Tununue mafuta Urusi kama India,kwanini tuingie mgogoro ambao hautuhusu?wakati Wanaogombana ni matajili,tena wazungu sio Waafrika,alafu masikini,eti unamtetea tajili,🤔🙄
@magrethmbangama11992 жыл бұрын
Haswaa Tena serekali ilisema haiegemei upande wowote wa Vita hii
@popiya23682 жыл бұрын
Mnh jamani haya maisha tunaenda wapi dha
@yusufm12 жыл бұрын
Kwa hyo yani ukijaza kabla hayajapanda bei ni kwamba yataganda kwenye tank ama? Tz bhanahh
@Happydaysworld2 жыл бұрын
Stupid people that's why
@tusajigwemathias91852 жыл бұрын
Yatapita amiin
@wilbartwilliam2 жыл бұрын
Hakuna cha urusi wala ukran wananasiasa wanatwambia Tanzania ina lasilimali nyingi mpaka mafuta sasa inakuwaje Hali inakuwa ivi kinachofata nijiudhuru tu Amna jinsi.
@ericrukamba68022 жыл бұрын
Kufa kufaana,India wamekuwa wajanja wamepata mafuta bei chee wanachekerea,nasisi tufanye hivo, tuutumie huo mwanya kufaidika wao wanavyo anzisha vita kwa waarabu alafu wanawaibia mafua,sisi tunachekerea hatuzemi,sasa ni zamu yao nisiye tufaidike,tusiwe wajinga.
@starlonejadamskp82242 жыл бұрын
Litapita2
@ayubukaaya45762 жыл бұрын
Waache visingizio visivyo na msingi
@anwaryabdallah77822 жыл бұрын
Nchi ngumu sana hii
@saidpazi66202 жыл бұрын
HIVI KWANI MAFUTA SS SIKUZOTE TUNANUNUA WAPI. JAMANI NARUDIA WATANZANIA HIPO SIKU WATACHOKA HIVO
@johnmasanja17622 жыл бұрын
Sisi Tanzania tunanunua mafuta kwenye nchi zenye mgogoro tu, na si nchi zilizo na amani