kujifunza uo mfumo afu unasema urusi iko juu
@theempire40583 ай бұрын
@@omarymwaluko9765 poa
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Urusi kiboko ya mashoga
@BenPeter-vp2cy3 ай бұрын
Apa US kapokea wastan kwa idadi
@PatrickKagiraneza-ok8cw3 ай бұрын
Ufanisi mwema kwa urusi...
@Maxtechtv3 ай бұрын
😂😂 kichwa vita
@CalebThomas-ie4zy3 ай бұрын
Warus wapo vzur sana kivita ila marekan ananguv kubwa ya washirika hii ndio itampa ugum putin
@mohamedngoshani20673 ай бұрын
Uko vzr
@nick1o7bang173 ай бұрын
Marekani anatumia nguvu putin anatumia akili mingi tatizo linaanzia apo
@theempire40583 ай бұрын
Kuweni na akili na acheni kugeuza mada kinachoongelewa hapa ni silaha mpya alizonazo mmarekani ambazo mrusi hana, kwa maana iyo putin anatakiwa awe makin kwa hili kumbukeni hii kwake ni silaha mpya na wanaanza kujifunza
@eliasaNgahehwa-l2f3 ай бұрын
Kila mtu ana technology yake yake, @@theempire4058
@omarymwaluko97653 ай бұрын
@@theempire4058ww choko urusi anasilaha kali kuliko hao mashoga
@MustafaNoman-c4y3 ай бұрын
Urusi ni mwamba wa vita duniani
@furahafrank82673 ай бұрын
Nina sikia huu mfumo unamutesa murusi.
@mustafamasudi80933 ай бұрын
Kvp wakati anayaharibu kila siku
@lakasid38603 ай бұрын
@@mustafamasudi8093wameyaharibu lini wakati hapo mchambuzi anasema wamepata tabu kuyaharibu mpaka wamechukua wataalamu kuyachunguza au hujaelewa kinachoongelewa?
@josepheriah59773 ай бұрын
Marking wafanyia uchinguzmakombora ya urus iskanda
@kanutimosha11933 ай бұрын
😅😅 yangu macho na masikio muache mwenye ngufu apite
@kanutimosha11933 ай бұрын
Kama afngastani ilimshinda mmarikani je baba putini
@abdulrazack95773 ай бұрын
Sasa wamelipataje
@thefactbook...16073 ай бұрын
Katika vita kupata silaha za adui ni kawaida kuna njia mbili 1. Jamming(electronic warfare) 2. Lilitunguliwa kabla ya kulipuka ila namba 1 ni uhakika zaidi.
@hamzamasoud91203 ай бұрын
@@thefactbook...1607 vile vile linawezwa kumiss Fire (kutoripuka)
@yonathanbanyikwa18132 ай бұрын
Propaganda nazo zipo
@kwisa48993 ай бұрын
mbona watu munaona hii ni big deal munaijua fab 3000?
@MsokaDibron3 ай бұрын
Mmarekan ndio mkali wa hz kaz kwahiyo kaen kwa ku2lia na bd
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
@hamidamussa-sy4fm3 ай бұрын
Marekani ananguvu
@PAULNYANDILE3 ай бұрын
ukapimwe akili kwanza😂😂😂
@kanutimosha11933 ай бұрын
Mrusi ni baba sio sadam au kadafi
@RizikiMvungi-h2w3 ай бұрын
Ujanja nkuwahi hii ndio karata ya vita
@jotafungo46223 ай бұрын
Safi sana Urusi
@rashidmaty78243 ай бұрын
Ww Aly twakujua ni team west ww
@josephwilliam58133 ай бұрын
Ally ni Hana UPANDE kama smaa iyo HABARI ni toka juzi
@lakasid38603 ай бұрын
Naww tunajua ni team Russia kwaiyo tulia
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Ali kashakuwa mwanachama wa. mashoga
@josephwilliam58133 ай бұрын
@@omarymwaluko9765 anachokiripoti ALLY ndicho kimeripotiwa na vyombo vingine vya kuaminika vya kimataifa HATA vile pro Russia
@HajiKlein-so1rk3 ай бұрын
🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿❣️👑
@jeromeshirima20533 ай бұрын
Kwanini was display why isingekuwa silently
@ElisalMasawe3 ай бұрын
Hapa watakua wamepata JB bt wanacheza na akili ya us waone action hivyo hiyo action ndo itawaxaidia
@minanifreddy69693 ай бұрын
Sns ya warusi
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Mashoga hawana jambo wanapigwa tu
@AbuJuhaifah-c8j3 ай бұрын
Ww pinga kwa hoja tu wenzio wanaleta nondo za uhakika sasa ww kataa kwa logic na facts sio useme ya urusi tu ww pinga kwa hoja za msingi mtu kuchagua wapi apende haikatazwi hata ww penda marekani ila ukija na habari hapa njo nayo ilionyooka
@BenyassearButoyialfred3 ай бұрын
@@AbuJuhaifah-c8jwatuleteye nondo za huko tanzania ili tuahelewe
@chidiomari.653 ай бұрын
👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝
@Badvoice7073 ай бұрын
Mmarekani humuwezi kirahisi hivyo aligundua atomic wa Japan wakasalit amri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Japan hanamzd urusi kiraktu hacha ujinga naunaz Japan ashawai kumchakaza urusi vbaya mno urusi yesta hanapata ushnd kwa watoto kama mwenzake Netanyahu harafu wana vmba kichwa wababe hajakutana nasaiziyao@@SaidiMkome-qq7hy
@ManOfSteel-2ruku3 ай бұрын
Fuatilia vizuri science ya atomic bomb haikugunduliwa na mmarekani Bali mjerumani ndiye aliyeanza kuitengenesa kwa kuwatumia wafungwa wa kiyahudi mwaka 1944 lakini kwa bahati mbaya mwaka huo wakati wakiendelea na utengenezaji wa silaha ujerumani kipindi hicho Vita ilimgeukia vibaya kukawa hakuna coordination nzuri katika jeshi la ujerumani vikosi vyake vilitawanyika ndipo mmarekani akapata taarifa ya kwamba mjerumani yupo kwenye hatua za utengezaji wa silaha kubwa ya maangamizi, ndipo marekani akatuma askari wake wa kijasusi kwenda kudukua BLUEPRINT ya Technology hiyo, hatimae mwishoni mwa 1944i na mwanzoni mwa mwaka 1945 marekani akaikamilisha kuunda bomu la atomic na kwenda kumpiga swahiba wake mjerumani ambae ni mjapani aliyekuwa akimsumbua mmarekani kama mbu mwenye kiu ya Damu, N.B wakati marekani ametuma majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa uundaji huo Mrusi pia alipata taarifa ya sakata hilo hivyo Mrusi ilimbidi atume majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa bomu la nyuklia, Mwisho, Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi yenye teknolijia kubwa ya kijeshi kipindi cha Vita ya pili ya Dunia kuliko nchi yeyote ile, na baada ya kuanguka kwake nchi kubwa ziliiba utaalamu mwingi wa kijeshi kutokea kwake, mfano utaalamu wa silaha za Maroketi nchi za marekani na urusi ziliiba ujuzi kutokea kwa mjerumani✌
@josepheriah59773 ай бұрын
Putin afe
@SelemaniMeena-oo3os3 ай бұрын
Anza kufa wewe
@GodenBMDaniel3 ай бұрын
Urusi ndiyo inchi pekee yenye nguvu zaidi
@InnocentZamkulu3 ай бұрын
Nguvu za kushindwa kumaliza vita ambayo walidai watashinda kwa wiki mbili. Bali leo imekua karibu miaka.
@omarymwaluko97653 ай бұрын
@@InnocentZamkuluurusi anapambana na mashoga wote duniani kupitia Ukraine
@BenyassearButoyialfred3 ай бұрын
Mashoga wanasapoti tuu. Vita imemukuana ngumu tu. @@omarymwaluko9765
@ShekhMufyd-mn9zn2 ай бұрын
@@InnocentZamkulu hujui kitu wew urusi anapigana na NATO wew
@ngendakumanajeanmarrie74903 ай бұрын
🎉 Nice urusi ikojuu
@paschalcosmas60933 ай бұрын
Unajielewa kweli wewe?...wakat mwenzio hajapata ufumbuz wa hilo Bomu hlf ww unasema yupo juu?...je, hujui kuw makombora mangapi yenye high technology ambayo Marekan kayaficha?
@ShawnBeatz3 ай бұрын
Unabishana na machawa wa putin😂😂😂@@paschalcosmas6093
@omarymwaluko97653 ай бұрын
@@paschalcosmas6093marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
@ramadhanhassan52853 ай бұрын
Ili mjue mrusi vita anaimudu mwambieni marekani anyooke moja kwa moja kunpiga urusi nadhan mtakua mmenielewa kwa wale mnao shabikia mashoga
@Hassanbaoma3 ай бұрын
Huyu Ali masubi ni mchambuzi mzuri kuliko DJ smaa angekua DJ smaa hapo ungesikia kiingerza kingi mara fuse mara logic mambo rundo hongera ali masubi
@PAULNYANDILE3 ай бұрын
ukapimwe akili kwanza😂😂😂
@InnocentZamkulu3 ай бұрын
Wakigundua hilo Marekani ita tengeneza next level 💯
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Marekani mashoga Urusi ana technology kubwa zaid yake
@BenyassearButoyialfred3 ай бұрын
@@omarymwaluko9765we shabukia ila hacha kudanganya watu
@hamidamussa-sy4fm3 ай бұрын
Marekani ana nguvu sana
@MeddyMasuddy3 ай бұрын
nguvu za kiume au
@Elizabeth-gq9kl3 ай бұрын
Warusi hawawezi kufaulu.
@FahadAbubakari3 ай бұрын
Trump kaapa akaingia ikulu ndani ya masaa 24 iyo vita anamaliza na dalili za Trump kurudi ni 99% , na atachofanya ni kukata hela za kumpa Ukraine na kumpigia simu putin aache kushambulia
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Urusi kiboko ya mashoga
@PAULNYANDILE3 ай бұрын
ukapimwe akili kwanza😂😂😂, na ukifuatiliwa mpaka leo haujaolewa bwege wewe akili yako imeganda😂😂😂😂