Usiku wa Kuamkia Leo RC Hapi amuweka Ndani Diwani CHADEMA, KISA?

  Рет қаралды 268,891

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Mzee amekuja Mbele ya Mkuu wa Mkoa RC HAPI, na kuadithia Jinsi alivyobomolewa Nyumba yake na Diwani wa CHADEMA

Пікірлер: 656
@godlovebtimbula5406
@godlovebtimbula5406 5 жыл бұрын
this man is a true leader mamae namkubali uyu jamaaaa aseee... may the lord protect u my niqqah
@mgosiphilemon7111
@mgosiphilemon7111 5 жыл бұрын
Safi sna kiongozi umefanya kazi nzuri. Wote mlio comment kwa kumlaumu mkuu wa Mkoa ndo wale wale tu wanachadema maana nyie hata mtu afanye mazuri ni lawama tu. Weka ndani hata mwaka akasome namba sisi ni mbele kwa mbele haturudi nyuma.
@alfredymwamba3146
@alfredymwamba3146 5 жыл бұрын
mgosi philemon hata mm ni mwanachadema lakini Mkuu wa mkoa Yupo sahihi kabisa awekwe ndani uyo mama anachuki binafsi sio kaz ya chadema anayoifanya
@mgosiphilemon7111
@mgosiphilemon7111 5 жыл бұрын
@@khamisrajab980 ni mwna ccm org na matusi usidhani yanasaidia jibu kisomi pengn lbd uwe hunaenda shule huna haja ya kutukana maana chadema hawakulishii familia yako wala hakuna unachofaidika nacho ndugu shida zako zitabaki pale pale wapo wanaokula ruzuku ya milioni mia tano. Ila ccm tunafaidika maana miundombinu inaimarishwa tunaitumia na nyie sote lkn pesa zenu mnazopewa na serikali hiyo hiyo mnayoshinda mnaikashifu hazijulikani zinafanya kazi gani.
@munaahmed8499
@munaahmed8499 5 жыл бұрын
Mgosi 😂😂😂 tenaaaa
@munaahmed8499
@munaahmed8499 5 жыл бұрын
@@khamisrajab980 khamis pole sana na utatukan sana lkn chadema hamjielew nyie hamna ubinadam na wanyam wakubwa msojua kutetea matatizo ya wengine pole kwa kuumia
@agreykayombo9612
@agreykayombo9612 4 жыл бұрын
Tumezoea kupinga hata jema.Makosa hayaangalii vyama. Kumbuka waliomkataa ni watendaji ambao waliamulishwa kwa kutumia cheo. Angefanya wa ccm mungepiga makofi lakini kafanya chadema kaonewa.
@alextzmmary5121
@alextzmmary5121 5 жыл бұрын
Inauma sana huyu baba mungu amuwezeshe apate nyumba yakumtosheleza na familia yake
@gitu4me
@gitu4me 5 жыл бұрын
Safi sana ifike hatua watu tuheshimu sheria na utendaji Ally happy jitahidi kabisa kurekebisha matatizo baadae Muwe wazalendo muongoze nchi Unajua mwalimu wa zamu akiwa mkali hata vilanja nao wanatenda kazi vizuri..
@user-xf9or5cv1d
@user-xf9or5cv1d 2 жыл бұрын
Asante mku wa mkoa mungu akubariki katika kazi yako
@user-ev6bq9gf1f
@user-ev6bq9gf1f 5 ай бұрын
Wanaokuponda awajui uchungu wawatanzania kazi nzuri sana mkuu wamkoa nimefurai sana mueshimiwa appy ally
@frankemson
@frankemson 5 жыл бұрын
Uongozi ni dhamana tu, Mungu tusaidie sana.
@emanulmwaitege5531
@emanulmwaitege5531 Ай бұрын
Mungu AMBARIKI SANA RC
@tarzanshayo
@tarzanshayo 5 жыл бұрын
Super work from you Rc, chapa kazi
@dullayomwinyi3359
@dullayomwinyi3359 5 ай бұрын
Nakubali apige kazi
@kautharmohammed7868
@kautharmohammed7868 5 жыл бұрын
"Huwezi kuwa kiongozi ukatumia madaraka yako kukandamiza watu... " R.C Ally Hapi.. Source: youtube video above
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Mwenyez MUNGU enderea kumuongoz kumrinda kumsimamia na kuzidi kuimalisha afya yake kiyongoz wetu mkuu wetu wa mkowa
@danfordaugustino3461
@danfordaugustino3461 5 жыл бұрын
Mbaya zaidi Yule Afisa TRA aliyedai rushwa ya mill 2 namuona akichangia elfu hamsini 50000
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 4 жыл бұрын
Upo vzr Sana mkuu wa mkoa wa iringa mungu akulinde 🙏
@SteveShemsanga-il3ct
@SteveShemsanga-il3ct 5 ай бұрын
Najuwa hapo anatimiza ilani yachama angekuwa ccm usinge sema akamatwe huo niuchama ndio unawasumbua
@gideonsospeterleonard433
@gideonsospeterleonard433 5 жыл бұрын
sikudhani kama happy ni hatari, nimeamini ni hatari na kazi ya kuongoza watu haiwezi!
@msiiwazir1908
@msiiwazir1908 5 жыл бұрын
Leo hii inaonekana nyumba iliobomolewa no hiyo moja tuu serekali mpaka Leo imebomoa nyumba ngapi na watu waliobomolewa mpaka Leo wanalala nje
@zedonomkichwe8930
@zedonomkichwe8930 5 жыл бұрын
Acha ushabiki wa kikuda nyumba ivunjwe kwa mujibu wa sheria ss huyo mzee wa watu nyumba yake ivunjwe moja tu mtaa mzima isitoshe hata alikupanga akafuatwa na ana watoto 9ingeku ww ungekubali hizo nyumba za ubungo unazozifikira kuvunjwa zilishalipwa boya ww
@daudipiusi4307
@daudipiusi4307 5 жыл бұрын
Hizo ni kampeni mnafanya
@huseniyahaya7485
@huseniyahaya7485 4 жыл бұрын
Ali hap yupo iringa 2 hawezi enda kila mkoa kama mkuu wako wa mkoa haitumi kama hy hayo ni juu yako
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 5 жыл бұрын
Yaani.hadi mwili unanitetemeka huyu mbayaa kwelii yaani mkuu Allah akupe maisha.marefu.
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 жыл бұрын
Hapi ndugu I am a lawyer too...tunatakiwa kuanza na investigation then Arrest... sisi ni nchi mwanachama wa mikataba ya kimataifa hasa ya mwaka 1966 ya haki za binadamu nadhani unaijua ambayo ni ICCPR na ICESCR... usisahau hilo... awe ameonea au hakuonea bado kuna rights zake ndani ya katiba na sheria za nchi....na miongozo mbalimbali... vyama tofauti lakini ni raia wa nchi moja hiihii sote tu watanzania
@mbowethaddeus8851
@mbowethaddeus8851 5 жыл бұрын
tumepata janga la uongozi
@fadhilikawambwa6463
@fadhilikawambwa6463 5 жыл бұрын
Pumba tu
@vumiliabakari6050
@vumiliabakari6050 3 жыл бұрын
Mama unaroho ngum penyewe umezaa
@user-sn7gy6cd5q
@user-sn7gy6cd5q Ай бұрын
Hongela
@ramadhanichaulembo1329
@ramadhanichaulembo1329 5 жыл бұрын
Pingakazi hali hapi wewe ni kiongozi wa mfano kwa kutetea wa nyonge mungu akujalie sana
@michaelsamson4784
@michaelsamson4784 5 жыл бұрын
Nimecheka kwa sababu uyo mama atakushinda kesi ilo eneo nikweli ni hifadhi!!! Subiri utayapta majibu yake!!! Hahaha, poor happi!!!
@rosekyara2821
@rosekyara2821 5 жыл бұрын
pumbavu Huyu
@vanessagoodluck7176
@vanessagoodluck7176 5 жыл бұрын
Hatari ni mungu tu, Kama wew ni mtu hatari siku yako ya kufa goma usife Au pambana na izilaeli asiitoe rohoyako.. Hapo utakua mtu hatari.
@leonardjoseph5643
@leonardjoseph5643 5 жыл бұрын
Vanessa Goodluck Vanessa Angekuwa mwanaume anafanyiwa hayo mge shangilia
@haidaryomary1669
@haidaryomary1669 5 жыл бұрын
Fact
@user-wh5pw5uh9u
@user-wh5pw5uh9u 5 жыл бұрын
Vanessa good luck BIG UP AND EXCELLENT
@rashidibrahimshemlugu7845
@rashidibrahimshemlugu7845 5 жыл бұрын
ishu sio siasa kiongozi gani unasimamia mwananchi wako anabomolewa nyumba yake ingekua sheria basi wangebomolewa wote nyumba,safi sana rc happi
@fatumahassan8212
@fatumahassan8212 5 жыл бұрын
Mheshimiwa mungu akubariki kwa kuwateteya wanyonge# nasikiya uchunguzi sana baadhi ya viongozi kwa dhuluma wanayoifanya ktk utendaji kz wao mungu wasimamiye viongozi wenye upendo na wananchi wao
@yohanakihongosiy361
@yohanakihongosiy361 5 жыл бұрын
Fatuma Hassan mmmm
@husseinkulumbiza8894
@husseinkulumbiza8894 5 жыл бұрын
Pole sana Mzee wangu,Mungu yupo Atatenda Haki,Muheshimiwa Mungu Akulinde Akutie nguvu,pamoja na watendaji wako.
@twahiraliy3382
@twahiraliy3382 5 жыл бұрын
T shirt la kijani kweli mambo ni moto
@alexmurithi1327
@alexmurithi1327 5 жыл бұрын
This is how Tanzania government work. Very sad!!! Sounds like a kamukinji government
@kato_tz
@kato_tz 5 жыл бұрын
A good leader is a listener, sikiliza mtu aongee amalize kisha toa maamuzi, It is one of the leadership skills, ila hata hiyo ya kukatiza katiza nayo ni skill pia ingawa mwisho wake huwa kuna upande ambao unaelemewa
@evelyneroselusasila4687
@evelyneroselusasila4687 5 жыл бұрын
👏👏👏 kazi nzur mh hap kaz, big up kwa mh Rais
@kajanjaahamadi7550
@kajanjaahamadi7550 5 жыл бұрын
hapi unajizalilisha na ccm yako maana unalazimishauongowenu wa naccm uwe ukweli na kk zenu tumezichoka
@yusufumngoya611
@yusufumngoya611 5 жыл бұрын
safi sana, kamata hao, ikiwezekana wachapwe viboko hadharani. safi sana
@martinamarugu44
@martinamarugu44 3 ай бұрын
Be blessed
@JanefantoChannel
@JanefantoChannel 5 жыл бұрын
This is what we call instance justice,,, Tanzania is unique,,,
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 2 ай бұрын
Sumu ya makonda inafanya kazi Makonda big up and big up
@mussabuma9592
@mussabuma9592 5 жыл бұрын
Mkuu pamoja sana sasa naanza kukuelewa mungu akuogoze
@dullahshaaban7505
@dullahshaaban7505 5 жыл бұрын
Aaaaaaaaaah! Pole sana mama maana umejitengenezea msiba mwenyewe kwa mikono yako
@user-uw4pu9nm1u
@user-uw4pu9nm1u Ай бұрын
Umeona eeeeee 😅😅
@ggmaths9636
@ggmaths9636 5 жыл бұрын
Mzee nguvu ulizotumia Ni nyingi sana kuuwa sisimizi
@jamesrobare9995
@jamesrobare9995 5 жыл бұрын
Nifikiri haya yana mwisho ndugu rejoice today but you mighty be carrying tomorrow. Continue time will tell.
@lucymacha1853
@lucymacha1853 4 жыл бұрын
Safi Sana mkuu wa mkoa hlo limama sukuma ndani
@ustadhabdul-raufalmunaawiy6629
@ustadhabdul-raufalmunaawiy6629 5 жыл бұрын
Mashaallah Ewee Allah mola wote, ihifadhi Tanzania
@emanuelmsangi6686
@emanuelmsangi6686 5 жыл бұрын
Mimi ni mtu hatari sana! Kauli hii ingesemwa na opposition kungetokea kitu gani??
@mbowethaddeus8851
@mbowethaddeus8851 5 жыл бұрын
wapuuzi kwenye uongozi wa kichaa
@yohanamsangi4717
@yohanamsangi4717 5 жыл бұрын
Sijapenda kwakweli huu ni uzalilishaji
@vancesolomon6298
@vancesolomon6298 5 жыл бұрын
CHADEMA mnahaha mtanyooka paka awamu hii iishe
@eugendawilson1644
@eugendawilson1644 5 жыл бұрын
dah sdhani km kuna ktu hapo tusubiri
@andersonnyahove2867
@andersonnyahove2867 5 жыл бұрын
Aisee kuwa mpinzani yataka kuwa na moyo mgumu sana, kinachotafutwa hapa ni mama wa Chadema wengine wanaingia tu. Mkuu wa Mkoa angetafta namna nyingine ya kulifanya jambo hli kwa sabab ya chain ya wanaotajwa kuwa wengi na wapo. Mama amewaambia wachunguze watapata majibu na ikumbukwe kwamba watendaji wa serikali wote ni makada wa CCM hakuna mahali ambapo viongozi wa upinzani watatetewa
@EliaMwaijumba-jc9fj
@EliaMwaijumba-jc9fj Ай бұрын
Cheo ni zamana ongera mkuu chapa kazi
@jipozeonline3983
@jipozeonline3983 5 жыл бұрын
Kufanya kazi kwa mihemko ni shida sana busara hakuna kabisa kwa kweli yajayo yanafurahisha
@rucdokibaha7668
@rucdokibaha7668 5 жыл бұрын
very good
@msangimsangiz9967
@msangimsangiz9967 5 жыл бұрын
MAKUBWA, ILA MKAE MKIJUA SIKU YA HUKUMU HATUTAULIZWA TILIKUA NANI DUNIANI ..YANGU MACHO NA MASIKIO
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
Iringa mpya kweli nimekubali. Kumbe Kuna watu wanabomolewa nyumba zao hata serikali haijui?????🤔😜😲😲😲😲 Ila mama angesikilizwa bila kuswekwa ndani maana Kuna watu waongo huwezi tegemea, haki itendeke kwa wote
@kesterkanyala7718
@kesterkanyala7718 5 жыл бұрын
Safi sana..
@fitinaelias421
@fitinaelias421 5 жыл бұрын
Hawa vijana ni malimbukeni....huwezi kuwa kiongozi uka-treat wawakilishi wa wananchi namna hii..kuongoza watu kunahitaji hekima na busara....huu ni udhalilishaji uliovuka mipaka..mimi ni mtu hatari sana ??? ni kauli ya kipuuzi kabisa...hii si sawa!!!!
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 2 жыл бұрын
Kwa sasa hana jipya na yeye.anaota joto ya jiwe
@vicentsubeth2268
@vicentsubeth2268 5 жыл бұрын
Daaaa,Mbn nmeona mapicha picha2 Iv ni kweli chuki za kisiasa bdo zipogo au!!!!
@bakarimngazija6672
@bakarimngazija6672 4 жыл бұрын
Ni uongozi usiokuwa na sheriakuna polisi mahakama mpaka mkuu wa mkoa anakuwa juu ya sheria za nchi .
@theophilkimaro9397
@theophilkimaro9397 2 жыл бұрын
Baraka and
@moseskaponda4948
@moseskaponda4948 Жыл бұрын
Mungu akubaliki Sana kiongozi mkuu wa mkoa
@LilianKisumbi
@LilianKisumbi 2 ай бұрын
Wajaman kazzi kubwa wakuu wa mkoa mnafanyaaaa hongeren sana
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 5 жыл бұрын
Acha usenge, mtu unamumwima furusa ya kijitetea kwa kuwa umekuja umemukamia, nyumba ngapi nyie CCM mmewambolea watu, huku Kimara Bomoaboa inawalaza watu nje mpaka leo
@danyojoro8672
@danyojoro8672 5 жыл бұрын
Tatizo kubwa LA nchi yetu ni Kuwa wanaongozwa na wanaoongozwa ni washabiki wa mambo ya hovyo hovyo
@lloveyoutanzania5315
@lloveyoutanzania5315 2 жыл бұрын
Huyu dogo Happy ni kiongozi bora Tanzania yaani Magufuli katuachia jembe bora sana
@jossshilima4040
@jossshilima4040 5 жыл бұрын
Kwa maaana hiyo sheria hazina kz ukimsikiliza vizur maana anapanga mpaka ciku ya kuwekwa ndan anatoa hukum tayar
@e11said23
@e11said23 Ай бұрын
Sio kauli nzuri kumtisha mama
@danielmsimbwa1807
@danielmsimbwa1807 5 жыл бұрын
Mmmh apo km NI itikadi lifatiliwe vizuri mwshon limeharibu picha zima
@judithmaziku4525
@judithmaziku4525 5 жыл бұрын
Nimesoma comment nyingi ila nilichokiamini Leo hata utende mema huwezi pendwa na wote
@huseniyahaya7485
@huseniyahaya7485 4 жыл бұрын
Kweli kuna wengine akili zao ndogo kweli
@oliverdalius9041
@oliverdalius9041 5 жыл бұрын
Abraham Lincoln once said "if u want to test a man's character give him power "
@oledimwasembo2187
@oledimwasembo2187 5 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu mkuu kweli ihi selikali ya wanyonge
@JumaNdingo
@JumaNdingo 4 ай бұрын
Kiukweli tanzania tuna wataka viongozi kama hawa wenye uchungu na wananchi wake hongera sana mkuu wamkoa iringa
@piusmdoe3551
@piusmdoe3551 5 жыл бұрын
mbona hapo ndio siasa ya wazi.
@wakwetukabisa3150
@wakwetukabisa3150 5 жыл бұрын
Hatari
@asifiwemakela8462
@asifiwemakela8462 5 жыл бұрын
wewe in MTU kama Mimi tu siyo MTU hatari mungu anakuona
@macksonmwakisisa8347
@macksonmwakisisa8347 5 жыл бұрын
Ccm kweli haina jipa kwani huyo hape hana kazi au kikitu
@zahraramadhan7130
@zahraramadhan7130 5 жыл бұрын
Minakupenda tu mkuuu salute
@agustinorichadi1253
@agustinorichadi1253 2 жыл бұрын
Safi sana
@user-vh3yh2ec8r
@user-vh3yh2ec8r 10 ай бұрын
Safi sana baba
@boazjoseph3572
@boazjoseph3572 5 жыл бұрын
Mbunge wetu wa Iringa tunaomba tetea haki za watu wako No right of speech /nimetoa machozi kwa yule mama kuto kusikilizwa na kutishiwa Mungu anawaona
@evaevance5932
@evaevance5932 5 жыл бұрын
Mmmhhhhhhh siasa hiyo
@francisjohn7512
@francisjohn7512 5 жыл бұрын
New leadership style
@jchuwatv1890
@jchuwatv1890 5 жыл бұрын
Cheo ni dhamana mzee baba ww sio hatari ww ni wakawaida sana... Shubaamit
@fnk2619
@fnk2619 5 жыл бұрын
We Mungu utoaye haki ya kweli, nakuomba uwaongoze viongozi wetu waweze kutuongoza kwa haki bila ubaguzi wa rangi, dini, jinsia, umri, kipato wala chama. Amina
@hamismasoud8306
@hamismasoud8306 5 жыл бұрын
Tulizoea kuishi kwa mazoea acha wapate adabu maana mikoani viongozi wa vijiji wanadhurumu sana.
@videosongspeter9496
@videosongspeter9496 5 жыл бұрын
Mh, Kasesera Naomba namba yako, nakukubali sana.
@johnkihiyo6090
@johnkihiyo6090 5 жыл бұрын
sijawahi ona uongozi wa aina hii!
@alexmurithi1327
@alexmurithi1327 5 жыл бұрын
Very sad.
@gasperylwena1045
@gasperylwena1045 5 жыл бұрын
John Kihiyo Kwaiyo mlizoea kuona nyumba zinabomolewa kiholela bila kuulizwa. kujenga kazi
@aureliabernadi4170
@aureliabernadi4170 5 жыл бұрын
@@gasperylwena1045 kama umejenga sehemu sio lazima ubomolewe mbona ss bima tumebomolewa
@MultiMbongo
@MultiMbongo 5 жыл бұрын
kwa hiyo za kimara na mahakama ilikataza kubomolewa na zikabomolewa zilijengwa kirahisi nini
@rajabmasoudkhamis4572
@rajabmasoudkhamis4572 5 жыл бұрын
Mtu hatari !!! Hufai kuwa kiongozi . Kiongozi anaefaa anatakiwa kuwa mtaratibu na mwenye busars .
@sayibaba8566
@sayibaba8566 5 жыл бұрын
Uongozi unaoacha alama si kuweka watendaji ndani.. nlitegemea ungehoji idara inayohusika kama huyo mzee alijenga sehem sahihi au vip we RC unakurupuka tu!!!
@tedlema8105
@tedlema8105 5 жыл бұрын
acha kujisifu kijana,unajua tu Leo,kesho huijui
@timothlavamba8633
@timothlavamba8633 5 жыл бұрын
Pole sana mkuu wa mkoa kwa maamuzi yako ila Mungu yupo atahukumu pia kama ww ni hatari bas sawa ila mm ni najua hatar ni MUNGU tu note hilo
@hamismalendula1948
@hamismalendula1948 5 жыл бұрын
cheo dhaman broo
@shanunially114
@shanunially114 2 жыл бұрын
Rc hapi nimeupenda utendaji wa kazi yako mkuu
@akramsayjr591
@akramsayjr591 5 жыл бұрын
Uwezi kuwa kiongozi kutumia madaraka yako kukandamiza watu....🙏🙏🙏🙏 nukuuu
@atnasisarme1571
@atnasisarme1571 4 ай бұрын
Hawa wakuu we mikoa walijifananisha na mungu na wanatakiwa rekod zao zifuatiliwe na wakamatwe
@salmadalaquimane5303
@salmadalaquimane5303 5 жыл бұрын
Vzr sana kka mkubwa
@dottomoshi8324
@dottomoshi8324 5 жыл бұрын
Mimi ndio maana sipendi uongozi, ukiwa kiongozi kuna shida nyingi, huyo mama nahisi ana kitu cha kueleza ila watu ndio tulivyo
@user-nn6zq1ok7i
@user-nn6zq1ok7i 5 ай бұрын
HATA akina Slaa Mwambukusi Waliambiwa wahaini na Mbowe yaleyale
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 5 жыл бұрын
Polena sana mzee
@sudymkele1648
@sudymkele1648 Жыл бұрын
Ni kweli vyama sio uadui lakn watu wengine na viongozi wakiwepo wengine wa serikali hufanya uadui kama huyo mama
@JAMESONMBIRO-mz7eb
@JAMESONMBIRO-mz7eb 2 ай бұрын
🎉
@tumpaleluhanga1396
@tumpaleluhanga1396 5 жыл бұрын
Hawezi kuwa mtu hatari. Ni mtumishi wa wananchi.
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 5 жыл бұрын
Wewe, Hapi Kafie mbele huko, umekuja ukiwa umemukamia huyo Mama wa watu tena mpole tu, Lakini unamzima kila akitaka kueleza, mbona wengine hushout nao?
@tendatanzania8358
@tendatanzania8358 5 жыл бұрын
Hii ni siasa tu hamna jipya hapa CCM wanatumia fursa ya uongozi kuwakandamiza wapinzani
@amananassor524
@amananassor524 5 жыл бұрын
mbona ubungo na mbenzi au kuoji watu paka leo wa mekufa acha bwebwe
@mr.sampaelias1885
@mr.sampaelias1885 2 жыл бұрын
Tunakushukuru mama Samia kwa kumwondoa huyu Dikteta Hapi, nilichokiona hapa Hapy hafai ktk uongoz maana ni mdhalilishaji kama yule jamaa wa Arusha, niombe Samia Rais wetu mpendwa Fungulia kesi huyu Hapy
@dedanmwasongwe993
@dedanmwasongwe993 5 жыл бұрын
Ndivyo alivyotumwa kusambaratisha upinzan, hana jipya,
@innojoel
@innojoel 5 жыл бұрын
Mama hajasikilzwa,maamuzi ya kutfta kiki,na matusi yote kwa mama kwel jmn,
@R10_Rajab
@R10_Rajab 5 жыл бұрын
Asikilizwe mara ngapi maana anaulizwa suala moja anatoa majibu matano, sweka lupango atakwenda kujieleza mbeleni huko
@MOROTOWNTV
@MOROTOWNTV 5 жыл бұрын
Mama yetu amejibu kama inavyostahili ni chuki tu kwa vyama vya upinzani
@user-wu5dk2jd2r
@user-wu5dk2jd2r 5 ай бұрын
Yaan ww na makonda mungu awaweke sana nchi hi watu wanateseka sana huku dodoma pia mkurugenzi anatutesa sana njoo na huku
@moseskaponda4948
@moseskaponda4948 Жыл бұрын
Nc
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 29 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,8 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 9 МЛН
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 727 М.
Mzee Anena MAZITO kwa RC HAPI kwa Kubomolewa NYUMBA
53:22
Global TV Online
Рет қаралды 81 М.
RC HAPI KAMVAA HAKIMU ALIODAIWA KUCHUKUA RUSHWA YA MIL 2
8:48
Millard Ayo
Рет қаралды 395 М.
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН