Mm nilianza kwenda kwenye shughur ya x wangu na kweli kaoa yan baba wa mtoto wangu ndugu zake wakaanza kunizodoa alaf baadae nikaenda chooni nikawa nakojoa Dam nimeogopa sna shekhe sikulala.usiku alaf n saa 8 usiku
@faudhiahussen73203 жыл бұрын
Shek asante Sana
@hamisimsangi82743 жыл бұрын
Sawa shekh
@najahahmed47943 жыл бұрын
Ukitapika damu macna yake nini
@AllyHamadi-kh7hz Жыл бұрын
Shekh m nimemuota mama yng anatoka damu puani
@Mamabrayan-f2oАй бұрын
Assalamu Alaikum me ni mjamzito lakn nimeota natokwa na damu kama na breed nikaenda choon nikachuchumaha hkawa bado hnatoka halafu hapo choon wakaja watoto wengi wakiume na wakike nikawa nawafukuza wakiume nikawaacha wakike sasa sijuh hnamaana gan naomba shehe nisaidie nakaa na was was plz
@malaikaspriani41992 жыл бұрын
Nimeota nimemkata dada yangu kisuu dam zikanimwagikia kwenye mikono yangu lkn dada hakukasilika akaishika mikono yangu nikashituka usingizini
@ShinaidhaHussen-tl8ds11 ай бұрын
Nimeota nimemaliza kusex alafu nikashuka nikaona hedhi maana yake nini
@dorlinraphael91042 жыл бұрын
Nimeota mwanangu anatokwa na damu kitovuni afu Amalia sanaaaa cjaelewa maana yake!
@HamisaRwambogo5 ай бұрын
Shukran nimeelewa nilienda kufanya interview kwenye campuni ya Mikopo nikakosa lkn usiku huo nikaota natokwa na damu naona Mungu alikua ananionesha kua hiyo mali niliyokua naipambania ni ya haramu maani inajihusisha na riba Alhamdulillah
@SakinamohammedSakina2 ай бұрын
Asalam alaikum ustadh,,mm nmeota nko katika kikundi cha wanawake ilikuwa tuna harakati ya nafasi ya kazi,,lkn walipokuwa wakiita majina za nafasi kama twasubiri nkaamzwa ktoka damu za puani,akaondoka apo kuelekeya inchez zanitiririka,,wenzangu wote walinifata kunisaidia,,
@MuasitiAboBakri-ew5muАй бұрын
Ukiota unazaa damu shekhe inamaanisha nin
@NassraAbdallha3 ай бұрын
Mm nimeota damu chooni nasio mm iliyonitoka aliyekuwa mumewangu
@groliarafaeli7232 Жыл бұрын
Nimeota nimekaa kwenye kiti cha kifalme alafu watu wamesimama pembeni wengi wananimwagia dam
@hafidhmilinga7453 Жыл бұрын
Shehe mm nimeota namnyonyesha mtoto damu
@rihanahenaga Жыл бұрын
Niliota mum angu amemwanga damu kwenye kitambaa cha white
@joanithaedsoni69872 жыл бұрын
Shekh me niliota damu zinatirika miguun mwangu na nilikuwa katikati ya kundi la watu tafathar apo me ntaona nin
@baruamwakilanga19632 жыл бұрын
Km mm jmn sielew
@aminatatu56922 жыл бұрын
Kama Mimi 😳
@ReymarRaisa7 ай бұрын
Ukiota unazaa damu shekh inamaanish nn
@MuasitiAboBakri-ew5muАй бұрын
Hata mim nimeota
@MwajumaKondo-ie6kn2 ай бұрын
Ukiota mtu kaanguka afu kweny kichwa damu zikaanza kutoka kwa kasi ya maji ya bomba kichwani