Mzee amekuja Mbele ya Mkuu wa Mkoa RC HAPI, na kuadithia Jinsi alivyobomolewa Nyumba yake na Diwani wa CHADEMA
Пікірлер: 656
@godlovebtimbula54065 жыл бұрын
this man is a true leader mamae namkubali uyu jamaaaa aseee... may the lord protect u my niqqah
@mgosiphilemon71115 жыл бұрын
Safi sna kiongozi umefanya kazi nzuri. Wote mlio comment kwa kumlaumu mkuu wa Mkoa ndo wale wale tu wanachadema maana nyie hata mtu afanye mazuri ni lawama tu. Weka ndani hata mwaka akasome namba sisi ni mbele kwa mbele haturudi nyuma.
@alfredymwamba31465 жыл бұрын
mgosi philemon hata mm ni mwanachadema lakini Mkuu wa mkoa Yupo sahihi kabisa awekwe ndani uyo mama anachuki binafsi sio kaz ya chadema anayoifanya
@mgosiphilemon71115 жыл бұрын
@@khamisrajab980 ni mwna ccm org na matusi usidhani yanasaidia jibu kisomi pengn lbd uwe hunaenda shule huna haja ya kutukana maana chadema hawakulishii familia yako wala hakuna unachofaidika nacho ndugu shida zako zitabaki pale pale wapo wanaokula ruzuku ya milioni mia tano. Ila ccm tunafaidika maana miundombinu inaimarishwa tunaitumia na nyie sote lkn pesa zenu mnazopewa na serikali hiyo hiyo mnayoshinda mnaikashifu hazijulikani zinafanya kazi gani.
@munaahmed84995 жыл бұрын
Mgosi 😂😂😂 tenaaaa
@munaahmed84995 жыл бұрын
@@khamisrajab980 khamis pole sana na utatukan sana lkn chadema hamjielew nyie hamna ubinadam na wanyam wakubwa msojua kutetea matatizo ya wengine pole kwa kuumia
@agreykayombo96124 жыл бұрын
Tumezoea kupinga hata jema.Makosa hayaangalii vyama. Kumbuka waliomkataa ni watendaji ambao waliamulishwa kwa kutumia cheo. Angefanya wa ccm mungepiga makofi lakini kafanya chadema kaonewa.
@alextzmmary51215 жыл бұрын
Inauma sana huyu baba mungu amuwezeshe apate nyumba yakumtosheleza na familia yake
@gitu4me5 жыл бұрын
Safi sana ifike hatua watu tuheshimu sheria na utendaji Ally happy jitahidi kabisa kurekebisha matatizo baadae Muwe wazalendo muongoze nchi Unajua mwalimu wa zamu akiwa mkali hata vilanja nao wanatenda kazi vizuri..
@user-xf9or5cv1d2 жыл бұрын
Asante mku wa mkoa mungu akubariki katika kazi yako
@user-ev6bq9gf1f5 ай бұрын
Wanaokuponda awajui uchungu wawatanzania kazi nzuri sana mkuu wamkoa nimefurai sana mueshimiwa appy ally
@frankemson5 жыл бұрын
Uongozi ni dhamana tu, Mungu tusaidie sana.
@emanulmwaitege5531Ай бұрын
Mungu AMBARIKI SANA RC
@tarzanshayo5 жыл бұрын
Super work from you Rc, chapa kazi
@dullayomwinyi33595 ай бұрын
Nakubali apige kazi
@kautharmohammed78685 жыл бұрын
"Huwezi kuwa kiongozi ukatumia madaraka yako kukandamiza watu... " R.C Ally Hapi.. Source: youtube video above
@athumanomary14385 жыл бұрын
Mwenyez MUNGU enderea kumuongoz kumrinda kumsimamia na kuzidi kuimalisha afya yake kiyongoz wetu mkuu wetu wa mkowa
@danfordaugustino34615 жыл бұрын
Mbaya zaidi Yule Afisa TRA aliyedai rushwa ya mill 2 namuona akichangia elfu hamsini 50000
@AlAl-sd9pl4 жыл бұрын
Upo vzr Sana mkuu wa mkoa wa iringa mungu akulinde 🙏
@SteveShemsanga-il3ct5 ай бұрын
Najuwa hapo anatimiza ilani yachama angekuwa ccm usinge sema akamatwe huo niuchama ndio unawasumbua
@gideonsospeterleonard4335 жыл бұрын
sikudhani kama happy ni hatari, nimeamini ni hatari na kazi ya kuongoza watu haiwezi!
@msiiwazir19085 жыл бұрын
Leo hii inaonekana nyumba iliobomolewa no hiyo moja tuu serekali mpaka Leo imebomoa nyumba ngapi na watu waliobomolewa mpaka Leo wanalala nje
@zedonomkichwe89305 жыл бұрын
Acha ushabiki wa kikuda nyumba ivunjwe kwa mujibu wa sheria ss huyo mzee wa watu nyumba yake ivunjwe moja tu mtaa mzima isitoshe hata alikupanga akafuatwa na ana watoto 9ingeku ww ungekubali hizo nyumba za ubungo unazozifikira kuvunjwa zilishalipwa boya ww
@daudipiusi43075 жыл бұрын
Hizo ni kampeni mnafanya
@huseniyahaya74854 жыл бұрын
Ali hap yupo iringa 2 hawezi enda kila mkoa kama mkuu wako wa mkoa haitumi kama hy hayo ni juu yako
@kadogoomushadi54095 жыл бұрын
Yaani.hadi mwili unanitetemeka huyu mbayaa kwelii yaani mkuu Allah akupe maisha.marefu.
@raymondkaswaga83345 жыл бұрын
Hapi ndugu I am a lawyer too...tunatakiwa kuanza na investigation then Arrest... sisi ni nchi mwanachama wa mikataba ya kimataifa hasa ya mwaka 1966 ya haki za binadamu nadhani unaijua ambayo ni ICCPR na ICESCR... usisahau hilo... awe ameonea au hakuonea bado kuna rights zake ndani ya katiba na sheria za nchi....na miongozo mbalimbali... vyama tofauti lakini ni raia wa nchi moja hiihii sote tu watanzania
@mbowethaddeus88515 жыл бұрын
tumepata janga la uongozi
@fadhilikawambwa64635 жыл бұрын
Pumba tu
@vumiliabakari60503 жыл бұрын
Mama unaroho ngum penyewe umezaa
@user-sn7gy6cd5qАй бұрын
Hongela
@ramadhanichaulembo13295 жыл бұрын
Pingakazi hali hapi wewe ni kiongozi wa mfano kwa kutetea wa nyonge mungu akujalie sana
@michaelsamson47845 жыл бұрын
Nimecheka kwa sababu uyo mama atakushinda kesi ilo eneo nikweli ni hifadhi!!! Subiri utayapta majibu yake!!! Hahaha, poor happi!!!
@rosekyara28215 жыл бұрын
pumbavu Huyu
@vanessagoodluck71765 жыл бұрын
Hatari ni mungu tu, Kama wew ni mtu hatari siku yako ya kufa goma usife Au pambana na izilaeli asiitoe rohoyako.. Hapo utakua mtu hatari.
@leonardjoseph56435 жыл бұрын
Vanessa Goodluck Vanessa Angekuwa mwanaume anafanyiwa hayo mge shangilia
@haidaryomary16695 жыл бұрын
Fact
@user-wh5pw5uh9u5 жыл бұрын
Vanessa good luck BIG UP AND EXCELLENT
@rashidibrahimshemlugu78455 жыл бұрын
ishu sio siasa kiongozi gani unasimamia mwananchi wako anabomolewa nyumba yake ingekua sheria basi wangebomolewa wote nyumba,safi sana rc happi
@fatumahassan82125 жыл бұрын
Mheshimiwa mungu akubariki kwa kuwateteya wanyonge# nasikiya uchunguzi sana baadhi ya viongozi kwa dhuluma wanayoifanya ktk utendaji kz wao mungu wasimamiye viongozi wenye upendo na wananchi wao
@yohanakihongosiy3615 жыл бұрын
Fatuma Hassan mmmm
@husseinkulumbiza88945 жыл бұрын
Pole sana Mzee wangu,Mungu yupo Atatenda Haki,Muheshimiwa Mungu Akulinde Akutie nguvu,pamoja na watendaji wako.
@twahiraliy33825 жыл бұрын
T shirt la kijani kweli mambo ni moto
@alexmurithi13275 жыл бұрын
This is how Tanzania government work. Very sad!!! Sounds like a kamukinji government
@kato_tz5 жыл бұрын
A good leader is a listener, sikiliza mtu aongee amalize kisha toa maamuzi, It is one of the leadership skills, ila hata hiyo ya kukatiza katiza nayo ni skill pia ingawa mwisho wake huwa kuna upande ambao unaelemewa
@evelyneroselusasila46875 жыл бұрын
👏👏👏 kazi nzur mh hap kaz, big up kwa mh Rais
@kajanjaahamadi75505 жыл бұрын
hapi unajizalilisha na ccm yako maana unalazimishauongowenu wa naccm uwe ukweli na kk zenu tumezichoka
@yusufumngoya6115 жыл бұрын
safi sana, kamata hao, ikiwezekana wachapwe viboko hadharani. safi sana
@martinamarugu443 ай бұрын
Be blessed
@JanefantoChannel5 жыл бұрын
This is what we call instance justice,,, Tanzania is unique,,,
@muhammednassor35692 ай бұрын
Sumu ya makonda inafanya kazi Makonda big up and big up
@mussabuma95925 жыл бұрын
Mkuu pamoja sana sasa naanza kukuelewa mungu akuogoze
@dullahshaaban75055 жыл бұрын
Aaaaaaaaaah! Pole sana mama maana umejitengenezea msiba mwenyewe kwa mikono yako
@user-uw4pu9nm1uАй бұрын
Umeona eeeeee 😅😅
@ggmaths96365 жыл бұрын
Mzee nguvu ulizotumia Ni nyingi sana kuuwa sisimizi
@jamesrobare99955 жыл бұрын
Nifikiri haya yana mwisho ndugu rejoice today but you mighty be carrying tomorrow. Continue time will tell.
@lucymacha18534 жыл бұрын
Safi Sana mkuu wa mkoa hlo limama sukuma ndani
@ustadhabdul-raufalmunaawiy66295 жыл бұрын
Mashaallah Ewee Allah mola wote, ihifadhi Tanzania
@emanuelmsangi66865 жыл бұрын
Mimi ni mtu hatari sana! Kauli hii ingesemwa na opposition kungetokea kitu gani??
@mbowethaddeus88515 жыл бұрын
wapuuzi kwenye uongozi wa kichaa
@yohanamsangi47175 жыл бұрын
Sijapenda kwakweli huu ni uzalilishaji
@vancesolomon62985 жыл бұрын
CHADEMA mnahaha mtanyooka paka awamu hii iishe
@eugendawilson16445 жыл бұрын
dah sdhani km kuna ktu hapo tusubiri
@andersonnyahove28675 жыл бұрын
Aisee kuwa mpinzani yataka kuwa na moyo mgumu sana, kinachotafutwa hapa ni mama wa Chadema wengine wanaingia tu. Mkuu wa Mkoa angetafta namna nyingine ya kulifanya jambo hli kwa sabab ya chain ya wanaotajwa kuwa wengi na wapo. Mama amewaambia wachunguze watapata majibu na ikumbukwe kwamba watendaji wa serikali wote ni makada wa CCM hakuna mahali ambapo viongozi wa upinzani watatetewa
@EliaMwaijumba-jc9fjАй бұрын
Cheo ni zamana ongera mkuu chapa kazi
@jipozeonline39835 жыл бұрын
Kufanya kazi kwa mihemko ni shida sana busara hakuna kabisa kwa kweli yajayo yanafurahisha
@rucdokibaha76685 жыл бұрын
very good
@msangimsangiz99675 жыл бұрын
MAKUBWA, ILA MKAE MKIJUA SIKU YA HUKUMU HATUTAULIZWA TILIKUA NANI DUNIANI ..YANGU MACHO NA MASIKIO
@ilovejesus93035 жыл бұрын
Iringa mpya kweli nimekubali. Kumbe Kuna watu wanabomolewa nyumba zao hata serikali haijui?????🤔😜😲😲😲😲 Ila mama angesikilizwa bila kuswekwa ndani maana Kuna watu waongo huwezi tegemea, haki itendeke kwa wote
@kesterkanyala77185 жыл бұрын
Safi sana..
@fitinaelias4215 жыл бұрын
Hawa vijana ni malimbukeni....huwezi kuwa kiongozi uka-treat wawakilishi wa wananchi namna hii..kuongoza watu kunahitaji hekima na busara....huu ni udhalilishaji uliovuka mipaka..mimi ni mtu hatari sana ??? ni kauli ya kipuuzi kabisa...hii si sawa!!!!
@marcokaroje89802 жыл бұрын
Kwa sasa hana jipya na yeye.anaota joto ya jiwe
@vicentsubeth22685 жыл бұрын
Daaaa,Mbn nmeona mapicha picha2 Iv ni kweli chuki za kisiasa bdo zipogo au!!!!
@bakarimngazija66724 жыл бұрын
Ni uongozi usiokuwa na sheriakuna polisi mahakama mpaka mkuu wa mkoa anakuwa juu ya sheria za nchi .
@theophilkimaro93972 жыл бұрын
Baraka and
@moseskaponda4948 Жыл бұрын
Mungu akubaliki Sana kiongozi mkuu wa mkoa
@LilianKisumbi2 ай бұрын
Wajaman kazzi kubwa wakuu wa mkoa mnafanyaaaa hongeren sana
@sagandamalechampullo6595 жыл бұрын
Acha usenge, mtu unamumwima furusa ya kijitetea kwa kuwa umekuja umemukamia, nyumba ngapi nyie CCM mmewambolea watu, huku Kimara Bomoaboa inawalaza watu nje mpaka leo
@danyojoro86725 жыл бұрын
Tatizo kubwa LA nchi yetu ni Kuwa wanaongozwa na wanaoongozwa ni washabiki wa mambo ya hovyo hovyo
@lloveyoutanzania53152 жыл бұрын
Huyu dogo Happy ni kiongozi bora Tanzania yaani Magufuli katuachia jembe bora sana
@jossshilima40405 жыл бұрын
Kwa maaana hiyo sheria hazina kz ukimsikiliza vizur maana anapanga mpaka ciku ya kuwekwa ndan anatoa hukum tayar
@e11said23Ай бұрын
Sio kauli nzuri kumtisha mama
@danielmsimbwa18075 жыл бұрын
Mmmh apo km NI itikadi lifatiliwe vizuri mwshon limeharibu picha zima
@judithmaziku45255 жыл бұрын
Nimesoma comment nyingi ila nilichokiamini Leo hata utende mema huwezi pendwa na wote
@huseniyahaya74854 жыл бұрын
Kweli kuna wengine akili zao ndogo kweli
@oliverdalius90415 жыл бұрын
Abraham Lincoln once said "if u want to test a man's character give him power "
@oledimwasembo21875 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu mkuu kweli ihi selikali ya wanyonge
@JumaNdingo4 ай бұрын
Kiukweli tanzania tuna wataka viongozi kama hawa wenye uchungu na wananchi wake hongera sana mkuu wamkoa iringa
@piusmdoe35515 жыл бұрын
mbona hapo ndio siasa ya wazi.
@wakwetukabisa31505 жыл бұрын
Hatari
@asifiwemakela84625 жыл бұрын
wewe in MTU kama Mimi tu siyo MTU hatari mungu anakuona
@macksonmwakisisa83475 жыл бұрын
Ccm kweli haina jipa kwani huyo hape hana kazi au kikitu
@zahraramadhan71305 жыл бұрын
Minakupenda tu mkuuu salute
@agustinorichadi12532 жыл бұрын
Safi sana
@user-vh3yh2ec8r10 ай бұрын
Safi sana baba
@boazjoseph35725 жыл бұрын
Mbunge wetu wa Iringa tunaomba tetea haki za watu wako No right of speech /nimetoa machozi kwa yule mama kuto kusikilizwa na kutishiwa Mungu anawaona
@evaevance59325 жыл бұрын
Mmmhhhhhhh siasa hiyo
@francisjohn75125 жыл бұрын
New leadership style
@jchuwatv18905 жыл бұрын
Cheo ni dhamana mzee baba ww sio hatari ww ni wakawaida sana... Shubaamit
@fnk26195 жыл бұрын
We Mungu utoaye haki ya kweli, nakuomba uwaongoze viongozi wetu waweze kutuongoza kwa haki bila ubaguzi wa rangi, dini, jinsia, umri, kipato wala chama. Amina
@hamismasoud83065 жыл бұрын
Tulizoea kuishi kwa mazoea acha wapate adabu maana mikoani viongozi wa vijiji wanadhurumu sana.
@videosongspeter94965 жыл бұрын
Mh, Kasesera Naomba namba yako, nakukubali sana.
@johnkihiyo60905 жыл бұрын
sijawahi ona uongozi wa aina hii!
@alexmurithi13275 жыл бұрын
Very sad.
@gasperylwena10455 жыл бұрын
John Kihiyo Kwaiyo mlizoea kuona nyumba zinabomolewa kiholela bila kuulizwa. kujenga kazi
@aureliabernadi41705 жыл бұрын
@@gasperylwena1045 kama umejenga sehemu sio lazima ubomolewe mbona ss bima tumebomolewa
@MultiMbongo5 жыл бұрын
kwa hiyo za kimara na mahakama ilikataza kubomolewa na zikabomolewa zilijengwa kirahisi nini
@rajabmasoudkhamis45725 жыл бұрын
Mtu hatari !!! Hufai kuwa kiongozi . Kiongozi anaefaa anatakiwa kuwa mtaratibu na mwenye busars .
@sayibaba85665 жыл бұрын
Uongozi unaoacha alama si kuweka watendaji ndani.. nlitegemea ungehoji idara inayohusika kama huyo mzee alijenga sehem sahihi au vip we RC unakurupuka tu!!!
@tedlema81055 жыл бұрын
acha kujisifu kijana,unajua tu Leo,kesho huijui
@timothlavamba86335 жыл бұрын
Pole sana mkuu wa mkoa kwa maamuzi yako ila Mungu yupo atahukumu pia kama ww ni hatari bas sawa ila mm ni najua hatar ni MUNGU tu note hilo
@hamismalendula19485 жыл бұрын
cheo dhaman broo
@shanunially1142 жыл бұрын
Rc hapi nimeupenda utendaji wa kazi yako mkuu
@akramsayjr5915 жыл бұрын
Uwezi kuwa kiongozi kutumia madaraka yako kukandamiza watu....🙏🙏🙏🙏 nukuuu
@atnasisarme15714 ай бұрын
Hawa wakuu we mikoa walijifananisha na mungu na wanatakiwa rekod zao zifuatiliwe na wakamatwe
@salmadalaquimane53035 жыл бұрын
Vzr sana kka mkubwa
@dottomoshi83245 жыл бұрын
Mimi ndio maana sipendi uongozi, ukiwa kiongozi kuna shida nyingi, huyo mama nahisi ana kitu cha kueleza ila watu ndio tulivyo
@user-nn6zq1ok7i5 ай бұрын
HATA akina Slaa Mwambukusi Waliambiwa wahaini na Mbowe yaleyale
@tinyaanosiatha11185 жыл бұрын
Polena sana mzee
@sudymkele1648 Жыл бұрын
Ni kweli vyama sio uadui lakn watu wengine na viongozi wakiwepo wengine wa serikali hufanya uadui kama huyo mama
@JAMESONMBIRO-mz7eb2 ай бұрын
🎉
@tumpaleluhanga13965 жыл бұрын
Hawezi kuwa mtu hatari. Ni mtumishi wa wananchi.
@sagandamalechampullo6595 жыл бұрын
Wewe, Hapi Kafie mbele huko, umekuja ukiwa umemukamia huyo Mama wa watu tena mpole tu, Lakini unamzima kila akitaka kueleza, mbona wengine hushout nao?
@tendatanzania83585 жыл бұрын
Hii ni siasa tu hamna jipya hapa CCM wanatumia fursa ya uongozi kuwakandamiza wapinzani
@amananassor5245 жыл бұрын
mbona ubungo na mbenzi au kuoji watu paka leo wa mekufa acha bwebwe
@mr.sampaelias18852 жыл бұрын
Tunakushukuru mama Samia kwa kumwondoa huyu Dikteta Hapi, nilichokiona hapa Hapy hafai ktk uongoz maana ni mdhalilishaji kama yule jamaa wa Arusha, niombe Samia Rais wetu mpendwa Fungulia kesi huyu Hapy
@dedanmwasongwe9935 жыл бұрын
Ndivyo alivyotumwa kusambaratisha upinzan, hana jipya,
@innojoel5 жыл бұрын
Mama hajasikilzwa,maamuzi ya kutfta kiki,na matusi yote kwa mama kwel jmn,
@R10_Rajab5 жыл бұрын
Asikilizwe mara ngapi maana anaulizwa suala moja anatoa majibu matano, sweka lupango atakwenda kujieleza mbeleni huko
@MOROTOWNTV5 жыл бұрын
Mama yetu amejibu kama inavyostahili ni chuki tu kwa vyama vya upinzani
@user-wu5dk2jd2r5 ай бұрын
Yaan ww na makonda mungu awaweke sana nchi hi watu wanateseka sana huku dodoma pia mkurugenzi anatutesa sana njoo na huku